Best Naso Ft T Kasha - Salamu Za Magu (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #BestNaso #SlideDigital #SALAMUZAMAGU
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
Follow Best Naso on:
www.facebook.c...
/ bestnasotz
/ bestnaso
open.spotify.c...
/ yamoyoni-single
www.boomplay.c...
audiomack.com/...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Mkuu unajua sana imba nyimbo zako hizohizo usiige nyimbo za wajingawajinga Peta na nyimbo zako nzuri
Asant san kaka❤❤🎉🎉🎉❤ mungu akulinde uendelee kutukumbushia huyu binadam mkamilifu
Dua sana naso
Kali san
Best nasso ebana unajua kuimba🎉
Huyo mama unaiman nae wew tu ila wengne hatuna iman nae
Nyimbo nzur kwa mama hapo umechemka mama nauli juu mfumko wa bei juu sukari elf5 kila kitu juu mafisadi warudi upya kwakweli tunaumia
Huyo mwanamke hafai
Mama amazing uwa tu
Umeanza u chawa
🤓😂😀😂😀🖐️ Mara hatoki fara😂😂
hongera xana kaka, nyimbo nzuri ila inaliza mno.
Sijawah kukupinga,
Hapana Kaka Nyimbo Hii HaiweI fika popote On trending Unataka kuimba Siasa Huku Unaogopa
Nyimbo mbaya
Safiii
Kaka sawa
Mzee hapo kwa mama umeharibu
Sasa magu anapendezwa na kazi ya huyu mama kwelii acha ujinga bandari iko wapi
Legend Ujawahi Kufeli Kbs Kikubw Akili Nying Inatumika🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Nasso nyimbo nzuri umezingua kwa huyo tusompenda
Nimekimbia nduki nilipoona mzee baba na jina la wimbo kuingia sasa nakutana na mashairi nisiyoyapenda kusikia but hongera usikate tamaa
P
Hunaga kazi mbovu best naso🔥🔥🔥🇹🇿
Broooooo nyimbo nzur Sana lakn unanikumbusha mbar sana watanzania tumemkumbuka sana magufuli😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Umeimba vizuri ila hapo kwa mama umearbuuu mama bado anazinguwa sana anawaacha majizi Yana tuibia Kodi zetu
Wana uficha ukweli 🎉🎉🎉
Kodi Ipi?
Unataka ngoma ifungiwe..
😂😅
Nakubal kaka
Me ni msanii ila napo fanya show napewa kibali mwisho saa 6 hiyo saa 6 ndo wateja wangu wanafunga biashara jamani niishie hapo mwenye macho ameelewa namanisha nn 👋 👋 👋 bye
,💥💥💥💥💥💥😭😭😭😭
Daa brother wew umetisha sana ila mama ungeweka kando kidgo❤❤
Wasanii wengi wanajipendekeza sanaaaa wakati ...
🇹🇿💪💪💪💪
Lakin kijana huyu kwa nini kaz zake basata wasizisimamie kwani kiufupi kijana anaweza sio sir nyimbo yyt Ile anayoitoa best naso lazima ukae na family yako mfurahi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ebu kwamba huyu apewe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Waoooo kipenzi changu best naso hongera Kaka ngu
Mimi ni mkenya ila magufuli alikuwa best prezzo in the world
Big up sana kaka,ila kwenye verse ya Magu ungemtumia Baraka Magufuli ingekaa unyama sana maana sauti yake inaendana na ya Magufuli
Nakubali sana
Huyu sasa ndo best nasso wa nirudi kijijini jamani sauti nzuri sana nasso me natakaga uimbe namna hii mwamba naomba uendelee kuimba kwa hisi kama unavuta sauti na kulia vile nipenda sana hii nyimbo cc ndo mafans zako tuimbie nyimbo nzuri tunazo taka legendary wa bongo flavoured
Wapi likes zangu buana 254 running
Team ya Best Naso tujuane Kwa Like
Ngoma Kali sana Best Naso
Imepenya iyi😂😂😂
Best naso Yani iyi kali kabisa💪💪💪
rahimu kadiri
BESTNASO... Naomba hiii ngomaa... Uirudieee jamanguuu umshirikishe na nay wa mitegoooo... Pamoja na uyo t kasha go Anya ivooo ngoma itanoga sana
Nakubali
Hapo umechemsha mama alipokosea kuachia nauli zipande mfumko wa bidhaa juu hapo hakujali wananchi wa Hali ya chini kumbuka maisha ya vijijini hiyo buku kuipata ni shida hakuangalia Hilo alijali wafanyabishara waamue kupandishwa nauli
Moja ya nyimbo mbovu kuliko
Kwanza umefanya vizuri sana kumsifia mama samia nampenda sana kwa kazi nzuri anayo fanya achana na wapiga kelele hata kama angepewa nani kuongoza nchi acngeyaweza haya mambo ya kukamilisha miradi yetu mama samia anajitahidi sana kutafuta huku nahuku ili watoto wake tu nampenda sana rais wa jamuhuri ya muungano ya Tanzania doctor samia suluhu Hassan
Job Nice❤ Boss
Bigger up broo hongera sana
WASANII MSIIMBE NYIMBO KUTAFUTA KUONEKANA KWA VIONGOZI ILIMRADITU
BINGWA WA MUZIKI🫡🥳🥳🥳🥳
Very smartly sms👏🥂🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Good sana mkuu huna kazi mbovu
Acha usenge magu hawezi kumsifia msafiri
Amani iwemo nyumbani mwako nakukubali sana man
Hujawahi kufeli kaka yangu,, huna kazi mbovu hii ni zaidi ya moto
Umetisha sana ety
Jaman bro kazi yake sio mbovu ila alichokosea ni kumsifia samia hapo brother umefeli sana nakupa 0%
Maan yake hapo kwanza nicheke😅😅😅😅😅😅😅😅
Na mm pia ncheke 😂😂😂
Mnachekesha atal
Sasa Samia anapongezwa kwalipi labda
@@HamisiChacha-h7vsi ndo nashangaa
Mimi mukongomani rdc napenda best naso
Unajipendekeza ili wakuite kutumbuiza ili wakupe chochote kitu😢
😢😢 je confirme
Tunakukubari jamangu
Hii ngoma ni ya 🔥🔥🔥
Congratulations boss
Nmependa sana jinsi ulivyo eleza kero yako ya show umeimba kiundani zaidi tena kwa hisia na mapenzi ya dhamini bro bigup
Wow❤❤❤hadimachozi best ww unaweza bana arooo
Kenya 🎉🎉🎉 top fan
Broo unajuwa huna kazi mbaya
U never fails very creative 👌
Good Job t kash
😢😢😢
nice sana mkuu
❤❤
Nakubali kaka ngoma ni moto naomba nafasi blood tuimbe moja nawewe
Hongera
Bonge la ngoma
Best nasso. A música gostei muito e você número (1) Tanzânia
I love that song ❤❤🎉
✊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nimecheka sana bangi punguza khaa 😂😂😂😂😂😂😂
Saf sana best naso👏👏👏👏
Unajua kaka
I love him♥️
Kazi safi Naso 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Best naso
❤❤ I Love 💕 this music
WIMBO MZURI NASSO GOOD JOB IENDE SANA HIII💥💥💥💥💥
Brow haujawahi kukosea kabisaa❤❤❤❤
🎉, good melodies 🥳🥳🥳.
Best to best naso
Fantastic
Nasoo for lifeee
Ccm siipendi ila magufuli hakun wa kumfananisha nae bhn alikua hapendi wizi lkn saiv watu wanaiba mpk bc
💯
Ni safi best naso courage sana❤❤❤🇨🇩💪
🎉🎉
Nakukubali sana mwamba wangu❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Legendary never fail
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Naso my best tz musician after 20% please Naso we one collabo with 20%
🔥🔥🔥🔥