CHEKA NA FUTUHI : KUJIFANYA ANAJUA KIINGEREZA BROTHER K AUMBUKA MBELE YA WANAKIJIJI UONGO WAMPONZA
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Brother k ni bonge la comedian Tanzania, naomba likes zake please
Honger ako bwan
Huwa wanachekesha lakn wanafikisha ujembe kwa serikali sisi lugha yetu kiswahili why english
Brother k wewe ni fundi wa kuchekesha pia na kupenyeza ukweli ufike kwa jamii hongera sana MUNGU AKUPE MAISHA MALEFU YA UCHEKESHAJI WAKO Amina
hahahaha
Dooh🤣🤣🤣🤣 kama umesikia "You know what am saying my man?" Kutoka kwa braza K naomba like zenu 🤣
Nmecheka sana
Anae pajua mgalaganza unipe like
Ahahahah!! umenifurahisha sana bro k mungu awe pamoja nawe
This what called comedy. You're the best number one in East Africa.
Exactly
m
@@revocatusmshama8330but
Aliyecheka hizo Kwanza kabla......🤣🤣njoo hapa
Nmeshndwa hata lakuandka ,,,nikaishiaa kuchekaaa sana,,, brother k wee noma sanaaa
Brother K is funniest Tanzania one!
Mh brother K noma jaman
Bro k unajuwa sana bonge la komedy mungu akupe afya njema
Leo Nipo nanyi tena 2024
🎉🎉
My brother ana mafunzo yake sema awa muelewi
Brother k aiseee!!! atali utatuua mashabiki zako kwahizo kabla kabla
Kigoma oyeeeeeeeeeeeeee😂
Oyeeeeeee
Da hatar hi nmeipends Sana big up Brada k
Brother k uko vizuri
Brother K mpuuzi kweli😀😀😀 kabla kabla kabla kabla m nakukubali Sana😀😀
😂😂👈 bro k bhna dangerous sna salute kwako
Nakubali mtoto wakigoma
Hongera Bro K
Weee Kali sana bro big up
🤣🤣🤣Khatarii saan huwiiiiiiiii jamani kazi kweli brother K bana
Brother k bangi sana
😀😀😀😀 brather k nakupenda
😂😂😂😂😂😂😂My brother ni muongo uyo
Naomba kwenye comedy nyingine hizo kabla ziludiwe
Da! Nilichelewa kuipata hii , nimefurahi sana
Nimecheka mpaka mbavu karbia zivunjike😂
Brother K,huo ukorofi sio kwakuchekesha huku.
Hahaha brother k nomaaaaa xna kwel ndo maana umexomea nyanzeba p/school
Mi kingereza nakijua ila kinakujaga usiku.
😂😂😂
Nimtihan 🤣🤣
😂😂😂😂😂
Kabla,kabla,kabla daaah brother K mnoma
Nakufaaaaaaaa
Brother k nakukubali toka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮😅😅😅😅😂😂😂😂😂aise nimecheka Hadi 😂😂
Ww ni nomaa
Very nice
Mi shati tu Hilo, linanitengua Nguvu😂😂
Safiii sanaaa
Kila nikiangalia hii video na brother k sinambavu na hiyo barua kuisoma 😁😁😁
daaaah br K we n noma😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂 kabla nyiiiiingiii dah brother K salute
🤣🤣🤣😭😭 brother k bongo siwezi toka
😂😂😂😂😂huyu mwamba hata kama unaumwa unapona
😂😂😂 mobimba utakuja kuniuaa...😂🔥🔥
Brother k. balaa sana
Star tv habar muko vzr, mno
Mungu wangu oko mbavu zang!!!
Haaaaaaaà
We Braza K wewe utatuvunja mbavu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nani kaona miwani ya Braza k
🤣🤣ati alikosea kuweka b 🤣🤣
Nampenda sana brother k
Unakuwa mnene akili huna hahahahaha
Mwakey mr K wakwetu kigoma 😂😂😂 🙌
Hawa wana wake wajitahidi katika uigizaji #badosanaaaa
😂😂😂 brother k we noma hicho kiingereza ni baraa tupu
Nakubali❤
Hahahahahaaaah! Tusojua kiingereza tutapata tabu sana! Duh
Safi kijana k
Sasa jamani naomba nikimbie mara moja 😆😆😆
Brother umetisha
Huyu mtu ni hatari aisee! Kwanza kabla sijaa...
Jamani
🤣🤣🤣🤣🤣😂brother k mungu anakuona ndo wameandika hvyo unavyotusomea
Huyo mama mwenye kilemba kashindwa kujizuia🤣🤣🤣🤣
Hatari sana
Ahaaaaa mbavu zangu bro K ,we ni noumaa
Mh uyo baba nom sana
Braza k
Yan brother k. Umenivuja mbavuuu
Nawasikiliza 5/5 uku Bujumbura
😂😂😂😂nmeshindwa kumalizia we brz K ww n atari💥💥💥💥💥💥
Papa mobimba🔥🔥🔥🔥
Sio lazima kingereza alikosea aliye watumia kwa kingereza......so kwa kuwa ni komed tujifunze kitu pia
Big up San brother karumanzila
Huyu jamaa anajua sana
Human salt
Yaaa
Maeneo ya kitangiri kona ya Jeshi hapo kwa mzee mhoja
Kwetu hapo kwa mzee muhoja unapajua kumbe
@@josianse napajua mkuu, mzee Evarist nampata vema niko jirani nae
Ushauri tosha
Blaza k ninoma
Yani wengi nmewalambisha kukufatilia na machekesho yako na wote wamekukubari mpaka mwingine tunaitana majina yako cjui unayatoa wapi namwita otolonyonyo nae anaiita mbuyukwile nmemsevi na kwenye cm
Aiseeeeeeeee
Hii kingereza iko hovyo sna 😂😂😂😂😂😂
Kiingereza Kenya bana tz bado kidogo
😀😀alikuwa sekta ya mboga hasa mchicha🤣🤣🤣🤣🤣tajir wa kigoma htr
Brather k kboko unajuwa kwel
😂😂😂😂 Kwanza kabla.....
Eti kila mtu achimbe kisima mtajijua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Brother k ameongea ukweli ss n waswahili kwann mikataba iandikwe kwa kingereza au hospitalin!!
Bro K unawachana Wasomi haahhaahah
Ndo wanajielezaga hivo
Umenifurahisha saaaaaanaaa😅brother k hhhhhhh😅😂😂😂😅
Hatari brother k unatuvunja mbavu....
😆😆😆❤❤❤❤ bother k evodia ni shidah.
🤣🤣🤣🤣🤣 brothe k wewe mungu anakuona
Haaaah aaaa daah eti sasa. niwaache kidogo
😁😁😁😁😁 wanawake wanafuga kucha kuliko kuku
serikal yetu ijipange tutabk tunawalaumu askali wetu hawajui shelia nawakat shelizetu zimeandikwa kingeleza
Nimecheka mpk nimekaa uyu brother k n konyo sana hahahaahahhahaha daaah
ila ww brother K mmmh watanzania wanakuona tu....mh
Mmmmh machoo
😂😂🎉 nice comedy
B k noma sana namkubali hahahaaaaaaa
Kingereza hicho ujuee naumwa mm 😂😂😂😋
You know what I'm saying ma men 😂😂😂😂
wap msaiziii. atariiiiii,,,,,
Mmmh brother k nomaa hahahaaaaaaa