SIYO MCHEZO...!!! BILIONEA GINIMBI KUZIKWA NA GUNIA LA HELA KWENYE JUMBA LAKE HILI LA THAMANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 273

  • @danielicosmas137
    @danielicosmas137 3 года назад +17

    Anae mtegemea mungu like twenzetu

  • @gideonleonceelias5423
    @gideonleonceelias5423 3 года назад +63

    Hapa ndipo naona bora nife ni choka mbaya ila nife na Yesu, hapo tu, hapo tu, Yesu kwanza.

    • @sleymohamed3825
      @sleymohamed3825 3 года назад

      @Machage Machage 😀😀

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад +2

      Ndo shida ya ulokole unaona fedha dhambi wakati ata yesu alilipa kodi

    • @sharonchristian3711
      @sharonchristian3711 3 года назад

      @@onesmojustice2348 🤣🤣wanajkutaga wasafii na midhambi tele

    • @allpotentials8420
      @allpotentials8420 3 года назад +2

      @Machage Machage ndo apo sasa yesu mwenyewe hapendi wavivu,,,kama unakumbuka wale Wazee wa talanta.

    • @mwanashagladys4581
      @mwanashagladys4581 3 года назад +1

      Amen

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 3 года назад +1

    Pesa hizi hawawezi kufanya msada wote ju wanaogo watakufa lazima wazitumiye kimasheta ili Wakipe thamani chama chowo bila ivo watakufa, wote umoya Bada yaungine,ndio mana na wanafata masharti wamepewa na mwenz a kwote awo ni chama kimoja, ya rabbi tupe mwisho mwema, from🇧🇮

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 3 года назад +6

    mmh Subhanallah tumuachie Allah kweli pesa izikwe na mtu

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +3

    Quran 20. Jueni ya kwamba maisha ya dunia ni mchezo, na pumbao, na pambo, na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua ambayo huwafurahisha wakulima mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa mabua. Na akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu.

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад +13

    Kama nawew umemjua huyu jamaa alipokufakama mim nipe like

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 3 года назад +1

    Mungu atupe mwisho mwema maan pesa nikitu kizr pia kibaya sana.

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed3577 3 года назад +1

    Kuna watu wasojiweza mafukara mayatima wagonjwa hospital pesa wanazichezeya hivi subhanaallah

  • @frankmpoto5347
    @frankmpoto5347 3 года назад +2

    Yesu aliwauliza wanafunzi wake kuwa; EE MWANADAMU ITAKUFAIDIA NINI UKIUPATA ULIMWENGU HUU WOTE KISHA ROHO YAKO IKATUPWA JEHANAM?
    Maisha ya dunia hii si kitu hata ungekuwa tilionea halafu ukafa bila YESU; Hapo ujue moto wa jehanamu ya milele na milele unakusubiri, umaarufu wako wa duniani hautakusaidia kuikwepa ghadhabu na hasira ya Mungu; Kwakuwa ulijifurahisha katika dunia hii kwauovu sasa mshahara wako ni JEHANAM ya milele na kuliwa na funza huku ukilia kilio cha kusaga meno milele na milele;
    Wakati wakutubu kwa Yesu ni sasahiv unaposoma ujumbe huu;
    Kifo hakitoi taarifa wala hakichagui tajiri wala maskini;
    Je wewe ukifa sasa roho yako itakwenda kuishi wapi milele?

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 3 года назад

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @roseurio503
    @roseurio503 3 года назад +18

    Kufuru bora wanafamilia mngetumia Akili walau mkazipeleka kwa watoto yatima wazee wajane mngebarikiwa sana sana

    • @alexmihayo5723
      @alexmihayo5723 3 года назад +1

      ...Pesa za nguvu za giza haziana baraka ppt mama. Kumbuka Nuru na Giza havichangaman mama. He leave in ze power of darkness..( pipo saying)

    • @ameyashey3174
      @ameyashey3174 3 года назад +2

      Baba hazitaki hata kusikia hizo mali nyuma ya pamzia

    • @alexmihayo5723
      @alexmihayo5723 3 года назад

      @Machage Machage Tengua kaul yako haraka saana Puumbaav ww!! Uwe na adabu.

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 года назад +2

    Kila kitu kitaishia hapa duniani basi ni amali zake tu mungu atachukua sawa kubukeni dunia mapito 😢 mungu aiweke mahala pema peponi Amina.

  • @salmamgeta1599
    @salmamgeta1599 3 года назад +1

    Ndiyo mwisho Wa maisha yake umefika

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 3 года назад +2

    Mungu hapokei rushwa,hata ukizikwa na pesa utahukumiwa kulingana na matendo yako

  • @christopherchebii5973
    @christopherchebii5973 3 года назад

    Hello guys It is so sad to loose such a person being a son, a brother, a neighbour, a business partner, a boy friend to some lady or some ladies, a father to a son or a daughter, is very painful guys, but when I see Ginius in a Christian way, he made his choice. The bible tells us guys that we will always reap what we sow. Life is a choice guys, Ginimpi is gone, what do we learn from his life? what can one say, I want to be like him? Was he a kind person? But the main issue here guys is, after his death, can he possibly be in heaven or hell? Guys that is not ours to judge, but for us who are alive today, can we be ready ,? Coz any time you may leave this earth, when you go, where will you be? Very important for us today, no matter where you may be reading this post death can meet you there, surrender your life to Jesus Christ so that when your time come, you are ready to go home. Be blessed guys.

  • @fourteen_kiid
    @fourteen_kiid 3 года назад +16

    Asa nia yao nini kumzika na pesa nyingi hivyo, wakati kwa Mungu hakuna rushwa ni haki tu

    • @shamsahassan2586
      @shamsahassan2586 3 года назад +2

      Waambie wasoelewa kua zawadi kubwa yakwenda NATO ni amal take tu na c pesa

    • @niwemugenimediatrice5640
      @niwemugenimediatrice5640 3 года назад +1

      Haitawezekana !labda kupiga picha tu lakin atakuja kufufuliwa na kurudisha pesa kwenye mzunguka wake!

    • @allymacnair5189
      @allymacnair5189 3 года назад +1

      Lengo wapige maskin tu maan hataacha kuenda kulichimba kaburi

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 3 года назад +1

      Atazitumia huko anakokwenda ?

    • @fourteen_kiid
      @fourteen_kiid 3 года назад

      @@fatmaalnabhani3609 haiwezekani

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 3 года назад +2

    Hawa vijana wanajua mikataba wanayoingia na mwisho wao huwa wanajua itakavyokuwa 🚴

  • @kasarambajuma270
    @kasarambajuma270 3 года назад

    GINIMBI mungu akupumzishe Mahali panapostahili.

  • @exoduspaul3382
    @exoduspaul3382 3 года назад

    Mungu ni Mungu tu!

  • @cloudmlowe8140
    @cloudmlowe8140 3 года назад +1

    mungu awe pamoja naye

  • @jamilaingu7922
    @jamilaingu7922 3 года назад +1

    Nanitumiwe Mimi hapa nmjengee misikit atapata barakah milele ,

    • @mwawekomiuda5777
      @mwawekomiuda5777 3 года назад

      Usijidanganye ww dada uislam haukuja kuchezewa yaani mkiristo umjengee msikiti tena amekwishakufa kafiri . Usichekeshe umma

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 3 года назад +1

    Pale Yuko Sasa, Akapewa nafasi ya Kufufuka tena, Atakuja kama Amempokea Bwana Yesu, Pole Mwanadamu😭😭😭😭

  • @selemaninahimani820
    @selemaninahimani820 3 года назад +20

    Wamesahau kumzika na nyumba na magari yake yote 😂😂

  • @zulfaathumanmashanllahmaya6082
    @zulfaathumanmashanllahmaya6082 3 года назад

    Noma 🙆‍♀️

  • @maryamkhatau9445
    @maryamkhatau9445 3 года назад +1

    Bahati mbaya haziwe kumsaidia maana kwa Allah hakuna rushwa ulichokipanda ndo utakacho kivuna jamanini tukitahidi kufanya mema ili iwe hakiba siku pumzi zikirudi kwa mwanyewe Allah jamanini Dunia twapita tujiandae

  • @mcpambe8063
    @mcpambe8063 3 года назад

    Leta pia habari za Ginimbi na namna alivyoishi na wazazi wake!
    Very sad; bilionea aliyeshindwa kabisa kuchangia matibabu ya mama yake mzazi hadi mama alipoaga dunia.
    Inastaajabisha, maisha anayoishi baba mzazi wa bilionea Ginimbi, huwezi amini kama ndie baba mzazi wa mtu aliyekula bata wasiohesabika na malaya wa kutosha sana.
    Ayo leteni stories hizo pia, zinafikirisha sana na zina mafunzo makubwa sana!

  • @binsultan6981
    @binsultan6981 3 года назад +6

    Uyu ata wakimzika na fly over ya tazara na B.O.T
    Tayar Kw sasa ni chakula cha wadudu

  • @binlubawa8387
    @binlubawa8387 3 года назад +1

    Kuna watu hata rakaa 3 za mlo kwa siku zinatusumbua kwa kukosa pesa ya kununulia chakula ambacho ndio muhimu na lazima ili tuishi, wakati huohuo kuna watu wanazo nyingi na hawajui hata matumizi yake wanapanga kuzifukia kaburini daah! Mungu tustiri waja wako wallah.

  • @latipheralmasy1669
    @latipheralmasy1669 3 года назад

    Innalilah wainna ilah rajiun... uhimidie allah kwa kuweka usawa huu,

    • @radhiambwana8787
      @radhiambwana8787 3 года назад +1

      Nakwel usawa wamauti nihatar vinginevyo wangekufa masikini pekeao

    • @latipheralmasy1669
      @latipheralmasy1669 3 года назад

      @@gallantman604 nigee yako nikutafute

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад

    Stafirulllah hazisadikitu kufuru iyo aaalllah atupe mwisho mema uwislam nine ma aaalllah mdulilah

  • @ayoubgasper1077
    @ayoubgasper1077 3 года назад

    Marehem ameacha watoto wangapi

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 3 года назад

    Mmmh cjui akili yangu ya kimasikini najiuliza hizo pesa za kuzikwa nazo anaenda kununua nini huko na atamringishia Nani ikiwa duniani huku waitaji kibao c kumzidishia adhabu tu bora wangetoa sadaka kwa ajili yake Jamani
    Ila masikini ndo tunavyowazaga matajiri wanawaza kuchezea

  • @rayaalaisari4592
    @rayaalaisari4592 3 года назад +21

    Ndio tujuwe kama Mali si chochote hapa Duniani... Una kufa vyote vinabaki.

    • @erickjohansen3445
      @erickjohansen3445 3 года назад +1

      Vyote vinabaki ila unaowaacha dunian unawaachache. Tufanye kazi kwa bidii

    • @ramahamis5793
      @ramahamis5793 3 года назад +1

      KBS unaenda kama ulivyokuja duniani

    • @sharonchristian3711
      @sharonchristian3711 3 года назад

      Kwaiyo uctafte Mali kisa unkufa?

    • @allpotentials8420
      @allpotentials8420 3 года назад

      @@erickjohansen3445 kabisa ndugu watu wanapenda kuuabudu umaskini kwa kauli za kizembe fanya kazi utakufa utaacha watoto wako na mke.

    • @letisiamakonda3873
      @letisiamakonda3873 3 года назад

      Si chochote sawa lakini zipitie kwako

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 года назад +1

    Zimbabwe kumbe kuna wafrica matajir sikuwa najua 😳ila ya dunia tu haya kuna Sahaba mmoja alieishi miaka mingi kuliko wote alipoulizwa na alisema ameona kama Katoka mlango alipotoke na kupitia mwengine jee sisi viungo vinatusuta huyu jaaa mdogo sana ila ndio hivyo tena

  • @hamisimtemi3803
    @hamisimtemi3803 3 года назад

    wao wamzike nazo tu watazifukua hzo ni mali za serikali

  • @selemanisalimu7398
    @selemanisalimu7398 3 года назад

    Aisee kama mungu akitaka

  • @getrudandabita1651
    @getrudandabita1651 3 года назад

    Watu wanaoenda peponi,huwa wanambwembwe,,, Mungu anawashangaa tu,wakose kuomba toba,yani duniani watu tunahangaika,mno

  • @mariamukajiru2302
    @mariamukajiru2302 3 года назад

    Hata akizikwa na hela viboko vipo pale pale sana sana atawaongezea hasira na kuadhibiwa na mkia wa taa

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 3 года назад

    Binadamu walio wengi masikini wanaamini kufa masiki tiketi ya kwenda mbinguni, wakati matajiri wanaamini kufa masikini ni uvivu na chukizo kwa Mungu. Mungu anapenda watu wote tuwe matajiri ndo maana ametuasa tutawale rasili Mali zote na utajiri wote wa dunia!

    • @bibianayona4348
      @bibianayona4348 3 года назад +1

      On Point I dont Want To die Poor M Milionea..

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 3 года назад +1

      @@bibianayona4348 Ahsante sana, tafta Mali Mwana wa Mungu utimize agizo la bwana.Nunua kitabu kinaitwa " The secret of psalms" yaani siri ya zaburi by Godfrey Selig upate fomula za kimungu utawale Mali!

    • @bibianayona4348
      @bibianayona4348 3 года назад +1

      Shukran

  • @tatubeatus7557
    @tatubeatus7557 3 года назад

    Wsb

  • @nasrafita6909
    @nasrafita6909 3 года назад

    Dah ukishangaa ya Mussa utayaona ya filaun wakati wewe unalala na njaa wengine wanafanya pesa kuwa matangiko ya kabulini je? hizo pesa wangewapatia masikini ama kumtolea sadaka kwa mayatima au sadaka tulujalia ingeweza hata kumfaa maiti huyo huko aendako na kesho kiama Ee Mungu wetu tujalie liski za halali na mwisho mwema

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 3 года назад +1

    Life is not fear at all watu tunatafuta pesa wengine wanazikwa nazo

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 года назад

    Kamzikeni bwana na hilo zigo lake za pesa ata pigwa na hill zigo kwanza marafiki zake wanamsubiri huko mukari wa nakiri haita mfaa kitu maliyake hiyo

  • @CAPTAIN_GALAXY13
    @CAPTAIN_GALAXY13 3 года назад +12

    ᴴᴵᵛᴵ ᴴᴵᶻᴵ ᴴᴱᴸᴬ ᵀᵁᴷᴵᴷᴬᴬ ᵀᵁᴶᴬᴰᴵᴸᴵᴬᴺᴱ ᵀᵁᴷᴬᶻᴵᶠᵁᴷᵁᴱ ᴶᴱ

    • @hasinarashid2768
      @hasinarashid2768 3 года назад +1

      Twende tukafanye mpango

    • @najmaulaya8819
      @najmaulaya8819 3 года назад

      😁😁😁😁😁😁😁

    • @CAPTAIN_GALAXY13
      @CAPTAIN_GALAXY13 3 года назад +1

      @@najmaulaya8819 tupange deal sasa 😂😂

    • @jamilaingu7922
      @jamilaingu7922 3 года назад

      Jaman !!🤭 😁wawaza ivyoo karbu waeza faulu

    • @CAPTAIN_GALAXY13
      @CAPTAIN_GALAXY13 3 года назад +1

      @@hasinarashid2768 ᴹᴵ ᴺᴬ ᴵᴹᴬᴺᴵ ᵀᵁᵀᴬᶠᴬᴺᴵᴷᴵᵂᴬ 😂😂😂

  • @ashasalim2826
    @ashasalim2826 3 года назад

    Mailuminati mjifunzie hapa muombe msamaha kwa Mola

  • @MukulasiKapela
    @MukulasiKapela 2 месяца назад

    Huyo lazima aende motoni ukisoma vitabu utaelewa

  • @blackman7532
    @blackman7532 3 года назад

    Ndio ujue waafrca bado tunashida vichwani mbona wanafariki mamilionier wadunia wanazika bila chochote hiyo pesa wage pewa watoto yatima. Hivi Dunia ikisikia hayo itashangaa watu weusi.

  • @nonniedejosef8083
    @nonniedejosef8083 3 года назад

    Hakuna wageni hutebea kwa Hawa watu fikila zao hewa tu. Maono hewa wanaoishi kusubiri wageni, Familia nyumba zipo pesa zipo basi upweke kwao

  • @happymacha9053
    @happymacha9053 3 года назад

    Dah zimbabwe kunawatu wangapi wenye uhitaji maalumu??afadhari hizo hela zitolewe kwa watu hao kama sadaka kuliko kufukiwa chini jamaniii..

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 года назад

    Alikuwa na kazi gani

  • @nestorykaloto5055
    @nestorykaloto5055 3 года назад

    Nihatar bola kidogo cha bila taabu

  • @winfredykabonge1366
    @winfredykabonge1366 3 года назад

    Kabonge mwenzangu kaniangusha

  • @ghanimaali4507
    @ghanimaali4507 3 года назад

    kama alivyo kuja ndio alivyorudi hata kazikwa na nn ni yy na amali zake tu

  • @G.S985
    @G.S985 3 года назад

    Ukweli ni kwamba bora kua na Yesu maishani,jamani pesa kama izi hazina maana yoyote ile,kufa kifo cha moto,sasa uu utajiri umemsaidia nini?apo simuoni alikua anaishi na familia!

    • @thesonofficial1897
      @thesonofficial1897 3 года назад

      Alokuambia kufa maskini ndo kupona dhambi Nani unaweza kuwa masikini ukachomwa mwisho wa siku Kuna dhambi nyingi ukiachana na yakutafuta pesa ya mashetani.

  • @mukaipeter2186
    @mukaipeter2186 3 года назад

    Uuuuiiii nileteni izo hela jamani

  • @fatommmaff705
    @fatommmaff705 3 года назад

    Kaburi lake litafunika kwa gundi kuanzia chini au nivipi mana waja awawezi kuvumilia njaa pesa zikakae namarehem atafukuliwa nawajuba

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 года назад

    😁😁 hawa kili wambiye wanipye mimi hizo hela.maana hazina faida kaburini sawa plz nilteee mm hizo😊

  • @issakamangila9113
    @issakamangila9113 3 года назад

    Onyo watu wasijifanye kimbelembele kufukua kaburi lake kisa izo minoti atakazo zikwa nazo maana iyo nyumba nina mashaka isije kuwa magic house 🏠

  • @RAUNATION
    @RAUNATION 3 года назад +2

    mbona live wakati huyu ni marehemu 😂😂😂😂😂

  • @oimermollelzephania139
    @oimermollelzephania139 3 года назад

    Haitachukua muda wagumu watazifukua au kufukua hata kama italidwa kwa masaa 24 kila leo

  • @jameszephaniajames7299
    @jameszephaniajames7299 3 года назад

    Kwa sheria ipi ya kumzika na PESA? Mbona mganda alizikwa na pesa ila wakazifukua ije iwe yeye

  • @hongeramfugale3239
    @hongeramfugale3239 3 года назад

    Wamesshau kuzika na nyumba na clabu yake

  • @mosesmoses1429
    @mosesmoses1429 3 года назад

    Hahahaha kweri Bora kifa masikini kuliko kufa tajiri

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 3 года назад +1

    hao ndugu zake ni wapumbavu

  • @juliacheptum1863
    @juliacheptum1863 3 года назад

    Maajabu...all is vanity...

    • @iyangasungwa2627
      @iyangasungwa2627 3 года назад

      Mwezi huu tutakoma kila ukifungua mitandao no be ginimbi kafa zari kaja Tz ni mtihani

  • @pamelauwera3830
    @pamelauwera3830 3 года назад +2

    Ingekuwa bongo wajumbe tungezifukuwa

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 3 года назад

    Mpunguze pupa

  • @fatumajaha7538
    @fatumajaha7538 3 года назад

    Huko Hawkins masikini Kuwapa pesa hizo?mbona kufuru mwekeneni kwenye sukari ya gari ende nayo basi.

  • @joeweke2827
    @joeweke2827 3 года назад +1

    RIP Ginimbi

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 3 года назад

    Ninge kua karibu ninge zifukua lakini shida niilo joka kumbwa utaweza fatwa usiku

  • @nonniedejosef8083
    @nonniedejosef8083 3 года назад +6

    36yrs only, nothing in the house,,, wasted energy

  • @hasinarashid2768
    @hasinarashid2768 3 года назад +6

    Hiv mtu unaanzaje kuzikwaa na hela?na uchumi wa duniaa ulivyoyumba??wangap tunashidaa hapa dunian?leo zikaozee chin mhhh

    • @ivaniavianarodrigo7201
      @ivaniavianarodrigo7201 3 года назад +1

      hasa hiyo nchi ya zimbabwe, ni hatari sana, ila ni pesa kishetani usishangae.

    • @hamisikitwana7957
      @hamisikitwana7957 3 года назад

      Tens Nchi yenyewe ni Zimbabwe ambayobuchumibwao ni mgumu sana hizo Dora serikali inazitafuta kwa udu na uvumba

  • @nabillalli1661
    @nabillalli1661 3 года назад

    Kama ulikuwa hujui hili ndio jumba diamond aloshutia utanipendaga....na ndinga zote zile

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma7831 3 года назад +7

    bora azikwe nazo man hazin Saman yyte man so za halali huo ni moto 2

    • @vincentmokenye4465
      @vincentmokenye4465 3 года назад

      Umeona

    • @zaitunijuma7831
      @zaitunijuma7831 3 года назад

      kabisa yn

    • @natureworld295
      @natureworld295 3 года назад

      This guy was running a whole petroleum company like total , shell , kenol . how comes you expected him to still remain poor

  • @henryemanuel7072
    @henryemanuel7072 3 года назад +1

    Serikali haiwez ruhusu huo upuuzi

    • @filberthabashi3366
      @filberthabashi3366 3 года назад

      Shida ni kwamba, wamiliki wa madola na viongozi wa iyo serikali wamo humo humo kwenye maisha ya ginimbi, wachache wataelewa

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +2

    Waje wamzike apo kinondoni na madola yake , ujinga tu sasa anazikwa na pesa ili iweje? Isaidie nini? Uko ni pepo au ni moto pesa zifanyeje? Wapumbavu wakubwa

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 3 года назад

    Huko sheria haipo?fedha ni nyaraka ya serikali,tujifunze kit u,duniani tunapita,na haya yote ni kujichosha,na kujilisha upepo,tuweke hazina. mbinguni,huko hakuna kuliwa nondo na kutu

  • @munabweniz4084
    @munabweniz4084 3 года назад +1

    Kufuru hio mtu atazikwaje na pesa wakati mayatima wamejazana na maskini tele? Hio pesa wangepelekea maskini ili ajipunguzie mzigo uko anakoenda

    • @carenalphonce5013
      @carenalphonce5013 3 года назад +1

      Ni kwel muna yaani awawezi kuona ata masikin wanavolia

    • @munabweniz4084
      @munabweniz4084 3 года назад

      @@carenalphonce5013 kuna watu wanamkosea mungu wallah 😭😭sasa hio pesa akizikwa nayo atakwenda nunua nini huko kaburini

    • @carenalphonce5013
      @carenalphonce5013 3 года назад

      @@munabweniz4084 yaani ni dhambi sanaaa

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 3 года назад +7

    Illuminati members huwa siku zote hawanaga mwisho mzuri. Haya vijana kazi kwenu.

    • @chrispinboniface3329
      @chrispinboniface3329 3 года назад +3

      Acha wafe tu mim nitakula mihogo yangu nilale hayo mengine Mungu kama hajaruhusu Kuwa na hela bas afadhari uridhike na ulicho nacho

    • @robertjunior9916
      @robertjunior9916 3 года назад

      How can join illuminati 🚴🤦

    • @ThomasEmmanuel-lm3uh
      @ThomasEmmanuel-lm3uh Год назад

      Dah ety kaz kwetu hahhaha

  • @iliasaliogopen6505
    @iliasaliogopen6505 3 года назад

    Tuache ujahilia huko hakuna maisha yadunia

  • @dorisnyamwihura4685
    @dorisnyamwihura4685 3 года назад

    Yaani kwanza kabisa mnazikaje mtu na pesa wakati zinatafutwa acheni kufuru nyie,and then mmesahau mgemzika na majumba,magari na vingine vyake vyote.He z dead z gone already ni mavumbini tuu ata uwe tajiri kiaje sote ni kwenye udongo tuu.

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 года назад

    Milard ayo hauna habari siku hizi wasafi watakupoteza kwenye Ramani

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 3 года назад

    Mali na vyote ni vya mungu

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 года назад

    Huu utajiri unawalakini Sio bure kwani nchini kwao hakuna masikini hadi ufukie pesa chini

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 3 года назад

    Sio eshima bali zile pesa ninyoka litakuwa lina mla mpaka pale atakapo itwa namungu rasmi

  • @leonardmtutuma1738
    @leonardmtutuma1738 3 года назад

    Ningekuwa karibu ningeenda kuzifukua

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 3 года назад +5

    Wajomba tujipange tukazifukue Wala hatutakuwa wezi twendeni tukaulithi utajiri huo wanafamilia jawautaki

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 года назад

    Subhanalah jmn achen kufuru bora mzpeleke izo ela kwa watoto yatima ili apate kusamehewa madhambi huko alko mwenzenu jmn muogopen mungu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 3 года назад

    sasa kama alitumia ktk kher zitamsaidia huko anaponda lkn kama kınyume chake itakuwa shda .....

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 года назад +6

    Mtangazaji unaongea kwa uchungu.

  • @vicentgidion7968
    @vicentgidion7968 3 года назад

    Maisha sili kubwa

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 3 года назад

    Kwa hiyo akizikwa na fedha zake imsaidie nini ,Mungu atuhurumie tu

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 года назад

    Fedha c Mali yake ni ya serikali wanaruhusuje kufukia ardhini? Ponda Mali kufa kwaja

    • @thesonofficial1897
      @thesonofficial1897 3 года назад

      Kama ipo we ponda tu Kama hauna hauna Ata usipoponda kifo akiepukiki

  • @ramadhanseif4564
    @ramadhanseif4564 3 года назад

    Naenda kufukua kaburi lae

  • @Kingswed-x6t
    @Kingswed-x6t 3 года назад +1

    Freemason ndio kitu pekee

  • @mwajumamissanga2616
    @mwajumamissanga2616 3 года назад

    Kaburi litachimbuliwa hilo😁

  • @johntarmo5394
    @johntarmo5394 3 года назад

    Mmmh! watu hawanaga akili kabisa wala Hawamjuwi mungu tangu lini mtu akazikwa na pesa

    • @iyangasungwa2627
      @iyangasungwa2627 3 года назад

      Hizo pesa atazitumia kwa matumizi gani huko kaburini

  • @rukiakipande186
    @rukiakipande186 3 года назад

    Wapo watu wanakufa njaaa mnamzka mtu napesa hayeeni

  • @الرعدالصغير-ت1ش
    @الرعدالصغير-ت1ش 3 года назад

    Duuh

  • @johnmike2678
    @johnmike2678 3 года назад +3

    Pesa una imiliki tu ila sio yako pesa ni ya serikali uwez izika chini labda rais wa nchi iyo awe bogas chiz asiejielewa

    • @rashidhamis6779
      @rashidhamis6779 3 года назад

      Freemason ndo zao kuzikana na madola wala serikali haina tatzo nahs watakuwa wanajua hlo manake huyu jamaa ni Mason wala hakuna mjadala pesa ya halali huwez iharibu hv maisha ya anasa sana unaambiwa kila ck anaenda club na ananunua. Mapombe makal ya garama