NJOO KIDAWA STEVE USHAKULA VYANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 274

  • @abudenz_254
    @abudenz_254 2 месяца назад +3

    "Ati pale nje kuna vibaka ebu nichukulie maji we mwanaume"😂😂😂😂❤❤ wewe Steve bana

  • @pascalsefu55
    @pascalsefu55 3 месяца назад +8

    Steve wewe champion je suis à terre 😂😂😂Mr fire 🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-be8mn8cj2t
    @user-be8mn8cj2t 3 месяца назад +11

    Wewe stivu na sisi wanyarwanda tunakupenda sanaaa❤❤❤

  • @user-gg8yn7yd6z
    @user-gg8yn7yd6z 3 месяца назад +13

    Steve mweusi juu nakusikiliza kutoka BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿 🇹🇿🇹🇿

  • @lamran-i6x
    @lamran-i6x 3 месяца назад +9

    Aha duuuh leo steve ....jamani watu wa steve mpooo angusha like yako kwa upendoo

  • @masterjemoh880
    @masterjemoh880 3 месяца назад +12

    My favorite 😁 comedian in east Africa and Africa itself ,,, Thankiu for making Tanzania Great ❤❤❤

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 3 месяца назад +12

    Kazi Nzur Sana Bruh Na Team Yote Kwa Ujumla🔥🔥🔥

  • @Solomuuo
    @Solomuuo 3 месяца назад +32

    Likes za Kenya hapa 🇰🇪

  • @user-dt9sy1og4b
    @user-dt9sy1og4b 3 месяца назад +2

    Good job, u always create new things which relate in our society salute

  • @FelixInyangu
    @FelixInyangu Месяц назад +2

    Steve naombà collabo natoka kenya

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs 3 месяца назад +3

    Nimecheka sana daa hongera sna mwanangu😂😂😂

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz 2 дня назад +1

    😂😂😂😂😂😂 kwakweli Steve mwesi ni noma😂😂😂😂😂

  • @AtufigwegeMwakalibule-pv3nv
    @AtufigwegeMwakalibule-pv3nv 2 месяца назад +1

    Komeshaaa kakaa 😂😂😂😂😂 et ukaninunulie Maji kaka unataka kutongoza hahaha 🤣 🤣🤣 🤣🤣🤣 naombeni like zenu

  • @IssaHamisi-tf1bf
    @IssaHamisi-tf1bf 3 месяца назад +2

    ❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas steeeeeeeeveeeeeeennnnnn

  • @KEMEATV25
    @KEMEATV25 3 месяца назад +5

    Ngoja kwanza umesema taahira au young killer 😀😀😀😀

  • @raphaelmutinda8214
    @raphaelmutinda8214 3 месяца назад

    wueeh hii kiwahili ya TZ imenichanganya🤣🤣from kenya 254😍

  • @khalfanrashid1839
    @khalfanrashid1839 2 месяца назад +1

    Hahaha Steve kiboko anakwambia kuna vibaka kumbe analako jambo

  • @EspoirMaisha-x8k
    @EspoirMaisha-x8k 26 дней назад

    Bwana WE hio ni funzo kweli komaa mwana

  • @factcitynewsplus
    @factcitynewsplus 3 месяца назад +4

    Huyu mwana anajua wallah 😂😅😊

  • @NelsonManase
    @NelsonManase 3 месяца назад +2

    Asante commedian wangu amesema young killer na sio tailaa😂😂😂

  • @GabrielMuthiani-y6g
    @GabrielMuthiani-y6g 21 день назад

    Steve... movie zako za bamba kweli.. fun wako kutoka Kenya. Tuko live na wewe kaka...😅

  • @FrankjumaNdakama
    @FrankjumaNdakama 3 месяца назад +2

    Hahahahahahahahahah Steve umeyakanyaga unatisha lakini🥀🌹

  • @MiltonWah
    @MiltonWah 3 месяца назад +3

    Steve siku Moja utakuja kuniua ww 😃😃😃 Milton from kenya

  • @Marcus92378
    @Marcus92378 3 месяца назад +3

    Ww ni Noma kbs🇨🇩✊✊✊

  • @KulwaDeus-ro4bk
    @KulwaDeus-ro4bk 3 месяца назад +3

    Jana shida tupambanie mama kakuza jalibu kukumbuka kaka

  • @UrJg-ff6gk
    @UrJg-ff6gk 2 месяца назад +1

    Jamani nmm nmpenda sana uyukaka anafuraicha

  • @Lastybonyshoka
    @Lastybonyshoka 3 месяца назад +16

    kazi nzuri sana bro ongera

  • @RuhuneKabose
    @RuhuneKabose 3 месяца назад +3

    Steve namiye mukukwe nanipatiya likeyangu jambo

  • @Nashoni1996
    @Nashoni1996 3 месяца назад +3

    Hiki kichwa yaaani kimejaa daaaaah mtu anatoa kila siku lakini haboi

  • @LightnesMunisi
    @LightnesMunisi 12 дней назад

    Kweli kuna vibaka keel duuh noma sana😮😅

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 3 месяца назад +2

    😂😂😂 huyo dogo kakomoa Steve haki kha!!

  • @user-dj4vq4ry6z
    @user-dj4vq4ry6z 3 месяца назад +3

    Aki Steve huniua na kicheko

  • @basilmbunda-ei7sx
    @basilmbunda-ei7sx 3 месяца назад +4

    Naombeni like zangu kutoka New york ya marekani😂😂😂😂😂

  • @JosephineFondo-f7z
    @JosephineFondo-f7z 11 дней назад

    Sana bro ya Kenya hiyo

  • @stephenMutinda-ju7yg
    @stephenMutinda-ju7yg 3 месяца назад +3

    Steve uko sawa bro mimi mukenya na kumbenda bro

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад

      Eti Stephen mutinda?? Nakwa Jackson mutinda,kowitha wi bro wakwa we?? Team Steve mweusi

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd 2 дня назад

    Aisee leo umetisha sana

  • @ChristianMalulu
    @ChristianMalulu 3 месяца назад +2

    VAILETH N Moja kati ya talanta KUBWA sana 🔥🙏

  • @dalkenmalonje100
    @dalkenmalonje100 3 месяца назад +2

    Assistindo apartir diretamente em moz🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @Lukakisoka-td3bd
    @Lukakisoka-td3bd 3 месяца назад +7

    Tunao mkubali mwamba Steve tujuane kwa like❤❤

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 месяца назад +2

    ❤❤❤

  • @user-yl1ng9sb8q
    @user-yl1ng9sb8q 3 месяца назад +5

    Wakwanza Leo from 🇨🇩 suis le premier

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumu 3 месяца назад +2

    Yaan hapo ningekuwa mm ningeenda mpaka shery najaza mafuta, alfu namwambie demu lipia mafuta ile hela nilokupa, ilikuwa ya mafuta.....

  • @JacksonFaustine-be1gk
    @JacksonFaustine-be1gk 3 месяца назад +3

    Nakubali kaka

  • @gracewanjiru403
    @gracewanjiru403 3 месяца назад +2

    Wewe ni sarenta killer😂😂😂 🇰🇪twakupenda bure

  • @Alphanso007
    @Alphanso007 3 месяца назад +3

    STEVE MWEUSI MPENI MAUA 🌸 🌺 🌷 🌼 💐 YAKE AYANUSE

  • @SalomeSalome-pr8zt
    @SalomeSalome-pr8zt 3 месяца назад +2

    Unaweza steve

  • @JackzionTV
    @JackzionTV 2 месяца назад +1

    Kidawa nakukubali❤

  • @Isaaclevis
    @Isaaclevis 3 месяца назад +3

    Kweli tanzania ina maaaaambo

  • @Tramoeinteriorsandsuppli-dv9wu
    @Tramoeinteriorsandsuppli-dv9wu 2 месяца назад +1

    I like this

  • @edimaxmedia
    @edimaxmedia 3 месяца назад +1

    Salent killer muuaji wa kimyakimya😂😂😂😂😂😂😂😂eh Steve
    Kenya hapa tupo

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂 hunautu wala utulivu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @IbuniKilapaya
    @IbuniKilapaya 3 месяца назад +3

    Steve uchungu umepanda😂😂

  • @TUYIZEREEric-ic6zl
    @TUYIZEREEric-ic6zl 3 месяца назад +1

    Driver miminagupenda kabisa

  • @MasokaNihatu
    @MasokaNihatu 2 месяца назад +1

    Stivu. Angetongoza Sasa jamaa wami devu kawa makini

  • @paulmangana696
    @paulmangana696 2 месяца назад +1

    Kaletewa juice badala ya maji! Nini naona 😅😅😅😅😅

  • @sethochieng394
    @sethochieng394 15 дней назад +1

    I hold more like from Kenya

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn 3 месяца назад +2

    Kimekuramba steve

  • @DullahMagongo
    @DullahMagongo 27 дней назад

    Wenoma.sana.unaweza

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial 3 месяца назад +75

    Wa kwanza leo team Steve MWEUSI nipeni like hata 10 please 😅😅😅😅

  • @TuceAstere-qs6ph
    @TuceAstere-qs6ph 3 месяца назад +1

    Burundi wa askali tunakubal kbx ♥️♥️♥️♥️

  • @silverybuluma
    @silverybuluma 2 месяца назад +2

    Hivi da zet ni nani? Huyo amani kijicho ni nan😮😮

  • @Martinl-rd4gg
    @Martinl-rd4gg 3 месяца назад +2

    God job brother

  • @bonifacegesora8202
    @bonifacegesora8202 3 месяца назад +4

    Mapenzi tele from Kenya

  • @hollyboyMW254
    @hollyboyMW254 3 месяца назад +3

    Aisee Kidawa anamalizaa

  • @machiyajofrey1672
    @machiyajofrey1672 3 месяца назад +3

    naweza basi kuongea kwa maneno??😅😅😂😂😂@Steve Mweusi...

  • @faustinkabene971
    @faustinkabene971 3 месяца назад +1

    Mipango yote inafeli styve😂😂😂

  • @abiiclevertz
    @abiiclevertz 3 месяца назад +3

    M wamwisho naomben like zenu😂

  • @mwabonjecomedy2776
    @mwabonjecomedy2776 3 месяца назад +1

    the song nana was just chilling🤣🤣🤣🤣

  • @NeemaProches-xz9mc
    @NeemaProches-xz9mc 16 дней назад

    Kaz nzur San steve

  • @user-yx8rt5fn1w
    @user-yx8rt5fn1w 3 месяца назад +1

    Love from Saudi Arabia

  • @DancanoumaMulanya
    @DancanoumaMulanya 2 месяца назад

    Steve kimekuramba,Danny from Kenya

  • @MustafaUssene-sw2tl
    @MustafaUssene-sw2tl 3 месяца назад +1

    Ongera sana stive

  • @Erickoomemutuma
    @Erickoomemutuma 3 месяца назад +2

    Aki steve c umuoe kidawa

  • @muunganoshow4212
    @muunganoshow4212 3 месяца назад +1

    First one here watching wapi likes zangu na please mnipitie kwa nyumba yangu pia Mimi niko na content safiiii❤❤❤

  • @josekioko3960
    @josekioko3960 3 месяца назад +4

    steve kidoti alienda wapi🤔

  • @RuhuneKabose
    @RuhuneKabose 3 месяца назад +1

    Steve nakusikiliza kutoka Congo
    Love

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 2 месяца назад

    Tamaha mbaya punguzeni kuparamiai msivyovijua,steve kala hasara mwenye nyumba kafufuka nyumba ya urithi haiuzwi tena.😂😂😂😂

  • @claudmwasi43
    @claudmwasi43 2 месяца назад

    Mtoto mzuri mtoto pisi kali ❤

  • @MusaKulwa
    @MusaKulwa 3 месяца назад +1

    Sambovu tz na kukubali kaka naomba saport Kwenye comedy

  • @Cristianoabui
    @Cristianoabui 3 месяца назад +11

    kila like itakayopata naengezeka mwaka mmoja msinifanye kize sana wanangu

  • @hamdunslimofficail4150
    @hamdunslimofficail4150 3 месяца назад +1

    Me wa 10000 like zangu

  • @user-lo8vd7xt9e
    @user-lo8vd7xt9e 3 месяца назад

    Wewe ni noma sana unatisha

  • @Waithaka-lw7jp
    @Waithaka-lw7jp Месяц назад

    😂😂kanikataa jicho la dharau 😂😂😂

  • @basilmbunda-ei7sx
    @basilmbunda-ei7sx 3 месяца назад +2

    hNaweza bhas kuongea kwa mdomo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BalakaMbughi
    @BalakaMbughi 3 месяца назад

    Bigapu San mwambwa wa mbeya unatuwakirisha sana Yan

  • @Alphanso007
    @Alphanso007 3 месяца назад +1

    STEVE MWEUSI NI KICHAA WA KUCHEKESHA 😁😁😁😂😂

  • @elsabio11
    @elsabio11 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂naweza basi

  • @RuhuneKabose
    @RuhuneKabose 3 месяца назад

    Steve naoba nabazako nakupendaka sana nakupamauwa🎉🎉🎉

  • @DanyMuhindo
    @DanyMuhindo 3 месяца назад +2

    Wakwanza Leo naomba like zangu ❤❤❤❤

  • @SamwelNgasa
    @SamwelNgasa 3 месяца назад

    Hongera sana sitiven

  • @ElvisNDUWAYEZU-eq5fc
    @ElvisNDUWAYEZU-eq5fc 3 месяца назад +4

    Mashabiki ya Steve muko wapi

  • @basilmbunda-ei7sx
    @basilmbunda-ei7sx 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ila steveee gari inakunywa majiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @IdrisaKwepu
    @IdrisaKwepu 3 месяца назад

    Yupo vzur sanaaa😂😂😂

  • @JeanSabiti-qt9ld
    @JeanSabiti-qt9ld 3 месяца назад +1

    naombeni liké zangu bwana Steve

  • @JanjiMbwilo
    @JanjiMbwilo 3 месяца назад +1

    LEO wakwanza Mimi wakubwa ❤

  • @Mubarakaashim
    @Mubarakaashim 3 месяца назад

    NIAJE WADAU wa Steve like ap

  • @KalondaKasanga
    @KalondaKasanga 3 месяца назад

    Vraiment tu es fort

  • @LomingoBallottelli
    @LomingoBallottelli 2 месяца назад +1

    Steve nakufata kutoka Congo Maniema

  • @HarryTusker
    @HarryTusker 3 месяца назад

    Kazi nzuri

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 3 месяца назад +1

    Huwa napenda ukicheza bila lile likanzu lako.