Jitambue Kabla Hujapoteza Fursa Yako ya Sasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Jitambue Kabla Hujapoteza Fursa Yako ya Sasa
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA RUclips CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @mediacraftstudiotz
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp....
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Mafanikio, Malengo, Mipango, Kuhamasisha, Ushawishi, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya mwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Tabia, Kujenga uwezo, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri, Swahili Motivation,
    .
    #success #path #network

Комментарии • 31

  • @oswaldkakuyu
    @oswaldkakuyu 4 месяца назад +9

    Ningenda kujisafisha na kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu a nisamehe makosa yangu kwa Yale yote nililokuwa nimkosea na kumshukuru kwa kunipa maisha dunian

  • @raheemdaru
    @raheemdaru 4 месяца назад +3

    Dah mwamba umeongea point sana. Wana success nawausia pia tuyazingatie Kwa Ukubwa Maneno Haya ya dhahabu

  • @ibrahimmohd6859
    @ibrahimmohd6859 4 месяца назад +2

    Video imeenda utamuuuu maana kila neno linaenda na picha apo juu!!❤

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch 4 месяца назад +3

    Nitafakari kubwa sana hiiasante kaka

  • @AbdulkasimuDossa
    @AbdulkasimuDossa 4 месяца назад +3

    Kifo kinatoa ujumbe lakin siyo moja kwa moja, inahitajia usafi wa moyo sana ili ugunduwe hilo.

  • @Kijavaa_jr
    @Kijavaa_jr 4 месяца назад +2

    Ahsante kwa ujumbe mzuri

  • @GabrielAmede-h8d
    @GabrielAmede-h8d 4 месяца назад +1

    Me nimejifunza if you know the direction of your life mind your busness dont waste time bro, muda ukienda haurudi ni kama umri ulikuwa mtoto mwisho wa siku umezeeka...Big up sana kaka we are together...Be blessed

  • @GabrielAmede-h8d
    @GabrielAmede-h8d 4 месяца назад +1

    Mungu atusaidie kwakweli

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад +3

    Kama kifo kingekuwa kinatuma sms basiii watu wangekuwa vichaaa.ila wenye Akilii wangetumia ayo masaa kiufasaaa

  • @sarahfeni1866
    @sarahfeni1866 4 месяца назад +3

    Mimi ca kwanza kabisa naeza kuomba toba, ca piri naeza kueleza watoto wangu kira kitu iyo siku hakuna kuwaficha tena

  • @adamsudais670
    @adamsudais670 4 месяца назад +2

    Yeah ni sahihi kaka miaka haiendi mbele kwa m2 ila inarudi nyuma sometimes uwa nashangaa sana m2 anae celebrate cku ya kuzaliwa haliyakua hajui kuwa kapunguza miaka ya kuishi.

  • @ClementLeonard-h9m
    @ClementLeonard-h9m 4 месяца назад +1

    Chakula Bora Kwa ubongo

  • @Skyunique-d1d
    @Skyunique-d1d 4 месяца назад +1

    I need to live my purpose right now bro ❤❤❤

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  4 месяца назад

      The door is always open... Are you walking that path? If not what's hindering you?

  • @Agatha-h5c
    @Agatha-h5c 4 месяца назад +1

    Mimi kifo kingenambia kinanijia ningeendelea kufanya ninachofanyaga siku zote mpk sekunde ya mwisho maana naamini sifanyi kitu kibaya surely ningefanya kazi ili niache alama

  • @highlights973
    @highlights973 4 месяца назад

    thank you for the remainder

  • @abelboniface2277
    @abelboniface2277 4 месяца назад +1

    Kazi kubwa ni kujitakasa ambayo ndo ingekuwa mandalizi yangu.

  • @sarahfeni1866
    @sarahfeni1866 4 месяца назад +4

    MUNGU AKAFICHA KWERI KWERI 🤣WENGI TUWEKUWA KICHA

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 4 месяца назад

    Bro i wish ningeijua hii page yako mapema,,but sijachelewa sanaa kaka

  • @Josiah_Bernard
    @Josiah_Bernard 4 месяца назад +4

    Nipeni like zangu

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад +1

      Hii ni channel ya kufundshana sio kuomba like za kijinga...

    • @Josiah_Bernard
      @Josiah_Bernard 4 месяца назад

      @@CollisBill-mu3zp yametokea wapi yakutuka nana ndugu yangu mimi natambua kama ni Chanel yakuelimisha watu nilipo sema nipeni like nilikuwa na namahana Kwama mimi ndie nilie kuwa wakwanza kutazama video samahani kama nimekosea

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад

      @@Josiah_Bernard Sawa ...soma comment yangu vzr... Sijakutukana ni maonii tuu... Sasa ndugu unapata faida ganii ya likes

    • @Josiah_Bernard
      @Josiah_Bernard 4 месяца назад

      ​@@CollisBill-mu3zpFaida za like nikujuwa niwangapi wanafatilia mafundisho

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад +1

      @@Josiah_Bernard SAWA
      I am sorry kama ujumbe wangu uliopokea kwa namna tofaut

  • @irakozeshela1809
    @irakozeshela1809 4 месяца назад +1

    ezden kaka muda wa masaa 24 hautoshi nivyema tujitakase tubadilike tuombe tobaa kwa yale tunayo koseya kwakuwa hatujuwi siku wala saa ni vuzuri tukae tumejipanga ili ikitokeya kifo kitukute tuko tayari

  • @mwechengo6156
    @mwechengo6156 4 месяца назад +4

    ningemfata mchungaji akemee roho ya kifo nisingekufa

    • @ibrahimkishegena640
      @ibrahimkishegena640 4 месяца назад

      Kifo ni kifo tu, hata huyo mchungaji anakufa vilevile, anakemeaje roho ya kifo akati na yeye mwenyewe anaweza kufa mda wowote, wa kuzuia kifo ni Mungu peke ake na wa kukiruhusu ni yeye mwenyewe