BALAA LA ALIKIBA NA KING'S MUSIC KWENYE JUKWAA LA FIESTA DSM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 358

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +172

    naombeni like kwa team ya wastaarabu tusio penda majungu tunao penda muziki mzuri hii ndio raha ya live band mnakula kitu harisi hongera kwa team kiba wote

    • @mubashdagun8008
      @mubashdagun8008 5 лет назад +2

      Hivi kulikua na kiingilio mbona kama watu wamesusia pambano

    • @philiposhilingi7288
      @philiposhilingi7288 5 лет назад +1

      Mubash Dagun kazi ya watu iyo kiingilio kinakosaje

    • @feisalbaruan7227
      @feisalbaruan7227 5 лет назад

      sasa toka lini fm academia walitumia cd ....mana ndo staili ya ali kiba muzik wake lazima apige bend

    • @farajachilemba9747
      @farajachilemba9747 5 лет назад +1

      Unajilazimisha kukubali hadi kibovu kisa eti shabiki yake.Kama kibovu sema kibovu TU hiyo ndiyo njia ya kumsaidia msanii wako.

    • @philiposhilingi7288
      @philiposhilingi7288 5 лет назад

      Faraja Chilemba hohohoho akili yako fupi kama mawazo yako yalipo ishia ila umelopoka kilicho ndani yako sina haja ya kukugombeza sana huenda sio tatizo lako labda ni mental illness

  • @robertcarlosrobatyrobaty2682
    @robertcarlosrobatyrobaty2682 5 лет назад +119

    ye ye ye Baba kings mme tisha sana kama unakubaliana nami jamaa wako good like hapa

  • @alimwamasumbo7535
    @alimwamasumbo7535 5 лет назад +22

    Naaminia kiba hatari kupiga live performance c mchezo unatakiwa uwe na ubunifu wa hali ya juu ndio maana ukaitwa king,,big up sana,,!!!

  • @wemakalam3233
    @wemakalam3233 5 лет назад

    Vyombo havipo vizuri sounds sio nzurikabisa why#kings music nice perfomance

  • @mandelanells7210
    @mandelanells7210 5 лет назад

    What i understand is this artists have the natural vocals there's no deference between the original song and live performance Big up Kiba much love from Kenya

  • @josephingili598
    @josephingili598 5 лет назад +3

    amna kazii apoooo mkalime miogo ata mfalme ajulika ndonii walichokiimbaa apo sikielewii ata kidgo

  • @berthamsodoki2865
    @berthamsodoki2865 5 лет назад +95

    Unajua sometimes tuache ushabiki kiukwel alikiba anaperfom very nice show ipo kimaadili waweza kaa na family kuangalia wala usipate shida yoyote penye ukweli tuseme ushabik tuweke pemben am not team kiba or diamond

  • @user-qz2fh6mw2u
    @user-qz2fh6mw2u 5 лет назад

    king kiba..uko juu..hadii..rahaaa..unajua kazi..yko..king kiba..hoyeeeeeee

  • @reaganotieno5359
    @reaganotieno5359 5 лет назад +8

    Masikini wa mungu 😢😢😢😢😢wamama wanaimba

    • @jackymichael8570
      @jackymichael8570 5 лет назад +1

      Reagan Otieno umkosa kzi et venye wamama unajuakuimba iko hvo watu wa tz mnafuata nendera fuata upepo kila siku bakwata kisa nyimboza matus tuachn timu kiba yeyeyeyeba

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka922 5 лет назад

    King's music mmetisha gonga like kma ww ni supporter wa kiba👑👑👑

  • @aishakhalfan747
    @aishakhalfan747 5 лет назад

    Mnajua kwa kweli....i do appreciate your performance..... Big up kings music🙌🙌

  • @sarahhilary5594
    @sarahhilary5594 5 лет назад +18

    King's music I love you guys 🤗🤗😘😘😘😘😘😘😘

  • @josephkambona2562
    @josephkambona2562 5 лет назад +13

    Diand ndo king wa mziki mzuri wengine watafuata vumbu.

  • @nusphatnuru6667
    @nusphatnuru6667 5 лет назад

    Manenomeng machafu lazima ila my king keep rolling good music 🎶🎶🤗😘😘🌍🌎🌍🌎

  • @senetamtangazaji2901
    @senetamtangazaji2901 5 лет назад +1

    kutoka Kenya hapa Show Iko Juu Na ya Afya Kama garange za Mvule Ubaya wenu Mumezoea show zakukosa heshima watu Uchi Na Kukosa adabu show hyo hata Baba anakaa nawanawe Na Bintie wakitazama Once a King always a King Kudos Shemeji

  • @africantrend432
    @africantrend432 5 лет назад +7

    Alaaaaaaah kumbe ndo hili balaaa Millard ayo umechemka na fiesta yenuuuu.com

  • @abedileite4725
    @abedileite4725 5 лет назад

    Show lazima iwe live. Wala si kuweka CD. Kama wcb.Big up sana Kings.

  • @Warner192
    @Warner192 5 лет назад

    King Kiba mziki mkali ila kuna udhaifu kwenye music system sauti imebanwa, King arange back vocals wanaend na sawa sawa na beat kumekuwa na mpishano kidogo.
    Big up most wisely artist Tz

  • @zulekhamnyaturu6341
    @zulekhamnyaturu6341 5 лет назад +9

    Team lang la nguvu, asilimia kam zote mnastahiki kupewa . Piga uwa garagaza majungu Kwe2 mwiko mwendo wa mziki mzur

  • @omarinarhou1962
    @omarinarhou1962 5 лет назад +11

    jaman iv iyo ndo kngs music au queen music yan show mbov achen kushabikia ujing et unaradhimxh wa tu wagong like kwa show mbov km hiyo

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 5 лет назад

    Aisee napenda sana mziki mzuri king's music for life always

  • @ngatunin.p.4292
    @ngatunin.p.4292 5 лет назад

    Big up Mtawala ..show Kali .. All hail his Majesty

  • @dadyabduly479
    @dadyabduly479 5 лет назад

    Toute me félicitations kazi zuri❤❤💋

  • @2116-n
    @2116-n 5 лет назад +24

    Sweet live music, sijackia neno PIGA KELELEEEEE au TUIMBE WOTEEEEE,
    Thanks Kiba

  • @barakaeleneus7859
    @barakaeleneus7859 5 лет назад +7

    Harmonize mtwara alifanya live band waiangalie ile wajifunze

  • @zilfaimidizilfaimidi1421
    @zilfaimidizilfaimidi1421 5 лет назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥Nawapenda San yebabaaaaaaaaaa

  • @denismasawe2574
    @denismasawe2574 5 лет назад +2

    Qali kinoma nomaa

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 5 лет назад

    Atari sanaa nakubali moto wa kuotea mbali kings music 4life bby

  • @monicaaugustino8848
    @monicaaugustino8848 5 лет назад

    Am in lov with ths😍

  • @kakanathan8918
    @kakanathan8918 5 лет назад

    Team SIMBAAAAAAAA tuna LIKE wapi 😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @francismsami2169
    @francismsami2169 5 лет назад +4

    Honestly speaking bongo live performance bado sana sijaona mm hata mmoja labda kina damian soul na kina ruby

  • @jskdochyally9664
    @jskdochyally9664 5 лет назад

    Kila nafsi na mapenzi yake huwezi mlazimisha mtu apende wcb wakati nafsi haina hata hisia hiyo. Kama unamkubali kiba goga like yako tuwe sawaaaa

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 4 года назад

    Kiba's live performance is lit, he commands the stage. Well done.

  • @kingallyfresh3140
    @kingallyfresh3140 5 лет назад +19

    Weweeee kings music ndiyo chama LA wanaaaa

  • @chotamnyamwezi2459
    @chotamnyamwezi2459 5 лет назад

    nasema Asante king kimusic

  • @yustondelwa5986
    @yustondelwa5986 5 лет назад +6

    Nampenda sana kiba, lakini sio kwa alicho kifanya hapa, ofcoz performance yake iko chini sana, jukwaa hajalitendea haki kabisa, kaimba kama yupo kwenye ndoa au kitchen part vile,
    kundi zima limeniangusha sana, let us try next time...... sasa wengine msianze mapovu hapa, ongea ukweli bila kubase team

  • @andresikabwe7310
    @andresikabwe7310 5 лет назад

    Kuimba live band kibongo bongo bado Sana aiseeee

  • @mussamndeme1114
    @mussamndeme1114 5 лет назад +1

    Shoo mbayaaa unazidiwa hats na madam Lita anachukua watu hawajulikani wanapiga shoo Kali kiba unazingu alafu ndo huwa unalalamika unaibiwa matilioo na wcb unafoce bila kujipanga

  • @aronrevocatus3092
    @aronrevocatus3092 5 лет назад

    me ni team kiba damu lakn kwa show ya jna sijaikubali hta kdogo brother kiukwel unaharib jina lko show gan hyo sasa kwa jina ulonalo ulikuwa syo wakwenda kupafom kwenye jukwaa lislokuwa nawatu unatuangusha sana shabik zako badilika vngnevo jina lko utalipotez bure Fanya collabo achana namajukwaa kama hyo tunachotaka shabik ni international collaboration usiwe naahad zamdomon badlika me sjapenda hta kidogo bora uifute2 hyo post vngnevo unaaibisha jina

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 5 лет назад +4

    hii ndio faida yakucheza bila mazwezi

  • @kassimsalim6126
    @kassimsalim6126 5 лет назад +5

    Hamna kitu apo

  • @halimaraju4064
    @halimaraju4064 5 лет назад

    Yeeeeee babaaaaaa Jamoooni raasana Jamoooni king kiba kiboko yaoooooo mambo ni motoooooo

  • @saulikinahi6703
    @saulikinahi6703 5 лет назад +1

    Bado sijaona balaa hapo, kawaida tu kama live band za Bar kiingilio kinywaji ....No energy, no chemistry no creativity @Asanteni kwa kushiriki

    • @chido_wa_south2171
      @chido_wa_south2171 5 лет назад

      Hahaha,brother comments zako kama upo namwenyewe karibu mnashikana mashati,ila kiukweli hapa hamna kitu.

  • @Biloicon
    @Biloicon 5 лет назад +14

    muundo Wa jukwaaa mmefeli sanaaa hayo majukwaa miaka hiii hayapo tengezeni yale yanayowafuata mashabiki siyo mnajiweka mbali na mashabiki mnafeli #Millard we si unajua waelekeze ndugu zako

  • @alwattanchinga
    @alwattanchinga 5 лет назад

    Uko juu kib..nakubali

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 5 лет назад

    Wahoo nice King 🤴 🤴 King

  • @breezydee7545
    @breezydee7545 5 лет назад +2

    Mimi ni shabiki wa Alikiba ila kiukweli hii show ilikuwa mbaya sana, Live band hajaiweza kusema ukweli, Hao madogo ndo kabisa hamna kitu kwenye perfomance yani hata wakijumuika hawamfikii mboso, Alikiba badilika fanya shows zako kama zamani tu, haya mambo ya live band yanakuharibia

  • @efraimmkese1490
    @efraimmkese1490 5 лет назад +5

    Kama Tigo fiesta ndo ilikuwa hivi,na aliyekuwa anasubiriwa na huyu kingkiba basi ilibuma kwakweli,maana nilichotegemea angefunika hata show moja mikoani ya wasafi hajafikia bhana,HV kiba tuambie kama umeacha mziki tujue

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 5 лет назад +4

    Mmm mchezo usiuchezee ww bado sanaa

  • @omanomana3958
    @omanomana3958 3 года назад

    King Himself Hamna Kama Yeye 🔥🔥🔥❤❤👑👑👑👑

  • @francismsami2169
    @francismsami2169 5 лет назад +6

    hii ni kingsmusic au akudo impact

  • @danielyjastini2791
    @danielyjastini2791 5 лет назад +8

    Hilo balaa likowapi acha maneno ayo mmeisha!😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @donmswati4483
    @donmswati4483 5 лет назад +5

    hamna maajabu kabixa hawa mxondongoma

  • @proudlyshemsa0271
    @proudlyshemsa0271 5 лет назад

    Yebabaaaaaaa Wazee wa live band Yu'll kill it

  • @g.p.ubandusa7564
    @g.p.ubandusa7564 5 лет назад +4

    Nilikuwa nafikiria ni werrason wa Congo jamani

  • @abuuabuuamed5366
    @abuuabuuamed5366 5 лет назад +3

    ukweli uta baki pale pale watu awana mzuka afu kiba kumbe kaishiwa ase

    • @karaniomoit5259
      @karaniomoit5259 5 лет назад

      Kaishiwa anafanana Kama kiba amebookiwa show Kenya nzima analipwa mukwanja mrefu wewe endelea naushamba wako sisi kiba twamupenda sana

  • @halemasalim9330
    @halemasalim9330 5 лет назад +11

    Timu heshima king kiba

  • @hellacredis3198
    @hellacredis3198 5 лет назад

    Motooooooooooooo,,👈👈👈👈👈

  • @braitonkimario7845
    @braitonkimario7845 5 лет назад

    King live Band hapoooo ndichiiii

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 5 лет назад

    Tisha sn King's Music!!lvyuu king kibaaaaa

  • @jumacharles5942
    @jumacharles5942 5 лет назад +4

    dah!kiba skuizi ndio unapotea au perfomance mbya

  • @maazamdungwa3326
    @maazamdungwa3326 5 лет назад +1

    Mmeibiwa jamani khaaaaaa,,maviiiiiiiiiii,,,,@@@@@@@bcw√√√

  • @nafsakibiki694
    @nafsakibiki694 5 лет назад

    safiiiiiiii

  • @franknsawila9417
    @franknsawila9417 5 лет назад +4

    du!! kwahyo iyo ndio xhow yan😁

  • @evarisaernest8048
    @evarisaernest8048 5 лет назад

    Nice

  • @peterjoseph3219
    @peterjoseph3219 5 лет назад +2

    Hakuna kitu shoo mbovu hakuna lolote nilibaki tu nasinzia badala ya kuangalia shoo sebene siyo sebene lingala siyo lingala sijui hata anaimba mziki gan? mm team kiba lakin upande wa pili wametupita tena pakubwa sana

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 4 года назад

    Mziki mzuri unapatikana King's music

  • @amimmsued7111
    @amimmsued7111 5 лет назад

    Kaliiii

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 5 лет назад

    K2ga atari 👌mkojuu jamani

  • @ayanseef4433
    @ayanseef4433 5 лет назад

    wapiga live band hawakupata MFA mzur Wa kukaa na king music alafu sound ya fiesta mbaya yani hawajaweza kucheza na mic tano kwa pamoja kosa kwa fiesta naawamboa hivi njooni funga kwaka na king kiba pale next door Rena munone mziki mzur king music

  • @barakabakari5987
    @barakabakari5987 4 года назад

    Show safiii

  • @saidiabdallah5208
    @saidiabdallah5208 5 лет назад +10

    Bora live band ya msondo,bado sana kuwafunika wale wa upande wa pili

  • @jumacharles5942
    @jumacharles5942 5 лет назад +6

    fiesta imepewa promo akini bure t ani hamna watu kabsa

  • @ellythoby.1859
    @ellythoby.1859 5 лет назад +3

    Kawaida

  • @eng.nelsonsapulal.231
    @eng.nelsonsapulal.231 5 лет назад +12

    jamn watanzania wenzang tuache kucomment ilmradi ...kiukwel huu mzik n wakina christian bella ...tunapaswa kuwashauri wasanii wetu wa Tz pale wanapo perform vbaya iliwasije wakatia aibu nchi zingne ...kwa hapo alikiba hakuna kitu anapaswa kuongeza juhudi zaid na zaid

    • @getrudamashauri3236
      @getrudamashauri3236 5 лет назад +1

      Nelson Lemsy hahahahaha mbna akina christian bela wanimba bongoglavour... kiba ni full package artist. anafanya chochote kwenye muziki

  • @rahmashaban8967
    @rahmashaban8967 5 лет назад

    Raha sana

  • @nusphatnuru6667
    @nusphatnuru6667 5 лет назад

    Tisha Sana good talented

  • @revendersuave8248
    @revendersuave8248 5 лет назад

    Yeeebaba #kings

  • @mariammariam4721
    @mariammariam4721 4 года назад

    Nec

  • @rahmakhamis111
    @rahmakhamis111 5 лет назад

    wabongo mnatia aibu mnafata mikumbo tuuu kueni na roho za kobinadamu wenzenu wametoa vitu vizur snaa

  • @happyhaule157
    @happyhaule157 5 лет назад

    King band

  • @nasrikileo
    @nasrikileo 5 лет назад

    Jeshiiii

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 5 лет назад

    #kingkiba

  • @jumasalulehe5655
    @jumasalulehe5655 5 лет назад +2

    piga msenge mbona mashabiki hatuwani

  • @barakasarungi9345
    @barakasarungi9345 5 лет назад +9

    Nipe like.....Kama unaamini hii ni weekend DISCO ...na sio fiesta maana sio kwa kupoa huku...

  • @gabrielpaul1082
    @gabrielpaul1082 5 лет назад

    ivi Dudu baya na Alikiba nan anamizuka kweny show. alikiba n ubavu wetu wcb

  • @bonnymakuke1408
    @bonnymakuke1408 5 лет назад +1

    Kwa mwendo huu mwakani kazi ipo ally kiba ajawai kushindwa akizamilia kitu sauti na ekima zinameba sana alafu shoo zake zimeturia azina papala

  • @zakiazakia4274
    @zakiazakia4274 5 лет назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amanimatelephone9410
    @amanimatelephone9410 5 лет назад +2

    Daah!!! Kwel kwa shoo hii hamna kitu bro....raha ya mzik kuimba na mafanz wako stejin hata ukiangalia show za mambele wasanii wanavyoimba na fanz wao mpaka mzuka unawpanda had wengine wanazimia hata kwa msanii inampa moyo kuwa watu wanapenda nyimbo zake kuzisikiliza na kuimba pia

  • @safariadrien8544
    @safariadrien8544 5 лет назад +2

    Chid benz kamuambia kwa nini
    unakimbia bongo fleva 🤣🤣
    wasani wakawaida sana
    ukilinganisha nangambo yapili yaani toa kitu weka kitu
    mutaelewa tu

    • @karaniomoit5259
      @karaniomoit5259 5 лет назад

      Kiba hatumie dawa za klevya hawezi Chukua ushauri kwa wanjinga angalia maisha ya chid Benz huezi linganisha na kiba

  • @juliusfungo2754
    @juliusfungo2754 5 лет назад +6

    hao ndo wazee wa live band ama nini ni shidaaaaaaaah

  • @maleop2950
    @maleop2950 5 лет назад +4

    Alikiba cha mtoto saaaaaaaaaaaaaaaaaana kwa simbaa

  • @nazilshabani4262
    @nazilshabani4262 5 лет назад +5

    nikilinganisha na show za wasaf festival yaan bad sana kwel wenye music wao wako upande ule

    • @karaniomoit5259
      @karaniomoit5259 5 лет назад

      Sababu akili yako ni ndogo Sana huwezi Kata mtoto wako eti sababu jirani amezaa mwingine acheni unafiki naushabiki za kijinga

    • @nazilshabani4262
      @nazilshabani4262 5 лет назад

      karani omoit unajua ukubwa wa pua sio wing wa kamas sasa ndio akir yako ilvyo pambana ya hela yote bunju ww

  • @fatumasaid4370
    @fatumasaid4370 5 лет назад

    Hapa kaz tu 😙😙😙😙😙😙

  • @julianawilliam4234
    @julianawilliam4234 5 лет назад

    Kama ulikuwa kwa show gonga like

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 5 лет назад

    Show nzur sema wachawi hawatakosa kutia neno na ukiskiliza maneno ya watu wenye roho mbaya hautafanikiwa kamwe achana kabisa na wachawi jiamini utatoboa kaz nzur

  • @ferouzfernandes3162
    @ferouzfernandes3162 5 лет назад +3

    Mbn hamnawatu

  • @pambanomwadia4946
    @pambanomwadia4946 5 лет назад +4

    mbona hakuna hiyo balaa sasa hiyo c ngoma ya kurusha watu hakuna jipya hapo bora hata band ya nyoshi

  • @masterkeymuzik
    @masterkeymuzik Год назад

    2022 ningali hapa

  • @josephkambona2562
    @josephkambona2562 5 лет назад +52

    Kama unampenda simba gonga like

    • @karaniomoit5259
      @karaniomoit5259 5 лет назад +3

      Simba ndo nini

    • @Starman-op9ho
      @Starman-op9ho 5 лет назад +2

      joseph kambona simba hana mfano.

    • @consolataakwabi7321
      @consolataakwabi7321 5 лет назад

      Simba vindu shiiiiiiiiii?

    • @kakanathan8918
      @kakanathan8918 5 лет назад

      @Karan omoit Simbaa ni mnyama aixhie porini pindi atokeapo SWALA NYATI n.k huwa hawasogei😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 5 лет назад

      Simba ni kidude gani au ni kinyama gani mi nakifananisha,kijenje