Mbarikiwa mwangalie Mungu kwa nguvu zote angalia Mungu atakacho kufanyia. Acha kuongea ongea kwa sababu maneno yanakuwa. Simama na Mungu wako. Kwa sababu Mungu anakuelewa sana.
Kwa nini mtumishi usiache kuwasema sema hawa watu na ubaki tu kuihubiri habari njema za ufalme wa Mungu kwani hayo hayana uhusiano na mahubiri ya injili
Nikihubiri injili nitaisema miti? Au punda? Kwenye Biblia unasoma ni mbwa na punda tu, hamna watu? Waweza kuhubiri Injili bila kutaja tabia mbaya au nzuri za watu?
Pole SANA BABA MBARIKIWA ila jua wewe ni SHUJAA SANA
Mbarikiwa mwangalie Mungu kwa nguvu zote angalia Mungu atakacho kufanyia. Acha kuongea ongea kwa sababu maneno yanakuwa. Simama na Mungu wako. Kwa sababu Mungu anakuelewa sana.
Amini,amini,amini,amini, MUNGU muumba mbingu na nchi na vyote vilivyo na visivyo hai yupo.
Mungu na aikumbuke Tanzania hata kupitia mateso haya haki na iwajilie wanyonge
Ila hawa viongozi waajabu kweli aisee MUNGU AINGILIE KATI KWAKWELI
Ikiwa umesimama katika haki,haki ya Mungu itakuwa juu yako!
Amina baba
Ccm achen mnachokifanya mtaingia kweny laana ya bureee
Nikweri kabisa usilo penda kufanyiwa usimufanyie ndungu yako jilani yako lafiki yako jami yako
Mimi ccm nawaona kama nyoka wasio na huruma wanaosubiri kupondwa kichwa tu
Jamani
Kwa nini mtumishi usiache kuwasema sema hawa watu na ubaki tu kuihubiri habari njema za ufalme wa Mungu kwani hayo hayana uhusiano na mahubiri ya injili
Nikihubiri injili nitaisema miti? Au punda? Kwenye Biblia unasoma ni mbwa na punda tu, hamna watu? Waweza kuhubiri Injili bila kutaja tabia mbaya au nzuri za watu?
Wewe mwenyewe hapa umesema mtu au watu.
Umewakilisha ujumbe vizuri lakini si kwa kizazi hiki.. hakijui thamani ya wajunbe was Mungu...mfano yohana nk...songa.