MATOLEO YA WANA WAKO - Bernard Mukasa || MARIA MORAA MAKORI (Triple M) & QUADRI V || Official Video
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Matoleo ya wana wako ni wimbo wa matoleo uliotungwa na Bernard Mukasa mwaka 1997 akiwa likizoni katika parokia ya Ifakara jimbo la Mahenge (sasa jimbo la Ifakara).
Katika video hii wimbo huu umeimbwa kwa ushirikiano kati ya Maria Moraa Makori (Triple M) wa jimbo la Mombasa Kenya na familia ya Bwana na Bibi Bernard Mukasa (Quadri V). Waimbaji wengi walioshiriki ni Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (hayumo pichani), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, na Bernard Mukasa.
Kinanda kimepigwa na Vinny Mukasa.
Sauti na picha zimerekodiwa na nadhifiwa na studio za Holy Trinity za DSM - Tanzania.
__________________
This song was composed by Bernard Mukasa in 1997 when he went on leave to Ifakara Parish - Mahenge Diocese (now Ifakara Diocese). In this video the song has been performed by Maria Moraa Makori (Triple M) of Mombasa Diocese - Kenya with the family of Mr & Mrs Bernard Mukasa of DSM - Tanzaia (Quadri V). List of performers include Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (not in the video), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, and Bernard Mukasa.
The organ was played by Vinny Mukasa.
Audio & Video production by Holy Trinity studios - DSM.
Am from Ngong Diocese in Kenya, jumuiya ya mtakatifu Cecilia. I wish siku moja nipatane na hii familia ya Bwana Mukasa.😑😑😑I really love them💞💞💞💞💝💝💝💝
Fact
@@michaelkimario3830 mmhh
i love them too
Nyimbo tamu na yenye kutulia..,.. helo kwenu Wana familia ya Mukasa Bernard.
Tulikua na wakati wa Fr Kayeta, Stanslaus Mwajwahuki na John Mgandu, Sasa ni wakati wa Bernad Mukasa! Nawakubali sana Quadri V
Yesu aliachia vipawa alipopaa, Tunakushukuru Yesu kwa kupaa kwako ahsante kwa vipawa hivi
Sauti tamu
Wimbo mtamu ajabu...
Aaaaah sina la kuongezea
Karibuni Kenya 🇰🇪 tena
Kazi nzuri sana....
Katai ya nyimbo niipendayo wkaati wa matokeo
Mungu aendelee kukubariki BM
Kwakupanda mbegu ya watoto nijambo jema mungu wetu awazidishie yote mtendayo
nice one moraa,good work daughter to Dr Makori. consolata likoni tumekumis with ur broo
TYK...Aisee nyinyi ni hazina kubwa Sana katika kanisa letu katoliki...Mungu awatimizie haja zote za nyoyo zenu na azidi kuwaepusha na kila baya Hongera Sana Mwl Mukasa na Quadri v nzima..nawapenda mnooooooo 🔥🔥🔥🔥
Mungu awatie nguvu wimbo mzuri mnoooooooo
Wimbo huu no mzuri sana
nu
@@nanekapeter8224huoooo
CP9 go chi upo😊
Hongera Sana familia Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwakuzia kupaji chenu mzidi kumtangaza kote ulimwenguni. Omukama abongele muno,mukole ebishagileo.
Mungu awabariki Sana na kuwakinga na hila za yule mwovu Katika jina La Yesu Kristo Amina
Kwakweli Mungu anajua kubariki watu mi niseme kuwa Mungu azidi kuwapa uhai zaidi kwakwel maana nimfano zaidi kwetu wanakwaya kwakweli
Hongereni Kwa kuinjilisha mwenyezi awaimarishe zaidi na zaidi muwe faraja kwetuu Kwa nyimbo nzuri
Hiki kidogo kikakupendeze ni matoleo ya wana wako, wimbo mzuri sana barikiwa familia ya Mukasa
Siku moja ntaimba nanyi angalau wimbo mmoja. Hii ni motisha tosha
Familia
MUNGU awabariki kila saa. Mmefantika kuwa Sadaka ya Wakrisro
HONGERENI SANA KWA WIMBO MZURI ,HUYO DOGO AMETISHA KA SAUTI KAKE.M
ungu awabariki sana .big up org
anist
Very nice song and very good performance in audio and video format. HONGERENI SANA MWL WANGU MR. MUKASA NA VINNY KWA UPIGAJI KINANDA MZURI SALAMU ZAKE
It's the kid that sings at the beginning that made me love this song!
Familia takatifu ni ile familia inayodumu katika neno la Mungu, Hongereni kwa utume
Kazi nzuri sana ya kumsifu na kumtukuza Bwana. Melody imepangiliwa vizuri sana, tempo imeongeza ladha
May dha Almighty always shine on ur family Bernard mukasa❤❤❤mch love,,,,,,,
Hongeren sana Baba Mukasa Mama Mukasa Na familia nzima kwakweli Mnafanya kitu kikubwa sana katika familia. Hakika nifamiliya ya Mfano ktk Manisa Mungu awabariki sana.
Hongera Sana mkuu hakika kazi zako zmebarikiwa
Thank you Benard Mukasa
Be blessed kwa kazi zuri yenye munafanya 🙏🙏🙏🙏 Amen 🙏🙏 and amen 🇺🇬🇺🇬🇺🇬02|05|2024 time 06:55am mungu sikia maombi yetu
Mungu akulinde ktk utunzi wa nyimbo nziri
Nyimbo zenu kweli ni ujumbe kutoka kwa mola
Kazi nzuri sana ,mnanitia nguvu ya kujivunia kuwa mkatoliki, hongera sana familia ya Mukasa
Hongera sana brother Mkasa.
This is my favorite song ❤ by Benerd Mukasa's Family
Hongereni sana kwa utume na kazi nzuri
Really love the song
Hongereni sana kwa kazi nzuri kaka
Hongereni sana, kazi nzuri mnoo
Ben napenda sana njimbo zako toka mwazo mungu akubariki
Mungu. Atupe ,ee kima
Tupatekutowa🤲🔐kweli. Kabisa🙏amina
Blessed family blessed song
touching song hii familia idumu na ing'are daima
Hongera sanaaa ndugu yangu Benard Mukasa,,,Kazi safi 👏👏🎹,,God will reward this.
A masterpiece for offertory. Kazi njema @Benard Mukasa. God bless your vocation.
Mungu aibariki hii familia kazi nzuri sana mbarikiwe sana
Lovely,Mungu azidi kuwabariki na kuwaongoza katika safari hii ya kueneza injili kupitia nyimbo.🙏
Huu wimbo huwa unanibariki sana
Hongereni sana kaka Mukasa na familia kwa kazi nzuri iliyotukuka. Hakika mnatuinjilisha vyema sana. Mbarikiwe nyote. 👏👏👏
Barikiweni sana na Mungu wa mbinguni
Wimbo mzuri sana wa kupeleka sadaka ....
Jamani mungu aendelee kuwa Linda na kuwapa afya njema nimetamani sana
Heko kwa kazi nzuri. Pongezi kwa hatua Moraa💯.. Mungu azidi kuwabariki🙏
Utunzi mzuri. Audio recording yenye viwango. Videography game is good. In a nutshell mmeipa sala hii oxygen ya kutosha. More power to the Mukasa's, Makori's and everyone else who had a share in having this work see the light of day. May the labour of your hearts, minds and souls find favor in the eyes of the God you are so gracefully worshipping.
hii itakuja kuwa Tenor voice nzuri mnoooooooo
I like the song....
More so how the little son sings❤
Woooh!hongereni sana wapendwa,kazi nzuri sana..❤❤❤🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana kaka BM, QD na Moraa
Favourite Thanksgiving song,,may God bless you ❤
Good job mkuuuu wangu
Hujawahi feli baba nipo naburudika❣️❣️❣️❣️
Familia ya mfano such an inspirational
Hongereni sana familia
Mungu azidi kuwabariki, nawapenda sanaa🤍🤍🤍
Hongera mukasa
The voice of the young ones adds more flavor alafu kuongeza ya waliobobea ,,,ni tamu jamani
Awesome bw. Bernard
Mungu awazidishie Kwa kazi nzuri.Amina
Mary Makori Moraa I see you. Good job to all of you.
Aminaaaaa Namungu wa mbinguni Awabariki sana😍😍😍🙏🙏🙏🙏
Hakika Mukasa na familia yako ni zawadi kutoka kwa Mungu katika uinjilishaji wa neno la Mungu. Mbarikiwe sana, kila wimbo wenu ni mzuri tu. Nawezaje kupata flash ya nyimbo zenu.
Kazi Iko poa sana, mbarikiwe sana.
Hongereni Sana
Mungu atukuzwe
Kazi nzuri..hongereni sana..Mungu awatunze.
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪am really proud of your songs you always strengthen me.. may God bless you alot
THE FAMILY OF MUKASA THANKS FOR AN OVERTORY SONG BEUTIFUL ONE ALWAYS GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. FROM QATAR BUT KENYAN
Top notch
Mungu azidi kuwabari
Hongereeni sana.
Moraa 👏💐👏 wonderful start
Jamani Jamani hongera sana
Am very very happy for you Moraa na hongereni kwa hii familia ya Mukasa.
Ongereno sana kwa kutuinjilisha kupitia sauti zenu tunabarikiwa mno na kutuhamasisha,Mungu awabariki na kuwakirimia kwa kadiri ya mapenzi yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Yeye aimbaye vizuri, husali mara mbili (St Augustine of Hippo). Hongera sana BM
Naaam Na Sasa Tumeona, Kumbe Tuseme Nini!!? Zaidi Ya Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wa Familia Hii, Na Atukuzwe Daima Kwaajili Yenu. Wimbo Mtamu Sana Kwa Kweli
Halooo nimeona, nimebarikiwa sana na toleo hili. Familia ya Ben Mukasa. hakika ina fungu lake mbinguni. Mbarikiwe sana.
I love it...mbarikiwe sana Mukasa na familia yako
kazi safi kabisa...nyimbo zenu ni nzuri sana...wakatoliki tunaendelea vyema
Hongereni Sana familia kwa kuendelea kuinjilisha. Mungu na azibariki kazi za mikono yenu.
B. Mukasa naomba either your family au Mt.Kizito mtoe video ya Wimbo wako ule unaitwa, "Nimtazame "
Mungu awabariki sana na kuwalinda daima🙏🥂
Mbarikiwe sana
Inampendeza Mungu na sisi watazamaji kwa utume wenu wa Uimbaji,
Mbarikiwe sana na hongera kwa ujumbe wa wimbo wenye kuhamasisha
Mungu na abariki kazi yenu
Singing from the heart 🥹.Kazi nzuri sana kwa wahusika wote,Mungu azidi kuwabariki mzapoinjilisha kwa uimbaji na kutubariki pia.
A good step Moraa👏
Hongereni sana ndugu zetu
Mungu awabariki sana hii familia na ndg zangu
Blessed Family Asante sana
Triple M❤️...kazi nzuri
Mungu awabariki sana .nyinyi hazina kubwa kwetu wanakatoriki
Big up
Great voices indeed mbarikiwe sana familia ya benard mukass
every song u produced lit
Hongera
Kazi nzuri,, barikiwa Sana
Congratulations Mary Moraa