Best Naso Ft T Kasha - Salamu Za Magu (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #BestNaso #SlideDigital #SALAMUZAMAGU
    (C) Slide Digital
    Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.bio/qwm8md
    Written & Performed by Best Naso
    Follow Best Naso on:
    www.facebook.c...
    / bestnasotz
    / bestnaso
    open.spotify.c...
    / yamoyoni-single
    www.boomplay.c...
    audiomack.com/...
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 131

  • @edwardkilangi9689
    @edwardkilangi9689 9 месяцев назад

    Mkuu unajua sana imba nyimbo zako hizohizo usiige nyimbo za wajingawajinga Peta na nyimbo zako nzuri

  • @SwaumMuddy
    @SwaumMuddy 6 месяцев назад

    Asant san kaka❤❤🎉🎉🎉❤ mungu akulinde uendelee kutukumbushia huyu binadam mkamilifu

  • @EddyAbdallah-lw3kn
    @EddyAbdallah-lw3kn 5 месяцев назад

    Dua sana naso

  • @OmontoOg
    @OmontoOg 10 месяцев назад

    Kali san

  • @AberiMalamala-wi9sc
    @AberiMalamala-wi9sc 7 месяцев назад

    Best nasso ebana unajua kuimba🎉

  • @Malakitzkigoma
    @Malakitzkigoma 10 месяцев назад

    Huyo mama unaiman nae wew tu ila wengne hatuna iman nae

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama 7 месяцев назад

    Nyimbo nzur kwa mama hapo umechemka mama nauli juu mfumko wa bei juu sukari elf5 kila kitu juu mafisadi warudi upya kwakweli tunaumia

  • @bboytv5861
    @bboytv5861 10 месяцев назад

    Huyo mwanamke hafai

  • @kelvinmuj9491
    @kelvinmuj9491 10 месяцев назад

    Mama amazing uwa tu

  • @foxmnyamatz9500
    @foxmnyamatz9500 10 месяцев назад

    Umeanza u chawa

  • @OmontoOg
    @OmontoOg 10 месяцев назад

    🤓😂😀😂😀🖐️ Mara hatoki fara😂😂

  • @NickShineumunyiki
    @NickShineumunyiki 10 месяцев назад

    hongera xana kaka, nyimbo nzuri ila inaliza mno.

  • @godlywaziri335
    @godlywaziri335 10 месяцев назад

    Sijawah kukupinga,

  • @graphitenumz
    @graphitenumz 10 месяцев назад +2

    Hapana Kaka Nyimbo Hii HaiweI fika popote On trending Unataka kuimba Siasa Huku Unaogopa

  • @uwezogroupcomedy1135
    @uwezogroupcomedy1135 10 месяцев назад

    Nyimbo mbaya

  • @EmilianKomba-sb4kn
    @EmilianKomba-sb4kn 10 месяцев назад

    Safiii

  • @Nanata1995
    @Nanata1995 9 месяцев назад

    Kaka sawa

  • @leonardwarasla4978
    @leonardwarasla4978 9 месяцев назад

    Mzee hapo kwa mama umeharibu

  • @StarboymolaMollel-zl7my
    @StarboymolaMollel-zl7my 10 месяцев назад +1

    Sasa magu anapendezwa na kazi ya huyu mama kwelii acha ujinga bandari iko wapi

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 9 месяцев назад +1

    Legend Ujawahi Kufeli Kbs Kikubw Akili Nying Inatumika🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @firedon2463
    @firedon2463 10 месяцев назад +1

    Nasso nyimbo nzuri umezingua kwa huyo tusompenda

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 10 месяцев назад +1

    Nimekimbia nduki nilipoona mzee baba na jina la wimbo kuingia sasa nakutana na mashairi nisiyoyapenda kusikia but hongera usikate tamaa
    P

  • @Wakung-aa_Tz_mapacha2
    @Wakung-aa_Tz_mapacha2 10 месяцев назад +14

    Hunaga kazi mbovu best naso🔥🔥🔥🇹🇿

  • @marcoclassicofficial2090
    @marcoclassicofficial2090 10 месяцев назад +6

    Broooooo nyimbo nzur Sana lakn unanikumbusha mbar sana watanzania tumemkumbuka sana magufuli😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 10 месяцев назад +15

    Umeimba vizuri ila hapo kwa mama umearbuuu mama bado anazinguwa sana anawaacha majizi Yana tuibia Kodi zetu

    • @mageletz
      @mageletz 10 месяцев назад

      Wana uficha ukweli 🎉🎉🎉

    • @MrBlack_og
      @MrBlack_og 10 месяцев назад

      Kodi Ipi?

    • @ahmedsdk6736
      @ahmedsdk6736 10 месяцев назад

      Unataka ngoma ifungiwe..

    • @e-songbeats6453
      @e-songbeats6453 10 месяцев назад

      😂😅

  • @peterfujokalogi7821
    @peterfujokalogi7821 10 месяцев назад +1

    Nakubal kaka

  • @kituladigala4880
    @kituladigala4880 10 месяцев назад

    Me ni msanii ila napo fanya show napewa kibali mwisho saa 6 hiyo saa 6 ndo wateja wangu wanafunga biashara jamani niishie hapo mwenye macho ameelewa namanisha nn 👋 👋 👋 bye

  • @BoniphasMichael-s2x
    @BoniphasMichael-s2x 10 месяцев назад

    ,💥💥💥💥💥💥😭😭😭😭

  • @NeymarBruno-o4c
    @NeymarBruno-o4c 10 месяцев назад +2

    Daa brother wew umetisha sana ila mama ungeweka kando kidgo❤❤

  • @kubwalaodancers
    @kubwalaodancers 10 месяцев назад

    🇹🇿💪💪💪💪

  • @alexmathias6620
    @alexmathias6620 10 месяцев назад +1

    Lakin kijana huyu kwa nini kaz zake basata wasizisimamie kwani kiufupi kijana anaweza sio sir nyimbo yyt Ile anayoitoa best naso lazima ukae na family yako mfurahi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ebu kwamba huyu apewe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JuliusMnkondo
    @JuliusMnkondo 10 месяцев назад +1

    Waoooo kipenzi changu best naso hongera Kaka ngu

  • @fearful254
    @fearful254 10 месяцев назад +1

    Mimi ni mkenya ila magufuli alikuwa best prezzo in the world

  • @immatz3476
    @immatz3476 10 месяцев назад +1

    Big up sana kaka,ila kwenye verse ya Magu ungemtumia Baraka Magufuli ingekaa unyama sana maana sauti yake inaendana na ya Magufuli

  • @mitelpclassic6691
    @mitelpclassic6691 10 месяцев назад +3

    Nakubali sana

  • @kituladigala4880
    @kituladigala4880 10 месяцев назад +1

    Huyu sasa ndo best nasso wa nirudi kijijini jamani sauti nzuri sana nasso me natakaga uimbe namna hii mwamba naomba uendelee kuimba kwa hisi kama unavuta sauti na kulia vile nipenda sana hii nyimbo cc ndo mafans zako tuimbie nyimbo nzuri tunazo taka legendary wa bongo flavoured

  • @MARCOSJONESMUSIQ
    @MARCOSJONESMUSIQ 10 месяцев назад +2

    Wapi likes zangu buana 254 running

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 10 месяцев назад +2

    Team ya Best Naso tujuane Kwa Like

  • @KinaraFelician
    @KinaraFelician 10 месяцев назад +1

    Ngoma Kali sana Best Naso

  • @celestinnsamba3127
    @celestinnsamba3127 10 месяцев назад +2

    Imepenya iyi😂😂😂

  • @celestinnsamba3127
    @celestinnsamba3127 10 месяцев назад +3

    Best naso Yani iyi kali kabisa💪💪💪

  • @rahimukadiri
    @rahimukadiri 8 месяцев назад

    rahimu kadiri

  • @EmilianKomba-sb4kn
    @EmilianKomba-sb4kn 10 месяцев назад +1

    BESTNASO... Naomba hiii ngomaa... Uirudieee jamanguuu umshirikishe na nay wa mitegoooo... Pamoja na uyo t kasha go Anya ivooo ngoma itanoga sana

  • @Hk_boy636
    @Hk_boy636 10 месяцев назад +2

    Nakubali

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 7 месяцев назад

      Hapo umechemsha mama alipokosea kuachia nauli zipande mfumko wa bidhaa juu hapo hakujali wananchi wa Hali ya chini kumbuka maisha ya vijijini hiyo buku kuipata ni shida hakuangalia Hilo alijali wafanyabishara waamue kupandishwa nauli

  • @ImmaThelonewolf-bk2cx
    @ImmaThelonewolf-bk2cx 10 месяцев назад

    Moja ya nyimbo mbovu kuliko

  • @Amos-u6i
    @Amos-u6i 10 месяцев назад

    Kwanza umefanya vizuri sana kumsifia mama samia nampenda sana kwa kazi nzuri anayo fanya achana na wapiga kelele hata kama angepewa nani kuongoza nchi acngeyaweza haya mambo ya kukamilisha miradi yetu mama samia anajitahidi sana kutafuta huku nahuku ili watoto wake tu nampenda sana rais wa jamuhuri ya muungano ya Tanzania doctor samia suluhu Hassan

  • @DirectorGabistar
    @DirectorGabistar 10 месяцев назад +2

    Job Nice❤ Boss

  • @elihudihamisi8805
    @elihudihamisi8805 10 месяцев назад

    WASANII MSIIMBE NYIMBO KUTAFUTA KUONEKANA KWA VIONGOZI ILIMRADITU

  • @fauziahawuor2735
    @fauziahawuor2735 10 месяцев назад +1

    BINGWA WA MUZIKI🫡🥳🥳🥳🥳

  • @barakawatu9226
    @barakawatu9226 10 месяцев назад +2

    Very smartly sms👏🥂🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kajifourreall
    @kajifourreall 10 месяцев назад

    Good sana mkuu huna kazi mbovu

  • @ImmaThelonewolf-bk2cx
    @ImmaThelonewolf-bk2cx 10 месяцев назад

    Acha usenge magu hawezi kumsifia msafiri

  • @eliankaniye
    @eliankaniye 10 месяцев назад

    Amani iwemo nyumbani mwako nakukubali sana man

  • @albanbalayingwa4425
    @albanbalayingwa4425 10 месяцев назад

    Hujawahi kufeli kaka yangu,, huna kazi mbovu hii ni zaidi ya moto

  • @rubenimajura
    @rubenimajura 10 месяцев назад +1

    Umetisha sana ety

  • @lissochacha5218
    @lissochacha5218 10 месяцев назад +6

    Jaman bro kazi yake sio mbovu ila alichokosea ni kumsifia samia hapo brother umefeli sana nakupa 0%

    • @emanuelfitani3042
      @emanuelfitani3042 10 месяцев назад +1

      Maan yake hapo kwanza nicheke😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @wastaraally1575
      @wastaraally1575 10 месяцев назад +1

      Na mm pia ncheke 😂😂😂

    • @HamisiChacha-h7v
      @HamisiChacha-h7v 10 месяцев назад +1

      Mnachekesha atal

    • @HamisiChacha-h7v
      @HamisiChacha-h7v 10 месяцев назад +1

      Sasa Samia anapongezwa kwalipi labda

    • @laizerboy3151
      @laizerboy3151 10 месяцев назад

      ​@@HamisiChacha-h7vsi ndo nashangaa

  • @Karbandika-he6eg
    @Karbandika-he6eg 10 месяцев назад

    Mimi mukongomani rdc napenda best naso

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 9 месяцев назад

    Unajipendekeza ili wakuite kutumbuiza ili wakupe chochote kitu😢

  • @RajpenboySimba
    @RajpenboySimba 10 месяцев назад +1

    😢😢 je confirme

  • @ibrahimbaraka5262
    @ibrahimbaraka5262 10 месяцев назад +1

    Tunakukubari jamangu

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe3774 10 месяцев назад +3

    Hii ngoma ni ya 🔥🔥🔥

  • @marwamasele4417
    @marwamasele4417 10 месяцев назад

    Congratulations boss

  • @kituladigala4880
    @kituladigala4880 10 месяцев назад +1

    Nmependa sana jinsi ulivyo eleza kero yako ya show umeimba kiundani zaidi tena kwa hisia na mapenzi ya dhamini bro bigup

  • @farajastephano6363
    @farajastephano6363 10 месяцев назад +1

    Wow❤❤❤hadimachozi best ww unaweza bana arooo

  • @macvan8856
    @macvan8856 10 месяцев назад +1

    Kenya 🎉🎉🎉 top fan

  • @EmmanuelAbiudi
    @EmmanuelAbiudi 10 месяцев назад

    Broo unajuwa huna kazi mbaya

  • @feihfaih254
    @feihfaih254 10 месяцев назад +1

    U never fails very creative 👌

  • @innomax9125
    @innomax9125 10 месяцев назад +1

    Good Job t kash

  • @rajabushedafa6397
    @rajabushedafa6397 10 месяцев назад

    😢😢😢

  • @chachamarwa7286
    @chachamarwa7286 10 месяцев назад

    nice sana mkuu

  • @luisdamianojekapu7136
    @luisdamianojekapu7136 10 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @gabrielgbboytz3192
    @gabrielgbboytz3192 10 месяцев назад

    Nakubali kaka ngoma ni moto naomba nafasi blood tuimbe moja nawewe

  • @mathiaskambale5780
    @mathiaskambale5780 10 месяцев назад

    Hongera

  • @danielbabere137
    @danielbabere137 10 месяцев назад

    Bonge la ngoma

  • @BrownDhsuzana-f8m
    @BrownDhsuzana-f8m 10 месяцев назад

    Best nasso. A música gostei muito e você número (1) Tanzânia

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 10 месяцев назад +2

    I love that song ❤❤🎉

  • @geofreymasija1687
    @geofreymasija1687 10 месяцев назад +1

    ✊🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mohdhussein9749
    @mohdhussein9749 10 месяцев назад

    Nimecheka sana bangi punguza khaa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @BakariMatanga-yg6nv
    @BakariMatanga-yg6nv 10 месяцев назад

    Saf sana best naso👏👏👏👏

  • @vumiliamamboleo2279
    @vumiliamamboleo2279 10 месяцев назад

    Unajua kaka

  • @jinifamahali7730
    @jinifamahali7730 10 месяцев назад +2

    I love him♥️

  • @edwinowino5911
    @edwinowino5911 10 месяцев назад

    Kazi safi Naso 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MalahiMasele-ei7fl
    @MalahiMasele-ei7fl 10 месяцев назад

    Best naso

  • @bestjuhudiofficial
    @bestjuhudiofficial 10 месяцев назад +2

    ❤❤ I Love 💕 this music

  • @Camjowlepz
    @Camjowlepz 10 месяцев назад

    WIMBO MZURI NASSO GOOD JOB IENDE SANA HIII💥💥💥💥💥

  • @BigBos-c4i
    @BigBos-c4i 10 месяцев назад

    Brow haujawahi kukosea kabisaa❤❤❤❤

  • @FredrickMalima
    @FredrickMalima 10 месяцев назад

    🎉, good melodies 🥳🥳🥳.

  • @teddymusic66
    @teddymusic66 10 месяцев назад

    Best to best naso

  • @khamisbakari6215
    @khamisbakari6215 10 месяцев назад

    Fantastic

  • @GyaviraLaurean
    @GyaviraLaurean 10 месяцев назад

    Nasoo for lifeee

  • @ALEXMARISA-qw6em
    @ALEXMARISA-qw6em 10 месяцев назад

    Ccm siipendi ila magufuli hakun wa kumfananisha nae bhn alikua hapendi wizi lkn saiv watu wanaiba mpk bc

  • @djmidoofficial
    @djmidoofficial 10 месяцев назад

    💯

  • @BESTBVS-l1r
    @BESTBVS-l1r 10 месяцев назад

    Ni safi best naso courage sana❤❤❤🇨🇩💪

  • @ronnamax238
    @ronnamax238 10 месяцев назад

    🎉🎉

  • @JosephsarunimollelMollel
    @JosephsarunimollelMollel 10 месяцев назад

    Nakukubali sana mwamba wangu❤❤❤❤❤

  • @vunjaboy3482
    @vunjaboy3482 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @aureusnchimbi7243
    @aureusnchimbi7243 10 месяцев назад

    Legendary never fail

  • @NoorPrince-v1v
    @NoorPrince-v1v 10 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @emmanuelmutebu4432
    @emmanuelmutebu4432 10 месяцев назад +1

    Naso my best tz musician after 20% please Naso we one collabo with 20%

  • @Jofuboy
    @Jofuboy 10 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥