Melody ya huu wimbo ni kali sana na harmony yake ina mpangilio mzuri wa kupokezana unaoleta ladha fulani nzuri sauti zinapopishana. Niliwahibkuusikia miaka ya nyuma ukiwa umerekodiwa na kwaya moja dodoma siikumbuki. Sasa mmeimba kidigitaly zaid.Good job
I really like the tune n the song itself... though I don't understand the language since am a Malawian but I really like... Happy Easter to everyone...
Yehova alipowakusanya na kuwarudisha mateka wa Sayuni, Tulifikiri tunaota ndoto. Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko Na ulimi wetu kelele za shangwe. Wakati huo ilisemwa miongoni mwa mataifa: “Yehova amewatendea mambo makuu
Asante sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi Mliotuletea Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
Bado nasikiliza nyimbo zenu! Mungu awabariki
Ni baadhi ya nyimbo zile nzuri zaidi ambazo kila mwana kwaya apaswa kujua kuziimba
❤❤❤❤nawapenda sana
Tenges Tenges hua kinanda kinafanya unavyotaka mzee barikiwa sana mwamba
Heshima na adhama ziko mbele zake!!!!🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻,nguvu na ukuu ziko katika patakatifu pake🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Hadui zako zako. Watakuja kunyenyekea mbele zako ili neno.linanifulaisha sana
Melody ya huu wimbo ni kali sana na harmony yake ina mpangilio mzuri wa kupokezana unaoleta ladha fulani nzuri sauti zinapopishana. Niliwahibkuusikia miaka ya nyuma ukiwa umerekodiwa na kwaya moja dodoma siikumbuki. Sasa mmeimba kidigitaly zaid.Good job
Anastahili kuimbiwa wimbo mpya kila siku kweli
Psalm 96: 1, 6
Kumuimbia Mungu kunapendeza 😍
Tenges tusaidie nota bana
Huwa warombo nawakubali sana big up karibu nyumbani mpendwa wangu🙏
Mbarikiwe
Great combination, God bless you.
Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume🙏
Kazi nzuri
Heshima na adhama ziko mbele zake nguvu na uzuri ziko patakatifu pake
Mungu awabariki kwa utume uliotukuka......
Sifa na utukufu apewe Mungu
Mwimbie bwana wimbo mpya mbarikiwe jamani
Heshima na adhama ziko mbele Zake!!
I can't say more, the special vocal tone, the orchestral, the beats, most importantly the superb voices arrangement.
....Tangazeni wokovu wake siku kwa siku!
Salute kwenu hakika mnaimba vizuri Mungu abaliki kipaji chenu
Mwimbieni kwa zaburi,heshima na adhama ,astahili sifa bwana🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Safeeee sanaaa🔥
🔥🔥🔥🔥
Awesome, hongereni sana
Tenges utadhani alivyozaliwa tuu, akawekwa kwenye chumba chenye vinanda.! shughuli yake sio ya kawaida.. bravoo
Nice,tuni nzur,tumeiimba leo Kansan hongera kwa mtunzi,na waimbaji,,,Dominika njeema y Neno niwatakie
Nikimsikiliza huyu dada huwa ananipa sana raha naombeni namba zake nina shughuli yqngi ninampenda mno mwaaaaaa
Wimbo mzuri sauti taam
Hongereni sana
I really like the tune n the song itself... though I don't understand the language since am a Malawian but I really like... Happy Easter to everyone...
❤️🔥
Mwimbien
Good song ,heshima na adhama
Yehova alipowakusanya na kuwarudisha mateka wa Sayuni,
Tulifikiri tunaota ndoto.
Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko
Na ulimi wetu kelele za shangwe.
Wakati huo ilisemwa miongoni mwa mataifa:
“Yehova amewatendea mambo makuu
Kazi safi pale❤
❤❤❤
Asante sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi Mliotuletea Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu kristu
Mubarikiwe watimishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume
Wimbo mzuri Sana
Asanteni sana waheshimiwa kwa uinjilishaji uliotukuka. Soloist madam, hats off.
Naam!mwimbieni Wimbo mpya kwelii 🤗🥰
Nice song .. Big up Tenges .. Kazi safi
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Can listen listen several times, God bless you
Hakika mmenibariki, mbarikiwe
Very sweet song, sweet voices and very powerful spiritual song
This is awesome.Tenges do you offer piano classes.
Great, is among the songs I like ❤️
nice song
💙💙💙💕💕💚💕💕💐💐💐
Beautiful and sweet voices,👍👍👍
So Beautifu!l
Amazing song
Let's sing for his glory forever and ever.
Louange et gloire à toi Seigneur notre Dieu.
🙏🙏🙏
Praise him forever and for more and more.
👍
Your voices are beautiful 😍
Sweet melodies
Kazi Nauru sana
Angalia hii mziki tamu nayo sana
ruclips.net/video/jiM37WGEd0M/видео.html
👍