Heee 😢😢😢jamani ndoshida yakuolewa na wazee wanawivu alafu awajiwezeye chochote jamani maskini Mzee anafariki Dunia kwaajili ya mapenzi ila basi Mungu amurehemu😢😢😢.Anko jay nashukuru Kwa simulizi Yako ni nzuri Tena yanamafundisho mazuri aswa Kwa sisi wanawake
Ahsante Anko jay..hujawahi tuangusha mashabiki zako😊😊tunaenjoy sana 😊hongera yako msimuliaji wetu maarufu Mr.Anko jay bila kumsahau mtunzi wetu mahiri Mr.ambe,,mungu awabariki sana🙏
@@ankojay_ bado nasikiliza simulizi mix zako za kitambo city light nimefika sehemu ya nane kwa kweli utamu hadi sihishiwi hamu kipaji unacho tena sana daima kaka yetu mzuri mzuri ubarikiwe sana
ni hatari sana kutembea na mke wa mtu.. nilishawahi kuama mkoa bila kupenda... huku vyombo vya chumba changu nikivichoma moto, nilichukua vyeti vya taaluma na vitabu vya sheria nikaondoka bila kuaga na kodi sikumaliza.🤣
Anko jay ❤nifanyie mpango wa namba za alies kuna gari langu huku bovu😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umejua kunichekesha aiseee, 🙌🙌 nimechekea sana
@@ankojay_ 🤣🤣🤣🤣ety akupee no ya Elias walai mpe ya fundi kuchi
@@mercymusundi8779😅😅😅
@@mercymusundi8779Fund kuch maneno meng 😂😂😂
😂😂😂😂😂 wasikilizaji nyie mnamitihani haki😂😂😂😂
Nyie mko wap familia ya anko jay simulizi nawapnd wote mnao fatilia hii simulizi asant anko jay mungu akupe miaka buku uzid kuburudisha had wajukuu
Leo nimewahi Asante Ankojay hujawahi kutuangusha ubarikiwe sana
Vp haliyako anko jey hongera sana simuliz nzur pongez kwako❤❤
Hata nilikua nimeanza kukata tamaa kuona leo anko ametumbania😂😂😂😂 mara bumbuu mke wa boss ❤❤❤❤❤
Kwa kweli 😂 😂 😂
Ahh ihi simulizi ni Kali sana ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Wow niko rada anko j ❤love you broo
Haa balaa hiyo mtu na pesa zake kufa haa ama kweli shatani maleko yake ni mbaya wewe tupu mungu akusameh dhambi za lasihivo hutaona mungu
Heee 😢😢😢jamani ndoshida yakuolewa na wazee wanawivu alafu awajiwezeye chochote jamani maskini Mzee anafariki Dunia kwaajili ya mapenzi ila basi Mungu amurehemu😢😢😢.Anko jay nashukuru Kwa simulizi Yako ni nzuri Tena yanamafundisho mazuri aswa Kwa sisi wanawake
Ancojay waua yaani wasimulia na hisia mob love from kenya
Ujawai kukosea kaka Jay Good bless you 🙏🙏🙏🙏🙏 siku yangu itaisha vizur kabisa 🥰💫
Aki kaka saut yako ntamu wewe mpka bc Yan naipenda bure❤
Leo umechelewa sana anko Jay mpaka na tafuta za kitambo za simulizi mix city light
Hi shukran na pongez ya anko j ilove you so much 🥰 leo sina pingamizi nimewa no 1 naomba like zenu vipenzi🤗🤗🤗🤗
Love you too
Shukurani.anko j kwa storey tamu ❤❤❤
Ahsante Anko jay..hujawahi tuangusha mashabiki zako😊😊tunaenjoy sana 😊hongera yako msimuliaji wetu maarufu Mr.Anko jay bila kumsahau mtunzi wetu mahiri Mr.ambe,,mungu awabariki sana🙏
Jamani wewe kaka uko na vizury 🎉 na voice yako🎉🎉
Mh hii noma sn
Natamani wewe ndo uwe deleva wangu maana unasauti tamu et❤❤
Anko jay simulizi yako ni nzuri sana mungu akubariki
Oyaaaa anko Jay hiiii stor cy pw maaan sema nn fanya wakuachie na namb zao🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
ila hongera anko jay kwa kazi yako maridhawa bila kumsahau mtunzi alli mbetu
Dah huyo mwanajeshi anabalaa. All Jey good bless you
Wakwanza wadau 🪑🪑🪑🎧🎧🎧🇸🇦 mnitumie maua🌹🌹🌹🌹🌹🌹
🥀🥀🥀🥀
@@nadrasalum6039asante
@@mercymusundi8779 🙏
Napenda saut yako anko jay❤️❤️
Shukurani anko jay ubarikiwe sana
Anko jay salute kwako
Jerrn banz
Shukran ankoJ mzingo mdogo ila mtamu kweli😋❤😄
❤❤❤ thanks a lot for your good story mey god bless you all amini twakupenda sana wadauu wako shabiki
Thanks for watching
@@ankojay_ your welcome and love you 💕😘 to anko Jay
@@ankojay_ bado nasikiliza simulizi mix zako za kitambo city light nimefika sehemu ya nane kwa kweli utamu hadi sihishiwi hamu kipaji unacho tena sana daima kaka yetu mzuri mzuri ubarikiwe sana
Anko j asante kwasimuliz na sauti yak jmn hmmm
Ankloy hii tamu sana Kwani zkitungwa ni vtu vya kweli
Wala nimekuwa nimekosa Leo simulizi yakusikiliza Asante anko jay❤❤❤
Pole sana Ndung'u haisei umasikini ni mbaya walai 😂😂😂😂😂❤
Ukoo vizuri Anko j
Kube naww ako Jay unawivu😂😂😂asate sana
Hii nimeipenda sana 💪💪💪💪💪
Hongera elyas kuwa nawivu lkn mla vyawatu huliwa na vyake pia
Wake wa boss venye wanatabia mbaya😂😂😂😂 hope this one os diffrent...missed you Ankojay❤❤❤❤❤❤
Kweli haki kama mtu hakuridhishi si umwambie tu kuliko kumsaliti mtu anaye kugaramia
Gari la aunt Cathe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 halina hata chembe ya chuma,😂😂😂😂😂😂
Waaah iyo umeweza
Hio sio gari ankoj, simuliz nzuri jamani.
Mh Kamvuta masikio mwenzie
Uncle Jay hiyo me nakubali Sana ufund yaan ase ❤❤❤❤❤❤🎉
Ila huyu mwanamke mtihan noma balaaa ,,, kidume ule ushibe
Aki Nami Uku Pia Chupi Inachafuka Kwa Simulizi Tamu ❤❤❤❤
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Duh....inachafukaje ..?
@@ismailmasoud6001 Uliza Ankojey Chupi Ya Mwanamke Inachafukaje Kma Anatakani Mjegejeeeee
😆😆😆
Anko jay, mwambie Elius hku kna Loli lililo shinda watu
😄😄😄
MKE WA BOOS tena anabaraa gani tena na visa gani jamani haya tunasikiliza ankojay🤣
Anok j nakupenda san❤❤❤
Cirva Macua kkk nimekuelewa 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
hongereni hamzimi data
Nomaaa sana 👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Nomaa sana hiii
Aya mke waboss nzuli iyo daaaa
Anko Jay nimecheka kwa sauti hapo kwenye kuimba wimbo wa mzee yusuph 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmi napenda xan anavy ximlia daaah anajuw mung amxmamie
Big up anko Jay
Daa hii kali jamani
Mambo ayoo dr ambe
Wow nzur san an
Mmmh mbali na elias inaonekana hata musimulizi mwenyewe pia ni fundi😊😊❤❤
😂😂😂
Jamn ank j kila siku amber mbn Brian story unamsahau jamniii plz
ankoj fanya mpango wa huyo elias mana sio poa jamani 😂😂😂😂😂😂
Kaz
Jameni Mnatiwa Wenzenu Nyege Tunamiaka Atujachapwa Viboko😂😂😂😂😂
Hahahaha chizi wewe, tuwe marafiki...
Tunafanana akili zetu 🤣🤣
Kwa Nini hujachapwa miaka yote hiyo....!😮
@@Jitu_Lisilofikirika. Nimecheka Kwa Sautiiiiii
@@ismailmasoud6001 Bwana Kokutafutaaa Cjui Kunatafutwa Pesa Gani Naamu Ajabuu
Shukrani anko jay🔥🔥🔥
Big up bro
Ankojey njooo silva macua
Elias hana utani km fundi kuchi
Hongela anko je
Gd blo
Hii nmenyonga nayo walahi😂😂😂😂
Shukuran ankojay ❤❤❤
Jmn anko DiVA hainamuendelezo
Kesho naileta
Cyo pouwaa
Lakini anko j we acha tu🙆🙆🙆🙆🙆
Sawa tunakubali
Gari limefika mwisho wa safari
😊😊😊
🔥🔥🔥🥰🥰
Nice
😂😂😂😂😂😂❤🎉 anko jay ❤❤💓💓💓
Jamn anko J hiy saut ya mmasai uwag inankosha htr namkumbuka njeere wetu😂😂😂
Ni simulizi nzuri sana na imeisha vizuri
Huna bayaaah
Lete utamu sasa
Jamani elius ameniliza hata mimi ♥️
Jamani batiyako
Amazing thanks
Ahsante anko jay❤❤❤❤
❤❤❤😮
Jamani huyo dada ata aridhiki duuu
ni hatari sana kutembea na mke wa mtu.. nilishawahi kuama mkoa bila kupenda... huku vyombo vya chumba changu nikivichoma moto, nilichukua vyeti vya taaluma na vitabu vya sheria nikaondoka bila kuaga na kodi sikumaliza.🤣
😂😂 kazi nakazi 👌🏻
❤❤❤
Mmmmh,gari mtu hilo pambana nalo jombaaa
Ila mapenz jamani
Ankojay inaoneka wewe nimutaalam
Ukopoa
😂😂😂leo wakwanza haya nipeni like zenu plz😊😊😊
🌹🌹🌹
Nakupend
Makupenda
Asante sana Anko jay ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂Auntie
Anko.j pamoja sana siyo Kwa simuliz hz