BALAA LA MKE WA BOSS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 218

  • @babyzuhonline1865
    @babyzuhonline1865 Год назад +41

    Anko jay ❤nifanyie mpango wa namba za alies kuna gari langu huku bovu😂😂

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +10

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umejua kunichekesha aiseee, 🙌🙌 nimechekea sana

    • @mercymusundi8779
      @mercymusundi8779 Год назад +4

      @@ankojay_ 🤣🤣🤣🤣ety akupee no ya Elias walai mpe ya fundi kuchi

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +6

      ​@@mercymusundi8779😅😅😅

    • @fatumajumanne5961
      @fatumajumanne5961 Год назад +3

      ​@@mercymusundi8779Fund kuch maneno meng 😂😂😂

    • @lonakirao5275
      @lonakirao5275 Год назад +2

      😂😂😂😂😂 wasikilizaji nyie mnamitihani haki😂😂😂😂

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Год назад +11

    Nyie mko wap familia ya anko jay simulizi nawapnd wote mnao fatilia hii simulizi asant anko jay mungu akupe miaka buku uzid kuburudisha had wajukuu

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 Год назад +10

    Leo nimewahi Asante Ankojay hujawahi kutuangusha ubarikiwe sana

  • @fatmamasoud1398
    @fatmamasoud1398 Год назад +7

    Vp haliyako anko jey hongera sana simuliz nzur pongez kwako❤❤

  • @aminah9557
    @aminah9557 Год назад +13

    Hata nilikua nimeanza kukata tamaa kuona leo anko ametumbania😂😂😂😂 mara bumbuu mke wa boss ❤❤❤❤❤

  • @deborahkavira2415
    @deborahkavira2415 Год назад +6

    Ahh ihi simulizi ni Kali sana ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @isabellachizi4346
    @isabellachizi4346 Год назад +4

    Wow niko rada anko j ❤love you broo

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +4

    Haa balaa hiyo mtu na pesa zake kufa haa ama kweli shatani maleko yake ni mbaya wewe tupu mungu akusameh dhambi za lasihivo hutaona mungu

  • @ReginaMwenzelatifah
    @ReginaMwenzelatifah Год назад +6

    Heee 😢😢😢jamani ndoshida yakuolewa na wazee wanawivu alafu awajiwezeye chochote jamani maskini Mzee anafariki Dunia kwaajili ya mapenzi ila basi Mungu amurehemu😢😢😢.Anko jay nashukuru Kwa simulizi Yako ni nzuri Tena yanamafundisho mazuri aswa Kwa sisi wanawake

  • @Muhsin-d3u
    @Muhsin-d3u Год назад +1

    Ancojay waua yaani wasimulia na hisia mob love from kenya

  • @aishahassan-cl2zf
    @aishahassan-cl2zf Год назад +14

    Ujawai kukosea kaka Jay Good bless you 🙏🙏🙏🙏🙏 siku yangu itaisha vizur kabisa 🥰💫

  • @JacksonBarakaJammali
    @JacksonBarakaJammali 9 месяцев назад +2

    Aki kaka saut yako ntamu wewe mpka bc Yan naipenda bure❤

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +5

    Leo umechelewa sana anko Jay mpaka na tafuta za kitambo za simulizi mix city light

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 Год назад +12

    Hi shukran na pongez ya anko j ilove you so much 🥰 leo sina pingamizi nimewa no 1 naomba like zenu vipenzi🤗🤗🤗🤗

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +14

    Ahsante Anko jay..hujawahi tuangusha mashabiki zako😊😊tunaenjoy sana 😊hongera yako msimuliaji wetu maarufu Mr.Anko jay bila kumsahau mtunzi wetu mahiri Mr.ambe,,mungu awabariki sana🙏

  • @MarryRichard-r3n
    @MarryRichard-r3n 9 месяцев назад +1

    Jamani wewe kaka uko na vizury 🎉 na voice yako🎉🎉

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn Год назад +6

    Mh hii noma sn

  • @JohariTontor
    @JohariTontor 26 дней назад

    Natamani wewe ndo uwe deleva wangu maana unasauti tamu et❤❤

  • @SalmaMnalidi
    @SalmaMnalidi 9 месяцев назад

    Anko jay simulizi yako ni nzuri sana mungu akubariki

  • @RashadiMbutule
    @RashadiMbutule Год назад +1

    Oyaaaa anko Jay hiiii stor cy pw maaan sema nn fanya wakuachie na namb zao🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @حمدانالحويطي-م8ك
    @حمدانالحويطي-م8ك Год назад +4

    ila hongera anko jay kwa kazi yako maridhawa bila kumsahau mtunzi alli mbetu

  • @IbrahimKhalfan-xk2wq
    @IbrahimKhalfan-xk2wq Год назад

    Dah huyo mwanajeshi anabalaa. All Jey good bless you

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +9

    Wakwanza wadau 🪑🪑🪑🎧🎧🎧🇸🇦 mnitumie maua🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @AshaSamson-tl8bt
    @AshaSamson-tl8bt Год назад +3

    Napenda saut yako anko jay❤️❤️

  • @dorocasndunge1829
    @dorocasndunge1829 Год назад +4

    Shukurani anko jay ubarikiwe sana

  • @ElosyKinya-on5dk
    @ElosyKinya-on5dk Год назад +3

    Anko jay salute kwako

  • @JeremiahBanzi-fu2vw
    @JeremiahBanzi-fu2vw Год назад +6

    Jerrn banz

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +9

    Shukran ankoJ mzingo mdogo ila mtamu kweli😋❤😄

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +8

    ❤❤❤ thanks a lot for your good story mey god bless you all amini twakupenda sana wadauu wako shabiki

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +2

      Thanks for watching

    • @fatimafoaani2263
      @fatimafoaani2263 Год назад

      @@ankojay_ your welcome and love you 💕😘 to anko Jay

    • @fatimafoaani2263
      @fatimafoaani2263 Год назад

      @@ankojay_ bado nasikiliza simulizi mix zako za kitambo city light nimefika sehemu ya nane kwa kweli utamu hadi sihishiwi hamu kipaji unacho tena sana daima kaka yetu mzuri mzuri ubarikiwe sana

    • @EvelyneNifasha-zc6jr
      @EvelyneNifasha-zc6jr Год назад

      Anko j asante kwasimuliz na sauti yak jmn hmmm

  • @KharousMussa-gj6qj
    @KharousMussa-gj6qj Год назад +1

    Ankloy hii tamu sana Kwani zkitungwa ni vtu vya kweli

  • @kevenkeven7381
    @kevenkeven7381 Год назад +6

    Wala nimekuwa nimekosa Leo simulizi yakusikiliza Asante anko jay❤❤❤

  • @mildredalivitsa1186
    @mildredalivitsa1186 Год назад +2

    Pole sana Ndung'u haisei umasikini ni mbaya walai 😂😂😂😂😂❤

  • @AbdulAlly-te8td
    @AbdulAlly-te8td Год назад +2

    Ukoo vizuri Anko j

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +3

    Kube naww ako Jay unawivu😂😂😂asate sana

  • @NelsonMagule-x2b
    @NelsonMagule-x2b Год назад +1

    Hii nimeipenda sana 💪💪💪💪💪

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Год назад +3

    Hongera elyas kuwa nawivu lkn mla vyawatu huliwa na vyake pia

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +7

    Wake wa boss venye wanatabia mbaya😂😂😂😂 hope this one os diffrent...missed you Ankojay❤❤❤❤❤❤

    • @lonakirao5275
      @lonakirao5275 Год назад

      Kweli haki kama mtu hakuridhishi si umwambie tu kuliko kumsaliti mtu anaye kugaramia

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +5

    Gari la aunt Cathe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 halina hata chembe ya chuma,😂😂😂😂😂😂

  • @zawadikatana-zd9xj
    @zawadikatana-zd9xj Год назад +2

    Waaah iyo umeweza

  • @bettywayera8501
    @bettywayera8501 Год назад +3

    Hio sio gari ankoj, simuliz nzuri jamani.

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 10 месяцев назад +2

    Mh Kamvuta masikio mwenzie

  • @elishakivuyo
    @elishakivuyo Год назад

    Uncle Jay hiyo me nakubali Sana ufund yaan ase ❤❤❤❤❤❤🎉

  • @mrskijaketi9599
    @mrskijaketi9599 Год назад +3

    Ila huyu mwanamke mtihan noma balaaa ,,, kidume ule ushibe

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад +6

    Aki Nami Uku Pia Chupi Inachafuka Kwa Simulizi Tamu ❤❤❤❤

  • @norahwilliam8116
    @norahwilliam8116 Год назад +4

    Anko jay, mwambie Elius hku kna Loli lililo shinda watu

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +7

    MKE WA BOOS tena anabaraa gani tena na visa gani jamani haya tunasikiliza ankojay🤣

  • @HamidaJuma-e3o
    @HamidaJuma-e3o Год назад +1

    Anok j nakupenda san❤❤❤

  • @mwalepotv
    @mwalepotv 10 месяцев назад

    Cirva Macua kkk nimekuelewa 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @zaitunrashid287
    @zaitunrashid287 Год назад +6

    hongereni hamzimi data

  • @DanielMushi-h5l
    @DanielMushi-h5l Год назад +1

    Nomaaa sana 👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @EvanceElia
    @EvanceElia Год назад +2

    Nomaa sana hiii

  • @JenifarSamweli
    @JenifarSamweli Год назад +1

    Aya mke waboss nzuli iyo daaaa

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +3

    Anko Jay nimecheka kwa sauti hapo kwenye kuimba wimbo wa mzee yusuph 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JenniferMisango
    @JenniferMisango 11 месяцев назад

    Mmi napenda xan anavy ximlia daaah anajuw mung amxmamie

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +3

    Big up anko Jay

  • @olyoly9992
    @olyoly9992 Год назад +3

    Daa hii kali jamani

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 Год назад +4

    Mambo ayoo dr ambe

  • @NeemaAman-hk8lp
    @NeemaAman-hk8lp Год назад +1

    Wow nzur san an

  • @macrinasalama-j8v
    @macrinasalama-j8v Год назад +1

    Mmmh mbali na elias inaonekana hata musimulizi mwenyewe pia ni fundi😊😊❤❤

  • @angelantinda1009
    @angelantinda1009 Год назад +4

    Jamn ank j kila siku amber mbn Brian story unamsahau jamniii plz

  • @shakiramohamed8824
    @shakiramohamed8824 5 месяцев назад

    ankoj fanya mpango wa huyo elias mana sio poa jamani 😂😂😂😂😂😂

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia86 Год назад +2

    Kaz

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад +5

    Jameni Mnatiwa Wenzenu Nyege Tunamiaka Atujachapwa Viboko😂😂😂😂😂

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. Год назад +1

      Hahahaha chizi wewe, tuwe marafiki...
      Tunafanana akili zetu 🤣🤣

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад

      Kwa Nini hujachapwa miaka yote hiyo....!😮

    • @nurusaid4698
      @nurusaid4698 Год назад

      @@Jitu_Lisilofikirika. Nimecheka Kwa Sautiiiiii

    • @nurusaid4698
      @nurusaid4698 Год назад

      @@ismailmasoud6001 Bwana Kokutafutaaa Cjui Kunatafutwa Pesa Gani Naamu Ajabuu

  • @asiamodriq2933
    @asiamodriq2933 Год назад +4

    Shukrani anko jay🔥🔥🔥

  • @Nasrasuleiman-p1f
    @Nasrasuleiman-p1f Год назад +1

    Big up bro

  • @cristinasadique451
    @cristinasadique451 11 месяцев назад

    Ankojey njooo silva macua

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +6

    Elias hana utani km fundi kuchi

  • @LucyMfalo
    @LucyMfalo 3 месяца назад

    Hongela anko je

  • @RenzoJofre-my9lz
    @RenzoJofre-my9lz Год назад +1

    Gd blo

  • @JuneFaith717
    @JuneFaith717 Год назад +1

    Hii nmenyonga nayo walahi😂😂😂😂

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Год назад +2

    Shukuran ankojay ❤❤❤

  • @AshaAbedi-nw9xd
    @AshaAbedi-nw9xd Год назад +3

    Jmn anko DiVA hainamuendelezo

  • @AkadePaolo
    @AkadePaolo Год назад +2

    Cyo pouwaa

  • @NawMi121-lj8cf
    @NawMi121-lj8cf Год назад +3

    Lakini anko j we acha tu🙆🙆🙆🙆🙆

  • @SILVESTERMIKABE
    @SILVESTERMIKABE Год назад +2

    Sawa tunakubali

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Год назад +5

    Gari limefika mwisho wa safari

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Год назад +3

    🔥🔥🔥🥰🥰

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 Год назад +3

    Nice

  • @janethrogers8521
    @janethrogers8521 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂❤🎉 anko jay ❤❤💓💓💓

  • @dory8848
    @dory8848 Год назад +1

    Jamn anko J hiy saut ya mmasai uwag inankosha htr namkumbuka njeere wetu😂😂😂

  • @sittidaoudahmed5467
    @sittidaoudahmed5467 Год назад +2

    Ni simulizi nzuri sana na imeisha vizuri

  • @YassinKatukwa-cn3kv
    @YassinKatukwa-cn3kv Год назад +2

    Huna bayaaah

  • @loyc6306
    @loyc6306 Год назад +5

    Lete utamu sasa

  • @PhilipinerMawondo
    @PhilipinerMawondo 11 месяцев назад

    Jamani elius ameniliza hata mimi ♥️

  • @RushozaMerci
    @RushozaMerci Год назад +1

    Jamani batiyako

  • @kelvinmwema227
    @kelvinmwema227 Год назад

    Amazing thanks

  • @shaklamwai7868
    @shaklamwai7868 Год назад +2

    Ahsante anko jay❤❤❤❤

  • @aishaabubakar3567
    @aishaabubakar3567 Год назад +4

    ❤❤❤😮

  • @SophiatembaTemba
    @SophiatembaTemba 11 месяцев назад +1

    Jamani huyo dada ata aridhiki duuu

  • @njeyaduniatv
    @njeyaduniatv Год назад +3

    ni hatari sana kutembea na mke wa mtu.. nilishawahi kuama mkoa bila kupenda... huku vyombo vya chumba changu nikivichoma moto, nilichukua vyeti vya taaluma na vitabu vya sheria nikaondoka bila kuaga na kodi sikumaliza.🤣

  • @faizajumwa4696
    @faizajumwa4696 Год назад +1

    😂😂 kazi nakazi 👌🏻

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад +3

    ❤❤❤

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 6 месяцев назад

    Mmmmh,gari mtu hilo pambana nalo jombaaa

  • @rechokizumbe7314
    @rechokizumbe7314 Год назад +3

    Ila mapenz jamani

  • @noonnoon9476
    @noonnoon9476 Год назад +2

    Ankojay inaoneka wewe nimutaalam

  • @razigirazigi5437
    @razigirazigi5437 Год назад +2

    Ukopoa

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад +42

    😂😂😂leo wakwanza haya nipeni like zenu plz😊😊😊

  • @MaryMary-kq3nh
    @MaryMary-kq3nh Год назад +3

    Asante sana Anko jay ❤❤❤❤❤

  • @motive1man47
    @motive1man47 Год назад +2

    😂😂😂😂😂Auntie

  • @EmanuelyiddymasindeEmanuely
    @EmanuelyiddymasindeEmanuely Год назад

    Anko.j pamoja sana siyo Kwa simuliz hz