Jitambue Kabla Hujapoteza Fursa Yako ya Sasa
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Jitambue Kabla Hujapoteza Fursa Yako ya Sasa
.
Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
.
KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
👇🏼👇🏼
Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
NUNUA VITABU:
Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
KOZI YA RUclips CHANNEL MASTERY (BURE):
Ichukue hapa: / @mediacraftstudiotz
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp....
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Media Personnel & An Entrepreneur
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ ezden_voiceover
.
KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
Tuwasiliane:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Mafanikio, Malengo, Mipango, Kuhamasisha, Ushawishi, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya mwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Tabia, Kujenga uwezo, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri, Swahili Motivation,
.
#success #path #network
Ningenda kujisafisha na kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu a nisamehe makosa yangu kwa Yale yote nililokuwa nimkosea na kumshukuru kwa kunipa maisha dunian
Ningeenda kujisafisha na kuomba Toba Kwa alaah
Dah mwamba umeongea point sana. Wana success nawausia pia tuyazingatie Kwa Ukubwa Maneno Haya ya dhahabu
Video imeenda utamuuuu maana kila neno linaenda na picha apo juu!!❤
Nitafakari kubwa sana hiiasante kaka
Kifo kinatoa ujumbe lakin siyo moja kwa moja, inahitajia usafi wa moyo sana ili ugunduwe hilo.
Ahsante kwa ujumbe mzuri
Me nimejifunza if you know the direction of your life mind your busness dont waste time bro, muda ukienda haurudi ni kama umri ulikuwa mtoto mwisho wa siku umezeeka...Big up sana kaka we are together...Be blessed
Mungu atusaidie kwakweli
Kama kifo kingekuwa kinatuma sms basiii watu wangekuwa vichaaa.ila wenye Akilii wangetumia ayo masaa kiufasaaa
Mimi ca kwanza kabisa naeza kuomba toba, ca piri naeza kueleza watoto wangu kira kitu iyo siku hakuna kuwaficha tena
Yeah ni sahihi kaka miaka haiendi mbele kwa m2 ila inarudi nyuma sometimes uwa nashangaa sana m2 anae celebrate cku ya kuzaliwa haliyakua hajui kuwa kapunguza miaka ya kuishi.
Chakula Bora Kwa ubongo
I need to live my purpose right now bro ❤❤❤
The door is always open... Are you walking that path? If not what's hindering you?
Mimi kifo kingenambia kinanijia ningeendelea kufanya ninachofanyaga siku zote mpk sekunde ya mwisho maana naamini sifanyi kitu kibaya surely ningefanya kazi ili niache alama
thank you for the remainder
Kazi kubwa ni kujitakasa ambayo ndo ingekuwa mandalizi yangu.
Okay...
MUNGU AKAFICHA KWERI KWERI 🤣WENGI TUWEKUWA KICHA
Bro i wish ningeijua hii page yako mapema,,but sijachelewa sanaa kaka
Nipeni like zangu
Hii ni channel ya kufundshana sio kuomba like za kijinga...
@@CollisBill-mu3zp yametokea wapi yakutuka nana ndugu yangu mimi natambua kama ni Chanel yakuelimisha watu nilipo sema nipeni like nilikuwa na namahana Kwama mimi ndie nilie kuwa wakwanza kutazama video samahani kama nimekosea
@@Josiah_Bernard Sawa ...soma comment yangu vzr... Sijakutukana ni maonii tuu... Sasa ndugu unapata faida ganii ya likes
@@CollisBill-mu3zpFaida za like nikujuwa niwangapi wanafatilia mafundisho
@@Josiah_Bernard SAWA
I am sorry kama ujumbe wangu uliopokea kwa namna tofaut
ezden kaka muda wa masaa 24 hautoshi nivyema tujitakase tubadilike tuombe tobaa kwa yale tunayo koseya kwakuwa hatujuwi siku wala saa ni vuzuri tukae tumejipanga ili ikitokeya kifo kitukute tuko tayari
Naam kuwa tayari tayari...
ningemfata mchungaji akemee roho ya kifo nisingekufa
Kifo ni kifo tu, hata huyo mchungaji anakufa vilevile, anakemeaje roho ya kifo akati na yeye mwenyewe anaweza kufa mda wowote, wa kuzuia kifo ni Mungu peke ake na wa kukiruhusu ni yeye mwenyewe