TAZAMA YANGA YAPIGIWA SHANGWE KUBWA BUNGENI LEO/AZIZ KI ASIMAMISHWA NA WABUNGE/SPIKA APIGA KIJEMBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 78

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 4 месяца назад +6

    Yanga tam inajadiliwa na kila mtu atakae cheza kwetu ndo mchezaji wetu tuachen na yanga yetu💛💚💛💚🔥🔥🔥

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 4 месяца назад +3

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @MARCOTSUUT
    @MARCOTSUUT 4 месяца назад +1

    Mungu ibariki yanga

  • @unclesammykaniki1184
    @unclesammykaniki1184 4 месяца назад +1

    Safi sana heshima kubwa.

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 4 месяца назад +2

    Kweli sioni mchezaji wa simba anaestahili kucheza yanga kwa sasa

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 4 месяца назад +1

    Yanga forever 💚💛💚💛

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 4 месяца назад +2

    Yanga hoyeeeee❤❤❤

  • @FaridaHamisi-k6i
    @FaridaHamisi-k6i 4 месяца назад +3

    Safi sana mabigwa

  • @MadegeshoGerady
    @MadegeshoGerady 4 месяца назад

    najivunia kuwa Wana yanga

  • @lilianchambua5839
    @lilianchambua5839 4 месяца назад

    Hongera watu wangu Yanga na uongozi pamoja

  • @modelka222
    @modelka222 4 месяца назад +3

    Chama mzuri sana tena saana. Lakini ukiwa unataka matokeo,magoli hakuna kocha atampanga chama mbele ya Aziz k

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 4 месяца назад

    Jamani Yanga yameremeta wanameremeta🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kellyngogo3319
    @kellyngogo3319 4 месяца назад +2

    Wou🥰❤️

  • @emanuelyngoi4440
    @emanuelyngoi4440 4 месяца назад

    ❤ yanga 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kimlolakimlolanelly6330
    @kimlolakimlolanelly6330 4 месяца назад

    Very powerful engineer

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 4 месяца назад

    Heris popular and famous one

  • @VeronicaIsimalilo
    @VeronicaIsimalilo 4 месяца назад

    Yanga oyeeeee

  • @BarakaMwambwiga
    @BarakaMwambwiga 4 месяца назад

    Wow safiiiiii

  • @LisuJumanne
    @LisuJumanne 4 месяца назад

    Wamependeza mabigwa

  • @MartinYakobo-io1og
    @MartinYakobo-io1og 4 месяца назад

    Safi, sana yanga

  • @KizaMunda
    @KizaMunda 4 месяца назад

    Huyo akabiziwe kabisa na inchi ya tz🇹🇿 afanye kazi anaweza hana baya

  • @IbrahimSongita
    @IbrahimSongita 4 месяца назад

    Jamani yan kushangilia yanga ni raha sana tuu

  • @FloraNzawilla
    @FloraNzawilla 4 месяца назад

    Yanga ni Raha tupu ubarikiwe sana

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 4 месяца назад

    Jamaa Mwenye Ndevu Anaongea Vizuri kwa Anajuwa Nini Siri Za Wachezaji

  • @ElizabethBayyo-u5l
    @ElizabethBayyo-u5l 4 месяца назад

    💚💛💚💛💚💚💚💚💚

  • @lilianchambua5839
    @lilianchambua5839 4 месяца назад

    Unamhoji mlevi Aziz K huwezi mlinganishs na huyo mlevi Chama

  • @innocentmsoka7805
    @innocentmsoka7805 4 месяца назад

    Kazi njema Isaya 41:6.7

  • @Dr.LAZARO-j2e
    @Dr.LAZARO-j2e 4 месяца назад

    😅😅😊

  • @PascoMathias
    @PascoMathias 4 месяца назад

    Huyo kusaini ni masirahi azizi ki atabaki tu

  • @FaridahKisalu
    @FaridahKisalu 4 месяца назад

    Chama na Azizi k; mikataba yao kwafano,ote mikataba imeisha kwa pamoja _je nani timu zitaleta offer kubwa?(na yupi timu nyingi zitamuitaji?).

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy 4 месяца назад

    We mzee acha usenge wewe chama ananini saivi wewe acha ubwege

  • @OmaryBuberwa-j2e
    @OmaryBuberwa-j2e 4 месяца назад +1

    simba huyo

  • @williamkapama8744
    @williamkapama8744 4 месяца назад

    Mshabiki koko hasira tupu.

  • @AtufigwegeMwakalibule-pv3nv
    @AtufigwegeMwakalibule-pv3nv 4 месяца назад

    Mulizee huyo chama mpka sahiv ana magoli mangap mfananishe na cham wewe wa Simba umeolewa wewe hujitambui unapenda huchambui mpila

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 4 месяца назад

    Achana Na Ushindani Wakijinga Wewe Hujuwi Michezo Wachezaji..Wanasiri Kubwa Wewe Hujuwi Michezo Walawachezaji Siri Zao..Bwege

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 4 месяца назад

    Huyo jamaa anampenda mno Chama hadi anakuwa mpumbavu. Profile ya Ki utalinganisha na ya Chama?? Hawa mnawahoji toka wapi?? Mpuuzi

  • @UpendoUpendomgani
    @UpendoUpendomgani 4 месяца назад

    Masatu atafute kazi nyingine yakufanya ushabiki hauwezi na mpira haujui kabisa.

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 4 месяца назад

    Huyu mzee anavuta bange za arusha

  • @frankcryk3241
    @frankcryk3241 4 месяца назад

    mtu wa maana kabisa

  • @PeterNyondo-p7k
    @PeterNyondo-p7k 4 месяца назад

    Mmmmmm

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 месяца назад

    Mbona jana kafunga goli kwa mguu wa kulia?

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 4 месяца назад

    Jana goli la pili katupia kwa mguu wa randa?

  • @sultanmbogo860
    @sultanmbogo860 4 месяца назад

    ameonaniii wewe mzeee bwabwa kweli kwanini unaongea msichokijuwa nyinyi hamyasemi yachama mnaonelea ya aziiz

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 4 месяца назад

    .

  • @SteveSulle
    @SteveSulle 4 месяца назад

    Jana alifunga goli la tatu na tako au

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 4 месяца назад +5

    Sema nilichogunduwa mh zungu hajaipenda hii 😂

  • @leonardyohana268
    @leonardyohana268 4 месяца назад +1

    Mechi ya Dodoma na Yanga Azizi Ki alifunga goli la mguu wa kulia

  • @tanzaniabusesupdates5311
    @tanzaniabusesupdates5311 4 месяца назад

    Kwenyw mech ya dodoma mwambieni huyo mzee azizi k alifunga kwa mguu wa kulia, na pia alipiga danadana huku anakimbia kwa miguu yote miwili kapiga kwa kushoto na kulia so anachomaanisha yeye kipi

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 месяца назад

    Stupidity at the highest level, wabunge hawajui kazi ya bunge! Ni mpira tu na DP world.

  • @FatmaDafala
    @FatmaDafala 4 месяца назад

    simba bhana 😅raha sana kuwasikiliza povuu lao wapeleke muhimbili kufulia mashuka

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 4 месяца назад

    HAO MADUNDUKA.CHAMA KAWALOGA KUANZIA VIONGOZI WAO MPAKA MADUNDUKA WOTE.KILA WAKIIWAZA TIMU YAO WAO WANAMUONA CHAMA TU.NA NDIO MAANA CHAMA ANAWEZA KUMVIMBIA MPAKA KOCHA,NA BADO KWA UDUNDUKA WALIONAO WANA MUONA CHAMA NI BORA KULIKO MWALIMU WAO ANAEWAFUNDISHA MBINU ZA UCHEZAJI.HAWA KUJIITA MADUNDUKA NI SAWA SAWA.HAKIKA UDUNDUKA NI SHIDA!!!

  • @IbrahimAlly-mq9xg
    @IbrahimAlly-mq9xg 4 месяца назад +1

    Kwan Messi anatumia mguu gni

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 4 месяца назад +2

    Zungu ni simba daam hiyo imeeda

  • @SalumMkumba-wj2wl
    @SalumMkumba-wj2wl 4 месяца назад +2

    Safi sana timu letu

  • @mkulimamananasi
    @mkulimamananasi 4 месяца назад

    Kila mtu asifie chake

  • @AineaMpwaga
    @AineaMpwaga 3 месяца назад

    Chama hana lolote

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 4 месяца назад +1

    Wee chama kaa mdaa mrefuu sana simba km chama mzuri 2020 walicheza fainali ya mapinduzi zzb na mtibwa na chama alikuwepo chama wenu

  • @MARCOTSUUT
    @MARCOTSUUT 4 месяца назад

    Yanga mbele.

  • @ChunguweniKigunga
    @ChunguweniKigunga 4 месяца назад

    Yanga baba lao

  • @kishokaenos8973
    @kishokaenos8973 4 месяца назад

    Sababu kubwa ya kuchelewa kusaini kwa wachezaji wengi duniani Ni maslahi ili timu ione umuhimu wake na dau lipande

  • @SalimuRamadhani-nl7bp
    @SalimuRamadhani-nl7bp 4 месяца назад

    Kumbe mzee masatu upo na ubishi wakininga namna hiyo

  • @GodfrryGabriel
    @GodfrryGabriel 4 месяца назад

    Mh Zungu umenichekesha sana, Hersi anakukera sana 😄😄. Unaruhusiwa kuhama mh.

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 4 месяца назад

    Vice président Assemble Nationale de la Tanzanie il est fan de Simba sport club

  • @Hasssa-uu4nx
    @Hasssa-uu4nx 4 месяца назад

    Kwani huyo chama amesha Saini Simba?

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 4 месяца назад

    Hadi raha, maendeleo hayana chama, waheshimiwa wachezaji.

  • @petromilanzi3219
    @petromilanzi3219 4 месяца назад

    Mzee ajuwi mpira anajamba tuu apo

  • @Evancepiusbenald
    @Evancepiusbenald 4 месяца назад

    Nakubali Rais wetu

  • @IbrahimAlly-mq9xg
    @IbrahimAlly-mq9xg 4 месяца назад

    Rais wa team hyoooo🎉🎉🎉🎉

  • @mwanakherikhalfani2953
    @mwanakherikhalfani2953 4 месяца назад

    Watu wa maana kabisa

  • @Osama-dy9et
    @Osama-dy9et 4 месяца назад

    Chamalanguuu🎉

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 4 месяца назад

    💚💚💚💪🏽

  • @AlekiusPhinias
    @AlekiusPhinias 4 месяца назад

    Asante yanga

    • @AlekiusPhinias
      @AlekiusPhinias 4 месяца назад

      Naomba namba ya msemaji watim yangu yanga jaman naipenda yanga yangaaaaa

  • @RobertSamweli-dm2dj
    @RobertSamweli-dm2dj 4 месяца назад +2

    Nimependa sana kuona
    Machapioni bungeni mungu watangulie