UMASIKINI WETU NDIO MTIHANI KWENU, DUNIA MAPITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 19

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 2 года назад

    ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, HAKIKA WAISLAM TUNA KHERI NYINGI ZA KUFANYA, AL FATAH TV ALLAH AWAJAZE BADALA NA KHERI TELE.

  • @ibrahimomary136
    @ibrahimomary136 2 года назад +2

    🙏🙏 hakika tuna uhitaji mkubwa sana shukrani alfatah TV🙏 Allah ni mkareem na anaupendo kwa waja wake

  • @mariamsefukhamissi8809
    @mariamsefukhamissi8809 2 года назад +1

    MashaAllah tabarakaAllah Allah awalipe walo jitolea nisi Allah atujalie tuwe miongon mwawo walo jitolea Allah akujalie umri mrefu kaka yetu😍😍😍

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 2 года назад

    Mashaallah Allah awalipe kila la kher aminn inshaallah

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 2 года назад

    Allah awaifadhi Alfataha

  • @aliy3303
    @aliy3303 2 года назад

    الله نور قلبك بالقرآن يا شيخ راشد

  • @عبداللهالبلوشي-ه6ث
    @عبداللهالبلوشي-ه6ث 2 года назад

    لا حول ولا قوة الا بالله
    نسأل الله أن يسهل اموركم و يساعدكم في مهمتكم العظيمة .

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp 2 года назад +1

    hainamana kuwatowa kwenye tv haiwezekani usitowo

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 2 года назад +1

      Iyo sadaqa sio kama wanatoa alfatah hapana ila inatowelewa na watu wengine ila wanachokifanya alfatah ni yale ya mafanikio ya waislam juu ya wezao kuwaonesha sio kama ria kwao ila ni kuwapa moyo waislam ili watoe zaidi.

  • @anwaryabdallah7782
    @anwaryabdallah7782 2 года назад +1

    Tuwekeeni account tupate khery zamwezi huu waramadhani ktk masiku haya yaliobaki,kwachochote kdgo kikubwa

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp 2 года назад

    radhi hazipati kani kawa kujionesha kwani unapotoa mkonowa kulia wakushoto usijue sasa ulimwengu wote ujuwe nn mmefanya

    • @ussyussy5
      @ussyussy5 2 года назад

      Lengo si kujionesha bali lengo ni kuwaonesha kuwaonesha wengine wenye uwezo wa kusaidia ili wafike hapo na vizuri wameweka namba zao. Hata km wao wana dhamira ya kufanya hivyo(kujionesha)mm na ww sio kazi yetu kukukumu Allah anajua vilivyo ndani ya nafsi zao.

    • @kibabu1574
      @kibabu1574 2 года назад

      Ww umesoma wapi au sio mwenzetu unajua Kuna watu hawajui kama Kuna wengine wanashida kama hizi kwahio na wengine wanapata kuona hali ya watu

    • @kibabu1574
      @kibabu1574 2 года назад

      Pia dini inaruhusu kutoa Kwa Siri na zahiri

    • @kibabu1574
      @kibabu1574 2 года назад

      Inategemea mazingira Gani unayotaka kutoa kiufupi kama nimwenzetu kwanza kasome na kama upande mwengine tafuta yanayokuhusu

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 2 года назад

    UTAWALA WA CCM NA RAIA WAO

    • @nasrajuma3160
      @nasrajuma3160 2 года назад

      Hee machozi yananitok wallwh jmn Kuna watu Wana maisha magumu jamn

    • @zakiahaji1683
      @zakiahaji1683 2 года назад

      @@nasrajuma3160 😭😭😭😭