KICHICHI AMVAA WAITARA AMPA ZA USO" MKITI NGICHO AMEMSAIDIA HANA SHUKRANI" CCM IKIMRUDISHA ITAPOTEZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 22

  • @NESTORYMAGUTU
    @NESTORYMAGUTU 11 часов назад +1

    Nyie endeleeni kujikanyaga Jimbo la Tarime vijijini ni la john Heche!!

  • @CharlesSomeke-p8m
    @CharlesSomeke-p8m 15 часов назад +1

    😂😂😂😂😂Njaa ni mbya jamani

  • @juvenalymwanalyela202
    @juvenalymwanalyela202 16 часов назад +1

    ccm niwahuni sasa mwenyewe umezibitish

  • @charlesmurimi765
    @charlesmurimi765 7 часов назад

    Umeongea vyema sana. Waitara ni jirani yangu,mimi nipo Bungurere yeye Kangariani. Ni tapeli na kibaka anayelewesha vijana na wazee wa mila ili apate ushawishi na kukubalika

  • @seachkabwogi190
    @seachkabwogi190 День назад

    Kiswahili sasa dha

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 День назад

    Eti rais ana hati miliki pumbavu

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 День назад +2

    Kumekucha

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 10 часов назад

    Acha upuuzi ww hii siyo taratibu ya ccm ww ndiyo unataka kupasua chama

  • @Mahonda8080
    @Mahonda8080 День назад +1

    Kwaiyo mbunge hana chama🤔🤔

  • @CharlesSomeke-p8m
    @CharlesSomeke-p8m 15 часов назад

    Nikushauri tu mzee wangu ujifinze kiswahili pia ufue sharti uliyovaa ili shart ya ccm ionekane kwa juu pia kesi ya mtu ambayo wewe so msemaje unaonekana hata kwako watu hawana amani

  • @maxlesijila6598
    @maxlesijila6598 День назад +1

    Kwani Mh. Wasira aligombea na Nani ?? Demokrasia

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 День назад +1

    M 600😂😢

  • @johnesmwita
    @johnesmwita День назад

    Mbunge wa vijijini msemaji wa mjini. Wapi ma wapi

  • @johnesmwita
    @johnesmwita День назад

    Wewe umepata wapi mamlaka hayo

  • @edwardlukumay2698
    @edwardlukumay2698 2 дня назад +1

    Nimependa hiyo bado mtaongea yote

    • @rogersiddy
      @rogersiddy День назад +1

      😂😂😂😂😂🙌

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 День назад

    Huna akili unaongea nini huna Elimu huna chochote kimpya wewe ni chawa tu hujui chochote

  • @JuliusWerema
    @JuliusWerema 2 дня назад

    Mbona watu wa mjini ndo mnaseweweka na mambo ya vijijini ngicho ni wajibu wake kuwa Linda wagombea wa ccm Kwa nafasi mbali mbali,si vinginevyo,

  • @daddynamombas3898
    @daddynamombas3898 День назад

    Daaah kumbe!? Milioni 600 kuleta ushindi wa wabunge wawili tuu wa CCM?

  • @annamnanka-qk1bx
    @annamnanka-qk1bx День назад

    Kwani wewe mzee hamna vikao vya dani hufai kuwa ccm milioni miasita hiyo ilikuwa ya nini ?

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m День назад

    Acheni ujinga wenu Sasa mnamueleza nani kama sio majungu Nini?nyie mnaolalamika mko Jimbo la tarime mjini mnamlalamikia mbunge wa tarime vijijini kama sio kukivuluga chama Nini???!