Wokovu sio zao la matendo au Jambo la mwanadam ila Ni Yesu mwenyewe.. Tumeokolewa kwa neema mtu Yoyote asije kujisifu..Bila kumuomba Yeye alijitoa kwa ajili yetu akikubali kuuacha utukufu wake ili aje atuingize pamoja nae katika Utukufu wake ....NEEMA YA YESU inatusha...Karibu kushea tafadhali wengi walijue pendo la Yesu lisilohesabu ubaya ila linahesabu kazi ya msalaba 🙏... Glory to God and thanks to you...
Eeiihhh ! What manner of Grace is This 🥺 yaani, mnanihudumia Hadi katika kuzisoma comments zenyu. mafunzo tosha. #humility #grace #honor We are learning from you.
One of the best,powerful and Biblical song. Bwana na awafanye kuwa baraka kubwa kwa kila sikio linalosikia kazi hii Maisha ya watu yakabadilishwe na kuinuliwa kupitia wimbo huu!! Amen
😭😭😭 brothers asanteni kwa ibada hii ni zaidi ya huduma asee chakula cha msalaba ni dhambi kupitia Kristo asante Yesu nakosa ya kusema mengi but nimehudumiwa binafsi
If was not Jesus Christ how could we say at the last Day?. My heart is full of happiness because of his resurrection. May God INCREASE YOU and ASCEND you saint. @eliamtishibi
The greatest Love story was written on the Cross! There's no greater Love than this, that one would for die for his friend!! The bible tells us the chastment of our peace was upon him and by his stripes we're healed🙌. The composition is full of christology! God is doing mighty things in Tanzania.. May God take you higher watumishi Mtishibi & Shedrack
It's amazing kuona namna Mungu anafanya kazi kubwa kupitia vijana wa kizazi cha leo katika Tanzania🇹🇿 ... maombi yangu, kazi aliyoiweka Mungu ndani yenu Eliya & Shadrak na team yote ikazae matunda mema from generations to generations.. you are blessed 🙌🏾🙌🏾
You are a son in the Kingdom, our heavenly father is proud of you, God bless your heart of worship.......This far beyond wealth and the treasures of this earth.
Elia, it was such an honour having you visit CITAM Rongai during our kesha and Sunday morning service. This song has reminded me of God's unending love for me. Im still playing it.
Wow! What a ministration. Every time this song crosses my ears I can't reject the power of the most high. The Holy spirit is too vivid in this one. You are blessed indeed
Great worship indeed, if God would count our sins who would stand,thank you for your mercies Lord.God bless Bishop Mtalitinya and Pastor Elizabeth Mtalitinya....you are generational trailblazers
Mungu nakushukuru kwaajili ya watumishii wako hawa elia na shedrack and others endelea kuwatumia kwa utukufu wako 🙌🙌 hakika tunaishi kwa neema yako tu😭😭😭
Amazing! Amazing This is awesome 💯 I meet you guys in Arusha TZ at a conference and I was sooooo blessed. The songs are profound and deep. More GRACE mtumishi
Kwa damu yake tunahesabiwa haki mbele zake. Mungu awabariki kwa kuwaongezea mafuta maana nguvu zilizowatoka kuyahudumia maisha ya watu wa Mungu yanahitajika kuongezeka na kuzidishwa. Mungu awabariki sana wadogo zangu watumishi wa Mungu. Kama si Bwana tungeangamia tuu. Mbarikiwe tena.
Huu wimbo unaniingiza kwenye deep worship state, uwepo unashuka kwa kiwango sio cha kawaida. Kaka Elisha na kaka Shedrack, asanteni sana kwa kazi hii, Mungu azidi kuwatumia, mbarikiwe sana
Wokovu sio zao la matendo au Jambo la mwanadam ila Ni Yesu mwenyewe.. Tumeokolewa kwa neema mtu Yoyote asije kujisifu..Bila kumuomba Yeye alijitoa kwa ajili yetu akikubali kuuacha utukufu wake ili aje atuingize pamoja nae katika Utukufu wake ....NEEMA YA YESU inatusha...Karibu kushea tafadhali wengi walijue pendo la Yesu lisilohesabu ubaya ila linahesabu kazi ya msalaba 🙏...
Glory to God and thanks to you...
Wow Amen
Amen
Huu wimbo ni wa baraka sana 🙌🙌🙌Mungu azidi kukuinua 🙌
@@SomaBiblia k
Ok
😭😭😭😭 MUNGU akubariki sanaaaaaa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Amina sana napokea kaka
Amen Minister
Nawapenda sana watumishi wa Mungu, , naamini tutapata sikumoja 🙏
My brother I’m so proud of you🙌🏾🙌🏾 asante kwa wimbo wa baraka namna hii
Shedrack Ubarikiwe sana wewe ni hazina kubwa kwenye ufalme🙌🏾
Shedrack 🔥🔥🔥dube spirit
@@kingseth1018 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏾🙏🏾😔😔
Dada yangu simfukwe God bless you so much 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏾🙏🏾
Glory to Jesus ...Mungu ameinuliwa sana kwenye Kizazi chetu
Eeiihhh ! What manner of Grace is This 🥺
yaani, mnanihudumia Hadi katika kuzisoma comments zenyu. mafunzo tosha. #humility #grace #honor
We are learning from you.
Elia Ndugu yangu ..... ! Nakupenda Mungu amekubariki sana Kwa Ujasiri Huu wa kuyafunua Haya..... Mwili wa Kristo Unajivunia Wewe 😭😭😭
Nashukuru ndugu Yangu ndo tumeanza hivyo kuzisema kweli kwahyo natarajia mlipuko sana sana wa kweli
For the first time I'm hearing this song 🙌🙌
This song becomes my anthem ,i sing when i take shower,when i drive,when i cook this song fills me every moment
One of the best,powerful and Biblical song.
Bwana na awafanye kuwa baraka kubwa kwa kila sikio linalosikia kazi hii
Maisha ya watu yakabadilishwe na kuinuliwa kupitia wimbo huu!!
Amen
Oh my God this is not just a live recording but a real service
Let gather here TANZANIA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏
bro naomba niseme huu ni wimbo wa taifa Mungu awatunze sana kaka zangu elia &shed👐💗
Hakika Umebarikiwa. Mwenyezi MUNGU azidi kukutunza kaka. Hakika kama angehesabu makosa yetu hakuna angeyeweza Kusimama.
Mmmh hallelujah 🙌🏼
Nahc kujaw n upako sana kilaa nkicikiliz hii nyimboo 🙏🙏🙏😭😭 bilaa wew nani angesimam yesuuuuuuuuuuuuuuu
😭😭😭Kama ungehesabu makosa yangu Nani angesimama mbele yako🙌🙌🙌...Nimebarikiwa asante Mtumishi🙏
Umechukua shitaka Langu umelichana na kulitupa mbali Kwa sababu mimi ni Mwana 😭😭🙌🙌
Grateful for GOD's grace
Umebarikiwa MOG
That is your scale also Man of God
Mungu akuinuie zaidi Mr ushindi
Thanks sir ...Glory to Jesus
Mtishibi 🤝 God bless you uuu.
😭😭😭 brothers asanteni kwa ibada hii ni zaidi ya huduma asee chakula cha msalaba ni dhambi kupitia Kristo asante Yesu nakosa ya kusema mengi but nimehudumiwa binafsi
Ibada kubwa ya unyeyekevu
🙌🙌🙌😓#Naniangesimama daaah hii ni ibaada kabisa
Hongera sanaa brother
Powerful powerful
You did it blood
Kaka Mungu kakuita kabsa ktk utumishi wake ♥ bless you 🙏
😔😔😔😔🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙇🏿🙇🏿🙇🏿🙇🏿
🔥🔥🔥🔥
ubarikiwe sana mtumishi. mara nyingi naskiza hii worship nikiwa nataka kutafuta utulivu ili nitafakari mahusiano yangu na Mungu. ubarikiwe zaidi
May God increase you.... this is a very huge song,
Gospel in a nutshell!!!
The overwhelming, never-ending, reckless love of Christ 😭🙌🙌
Blessings Elia!
🙏🙏
If was not Jesus Christ how could we say at the last Day?.
My heart is full of happiness because of his resurrection. May God INCREASE YOU and ASCEND you saint.
@eliamtishibi
Oooh! GOD. 😭😭😭🙌🙌🙌
The greatest Love story was written on the Cross! There's no greater Love than this, that one would for die for his friend!! The bible tells us the chastment of our peace was upon him and by his stripes we're healed🙌.
The composition is full of christology! God is doing mighty things in Tanzania.. May God take you higher watumishi Mtishibi & Shedrack
Glory To God
Thanks much
It's amazing kuona namna Mungu anafanya kazi kubwa kupitia vijana wa kizazi cha leo katika Tanzania🇹🇿 ... maombi yangu, kazi aliyoiweka Mungu ndani yenu Eliya & Shadrak na team yote ikazae matunda mema from generations to generations.. you are blessed 🙌🏾🙌🏾
Amen
Vijana wa yesu WORSHIP team are blessed, may God bless you abundantly 🙏much love from kenya
Yesu KRISTO awabariki kwa ibada yenye mguso
Asanteee sanaa
Asanteee sanaa MUNGU awatunze
Shedrack simbeye 🔥🔥🔥dube
You are a son in the Kingdom, our heavenly father is proud of you, God bless your heart of worship.......This far beyond wealth and the treasures of this earth.
Glory to Jesus
kama ungehesabu makosa nani angesimma💛🖤😭
🙌🙌🙌🙌 Nakubal sana kaka
Mungu wa mbinguni akubariki bro
Barikiwa sana Kaka Elia🙌🏻 Mungu aendelee kukutumia kadri apendavyo
Amen
My song of the year🙌blessings to you even as the Holspirit leads you to release heavenly sound!May Jesus be glorified!🙌
Amen
Elia, it was such an honour having you visit CITAM Rongai during our kesha and Sunday morning service. This song has reminded me of God's unending love for me. Im still playing it.
Hallelujah
Yesu Kristo ni mwema sana brother.
Neema ya Kristo izidi kuwa juu yako mtumishi wa Mungu mkuu
Amen napokea
This song uwiiiiiii. Ulikua wapi ukipewa mafunuo haya. Woiii unaishii huu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ni Yesu tu
Wow! What a ministration.
Every time this song crosses my ears I can't reject the power of the most high. The Holy spirit is too vivid in this one.
You are blessed indeed
Barikiwa mtumishi wewe ni baraka
Ni Kwa huruma Ya Mungu hatuangaamii
Unanibariki sana, Yesu azidi kutukuzwa Kwa kinywa chako
Glory to God
Kama BWANA angehesabu makosa yetu kweli hakuna mtu angesimama 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Amejawa na Rehema na Neema BWANA🙌🏾🙌🏾
Revelational song 🔥🔥🔥
Neno hili ni kubwa masikioni, hivyo Bwana asiliondoe kwa ajili ya utukufu wake mwemyewe. Barikiwa wana wa Ufalme!
Amen.... Glory to Jesus
Mungu akuinue Mtishibi.....akufikishe mbali.....
Amen
Mungu awabariki kwa baraka hii, Bwana aipe kibali mioyoni na idumu kuwa ibada yetu kwa Bwana.
Psalms 130: 3 - 4 - If You LORD, should mark iniquities, O LORD, who could stand? But there is forgiveness with You, That You may be feared.
😭🙌ASANTE MUNGU WA REHEMA N NEEMA, KAMA UNGEHESABU MAKOSA YETU, NANI ANGESIMAMA...THIS IS SO EXCELLENT, TUMEBARIKIWA... MUNGU AWAINUE SANA MEN OF GOD 🙌
Amen 🙏🙏🙌
This is wonderful & powerful mtumishi barikiwa zaidi Good massage 😭😭😭🙏
😭😭😭🙌🙌🙌
Great worship indeed, if God would count our sins who would stand,thank you for your mercies Lord.God bless Bishop Mtalitinya and Pastor Elizabeth Mtalitinya....you are generational trailblazers
Amen Mungu wetu amejaa huruma hongereni kaka zangu wimbo mzuri sana hadi machozi yamenitoka
Endelea kumtukuza kwa ajili ya rehema zake na uwafikie wengi
Powerful 🇰🇪🔥
Ameeeeeeeeeeen ❤❤❤❤❤❤ hakika tumebarikiwa ...thank you Jesus
amen. JESUS IS GOOD
Hakiki utabaki kua Mungu milele ❤
May God keep this gift pure n clean...for His glory
Mungu nakushukuru kwaajili ya watumishii wako hawa elia na shedrack and others endelea kuwatumia kwa utukufu wako 🙌🙌 hakika tunaishi kwa neema yako tu😭😭😭
Amen
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌from Glory to Glory..... Let's Worship God kwa Pendo lisilo ona ubaya wowote wala kasoro 🥺🥺🥺🙇🙇
Jesus our savior
This is a biggest song let the glory be to God 👏👏👏🙌🙌🙌🎼🇹🇿🙏🙏🙏
God lift you up Man of God, wonderful song and blessing it's sure God never count our sins because is God .
Great great great Brother 👍💪🙌🙌🔥🔥🙌🙌🎤🎤🔥🔥🔥🙌
God you’re faithful. Ungehesabu makosa yangu hata singekuwa hai🙏🙏
🙌🙌🙌😭😭Mungu aliyejawa Rehema na Neema ndiye Mungu wangu..... Eliya naheshimu kile Mungu ameweka ndani yako!!!
Glory to Jesus 🙌🙌
Yesu Asante kwa ibada hii.
Mungu akubariki sana wimbo huu una ponya moyo abarikiwe Mungu wetu aliyekupa maomo ya huu ujumbe it's a powerful song
c'est très profond que Dieu te bénisse homme de Dieu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂😂
Elijah mtishbi from Kenya we love you...
#MUNGU wetu ni pendo kweli kweli....
Wimbo
Unanikumbush mbali huu
Mungu nisaidie tu kutoka hapa
Ubarikiwe kk
Sichoki kuusikiliza huu wimbo Mungu awabariki watumishi wa Mungu.
You are loved brothers
Thanks pastor 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Umebarikiwa sana bro
Mungu wa UPENDO🙌😭
Nimeusikiliza kwenye daladala nimejikuta nanena kwa lugha simchezo ey wewe mkaka Mungu akubariki sana powerful song🙌
Glory to the father
😭😭😭😭 Anointed
God bless nyie guys hii nyimboo inabarikii sanaa akiii mzidi kubarikiwaa na mzidii kutubarikii pia 🔥🔥🔥
Amazing! Amazing
This is awesome 💯
I meet you guys in Arusha TZ at a conference and I was sooooo blessed. The songs are profound and deep.
More GRACE mtumishi
Amen Glory to God
...tuombee
Kwa damu yake tunahesabiwa haki mbele zake. Mungu awabariki kwa kuwaongezea mafuta maana nguvu zilizowatoka kuyahudumia maisha ya watu wa Mungu yanahitajika kuongezeka na kuzidishwa. Mungu awabariki sana wadogo zangu watumishi wa Mungu. Kama si Bwana tungeangamia tuu. Mbarikiwe tena.
Amen thanks much
We need this on spotify😇
Powerful Revival!! God bless you with more life and favor, may He cover you with His grace Elia & Shedrack!😇
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI,,wimbo unanibariki sanaaa,,,,,
If God counted our sins we wouldn't be where we are now, but by His grace and the work of the cross we are all set free from sin. He calls us His own.
Kumtumikia Mungu kumekufanya uwempya
Huu wimbo unaniingiza kwenye deep worship state, uwepo unashuka kwa kiwango sio cha kawaida. Kaka Elisha na kaka Shedrack, asanteni sana kwa kazi hii, Mungu azidi kuwatumia, mbarikiwe sana
Angehesabu makosa, nisingesimama
😭😭😭😭😭😭😭🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽maneno hayatoshi 😭😭♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Powerful Powerful
Gayiiii 🔥🔥🔥🔥 this song uwiiii
God bless You for this song
😭😭🙌Neema na Rehema zake vinanisimamishaa kila Leo.. Mbarikiwe sana Watumishi wa Mungu
I really blessed ,my God bless you all
Wow!!!! This Is Beautiful 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tuseme nn juu ya haya