Mbarikiwa awaangukia CCM! Mmewatuma wanaotonesha kidonda cha kuuawa kwa mwanangu?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 19

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk День назад +1

    Pole SANA BABA MBARIKIWA ila jua wewe ni SHUJAA SANA

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 19 часов назад

    Mbarikiwa mwangalie Mungu kwa nguvu zote angalia Mungu atakacho kufanyia. Acha kuongea ongea kwa sababu maneno yanakuwa. Simama na Mungu wako. Kwa sababu Mungu anakuelewa sana.

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 День назад +3

    Amini,amini,amini,amini, MUNGU muumba mbingu na nchi na vyote vilivyo na visivyo hai yupo.

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 День назад +3

    Mungu na aikumbuke Tanzania hata kupitia mateso haya haki na iwajilie wanyonge

  • @amashapatrick211
    @amashapatrick211 День назад +1

    Ila hawa viongozi waajabu kweli aisee MUNGU AINGILIE KATI KWAKWELI

  • @communitytv590
    @communitytv590 9 часов назад

    Ikiwa umesimama katika haki,haki ya Mungu itakuwa juu yako!

  • @AGATHACLAVERYMAKANTA
    @AGATHACLAVERYMAKANTA 18 часов назад

    Amina baba

  • @VictorMassawe-hb9yi
    @VictorMassawe-hb9yi 16 часов назад

    Ccm achen mnachokifanya mtaingia kweny laana ya bureee

  • @ashelikilele167
    @ashelikilele167 День назад

    Nikweri kabisa usilo penda kufanyiwa usimufanyie ndungu yako jilani yako lafiki yako jami yako

  • @zawadimwaibako4065
    @zawadimwaibako4065 День назад

    Mimi ccm nawaona kama nyoka wasio na huruma wanaosubiri kupondwa kichwa tu

  • @georgeWelele
    @georgeWelele День назад

    Jamani

  • @exavery1455
    @exavery1455 День назад

    Kwa nini mtumishi usiache kuwasema sema hawa watu na ubaki tu kuihubiri habari njema za ufalme wa Mungu kwani hayo hayana uhusiano na mahubiri ya injili

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  День назад +5

      Nikihubiri injili nitaisema miti? Au punda? Kwenye Biblia unasoma ni mbwa na punda tu, hamna watu? Waweza kuhubiri Injili bila kutaja tabia mbaya au nzuri za watu?

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn День назад +2

      Wewe mwenyewe hapa umesema mtu au watu.

    • @jumatheo5937
      @jumatheo5937 День назад

      Umewakilisha ujumbe vizuri lakini si kwa kizazi hiki.. hakijui thamani ya wajunbe was Mungu...mfano yohana nk...songa.