Kwenyw mech ya dodoma mwambieni huyo mzee azizi k alifunga kwa mguu wa kulia, na pia alipiga danadana huku anakimbia kwa miguu yote miwili kapiga kwa kushoto na kulia so anachomaanisha yeye kipi
HAO MADUNDUKA.CHAMA KAWALOGA KUANZIA VIONGOZI WAO MPAKA MADUNDUKA WOTE.KILA WAKIIWAZA TIMU YAO WAO WANAMUONA CHAMA TU.NA NDIO MAANA CHAMA ANAWEZA KUMVIMBIA MPAKA KOCHA,NA BADO KWA UDUNDUKA WALIONAO WANA MUONA CHAMA NI BORA KULIKO MWALIMU WAO ANAEWAFUNDISHA MBINU ZA UCHEZAJI.HAWA KUJIITA MADUNDUKA NI SAWA SAWA.HAKIKA UDUNDUKA NI SHIDA!!!
Yanga tam inajadiliwa na kila mtu atakae cheza kwetu ndo mchezaji wetu tuachen na yanga yetu💛💚💛💚🔥🔥🔥
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Mungu ibariki yanga
Safi sana heshima kubwa.
Kweli sioni mchezaji wa simba anaestahili kucheza yanga kwa sasa
Yanga forever 💚💛💚💛
Yanga hoyeeeee❤❤❤
Safi sana mabigwa
najivunia kuwa Wana yanga
Hongera watu wangu Yanga na uongozi pamoja
Chama mzuri sana tena saana. Lakini ukiwa unataka matokeo,magoli hakuna kocha atampanga chama mbele ya Aziz k
Jamani Yanga yameremeta wanameremeta🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wou🥰❤️
❤ yanga 🎉🎉🎉🎉🎉
Very powerful engineer
Heris popular and famous one
Yanga oyeeeee
Wow safiiiiii
Wamependeza mabigwa
Safi, sana yanga
Huyo akabiziwe kabisa na inchi ya tz🇹🇿 afanye kazi anaweza hana baya
Jamani yan kushangilia yanga ni raha sana tuu
Yanga ni Raha tupu ubarikiwe sana
Jamaa Mwenye Ndevu Anaongea Vizuri kwa Anajuwa Nini Siri Za Wachezaji
💚💛💚💛💚💚💚💚💚
Unamhoji mlevi Aziz K huwezi mlinganishs na huyo mlevi Chama
Kazi njema Isaya 41:6.7
😅😅😊
Huyo kusaini ni masirahi azizi ki atabaki tu
Chama na Azizi k; mikataba yao kwafano,ote mikataba imeisha kwa pamoja _je nani timu zitaleta offer kubwa?(na yupi timu nyingi zitamuitaji?).
We mzee acha usenge wewe chama ananini saivi wewe acha ubwege
simba huyo
Mshabiki koko hasira tupu.
Mulizee huyo chama mpka sahiv ana magoli mangap mfananishe na cham wewe wa Simba umeolewa wewe hujitambui unapenda huchambui mpila
Achana Na Ushindani Wakijinga Wewe Hujuwi Michezo Wachezaji..Wanasiri Kubwa Wewe Hujuwi Michezo Walawachezaji Siri Zao..Bwege
Huyo jamaa anampenda mno Chama hadi anakuwa mpumbavu. Profile ya Ki utalinganisha na ya Chama?? Hawa mnawahoji toka wapi?? Mpuuzi
Masatu atafute kazi nyingine yakufanya ushabiki hauwezi na mpira haujui kabisa.
Huyu mzee anavuta bange za arusha
mtu wa maana kabisa
Mmmmmm
Mbona jana kafunga goli kwa mguu wa kulia?
Jana goli la pili katupia kwa mguu wa randa?
ameonaniii wewe mzeee bwabwa kweli kwanini unaongea msichokijuwa nyinyi hamyasemi yachama mnaonelea ya aziiz
.
Jana alifunga goli la tatu na tako au
Sema nilichogunduwa mh zungu hajaipenda hii 😂
Toka lini kolo akaipenda yanga
Kweli kabsa hata uso wake unaonyesha
yanga
Mechi ya Dodoma na Yanga Azizi Ki alifunga goli la mguu wa kulia
Kwenyw mech ya dodoma mwambieni huyo mzee azizi k alifunga kwa mguu wa kulia, na pia alipiga danadana huku anakimbia kwa miguu yote miwili kapiga kwa kushoto na kulia so anachomaanisha yeye kipi
Stupidity at the highest level, wabunge hawajui kazi ya bunge! Ni mpira tu na DP world.
simba bhana 😅raha sana kuwasikiliza povuu lao wapeleke muhimbili kufulia mashuka
HAO MADUNDUKA.CHAMA KAWALOGA KUANZIA VIONGOZI WAO MPAKA MADUNDUKA WOTE.KILA WAKIIWAZA TIMU YAO WAO WANAMUONA CHAMA TU.NA NDIO MAANA CHAMA ANAWEZA KUMVIMBIA MPAKA KOCHA,NA BADO KWA UDUNDUKA WALIONAO WANA MUONA CHAMA NI BORA KULIKO MWALIMU WAO ANAEWAFUNDISHA MBINU ZA UCHEZAJI.HAWA KUJIITA MADUNDUKA NI SAWA SAWA.HAKIKA UDUNDUKA NI SHIDA!!!
Kwan Messi anatumia mguu gni
Zungu ni simba daam hiyo imeeda
Safi sana timu letu
Kila mtu asifie chake
Chama hana lolote
Wee chama kaa mdaa mrefuu sana simba km chama mzuri 2020 walicheza fainali ya mapinduzi zzb na mtibwa na chama alikuwepo chama wenu
Yanga mbele.
Yanga baba lao
Sababu kubwa ya kuchelewa kusaini kwa wachezaji wengi duniani Ni maslahi ili timu ione umuhimu wake na dau lipande
Kumbe mzee masatu upo na ubishi wakininga namna hiyo
Mh Zungu umenichekesha sana, Hersi anakukera sana 😄😄. Unaruhusiwa kuhama mh.
Vice président Assemble Nationale de la Tanzanie il est fan de Simba sport club
Kwani huyo chama amesha Saini Simba?
Hadi raha, maendeleo hayana chama, waheshimiwa wachezaji.
Mzee ajuwi mpira anajamba tuu apo
Nakubali Rais wetu
Rais wa team hyoooo🎉🎉🎉🎉
Watu wa maana kabisa
Chamalanguuu🎉
💚💚💚💪🏽
Asante yanga
Naomba namba ya msemaji watim yangu yanga jaman naipenda yanga yangaaaaa
Nimependa sana kuona
Machapioni bungeni mungu watangulie
Ameen Inshaallah