MASHABIKI WA YANGA wametanda nje ya Duka WANAANDAMANA KUTAKA JEZI MPYA/ USIKU mzito watu HAWAELEWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 29

  • @AloisPeter-m5r
    @AloisPeter-m5r 2 месяца назад +5

    Mambo ni good sana kwa wananchi

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 2 месяца назад +5

    Raha jmn jmn,Uzi km uzi❤

  • @TheDarknessTheDarkness-rc2vy
    @TheDarknessTheDarkness-rc2vy 2 месяца назад +9

    Me wakwanz nipen like zangu

  • @MeckMsea-cx1ct
    @MeckMsea-cx1ct 2 месяца назад +1

    Mnatangazia jezi yetu sandand

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa 2 месяца назад +3

    Nawakubali wanangu🎉🎉🎉🎉

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 2 месяца назад +1

    Hizo jezi za yanga kama khanga ama shuka. Walla hazina sura. Jezi mzuri ni ya Simba.

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 2 месяца назад

    No one can compete with sheria ngoi.

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 2 месяца назад +3

    WANANGU MKO SAHIHI MAANA SIYO KWA HIZO JESY NI HATARIIIIIIIII....!

  • @mashopluck
    @mashopluck 2 месяца назад +5

  • @mikaelchazi4616
    @mikaelchazi4616 2 месяца назад +4

    Nikweli sio sanda

  • @SalomeMalema
    @SalomeMalema 2 месяца назад +1

    Kwakweli tunataka Jezi sio sanda😂😂😂😂😂😂😂

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 месяца назад +3

    Vichaa wa soka.. hadi raha..

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 месяца назад +1

    Yaani mpaka hapo,kabla ya tar 08 tayari mnaongoza 3 --- 0

  • @SelinaBokr
    @SelinaBokr 2 месяца назад +2

    Sio sanda nikitenge

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 2 месяца назад

    MAGOMA ANASEMA CLUB INAPATA SH 1,300

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 2 месяца назад

    WASHBIKI WANATANGAZA JEZI YA TIMU NYINGINE

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 2 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 2 месяца назад +1

    Tuache ushabiki kabisaa

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 месяца назад +1

    Yaan Yanga jamani nyie nyie nyie Pole yao wenye kuvaa sanda

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 2 месяца назад +2

    Duuh hizo jezi kwa kweli mwaka mmefeli kabisa ...kutoka moyoni hizo jezi hazina quality wala rangi sio nzuri kbsa

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 2 месяца назад

      Pole jombaa

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 месяца назад

      YAH HATA IWE BATIKI NI FAHARI YA MWAFRIKA NA NDIYO MAANA INASHONEWA MASHATI, TSHIRT AU JEZI KAMA HIVI KWA AJILI YA WATU WA JINSIA ZOTE LAKINI SANDA ZENU NI FAHARI YA MAITI NA ZINAVALIWA KABURINI!! SASA NYINYI MNAVAA SANDA HALAFU MNATEMBEA NAZO SASA TUWAITAJE?! 😂😂😂

    • @ABELISichalwe
      @ABELISichalwe 2 месяца назад

      MAREHEMU MAITI WANAOTEMBEA😂😂😂😂😂

  • @DaurdCharles
    @DaurdCharles 2 месяца назад +1

    Nyie mtakuwa wamwisho Kila mwaka make hamna akili yakupata Hera Kila mkiamka mnaiwaza Simba Bora mgezinduria hata makaburini make mnajichimbia mashimo wenyewe mnazindua jezi2 kelele kibao

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 2 месяца назад +1

    Sio sanda

  • @Joseph-57
    @Joseph-57 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂