GODY YANGA afichua walikoenda kuloga SIMBA/ AONESHA meseji za siri HUKU AMCHANA Ahmed Ally KISA DABI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 30

  • @JohnNjuyuwi-c2t
    @JohnNjuyuwi-c2t 3 часа назад +3

    Taarifa za ndani toka mkundu wa msimbazi wataingia uwanjani na nyaupaka mweusi yanga mjipange wako vizuri

  • @Stanslaus-ek6qg
    @Stanslaus-ek6qg 5 часов назад +2

    Nawewe acha Shobo yanga bingwa

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 3 часа назад

    Bro wapi maneno makolo

  • @ESTERMWAKAJUMBA-b6u
    @ESTERMWAKAJUMBA-b6u 2 часа назад

    Mzee said kapatia100%

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf Час назад

    Wewe ni mbaguzi kabisa baada ya ushindi utajibu hoja

  • @IdrisaKhasim
    @IdrisaKhasim 4 часа назад

    Mm mtazamaji tu,ila kazi iko

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 часа назад

    Mudathir ni mtu na nusu huwezi kumlinganisha Deborah fenandes hata kikosi cha taifa starz alikuwa mzima kikosi chote alikuwa na beki zote mbili na mudathir yahya

  • @MuhammedAbdallah-h2t
    @MuhammedAbdallah-h2t 2 часа назад

    Wewe Matako tu

  • @FatumaIbrahim-u5k
    @FatumaIbrahim-u5k 4 часа назад

    Mkaroge na nyie kwani uchawi umeisha.

  • @AbdallaAli-dn6xp
    @AbdallaAli-dn6xp 4 часа назад

    God yanga kesho yanga anafungwa kwa uwezo wa Allah

    • @ajiaally3269
      @ajiaally3269 2 часа назад +1

      Allah yupo msikitini

    • @minazsaid2470
      @minazsaid2470 2 часа назад

      Kwa nguvu ya Allah Simba anafungwa kesho tkjaliwa

  • @kassim-q1g
    @kassim-q1g 2 часа назад

    mchome 2

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 4 часа назад

    Yanga ndio warogaji wakubwa . Kwa hiyo wakaendelee Tu kuroga sisi mnyama hakuna noma.

    • @RahmaShona
      @RahmaShona 3 часа назад

      Nyie ndo wachawa watu wasimba

    • @ajiaally3269
      @ajiaally3269 2 часа назад

      Hawana faini ya caf kama ile ya south

    • @ErenestKawanga
      @ErenestKawanga 2 часа назад

      Wew umejuaje km na wew sio mrogajii

  • @IjaboyMrimbo
    @IjaboyMrimbo 7 часов назад

    Duuh huyujamaa anafanana na mchome kabisa

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 5 часов назад

    Muda wa mechi hizi zinaashiria nini ? Saa 11 jioni ...

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 3 часа назад

    Kalogen na nyie kwan uchaw cbado upo yan watu wa yanga bhana cjui mnakuaga na shida gan amkosag visababu nyie

    • @ajiaally3269
      @ajiaally3269 2 часа назад

      Hyo umetolewa mchezini watu washamaliza kila kitu

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 5 часов назад

    Huyu ni mchome mtupu

  • @ABDULKARLMMWANGELA
    @ABDULKARLMMWANGELA 5 часов назад

    Gody-Yanga wewe ni mtoto mdogo kwenye mpira na huna watu usiongopee wenzio na usijipe Aibu sawa!!

    • @ajiaally3269
      @ajiaally3269 2 часа назад

      Wew ndio mpumbavu mpira hauna udogo bali kuupenda na kuufuatilia .ww ni nani kwani yanga tokea wakutane na simba nani kafa zaidi

    • @ErenestKawanga
      @ErenestKawanga 2 часа назад

      Wew ni mkubwaa

    • @ShillahKenny
      @ShillahKenny 35 минут назад

      Ww mkubwa maana akili zako zko sawa comment z kipuuz z nn

  • @MathayoRajabu
    @MathayoRajabu 6 часов назад

    Acha shobo na Simba yetu

  • @leomwessa2156
    @leomwessa2156 26 минут назад

    Matako yako wewe