MATOLEO YA WANA WAKO - Bernard Mukasa || MARIA MORAA MAKORI (Triple M) & QUADRI V || Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Matoleo ya wana wako ni wimbo wa matoleo uliotungwa na Bernard Mukasa mwaka 1997 akiwa likizoni katika parokia ya Ifakara jimbo la Mahenge (sasa jimbo la Ifakara).
    Katika video hii wimbo huu umeimbwa kwa ushirikiano kati ya Maria Moraa Makori (Triple M) wa jimbo la Mombasa Kenya na familia ya Bwana na Bibi Bernard Mukasa (Quadri V). Waimbaji wengi walioshiriki ni Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (hayumo pichani), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, na Bernard Mukasa.
    Kinanda kimepigwa na Vinny Mukasa.
    Sauti na picha zimerekodiwa na nadhifiwa na studio za Holy Trinity za DSM - Tanzania.
    __________________
    This song was composed by Bernard Mukasa in 1997 when he went on leave to Ifakara Parish - Mahenge Diocese (now Ifakara Diocese). In this video the song has been performed by Maria Moraa Makori (Triple M) of Mombasa Diocese - Kenya with the family of Mr & Mrs Bernard Mukasa of DSM - Tanzaia (Quadri V). List of performers include Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (not in the video), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, and Bernard Mukasa.
    The organ was played by Vinny Mukasa.
    Audio & Video production by Holy Trinity studios - DSM.

Комментарии • 200

  • @ShiroRaphael
    @ShiroRaphael 2 года назад +22

    Am from Ngong Diocese in Kenya, jumuiya ya mtakatifu Cecilia. I wish siku moja nipatane na hii familia ya Bwana Mukasa.😑😑😑I really love them💞💞💞💞💝💝💝💝

  • @franciswambuachannel.2508
    @franciswambuachannel.2508 2 года назад +3

    Nyimbo tamu na yenye kutulia..,.. helo kwenu Wana familia ya Mukasa Bernard.

  • @NoteSacre493
    @NoteSacre493 2 года назад +2

    Tulikua na wakati wa Fr Kayeta, Stanslaus Mwajwahuki na John Mgandu, Sasa ni wakati wa Bernad Mukasa! Nawakubali sana Quadri V

  • @RozariTakatifu
    @RozariTakatifu 3 месяца назад +1

    Yesu aliachia vipawa alipopaa, Tunakushukuru Yesu kwa kupaa kwako ahsante kwa vipawa hivi

  • @danmchelsea658
    @danmchelsea658 2 года назад +2

    Sauti tamu
    Wimbo mtamu ajabu...
    Aaaaah sina la kuongezea
    Karibuni Kenya 🇰🇪 tena

  • @davidkobero6977
    @davidkobero6977 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana....
    Katai ya nyimbo niipendayo wkaati wa matokeo
    Mungu aendelee kukubariki BM

  • @epiphaniamathayo4905
    @epiphaniamathayo4905 Год назад +2

    Kwakupanda mbegu ya watoto nijambo jema mungu wetu awazidishie yote mtendayo

  • @joycengovi2039
    @joycengovi2039 2 года назад +4

    nice one moraa,good work daughter to Dr Makori. consolata likoni tumekumis with ur broo

  • @maxwellmax3939
    @maxwellmax3939 2 года назад +17

    TYK...Aisee nyinyi ni hazina kubwa Sana katika kanisa letu katoliki...Mungu awatimizie haja zote za nyoyo zenu na azidi kuwaepusha na kila baya Hongera Sana Mwl Mukasa na Quadri v nzima..nawapenda mnooooooo 🔥🔥🔥🔥

  • @aloycenshange192
    @aloycenshange192 2 года назад +2

    Hongera Sana familia Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwakuzia kupaji chenu mzidi kumtangaza kote ulimwenguni. Omukama abongele muno,mukole ebishagileo.

  • @constantinewilbroad1654
    @constantinewilbroad1654 2 года назад +2

    Mungu awabariki Sana na kuwakinga na hila za yule mwovu Katika jina La Yesu Kristo Amina

  • @maliatabuerenesti6681
    @maliatabuerenesti6681 2 года назад +2

    Kwakweli Mungu anajua kubariki watu mi niseme kuwa Mungu azidi kuwapa uhai zaidi kwakwel maana nimfano zaidi kwetu wanakwaya kwakweli

  • @adelinusacleus4237
    @adelinusacleus4237 2 года назад +2

    Hongereni Kwa kuinjilisha mwenyezi awaimarishe zaidi na zaidi muwe faraja kwetuu Kwa nyimbo nzuri

  • @elizabethjoseph9482
    @elizabethjoseph9482 2 года назад +2

    Hiki kidogo kikakupendeze ni matoleo ya wana wako, wimbo mzuri sana barikiwa familia ya Mukasa

  • @cathykamura3521
    @cathykamura3521 2 года назад +2

    Siku moja ntaimba nanyi angalau wimbo mmoja. Hii ni motisha tosha

  • @rehemamkude6766
    @rehemamkude6766 2 года назад +3

    Familia
    MUNGU awabariki kila saa. Mmefantika kuwa Sadaka ya Wakrisro

  • @paschaziakabakama8200
    @paschaziakabakama8200 2 года назад +1

    HONGERENI SANA KWA WIMBO MZURI ,HUYO DOGO AMETISHA KA SAUTI KAKE.M
    ungu awabariki sana .big up org
    anist

  • @bihogorakaroli9691
    @bihogorakaroli9691 2 года назад +4

    Very nice song and very good performance in audio and video format. HONGERENI SANA MWL WANGU MR. MUKASA NA VINNY KWA UPIGAJI KINANDA MZURI SALAMU ZAKE

  • @ceciliandungu3861
    @ceciliandungu3861 4 месяца назад +1

    It's the kid that sings at the beginning that made me love this song!

  • @edwardmazuri9498
    @edwardmazuri9498 2 года назад +2

    Familia takatifu ni ile familia inayodumu katika neno la Mungu, Hongereni kwa utume

  • @walterlungu9190
    @walterlungu9190 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana ya kumsifu na kumtukuza Bwana. Melody imepangiliwa vizuri sana, tempo imeongeza ladha

  • @mutheriannah2562
    @mutheriannah2562 9 месяцев назад +2

    May dha Almighty always shine on ur family Bernard mukasa❤❤❤mch love,,,,,,,

  • @despinamdende9810
    @despinamdende9810 2 года назад +2

    Hongeren sana Baba Mukasa Mama Mukasa Na familia nzima kwakweli Mnafanya kitu kikubwa sana katika familia. Hakika nifamiliya ya Mfano ktk Manisa Mungu awabariki sana.

  • @raymondlissu4649
    @raymondlissu4649 2 года назад +1

    Hongera Sana mkuu hakika kazi zako zmebarikiwa

  • @MethewMelikiory-ic3kj
    @MethewMelikiory-ic3kj Год назад +1

    Thank you Benard Mukasa

  • @sylivianamutosi9264
    @sylivianamutosi9264 9 месяцев назад +2

    Be blessed kwa kazi zuri yenye munafanya 🙏🙏🙏🙏 Amen 🙏🙏 and amen 🇺🇬🇺🇬🇺🇬02|05|2024 time 06:55am mungu sikia maombi yetu

  • @LeakeyKanyamaha-n8n
    @LeakeyKanyamaha-n8n Год назад +1

    Mungu akulinde ktk utunzi wa nyimbo nziri

  • @aliceatieno-cu3wf
    @aliceatieno-cu3wf Год назад +1

    Nyimbo zenu kweli ni ujumbe kutoka kwa mola

  • @annmwende8339
    @annmwende8339 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana ,mnanitia nguvu ya kujivunia kuwa mkatoliki, hongera sana familia ya Mukasa

  • @aloysiusrugejuna2804
    @aloysiusrugejuna2804 2 года назад +1

    Hongera sana brother Mkasa.

  • @susannthamba3885
    @susannthamba3885 6 месяцев назад +1

    This is my favorite song ❤ by Benerd Mukasa's Family

  • @hossanacatholicsingers6424
    @hossanacatholicsingers6424 2 года назад +1

    Hongereni sana kwa utume na kazi nzuri

  • @avillaiminza121
    @avillaiminza121 Год назад +1

    Really love the song

  • @reginamndeme1546
    @reginamndeme1546 2 года назад +1

    Hongereni sana kwa kazi nzuri kaka

  • @joddetedominic4530
    @joddetedominic4530 2 года назад +1

    Hongereni sana, kazi nzuri mnoo

  • @rosewambo2976
    @rosewambo2976 2 года назад +1

    Ben napenda sana njimbo zako toka mwazo mungu akubariki

  • @millicentakinyi5504
    @millicentakinyi5504 2 года назад +1

    Mungu. Atupe ,ee kima
    Tupatekutowa🤲🔐kweli. Kabisa🙏amina

  • @franciscambeke-ke9ib
    @franciscambeke-ke9ib Год назад +1

    Blessed family blessed song

  • @alfredmuthui
    @alfredmuthui 2 года назад +1

    touching song hii familia idumu na ing'are daima

  • @philip1196
    @philip1196 2 года назад +2

    Hongera sanaaa ndugu yangu Benard Mukasa,,,Kazi safi 👏👏🎹,,God will reward this.

  • @fabianmwoshi
    @fabianmwoshi 9 месяцев назад +1

    A masterpiece for offertory. Kazi njema @Benard Mukasa. God bless your vocation.

  • @paulinaqelesh3402
    @paulinaqelesh3402 2 года назад +2

    Mungu aibariki hii familia kazi nzuri sana mbarikiwe sana

  • @dorcasodire4564
    @dorcasodire4564 2 года назад +2

    Lovely,Mungu azidi kuwabariki na kuwaongoza katika safari hii ya kueneza injili kupitia nyimbo.🙏

  • @pricillamkilanya2308
    @pricillamkilanya2308 Год назад +1

    Huu wimbo huwa unanibariki sana

  • @edwigaupendo
    @edwigaupendo 2 года назад +2

    Hongereni sana kaka Mukasa na familia kwa kazi nzuri iliyotukuka. Hakika mnatuinjilisha vyema sana. Mbarikiwe nyote. 👏👏👏

  • @fillemonzakayo8774
    @fillemonzakayo8774 Год назад +1

    Barikiweni sana na Mungu wa mbinguni

  • @julius795841
    @julius795841 4 месяца назад

    Wimbo mzuri sana wa kupeleka sadaka ....

  • @JoyceRichard-b2n
    @JoyceRichard-b2n Месяц назад

    Jamani mungu aendelee kuwa Linda na kuwapa afya njema nimetamani sana

  • @mutuaaugustine510
    @mutuaaugustine510 2 года назад +2

    Heko kwa kazi nzuri. Pongezi kwa hatua Moraa💯.. Mungu azidi kuwabariki🙏

  • @albert-kkitwenga4889
    @albert-kkitwenga4889 2 года назад +5

    Utunzi mzuri. Audio recording yenye viwango. Videography game is good. In a nutshell mmeipa sala hii oxygen ya kutosha. More power to the Mukasa's, Makori's and everyone else who had a share in having this work see the light of day. May the labour of your hearts, minds and souls find favor in the eyes of the God you are so gracefully worshipping.

  • @musichealsTz
    @musichealsTz 2 года назад +1

    hii itakuja kuwa Tenor voice nzuri mnoooooooo

  • @PatrickGatura
    @PatrickGatura Год назад +2

    I like the song....
    More so how the little son sings❤

  • @adelinadeogratias1841
    @adelinadeogratias1841 2 года назад +2

    Woooh!hongereni sana wapendwa,kazi nzuri sana..❤❤❤🔥🔥🔥

  • @Entertainment-vi4tc
    @Entertainment-vi4tc 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana kaka BM, QD na Moraa

  • @MercyCheruiyot-lf6ds
    @MercyCheruiyot-lf6ds 6 месяцев назад +1

    Favourite Thanksgiving song,,may God bless you ❤

  • @stephankinyalwa5476
    @stephankinyalwa5476 2 года назад +1

    Good job mkuuuu wangu

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 2 года назад +1

    Hujawahi feli baba nipo naburudika❣️❣️❣️❣️

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 2 года назад +3

    Familia ya mfano such an inspirational

  • @edwardnoel1426
    @edwardnoel1426 2 года назад +1

    Hongereni sana familia

  • @AntonyShitente
    @AntonyShitente 2 года назад +2

    Mungu azidi kuwabariki, nawapenda sanaa🤍🤍🤍

  • @ceciliahwangui1674
    @ceciliahwangui1674 2 года назад +1

    Hongera mukasa

  • @loitemuakai8638
    @loitemuakai8638 2 года назад +3

    The voice of the young ones adds more flavor alafu kuongeza ya waliobobea ,,,ni tamu jamani

  • @muenipauline1620
    @muenipauline1620 2 года назад +1

    Awesome bw. Bernard

  • @wiseignassb4607
    @wiseignassb4607 2 года назад +1

    Mungu awazidishie Kwa kazi nzuri.Amina

  • @sheilabrigidjepkorir1728
    @sheilabrigidjepkorir1728 2 года назад +2

    Mary Makori Moraa I see you. Good job to all of you.

  • @yohanacosmas8540
    @yohanacosmas8540 2 года назад +2

    Aminaaaaa Namungu wa mbinguni Awabariki sana😍😍😍🙏🙏🙏🙏

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 2 года назад

    Hakika Mukasa na familia yako ni zawadi kutoka kwa Mungu katika uinjilishaji wa neno la Mungu. Mbarikiwe sana, kila wimbo wenu ni mzuri tu. Nawezaje kupata flash ya nyimbo zenu.

  • @sebastianfuluge2888
    @sebastianfuluge2888 2 года назад +2

    Kazi Iko poa sana, mbarikiwe sana.

  • @kiserianmollel7296
    @kiserianmollel7296 2 года назад +1

    Hongereni Sana

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 2 года назад +1

    Mungu atukuzwe

  • @annamuhoja9109
    @annamuhoja9109 2 года назад +1

    Kazi nzuri..hongereni sana..Mungu awatunze.

  • @christinekatunge9782
    @christinekatunge9782 2 года назад +3

    From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪am really proud of your songs you always strengthen me.. may God bless you alot

  • @janemwangi605
    @janemwangi605 Год назад +1

    THE FAMILY OF MUKASA THANKS FOR AN OVERTORY SONG BEUTIFUL ONE ALWAYS GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. FROM QATAR BUT KENYAN

  • @wendynina6110
    @wendynina6110 2 года назад +1

    Top notch

  • @stephanomwile9920
    @stephanomwile9920 2 года назад +1

    Mungu azidi kuwabari

  • @SautiTamu
    @SautiTamu 2 года назад +1

    Hongereeni sana.
    Moraa 👏💐👏 wonderful start

  • @naombadiaz4467
    @naombadiaz4467 Год назад +1

    Jamani Jamani hongera sana

  • @briankombo5728
    @briankombo5728 2 года назад +1

    Am very very happy for you Moraa na hongereni kwa hii familia ya Mukasa.

  • @collethapilly1256
    @collethapilly1256 2 года назад

    Ongereno sana kwa kutuinjilisha kupitia sauti zenu tunabarikiwa mno na kutuhamasisha,Mungu awabariki na kuwakirimia kwa kadiri ya mapenzi yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @erneusmalekela2678
    @erneusmalekela2678 2 года назад

    Yeye aimbaye vizuri, husali mara mbili (St Augustine of Hippo). Hongera sana BM

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 2 года назад

    Naaam Na Sasa Tumeona, Kumbe Tuseme Nini!!? Zaidi Ya Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wa Familia Hii, Na Atukuzwe Daima Kwaajili Yenu. Wimbo Mtamu Sana Kwa Kweli

  • @mariamwaka
    @mariamwaka 2 года назад

    Halooo nimeona, nimebarikiwa sana na toleo hili. Familia ya Ben Mukasa. hakika ina fungu lake mbinguni. Mbarikiwe sana.

  • @marymalikamalkiathepsalmis5321
    @marymalikamalkiathepsalmis5321 2 года назад +1

    I love it...mbarikiwe sana Mukasa na familia yako

  • @purityeboso5275
    @purityeboso5275 2 года назад

    kazi safi kabisa...nyimbo zenu ni nzuri sana...wakatoliki tunaendelea vyema

  • @mchumi_thecatalystofeconom7889
    @mchumi_thecatalystofeconom7889 2 года назад

    Hongereni Sana familia kwa kuendelea kuinjilisha. Mungu na azibariki kazi za mikono yenu.

  • @poncegk5263
    @poncegk5263 2 года назад

    B. Mukasa naomba either your family au Mt.Kizito mtoe video ya Wimbo wako ule unaitwa, "Nimtazame "

  • @neemakirway6602
    @neemakirway6602 2 года назад +2

    Mungu awabariki sana na kuwalinda daima🙏🥂

  • @arnoldkagaruki5277
    @arnoldkagaruki5277 2 года назад

    Inampendeza Mungu na sisi watazamaji kwa utume wenu wa Uimbaji,
    Mbarikiwe sana na hongera kwa ujumbe wa wimbo wenye kuhamasisha

  • @hellennolo-xr8sq
    @hellennolo-xr8sq Год назад

    Mungu na abariki kazi yenu

  • @indiremoses8979
    @indiremoses8979 2 года назад +4

    Singing from the heart 🥹.Kazi nzuri sana kwa wahusika wote,Mungu azidi kuwabariki mzapoinjilisha kwa uimbaji na kutubariki pia.
    A good step Moraa👏

  • @sistyandrea1931
    @sistyandrea1931 2 года назад +1

    Mungu awabariki sana hii familia na ndg zangu

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Год назад +1

    Blessed Family Asante sana

  • @jacintahrita8186
    @jacintahrita8186 2 года назад +1

    Triple M❤️...kazi nzuri

  • @amoswanjohikaniaru
    @amoswanjohikaniaru Год назад

    Mungu awabariki sana .nyinyi hazina kubwa kwetu wanakatoriki

  • @c.a.sindanotano5107
    @c.a.sindanotano5107 2 года назад +1

    Big up

  • @immaculatenyaboke
    @immaculatenyaboke 2 года назад +1

    Great voices indeed mbarikiwe sana familia ya benard mukass

  • @collinswere5344
    @collinswere5344 Год назад

    every song u produced lit

  • @jacklinemueni7201
    @jacklinemueni7201 2 года назад +1

    Hongera

  • @benjaminmanyibe
    @benjaminmanyibe Год назад

    Kazi nzuri,, barikiwa Sana

  • @valentinendiwa7494
    @valentinendiwa7494 2 года назад +1

    Congratulations Mary Moraa