YAH HATA IWE BATIKI NI FAHARI YA MWAFRIKA NA NDIYO MAANA INASHONEWA MASHATI, TSHIRT AU JEZI KAMA HIVI KWA AJILI YA WATU WA JINSIA ZOTE LAKINI SANDA ZENU NI FAHARI YA MAITI NA ZINAVALIWA KABURINI!! SASA NYINYI MNAVAA SANDA HALAFU MNATEMBEA NAZO SASA TUWAITAJE?! 😂😂😂
Nyie mtakuwa wamwisho Kila mwaka make hamna akili yakupata Hera Kila mkiamka mnaiwaza Simba Bora mgezinduria hata makaburini make mnajichimbia mashimo wenyewe mnazindua jezi2 kelele kibao
Mambo ni good sana kwa wananchi
Raha jmn jmn,Uzi km uzi❤
Me wakwanz nipen like zangu
Mnatangazia jezi yetu sandand
Nawakubali wanangu🎉🎉🎉🎉
Hizo jezi za yanga kama khanga ama shuka. Walla hazina sura. Jezi mzuri ni ya Simba.
No one can compete with sheria ngoi.
WANANGU MKO SAHIHI MAANA SIYO KWA HIZO JESY NI HATARIIIIIIIII....!
❤
Nikweli sio sanda
Kwakweli tunataka Jezi sio sanda😂😂😂😂😂😂😂
Vichaa wa soka.. hadi raha..
Yaani mpaka hapo,kabla ya tar 08 tayari mnaongoza 3 --- 0
Sio sanda nikitenge
MAGOMA ANASEMA CLUB INAPATA SH 1,300
WASHBIKI WANATANGAZA JEZI YA TIMU NYINGINE
🎉🎉🎉🎉
Tuache ushabiki kabisaa
Yaan Yanga jamani nyie nyie nyie Pole yao wenye kuvaa sanda
Duuh hizo jezi kwa kweli mwaka mmefeli kabisa ...kutoka moyoni hizo jezi hazina quality wala rangi sio nzuri kbsa
Pole jombaa
YAH HATA IWE BATIKI NI FAHARI YA MWAFRIKA NA NDIYO MAANA INASHONEWA MASHATI, TSHIRT AU JEZI KAMA HIVI KWA AJILI YA WATU WA JINSIA ZOTE LAKINI SANDA ZENU NI FAHARI YA MAITI NA ZINAVALIWA KABURINI!! SASA NYINYI MNAVAA SANDA HALAFU MNATEMBEA NAZO SASA TUWAITAJE?! 😂😂😂
MAREHEMU MAITI WANAOTEMBEA😂😂😂😂😂
Nyie mtakuwa wamwisho Kila mwaka make hamna akili yakupata Hera Kila mkiamka mnaiwaza Simba Bora mgezinduria hata makaburini make mnajichimbia mashimo wenyewe mnazindua jezi2 kelele kibao
Pole jombaa
Sio sanda
😂😂😂😂😂
Mambo vp??
Sanda zakwao.