#TAZAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema serikali ya awamu ya sita itakamilisha ujenzi wa barabara ya Uvinza - Malagarasi ili kufungua zaidi fursa za kiuchumi katika mkoa wa Kigoma.
    Makamu wa Rais amesema hayo leo tarehe 24 Aprili 2022 alipozungumza na wananchi wa Wilaya ya Uvinza akiwa njiani kutoka mkoani Kigoma kurejea Dodoma.
    Makamu wa Rais amesema serikali inatambua umuhimu wa barabara hiyo na kupitia ziara alioifanya hivi karibuni Dubai (Umoja wa Falme za Kiarabu), mfuko wa maendeleo wa Abudhabi uliiridhia kutoa fedha za ukamilishaji wa barabara hiyo.
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

Комментарии • 2

  • @kimosamingwa3432
    @kimosamingwa3432 2 года назад

    Kwanza ncheke 🤣 🤣🤣
    Siiye yeye ninaye mjua mm kabisa kwanza ncheke 🤣🤣🤣🤣

  • @selijohn6836
    @selijohn6836 2 года назад

    Watu tuna kero nyingi mbona kilasiku nikigoma tu mh