Sam Wa Ukweli - Hata Kwetu wapo

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 2,6 тыс.

  • @Alexosiako
    @Alexosiako 4 месяца назад +164

    Mwaka wa 2024 kama bado unaskiza hii masterpiece gonga like🎉
    ❤❤❤❤❤

  • @denniskipngetich1842
    @denniskipngetich1842 2 года назад +141

    I'll leave this comment here so that when someone likes it I'll come back and watch this song again!

  • @roshanecyrus4964
    @roshanecyrus4964 2 месяца назад +50

    kama tutakuwa hapa 2027 inshallah, piga like!

  • @andrewmadaga7913
    @andrewmadaga7913 4 месяца назад +48

    iman inaponza watu wengine si wazur 😢rest in peace bro.🙏 Who still with me 2024 ☺️🙌🏿

  • @wilsonsamora1883
    @wilsonsamora1883 4 года назад +165

    Wanaomkumbuka bado sama twende pamoja like

  • @sylviachonge4165
    @sylviachonge4165 4 года назад +330

    Mauti jamani yana ujinga sana...jamani Sam u left a mark for us in our hearts...leteni hizo likes za moral lesson from Sam's songs😘😘😘

    • @hunchotv8434
      @hunchotv8434 2 года назад +1

      Mauti ni mpango wa Mungu...ukisema mauti ni ujinga jamani unakosea Mola

    • @rukaiyaahmadsuleiman3951
      @rukaiyaahmadsuleiman3951 2 года назад +1

      @@hunchotv8434 ndio hapo sasa kila nafsi itaonja mauti

    • @a_melly
      @a_melly 2 года назад +1

      Aliaga lini huyu bazenga?

  • @mikeblessed4135
    @mikeblessed4135 Месяц назад +7

    Wale waliompenda Sam WA Ukweli nipeni Likes Na rip messages za Huyu legend

  • @mohamedyramadhani7788
    @mohamedyramadhani7788 6 месяцев назад +87

    2024 and this song is still ❤❤❤ RIP BRO

  • @cruizk8183
    @cruizk8183 4 года назад +628

    Rip bro😭😭 let's gather here to remember our legend.Thumbs up for those watching in 2020

  • @vinmkenya3659
    @vinmkenya3659 4 года назад +336

    Najua miaka za wanao sikia wimbo huu 25 and above gonga like kama unakubaliana nami .rest in peace Sam wa ukweli

  • @erickelia9826
    @erickelia9826 2 года назад +30

    Kak Sam wa ukweli hii ngoma Ina ujumbe mkubwa sana kama ulikuwa unamkubal brother Sam gong like

  • @mbindyeimmanuel7772
    @mbindyeimmanuel7772 Год назад +146

    2023 and this song is still 🔥. RIP Comrade

  • @rosenatalia5802
    @rosenatalia5802 4 года назад +115

    Can't get tired ov listerning to your song ....may continue resting in peace...... team kenya mark register🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @vanekemunto78
    @vanekemunto78 5 лет назад +309

    Listening from Kenya if you love Sam like me nipee like

  • @janicekinya1136
    @janicekinya1136 2 года назад +135

    Still watching this song in 2021, may his soul rest in eternal peace.

  • @MCLYNN_LIEN
    @MCLYNN_LIEN Год назад +68

    No matter how many years have passed, i still feel like listening to these song.

  • @lucymvula9031
    @lucymvula9031 6 лет назад +98

    R.I.P naona kama ni ndoto nampenda sana haswa pia song zake ni za matukio ya maisha ya kwli

  • @bonfacebosire1448
    @bonfacebosire1448 4 года назад +137

    Rip Sam wa Kweli,... listened to this song way back in 2012 while in class six....came back here in 2020 when done with highschool to revive my old memories only to find comments full of rest in peace...May your soul rest in peace Sam💖

  • @academictutor2891
    @academictutor2891 2 года назад +53

    Anyone here at 2021? So sad that he left but memories still remain.

  • @goodluckkhamsoh5056
    @goodluckkhamsoh5056 Год назад +58

    Anytime I open my barber shop this song comes to my head. Singing along from mwanzo to mwisho. RIP BROTHER.

    • @philo_the_barber
      @philo_the_barber 9 месяцев назад +2

      I remember I was skipping after lunch lessons pale class 3 😂😂 just to listen to club1 pale KBC at a certain kinyozi. Now am a barber and this song slaps still❤❤

    • @HappyArcticBirds-iy3dg
      @HappyArcticBirds-iy3dg 6 месяцев назад

      😭😭😭 rip brother w miss u a lot

  • @hanifayunus8502
    @hanifayunus8502 5 лет назад +53

    Sio Kenya tuu, hata Bahrain wapo. R. I. P Sam

  • @samwelthomas6939
    @samwelthomas6939 4 года назад +663

    2020 kama bado unaikubali hii nyimbo gonga like tujuane R I P wajii

  • @matunduraray1174
    @matunduraray1174 2 года назад +31

    Takes me back to the year 2009 while working in Mombasa Kenya used to think the guy is a Kenyan since his songs used to be popular there.

  • @achomann1129
    @achomann1129 2 года назад +34

    I was shocked by the sudden death of our brother Sam May his soul rest in peace.

  • @issahdaless8265
    @issahdaless8265 5 лет назад +424

    Who is listening 2019 this song, gonga like,,,,,, issa from Zanzibar hata huku Zanzibar wapo

  • @pettyjumba7186
    @pettyjumba7186 Год назад +33

    Gone too soon, hakika hakuna akiba Kama wimbo maana hata sisi ttakufa lakini wimbo utabaki kumbukumbu,naam hivo ndio maisha,tulipenda lakini mungu kakupenda zaidi🙏

  • @carolynogema1176
    @carolynogema1176 3 года назад +18

    I feel this song!!!so sad to loose you sam,,,binadam ni wengi na wachache ndo wema😭😭,,, listening from Kenya🇰🇪

    • @pjmediakenya
      @pjmediakenya 10 месяцев назад

      Indeed the song is on top🔥, continue to R.I.P Sam🙏. Kenya🇰🇪🇰🇪 misses ur hits.

  • @KenyeKenyeTV
    @KenyeKenyeTV 3 года назад +31

    Lala salama superstar. Wimbo huu bado naikubali 2020 December 🔥🔥

  • @shamsaabdalah7038
    @shamsaabdalah7038 6 лет назад +347

    Rip samw wa ukweli upumzike mahala pema pepon mashabiki tutakumis umeacha pengo kwa taifa na wadau wako woooote

    • @olivermhanga4962
      @olivermhanga4962 6 лет назад +3

      so sad Sam bt y

    • @Joramkatana
      @Joramkatana 6 лет назад +4

      R.I P....Sam wa ukweli....kumbe nyimbo yako ilikuwa na maana fiche....Allah ailaze roho yako mahali pema peponi....
      Hata KWETU wapo

    • @ericngowa2799
      @ericngowa2799 5 лет назад +3

      Pole sana mungu akurehemu

    • @beuntflyhusnakasy9320
      @beuntflyhusnakasy9320 5 лет назад +3

      😢😢

    • @Kaniko_John
      @Kaniko_John 5 лет назад +3

      what,,Sam alikufa???? haki sina habari jamani

  • @alidynyakathomo6330
    @alidynyakathomo6330 11 месяцев назад +9

    If there is one artist I sincerely miss in Tz is this man Sam... continue resting in peace.He was just a humble one

  • @mariewangari6627
    @mariewangari6627 2 года назад +42

    2022 and am still listening to this song continue resting in peace

  • @larrykipkirui8675
    @larrykipkirui8675 Год назад +8

    vontinue resting in peace Sam Wa Kweli,his songs never fade😭😭😭

  • @mesabendo7581
    @mesabendo7581 4 года назад +57

    Hata huku qatar wako..R.I.P sam...2019 september watching frm qatar

  • @carolinemwamba8710
    @carolinemwamba8710 5 лет назад +39

    R.I.P still here2019 August kwa ajili yako. Ukichukia si shangai😭😭

  • @michaelmwembezi5998
    @michaelmwembezi5998 Год назад +5

    Sam wa ukwel nyimbo zako zita ishi sana,,,,pumuzika kwa amani huko uliko

  • @mosomidennis3786
    @mosomidennis3786 9 месяцев назад +2

    Nakumbuka nikiskiza huu wimbo qa Sam ukweli 2011 I had gone through alot. Nilikua nalia kila siku😢😢😢nikiskiza huu wimbo. Rip Sam.

  • @davidopl4466
    @davidopl4466 5 лет назад +94

    Who still watching this 2019 still my FAVORITE R.I.P sam

  • @catineanuali842
    @catineanuali842 5 лет назад +69

    R.I.P Sam wa ukweli...wimbo una touch saana...still listening 2018√ like

  • @berdernyakio7165
    @berdernyakio7165 3 года назад +14

    2021 from Kenya will always miss you, Rest in peace Sam piga like to show love

  • @ruthruthmugambi410
    @ruthruthmugambi410 Год назад +97

    2022 na bado ngoma iko juu wapi likes za Sam wa kweli

  • @apeterpaulo7436
    @apeterpaulo7436 6 лет назад +74

    Pumzika kwa amani kiukweli asubuhi ya Leo nilikua naimba mwenyewe wimbo wako bila kupata taarifa kuwa umetutoka duniani

    • @abdulbora5369
      @abdulbora5369 5 лет назад

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @jellysmaarifa1172
      @jellysmaarifa1172 3 года назад +1

      Masikin tutamkubuka daima mim hapa nipo kuangalia

  • @johnmainawambugu5428
    @johnmainawambugu5428 4 года назад +43

    September 2019
    Still listening..
    Pika like wacha ubinafsi

  • @bloomcomp
    @bloomcomp 4 месяца назад +20

    who is here 2024

    • @andrewmadaga7913
      @andrewmadaga7913 4 месяца назад

      Mungu ni mwema still bado tupo tupambana 💪🙏 always ❤️

  • @johnginni9926
    @johnginni9926 Год назад +2

    Huu wimbo unanikumbusha 2011 siku naripoti kidato Cha Tano,wakati nafanyiwa usaili mwalimu wangu alikuwa akiusikiliza Kila mda kwenye simu yake.I really inspired RIP SAM WA UKWELI.

  • @kathinimilkah8695
    @kathinimilkah8695 5 лет назад +8

    Anytime I listen to this song am always on tears can't believe you left this world rest in peace Sam wa ukweli who else 2019 +254

  • @sirchris5342
    @sirchris5342 4 года назад +26

    Doha Qatar 2020 June 6:09 wenye wanatoka shift kutuliza moyo na huu wimbo, piga like

  • @bonfacemark9048
    @bonfacemark9048 2 года назад +9

    He was my favorite musician before I started loving Simba may he rest in peace 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mashakamarsel9737
    @mashakamarsel9737 3 месяца назад +3

    Ngoma nzur itasikilizwatu nimelud Tena 2024

  • @jessiekerry928
    @jessiekerry928 4 года назад +80

    2020 May?quarantine makes one listen to these golden tbts.

  • @kenwakanai
    @kenwakanai 4 года назад +51

    May the soul of Sam find solace in heaven. He touched our hearts deeply

  • @kowech2626
    @kowech2626 2 года назад +12

    Brings back so many memories. Used to endlessly jam to this on my flap phone

  • @mercynduta4614
    @mercynduta4614 2 года назад +24

    This reminds me my days at isebania, kehanja, I fell in love with a guy but we had to separate bcz his father didn't approve coz of my tribe, Keep resting in peace Sam wa ukweli, I miss u

  • @josephmunna8577
    @josephmunna8577 8 лет назад +29

    Kiuwezo sifanani nao Ingawa wamenizidi Age wanaDici wanadai najifanya niringe na iki KIPAJI " ... " wanasahau aliyejuu Jehovah ndie mpaj Mgawa Riziki
    Limefikaaa

  • @daveochola5317
    @daveochola5317 6 лет назад +15

    Rest In Peace Sam.
    Though gone, this song stays with us here forever.
    Forever in our memories Sam

  • @TBGish
    @TBGish 3 года назад +25

    TZ will forever be in my heart with these songs ❤️

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Год назад +3

    Mungu akulinde popote ulipo Sam ❤️🔥🇰🇪

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO 4 года назад +4

    Sam Alisema Bora Walinyama Kuliko Walimwengu Pumzika Bro Mungu Akupunguzie Adhabu Kali Ya Kaburini 😭😭 2020 Bado Nakuskiza

  • @wambuwajeff1694
    @wambuwajeff1694 6 лет назад +61

    Rip Sam its unbelievable😢😟😟😟😢😢can't hold my tears

  • @jameskabingu3419
    @jameskabingu3419 Год назад +7

    Rest In Power bro, wimbo huu hunipa matumaini kila siku. Legend 🎧

  • @lamz2544
    @lamz2544 3 года назад +19

    This Guy was the, much Love From Kenya
    We really miss you so much bruh
    Till we meet again Legend
    Give me like even it's one like 23/2/2021

  • @halimashangz4226
    @halimashangz4226 4 года назад +6

    Dance with angles our lovly brother it's not easy bt it's Allah's will no one to blem😢😢sleep sefly till we meet..love from kenya.

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR 6 лет назад +307

    Duniani watu wana pita Kweli ..R.i.p sam

  • @josephchalatv8318
    @josephchalatv8318 2 года назад +1

    😭😭😭😭HATA KWETU WAPO R.I.P SAM WA UKWELI Brother umeongea maneno mazur sana kwenye huu wimbo saiv nimekuwa mkubwa nimegundua umuhimu wa haya maneno ulio ongea humu daaaah😭😭😭😭😭🔥🔥🔥🔥💯

  • @AfricansInGulf
    @AfricansInGulf 11 месяцев назад

    This guy must have been a prophet, it's 2023 the message can never be old, uchawi na ngono zimekua vitu za kawaida

  • @helenamapili4517
    @helenamapili4517 4 года назад +15

    Hatakama haupo we still listening ur music we love.......R.I.P bro

  • @Iam_whinz
    @Iam_whinz 6 лет назад +13

    Rest in Peace Sam.. this is my favourite of your songs.. Deep message and very true. Forever in our minds. Am glad you left this world after teaching and inspiring many. Love and condolences from Kenya.

  • @sentrinemuhindi9096
    @sentrinemuhindi9096 2 года назад +1

    Kwani alikufa lini😭😭😭mm sina habari, waaaah kweli watu cc sote n wapita njia, you never know about tomorrow rest in peace brother

  • @zipporahndhlovu6153
    @zipporahndhlovu6153 5 месяцев назад +1

    Continue Resting in Peace Sam. 2024 bado nazisikiliza tuh nyimbo zako.

  • @johanesmgeni7685
    @johanesmgeni7685 4 года назад +3

    Hakika duniani tunapita tu .......inama sana wale wanaokuvutia ndio mungu anawapenda zaidi MPE pumzko LA milele

  • @sashazuberyzubery7804
    @sashazuberyzubery7804 6 лет назад +9

    Daaah yan mpka naliaaa rip Sam Allah akupunguzie adhabu ya kabur njia yetu ni moja ty hakuna wa kukwepa

  • @veronicaakothotieno602
    @veronicaakothotieno602 2 года назад +22

    This song is still a hit...R.I.P sam..11years later i still play it a million times

  • @silver-yv2om
    @silver-yv2om Год назад +5

    I can't get tired of listening to his songs

  • @sijamadudu9960
    @sijamadudu9960 5 лет назад +182

    2019 RIP
    Gonga like twende sawa

  • @mutisyakalungu2533
    @mutisyakalungu2533 4 года назад +25

    If you like guy although he is no more piga like yako kwende

  • @Jkemtranslators
    @Jkemtranslators 2 года назад +24

    This song should win grammy award

  • @kosgeidickson9868
    @kosgeidickson9868 2 года назад +6

    on point brother I really like this song so much it really teach

  • @koechchepkole
    @koechchepkole 7 лет назад +50

    My favourite Bongo artist after Ali Kiba. He could have been a big star.

  • @KasisiTZA
    @KasisiTZA 2 года назад +4

    Endelea Kupumzika Kwa Amani My Brother!! 🙏

  • @junjunior2543
    @junjunior2543 7 месяцев назад +1

    Whenever iam sad or thinking of my friends who left us i came here so today i lost another friend 😔R.I.P LENNY

  • @sifap1397
    @sifap1397 6 лет назад +16

    Umenileta huku Sam! RIP one of my favorite song of you, RIP

  • @lucielucie9646
    @lucielucie9646 3 года назад +3

    Sasa hizi ndo bongo za kikweli.....si hizi kelele mnatupigia siku hizi, na kujaza watu kwa nyimbo ka mchele..... R.I.P hero, forever remembered and missed..... From 254

  • @grandpalitohtv1706
    @grandpalitohtv1706 2 года назад +10

    RIP SAM..all time legend..You left a mark🙌

  • @Clintonogwel98
    @Clintonogwel98 2 года назад +5

    Listened for like twenty times today😭😭old memories rip sam

  • @aksantedeborah7913
    @aksantedeborah7913 6 лет назад +27

    Dah siamini Sam you gone, yaani jamani kifo mbona waja mapema, this guy was still young jamani, dah my niece aliupenda sana, na in our group afro Holland, ilikuwa kiburudisho 😭😭😭 RIP Sam Wa Ukweli

  • @babajeremie5536
    @babajeremie5536 4 года назад +10

    From kenya november 2019. Continue Resting in Peace bro. Tutaonana badae

  • @Lilmbunah
    @Lilmbunah 3 года назад +3

    Nani yuko hapa baada ya kifo cha msanii wetu r.i.p kaka sam wa ukweli 😥🙏🙏🙏

  • @dizzonofficial2600
    @dizzonofficial2600 Месяц назад

    Daaah Hii Ngoma Still 2024 Inanipa Imani ya Kupambana Rest Easy Champion We Miss You 😢

  • @alfredopetu3393
    @alfredopetu3393 6 лет назад +11

    RIP kaka. Maeleze ya ukweli kutoka kwa Ukweli

  • @rachaelndichu8283
    @rachaelndichu8283 5 лет назад +18

    We miss you Sam.. It's still unbelievable.. R. I. P

  • @andygitau
    @andygitau 9 месяцев назад +1

    This song reminds me when i used to live with my Aunt,alot happened she wasnt so nice at times but i appreciate her time because she is no more,i miss her so much,continue rip Aunt.

  • @kibetkoechevans2986
    @kibetkoechevans2986 Год назад +2

    Every timei listen to this song i tend to assume my younger age back in the days when songs had such a deeper meaning.

  • @linnetngothi7715
    @linnetngothi7715 4 года назад +23

    Who is listening to this beautiful song in 2019 and will listen in 2020 gonna like

  • @seanmadollar4202
    @seanmadollar4202 4 года назад +6

    Wangapi twaona wimbo mtamu huu wakati wa quarantine???gonga like tukisonga

  • @gloryfarrah9381
    @gloryfarrah9381 3 месяца назад

    Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu anazozake. Ukisikiliza Sina Raha kisha uje kusikia huu wimbo utautambua utamu wa mziki😍

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 Год назад +4

    l will sing this song to my wedding R.I.P bro 😢💔🕊🕊🕊🕊🕊

  • @sellahtabu679
    @sellahtabu679 9 лет назад +8

    Very nice one Sam hata Saudi wako kila mahali wapo.

  • @aishawanjiku9911
    @aishawanjiku9911 7 лет назад +64

    hawakukosea wakikuita Sam wa ukweli maana huu ni ukweli

  • @generalarnold2057
    @generalarnold2057 2 года назад +4

    Rip legend💔 was listening to his songs in a mat3 today. I had to come back here and type rip😭

  • @clivancemokaya2672
    @clivancemokaya2672 2 месяца назад

    Mziki mzuri hausikii miaka...bado tunausikiliza huu wimbo May 2024

  • @congoswahilitv6465
    @congoswahilitv6465 4 года назад +6

    from USA New York 2019 tuna kupata 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩