Pesa hizi hawawezi kufanya msada wote ju wanaogo watakufa lazima wazitumiye kimasheta ili Wakipe thamani chama chowo bila ivo watakufa, wote umoya Bada yaungine,ndio mana na wanafata masharti wamepewa na mwenz a kwote awo ni chama kimoja, ya rabbi tupe mwisho mwema, from🇧🇮
Quran 20. Jueni ya kwamba maisha ya dunia ni mchezo, na pumbao, na pambo, na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua ambayo huwafurahisha wakulima mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa mabua. Na akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu.
Yesu aliwauliza wanafunzi wake kuwa; EE MWANADAMU ITAKUFAIDIA NINI UKIUPATA ULIMWENGU HUU WOTE KISHA ROHO YAKO IKATUPWA JEHANAM? Maisha ya dunia hii si kitu hata ungekuwa tilionea halafu ukafa bila YESU; Hapo ujue moto wa jehanamu ya milele na milele unakusubiri, umaarufu wako wa duniani hautakusaidia kuikwepa ghadhabu na hasira ya Mungu; Kwakuwa ulijifurahisha katika dunia hii kwauovu sasa mshahara wako ni JEHANAM ya milele na kuliwa na funza huku ukilia kilio cha kusaga meno milele na milele; Wakati wakutubu kwa Yesu ni sasahiv unaposoma ujumbe huu; Kifo hakitoi taarifa wala hakichagui tajiri wala maskini; Je wewe ukifa sasa roho yako itakwenda kuishi wapi milele?
Hello guys It is so sad to loose such a person being a son, a brother, a neighbour, a business partner, a boy friend to some lady or some ladies, a father to a son or a daughter, is very painful guys, but when I see Ginius in a Christian way, he made his choice. The bible tells us guys that we will always reap what we sow. Life is a choice guys, Ginimpi is gone, what do we learn from his life? what can one say, I want to be like him? Was he a kind person? But the main issue here guys is, after his death, can he possibly be in heaven or hell? Guys that is not ours to judge, but for us who are alive today, can we be ready ,? Coz any time you may leave this earth, when you go, where will you be? Very important for us today, no matter where you may be reading this post death can meet you there, surrender your life to Jesus Christ so that when your time come, you are ready to go home. Be blessed guys.
Bahati mbaya haziwe kumsaidia maana kwa Allah hakuna rushwa ulichokipanda ndo utakacho kivuna jamanini tukitahidi kufanya mema ili iwe hakiba siku pumzi zikirudi kwa mwanyewe Allah jamanini Dunia twapita tujiandae
Leta pia habari za Ginimbi na namna alivyoishi na wazazi wake! Very sad; bilionea aliyeshindwa kabisa kuchangia matibabu ya mama yake mzazi hadi mama alipoaga dunia. Inastaajabisha, maisha anayoishi baba mzazi wa bilionea Ginimbi, huwezi amini kama ndie baba mzazi wa mtu aliyekula bata wasiohesabika na malaya wa kutosha sana. Ayo leteni stories hizo pia, zinafikirisha sana na zina mafunzo makubwa sana!
Kuna watu hata rakaa 3 za mlo kwa siku zinatusumbua kwa kukosa pesa ya kununulia chakula ambacho ndio muhimu na lazima ili tuishi, wakati huohuo kuna watu wanazo nyingi na hawajui hata matumizi yake wanapanga kuzifukia kaburini daah! Mungu tustiri waja wako wallah.
Mmmh cjui akili yangu ya kimasikini najiuliza hizo pesa za kuzikwa nazo anaenda kununua nini huko na atamringishia Nani ikiwa duniani huku waitaji kibao c kumzidishia adhabu tu bora wangetoa sadaka kwa ajili yake Jamani Ila masikini ndo tunavyowazaga matajiri wanawaza kuchezea
Zimbabwe kumbe kuna wafrica matajir sikuwa najua 😳ila ya dunia tu haya kuna Sahaba mmoja alieishi miaka mingi kuliko wote alipoulizwa na alisema ameona kama Katoka mlango alipotoke na kupitia mwengine jee sisi viungo vinatusuta huyu jaaa mdogo sana ila ndio hivyo tena
Binadamu walio wengi masikini wanaamini kufa masiki tiketi ya kwenda mbinguni, wakati matajiri wanaamini kufa masikini ni uvivu na chukizo kwa Mungu. Mungu anapenda watu wote tuwe matajiri ndo maana ametuasa tutawale rasili Mali zote na utajiri wote wa dunia!
@@bibianayona4348 Ahsante sana, tafta Mali Mwana wa Mungu utimize agizo la bwana.Nunua kitabu kinaitwa " The secret of psalms" yaani siri ya zaburi by Godfrey Selig upate fomula za kimungu utawale Mali!
Dah ukishangaa ya Mussa utayaona ya filaun wakati wewe unalala na njaa wengine wanafanya pesa kuwa matangiko ya kabulini je? hizo pesa wangewapatia masikini ama kumtolea sadaka kwa mayatima au sadaka tulujalia ingeweza hata kumfaa maiti huyo huko aendako na kesho kiama Ee Mungu wetu tujalie liski za halali na mwisho mwema
Ndio ujue waafrca bado tunashida vichwani mbona wanafariki mamilionier wadunia wanazika bila chochote hiyo pesa wage pewa watoto yatima. Hivi Dunia ikisikia hayo itashangaa watu weusi.
Ukweli ni kwamba bora kua na Yesu maishani,jamani pesa kama izi hazina maana yoyote ile,kufa kifo cha moto,sasa uu utajiri umemsaidia nini?apo simuoni alikua anaishi na familia!
Alokuambia kufa maskini ndo kupona dhambi Nani unaweza kuwa masikini ukachomwa mwisho wa siku Kuna dhambi nyingi ukiachana na yakutafuta pesa ya mashetani.
Waje wamzike apo kinondoni na madola yake , ujinga tu sasa anazikwa na pesa ili iweje? Isaidie nini? Uko ni pepo au ni moto pesa zifanyeje? Wapumbavu wakubwa
Huko sheria haipo?fedha ni nyaraka ya serikali,tujifunze kit u,duniani tunapita,na haya yote ni kujichosha,na kujilisha upepo,tuweke hazina. mbinguni,huko hakuna kuliwa nondo na kutu
Yaani kwanza kabisa mnazikaje mtu na pesa wakati zinatafutwa acheni kufuru nyie,and then mmesahau mgemzika na majumba,magari na vingine vyake vyote.He z dead z gone already ni mavumbini tuu ata uwe tajiri kiaje sote ni kwenye udongo tuu.
Freemason ndo zao kuzikana na madola wala serikali haina tatzo nahs watakuwa wanajua hlo manake huyu jamaa ni Mason wala hakuna mjadala pesa ya halali huwez iharibu hv maisha ya anasa sana unaambiwa kila ck anaenda club na ananunua. Mapombe makal ya garama
Anae mtegemea mungu like twenzetu
Hapa ndipo naona bora nife ni choka mbaya ila nife na Yesu, hapo tu, hapo tu, Yesu kwanza.
@Machage Machage 😀😀
Ndo shida ya ulokole unaona fedha dhambi wakati ata yesu alilipa kodi
@@onesmojustice2348 🤣🤣wanajkutaga wasafii na midhambi tele
@Machage Machage ndo apo sasa yesu mwenyewe hapendi wavivu,,,kama unakumbuka wale Wazee wa talanta.
Amen
Pesa hizi hawawezi kufanya msada wote ju wanaogo watakufa lazima wazitumiye kimasheta ili Wakipe thamani chama chowo bila ivo watakufa, wote umoya Bada yaungine,ndio mana na wanafata masharti wamepewa na mwenz a kwote awo ni chama kimoja, ya rabbi tupe mwisho mwema, from🇧🇮
mmh Subhanallah tumuachie Allah kweli pesa izikwe na mtu
Quran 20. Jueni ya kwamba maisha ya dunia ni mchezo, na pumbao, na pambo, na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua ambayo huwafurahisha wakulima mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa mabua. Na akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu.
Kama nawew umemjua huyu jamaa alipokufakama mim nipe like
Mungu atupe mwisho mwema maan pesa nikitu kizr pia kibaya sana.
Kuna watu wasojiweza mafukara mayatima wagonjwa hospital pesa wanazichezeya hivi subhanaallah
Yesu aliwauliza wanafunzi wake kuwa; EE MWANADAMU ITAKUFAIDIA NINI UKIUPATA ULIMWENGU HUU WOTE KISHA ROHO YAKO IKATUPWA JEHANAM?
Maisha ya dunia hii si kitu hata ungekuwa tilionea halafu ukafa bila YESU; Hapo ujue moto wa jehanamu ya milele na milele unakusubiri, umaarufu wako wa duniani hautakusaidia kuikwepa ghadhabu na hasira ya Mungu; Kwakuwa ulijifurahisha katika dunia hii kwauovu sasa mshahara wako ni JEHANAM ya milele na kuliwa na funza huku ukilia kilio cha kusaga meno milele na milele;
Wakati wakutubu kwa Yesu ni sasahiv unaposoma ujumbe huu;
Kifo hakitoi taarifa wala hakichagui tajiri wala maskini;
Je wewe ukifa sasa roho yako itakwenda kuishi wapi milele?
THE BIGGEST BOSS NASRI
Kufuru bora wanafamilia mngetumia Akili walau mkazipeleka kwa watoto yatima wazee wajane mngebarikiwa sana sana
...Pesa za nguvu za giza haziana baraka ppt mama. Kumbuka Nuru na Giza havichangaman mama. He leave in ze power of darkness..( pipo saying)
Baba hazitaki hata kusikia hizo mali nyuma ya pamzia
@Machage Machage Tengua kaul yako haraka saana Puumbaav ww!! Uwe na adabu.
Kila kitu kitaishia hapa duniani basi ni amali zake tu mungu atachukua sawa kubukeni dunia mapito 😢 mungu aiweke mahala pema peponi Amina.
Ndiyo mwisho Wa maisha yake umefika
Mungu hapokei rushwa,hata ukizikwa na pesa utahukumiwa kulingana na matendo yako
Hello guys It is so sad to loose such a person being a son, a brother, a neighbour, a business partner, a boy friend to some lady or some ladies, a father to a son or a daughter, is very painful guys, but when I see Ginius in a Christian way, he made his choice. The bible tells us guys that we will always reap what we sow. Life is a choice guys, Ginimpi is gone, what do we learn from his life? what can one say, I want to be like him? Was he a kind person? But the main issue here guys is, after his death, can he possibly be in heaven or hell? Guys that is not ours to judge, but for us who are alive today, can we be ready ,? Coz any time you may leave this earth, when you go, where will you be? Very important for us today, no matter where you may be reading this post death can meet you there, surrender your life to Jesus Christ so that when your time come, you are ready to go home. Be blessed guys.
Asa nia yao nini kumzika na pesa nyingi hivyo, wakati kwa Mungu hakuna rushwa ni haki tu
Waambie wasoelewa kua zawadi kubwa yakwenda NATO ni amal take tu na c pesa
Haitawezekana !labda kupiga picha tu lakin atakuja kufufuliwa na kurudisha pesa kwenye mzunguka wake!
Lengo wapige maskin tu maan hataacha kuenda kulichimba kaburi
Atazitumia huko anakokwenda ?
@@fatmaalnabhani3609 haiwezekani
Hawa vijana wanajua mikataba wanayoingia na mwisho wao huwa wanajua itakavyokuwa 🚴
Nalo ni neno
GINIMBI mungu akupumzishe Mahali panapostahili.
Mungu ni Mungu tu!
mungu awe pamoja naye
Nanitumiwe Mimi hapa nmjengee misikit atapata barakah milele ,
Usijidanganye ww dada uislam haukuja kuchezewa yaani mkiristo umjengee msikiti tena amekwishakufa kafiri . Usichekeshe umma
Pale Yuko Sasa, Akapewa nafasi ya Kufufuka tena, Atakuja kama Amempokea Bwana Yesu, Pole Mwanadamu😭😭😭😭
Hivi nyie kila kitu Yesu, kwani Yesu ni nani?
Wamesahau kumzika na nyumba na magari yake yote 😂😂
😂😂😂 wamesahau na clabu yake
Umeona eeeeh
Noma 🙆♀️
Bahati mbaya haziwe kumsaidia maana kwa Allah hakuna rushwa ulichokipanda ndo utakacho kivuna jamanini tukitahidi kufanya mema ili iwe hakiba siku pumzi zikirudi kwa mwanyewe Allah jamanini Dunia twapita tujiandae
Leta pia habari za Ginimbi na namna alivyoishi na wazazi wake!
Very sad; bilionea aliyeshindwa kabisa kuchangia matibabu ya mama yake mzazi hadi mama alipoaga dunia.
Inastaajabisha, maisha anayoishi baba mzazi wa bilionea Ginimbi, huwezi amini kama ndie baba mzazi wa mtu aliyekula bata wasiohesabika na malaya wa kutosha sana.
Ayo leteni stories hizo pia, zinafikirisha sana na zina mafunzo makubwa sana!
Uyu ata wakimzika na fly over ya tazara na B.O.T
Tayar Kw sasa ni chakula cha wadudu
Kuna watu hata rakaa 3 za mlo kwa siku zinatusumbua kwa kukosa pesa ya kununulia chakula ambacho ndio muhimu na lazima ili tuishi, wakati huohuo kuna watu wanazo nyingi na hawajui hata matumizi yake wanapanga kuzifukia kaburini daah! Mungu tustiri waja wako wallah.
Kweli
Innalilah wainna ilah rajiun... uhimidie allah kwa kuweka usawa huu,
Nakwel usawa wamauti nihatar vinginevyo wangekufa masikini pekeao
@@gallantman604 nigee yako nikutafute
Stafirulllah hazisadikitu kufuru iyo aaalllah atupe mwisho mema uwislam nine ma aaalllah mdulilah
Marehem ameacha watoto wangapi
Mmmh cjui akili yangu ya kimasikini najiuliza hizo pesa za kuzikwa nazo anaenda kununua nini huko na atamringishia Nani ikiwa duniani huku waitaji kibao c kumzidishia adhabu tu bora wangetoa sadaka kwa ajili yake Jamani
Ila masikini ndo tunavyowazaga matajiri wanawaza kuchezea
Ndio tujuwe kama Mali si chochote hapa Duniani... Una kufa vyote vinabaki.
Vyote vinabaki ila unaowaacha dunian unawaachache. Tufanye kazi kwa bidii
KBS unaenda kama ulivyokuja duniani
Kwaiyo uctafte Mali kisa unkufa?
@@erickjohansen3445 kabisa ndugu watu wanapenda kuuabudu umaskini kwa kauli za kizembe fanya kazi utakufa utaacha watoto wako na mke.
Si chochote sawa lakini zipitie kwako
Zimbabwe kumbe kuna wafrica matajir sikuwa najua 😳ila ya dunia tu haya kuna Sahaba mmoja alieishi miaka mingi kuliko wote alipoulizwa na alisema ameona kama Katoka mlango alipotoke na kupitia mwengine jee sisi viungo vinatusuta huyu jaaa mdogo sana ila ndio hivyo tena
wao wamzike nazo tu watazifukua hzo ni mali za serikali
Aisee kama mungu akitaka
Watu wanaoenda peponi,huwa wanambwembwe,,, Mungu anawashangaa tu,wakose kuomba toba,yani duniani watu tunahangaika,mno
Hata akizikwa na hela viboko vipo pale pale sana sana atawaongezea hasira na kuadhibiwa na mkia wa taa
Binadamu walio wengi masikini wanaamini kufa masiki tiketi ya kwenda mbinguni, wakati matajiri wanaamini kufa masikini ni uvivu na chukizo kwa Mungu. Mungu anapenda watu wote tuwe matajiri ndo maana ametuasa tutawale rasili Mali zote na utajiri wote wa dunia!
On Point I dont Want To die Poor M Milionea..
@@bibianayona4348 Ahsante sana, tafta Mali Mwana wa Mungu utimize agizo la bwana.Nunua kitabu kinaitwa " The secret of psalms" yaani siri ya zaburi by Godfrey Selig upate fomula za kimungu utawale Mali!
Shukran
Wsb
Dah ukishangaa ya Mussa utayaona ya filaun wakati wewe unalala na njaa wengine wanafanya pesa kuwa matangiko ya kabulini je? hizo pesa wangewapatia masikini ama kumtolea sadaka kwa mayatima au sadaka tulujalia ingeweza hata kumfaa maiti huyo huko aendako na kesho kiama Ee Mungu wetu tujalie liski za halali na mwisho mwema
Life is not fear at all watu tunatafuta pesa wengine wanazikwa nazo
Kamzikeni bwana na hilo zigo lake za pesa ata pigwa na hill zigo kwanza marafiki zake wanamsubiri huko mukari wa nakiri haita mfaa kitu maliyake hiyo
ᴴᴵᵛᴵ ᴴᴵᶻᴵ ᴴᴱᴸᴬ ᵀᵁᴷᴵᴷᴬᴬ ᵀᵁᴶᴬᴰᴵᴸᴵᴬᴺᴱ ᵀᵁᴷᴬᶻᴵᶠᵁᴷᵁᴱ ᴶᴱ
Twende tukafanye mpango
😁😁😁😁😁😁😁
@@najmaulaya8819 tupange deal sasa 😂😂
Jaman !!🤭 😁wawaza ivyoo karbu waeza faulu
@@hasinarashid2768 ᴹᴵ ᴺᴬ ᴵᴹᴬᴺᴵ ᵀᵁᵀᴬᶠᴬᴺᴵᴷᴵᵂᴬ 😂😂😂
Mailuminati mjifunzie hapa muombe msamaha kwa Mola
Huyo lazima aende motoni ukisoma vitabu utaelewa
Ndio ujue waafrca bado tunashida vichwani mbona wanafariki mamilionier wadunia wanazika bila chochote hiyo pesa wage pewa watoto yatima. Hivi Dunia ikisikia hayo itashangaa watu weusi.
Hakuna wageni hutebea kwa Hawa watu fikila zao hewa tu. Maono hewa wanaoishi kusubiri wageni, Familia nyumba zipo pesa zipo basi upweke kwao
Dah zimbabwe kunawatu wangapi wenye uhitaji maalumu??afadhari hizo hela zitolewe kwa watu hao kama sadaka kuliko kufukiwa chini jamaniii..
Alikuwa na kazi gani
Kaz yake ni billionaire.
Nihatar bola kidogo cha bila taabu
Kabonge mwenzangu kaniangusha
kama alivyo kuja ndio alivyorudi hata kazikwa na nn ni yy na amali zake tu
Ukweli ni kwamba bora kua na Yesu maishani,jamani pesa kama izi hazina maana yoyote ile,kufa kifo cha moto,sasa uu utajiri umemsaidia nini?apo simuoni alikua anaishi na familia!
Alokuambia kufa maskini ndo kupona dhambi Nani unaweza kuwa masikini ukachomwa mwisho wa siku Kuna dhambi nyingi ukiachana na yakutafuta pesa ya mashetani.
Uuuuiiii nileteni izo hela jamani
Kaburi lake litafunika kwa gundi kuanzia chini au nivipi mana waja awawezi kuvumilia njaa pesa zikakae namarehem atafukuliwa nawajuba
😁😁 hawa kili wambiye wanipye mimi hizo hela.maana hazina faida kaburini sawa plz nilteee mm hizo😊
Unaota sana
Onyo watu wasijifanye kimbelembele kufukua kaburi lake kisa izo minoti atakazo zikwa nazo maana iyo nyumba nina mashaka isije kuwa magic house 🏠
mbona live wakati huyu ni marehemu 😂😂😂😂😂
Haitachukua muda wagumu watazifukua au kufukua hata kama italidwa kwa masaa 24 kila leo
Kwa sheria ipi ya kumzika na PESA? Mbona mganda alizikwa na pesa ila wakazifukua ije iwe yeye
Wamesshau kuzika na nyumba na clabu yake
Hahahaha kweri Bora kifa masikini kuliko kufa tajiri
hao ndugu zake ni wapumbavu
Maajabu...all is vanity...
Mwezi huu tutakoma kila ukifungua mitandao no be ginimbi kafa zari kaja Tz ni mtihani
Ingekuwa bongo wajumbe tungezifukuwa
😂😂Wajumbe watu hatari
😂😂Wajumbe watu hatari
Mpunguze pupa
Huko Hawkins masikini Kuwapa pesa hizo?mbona kufuru mwekeneni kwenye sukari ya gari ende nayo basi.
RIP Ginimbi
Ninge kua karibu ninge zifukua lakini shida niilo joka kumbwa utaweza fatwa usiku
36yrs only, nothing in the house,,, wasted energy
Hiv mtu unaanzaje kuzikwaa na hela?na uchumi wa duniaa ulivyoyumba??wangap tunashidaa hapa dunian?leo zikaozee chin mhhh
hasa hiyo nchi ya zimbabwe, ni hatari sana, ila ni pesa kishetani usishangae.
Tens Nchi yenyewe ni Zimbabwe ambayobuchumibwao ni mgumu sana hizo Dora serikali inazitafuta kwa udu na uvumba
Kama ulikuwa hujui hili ndio jumba diamond aloshutia utanipendaga....na ndinga zote zile
bora azikwe nazo man hazin Saman yyte man so za halali huo ni moto 2
Umeona
kabisa yn
This guy was running a whole petroleum company like total , shell , kenol . how comes you expected him to still remain poor
Serikali haiwez ruhusu huo upuuzi
Shida ni kwamba, wamiliki wa madola na viongozi wa iyo serikali wamo humo humo kwenye maisha ya ginimbi, wachache wataelewa
Waje wamzike apo kinondoni na madola yake , ujinga tu sasa anazikwa na pesa ili iweje? Isaidie nini? Uko ni pepo au ni moto pesa zifanyeje? Wapumbavu wakubwa
Huko sheria haipo?fedha ni nyaraka ya serikali,tujifunze kit u,duniani tunapita,na haya yote ni kujichosha,na kujilisha upepo,tuweke hazina. mbinguni,huko hakuna kuliwa nondo na kutu
Kufuru hio mtu atazikwaje na pesa wakati mayatima wamejazana na maskini tele? Hio pesa wangepelekea maskini ili ajipunguzie mzigo uko anakoenda
Ni kwel muna yaani awawezi kuona ata masikin wanavolia
@@carenalphonce5013 kuna watu wanamkosea mungu wallah 😭😭sasa hio pesa akizikwa nayo atakwenda nunua nini huko kaburini
@@munabweniz4084 yaani ni dhambi sanaaa
Illuminati members huwa siku zote hawanaga mwisho mzuri. Haya vijana kazi kwenu.
Acha wafe tu mim nitakula mihogo yangu nilale hayo mengine Mungu kama hajaruhusu Kuwa na hela bas afadhari uridhike na ulicho nacho
How can join illuminati 🚴🤦
Dah ety kaz kwetu hahhaha
Tuache ujahilia huko hakuna maisha yadunia
Yaani kwanza kabisa mnazikaje mtu na pesa wakati zinatafutwa acheni kufuru nyie,and then mmesahau mgemzika na majumba,magari na vingine vyake vyote.He z dead z gone already ni mavumbini tuu ata uwe tajiri kiaje sote ni kwenye udongo tuu.
Milard ayo hauna habari siku hizi wasafi watakupoteza kwenye Ramani
Mali na vyote ni vya mungu
Huu utajiri unawalakini Sio bure kwani nchini kwao hakuna masikini hadi ufukie pesa chini
Sio eshima bali zile pesa ninyoka litakuwa lina mla mpaka pale atakapo itwa namungu rasmi
Ningekuwa karibu ningeenda kuzifukua
Wajomba tujipange tukazifukue Wala hatutakuwa wezi twendeni tukaulithi utajiri huo wanafamilia jawautaki
Hahahahahah
🤣🤣🤣🤣🤣na zitaenda fukuliwa
Nenda tu ukabadilike nyau🤣🤣🤣
Subhanalah jmn achen kufuru bora mzpeleke izo ela kwa watoto yatima ili apate kusamehewa madhambi huko alko mwenzenu jmn muogopen mungu
sasa kama alitumia ktk kher zitamsaidia huko anaponda lkn kama kınyume chake itakuwa shda .....
Mtangazaji unaongea kwa uchungu.
Maisha sili kubwa
Kwa hiyo akizikwa na fedha zake imsaidie nini ,Mungu atuhurumie tu
Fedha c Mali yake ni ya serikali wanaruhusuje kufukia ardhini? Ponda Mali kufa kwaja
Kama ipo we ponda tu Kama hauna hauna Ata usipoponda kifo akiepukiki
Naenda kufukua kaburi lae
Freemason ndio kitu pekee
Zitaibiwa izo pesa
Kweli
Kaburi litachimbuliwa hilo😁
Mmmh! watu hawanaga akili kabisa wala Hawamjuwi mungu tangu lini mtu akazikwa na pesa
Hizo pesa atazitumia kwa matumizi gani huko kaburini
Wapo watu wanakufa njaaa mnamzka mtu napesa hayeeni
Duuh
Pesa una imiliki tu ila sio yako pesa ni ya serikali uwez izika chini labda rais wa nchi iyo awe bogas chiz asiejielewa
Freemason ndo zao kuzikana na madola wala serikali haina tatzo nahs watakuwa wanajua hlo manake huyu jamaa ni Mason wala hakuna mjadala pesa ya halali huwez iharibu hv maisha ya anasa sana unaambiwa kila ck anaenda club na ananunua. Mapombe makal ya garama