Steve you are blessed to blessed other and comfort those who need Jesus you are there with them he says where two or three gather in his name he is there in the midst Kasolo congratulations your God walks with you every where you go hv no fear if God is for you WHO CAN BE AGAIST YOU?.🎉❤❤❤❤❤Amen&Amen Peace.
Kasolo Mimi nyimbo zako unibamba na unitia moyo Kuna nyakati napitianga wakaty mgumu lakini nikisikia naonanga kaa mungu unionekania na najikutanga yenye nilikuwa napitia yamehisha 🙏🙏
Kasolo please pray for me am passing through a hard situation please ...nikisikia nyimbo zako huwa nauliza nitakupa wapi I share my situation to you...maisha yangu Ni ya kuhuzunisha na kuangaisha
Kasolo,Mheshimiwa Mungu akubariki zaidi yakiwango amekubariki. Nakupenda bure u really inspire me alot.It has bn ma wsh Godatukutanishe 2 cku moja.God Bless u man of God mch
Barikiwa sana kasolo .Nyimbo zako zinanigusa.kwa kweli ni Mungu wa yatima na wajane.kwangu nitasimama na Mungu daima milele.Hakuna kutingizika kamwe.Amina.
Kasolo hii song inanikumbushaga my dad alkuwa anatushw Kila wakati tusimame na mungu na tusiwai kosa kwenda kanisa ata mambo hakitujia ya kutumalza tuombe bila kusita,,,,rest easy my beloved Dad 😢😢
Barikiwa sana stephene Kasolo. U really inspire me alot.It has bn ma dream dat one dei God atukutanishe coz mm kila mara nikuonapo ktk mitandao unanipa motisha kuwa kuna Mungu Binguni
Isaia 45__ thus says the Lord to his anointed to Cyrus whose hand l have grasped to subdue nations before him and ungird the loins of kings to open door before him that gates may not be close amen and amen 🙏🙏🙏🙏 bro
The ministry itself 😭to my coming wedding namwamini bwana na nitasimama naye katika hali zote sitachoka kwa kazi yake,, mbaki nae milele na neema izidi kukubeba🙏🙏🙏🙏🙏🙏
This song give us hope to live in peace and those who lose hope 😂😂😂because their dears and friend's God will weep them there tears I❤❤it God bless u my brother through psalmist's song thank u for ur song....read more
This is how talent ministers,,I lack words to say but God bless you stevo for the ministry that u do through your songs
May u be blessed
God bless you
@@puritysofia2577 q
We thanks God for every situation,May God be with us
Nice song kasolo i like them alot and God bless you
Mm Kila siku Kila saa ntasimama na bwana🙏🙏🙏
Mambo mengine yanaumiza lakini Mungu ni Mwaminifu!! ✌️💔😭
Jitie moyo,mungu atasimama na wewe kwa Kila hatua unachukua barikwa saana kasolo
Solo mungu ni mwaminifu ,lkn unanipatianga moyo sana najua siku moja mungu ataniinua nisimame na familia yangu
Mungu wa wajane atatake over....Amen
AMEN
Be blessed kasolo,Mungu hawezi kuacha watoto wake, Mungu wetu hawezi changanyikiwa akatuacha jangwani,kila wakati ako karibu nasi
Nitasimama na bwana katika maisha yangu na familia yangu baba najua hupo nami🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏
Pia mm nitasimama na bwana sitomuacha.....barikiwa sana kasolo
😭😭😭😭No matter the situation nitasimama na bwana
Simba wa gospel ukambani,,uko na nyota kubwa Sana ,love your ministry,,
Nenda salama uncle 😭😭😭.. thanks Bwana kwa kuja kutushika mkono kuzindikisha uncle yetu
Sauti unayo nzuri,, ukiimba mie najistukia nimelala😢
Our smart MCA na mimi nakutia nguvu simama na bwana baba shine all the best🤲🤲🤲
Steve you are blessed to blessed other and comfort those who need Jesus you are there with them he says where two or three gather in his name he is there in the midst Kasolo congratulations your God walks with you every where you go hv no fear if God is for you WHO CAN BE AGAIST YOU?.🎉❤❤❤❤❤Amen&Amen Peace.
😭😭😭😭so touching
But full of wisdom
Nitasimama na bwana
Kasolo, MUNGU akubariki Sana, mm nasimama na BWANA kama wewe.
Wonderful song, talented Guy 🎉❤️
Wathi museo brother kasolo,Mungu aliyekuinua na anione ,,,,,,,,mawaidha tele
This one has touched me. Oh God continue blessing your son kasolo and us all who only depends on you 😭🙏💯
This is ministry sir
Praise lord
I love the spirit of worship in you Mr Stephen
There is always a reward in standing with God.......He Never fails
More grace solo
Nice one🔥💯
@@janemutindi9628 no
Mr Kasolo nakupenda katika moto wangu ,unanijaza moyoni ,nikiskia nyimbo zako zinanijenga upya 🎉 you deserve reward ❤🎉
Even if things got tough I will stand with God
Wimbo poa bro,somo la hekima simama sanaaa bro MUNGU akutie nguvu zaidi,,nitasimama na bwana katika hali yangu yote sitamuacha kabisa
Kasolo napenda nyimbo zako huwa zanibariki kwa sana.. Tusimame na bwana na tumepende zaidi Amina
its hard for me to comment but today i did for the fast time 🥲🥲🥲🥲🥲😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌
Ntasimama na bwana 💥💥 congratulations bro iyo gomma imenikwanza mahali
Kweri kabisa afadhali kusimama na bwana ata dunia ikitingika simama na bwana you are ever blessed mheshimiwa👍💕
kasolo utaenda mbali nyimbo zako unibariki sana machozi uwa aikosi kutiririka
Ata mimi ntasimama na bwana no matter the stution sitomwacha 🤲
Wimbo poa ina variki, na mungu amekutengesea njia pita vila kupingwa,
Nitasimama na bwana kwa yenye napitia😢😢😢😢😢
Nmekam after kuona watu wa mdomo wakisema umecopy wakwende kabixa,ama warundi shule doh atleast wakifwatwa wakue na mwelekeo,
Bwana ni nguzo yetu tusiwahi kumwacha ijapokuwa majaribu ni mengi
Mungu wa wajane na baba wa yatima jidhihirishe kwa familia ya musau
Kasolo napenda nyimbo zakp na vile ambayo yntia wajane na mayatima moyo pia watu wore kupitia nyimbo zako may the Lord bless you
Aki Soloooo,wathi uu wina tei muno🤔 mbona alituacha bila kwa heri ? We loved her so much!! Tutazidi kumpenda mtoto wetu ...
Mungu akujalie hekima zaidi nyimbo zako zinagusa dunia nzima, nitasimama na BWANA"mlelee
Kasolo Mimi nyimbo zako unibamba na unitia moyo Kuna nyakati napitianga wakaty mgumu lakini nikisikia naonanga kaa mungu unionekania na najikutanga yenye nilikuwa napitia yamehisha 🙏🙏
AMEEEN hakika Mungu akubariki sana,, nyimbo zako zinaupako from to Tanzania
this is the gospel we want solo,,,be blessed
Amen nitasimama na Bwana katika Hali yangu barikiwa kasolo and keep the fire burning amen
Hata mimi nitasimama na bwana katika hali yangu na ninajua he wont disappoint me😭😭😭😭😭
Woi nitasimama na Yesu wangu milele be blessed aki
Nyimbo zako zimenitia moyo na kunisimamisha kimaisha barikiwa kasolo 🎉🎉
Kasolo please pray for me am passing through a hard situation please ...nikisikia nyimbo zako huwa nauliza nitakupa wapi I share my situation to you...maisha yangu Ni ya kuhuzunisha na kuangaisha
Sky solo sitawai choka kutoa machozi ,so ya uchungu wala mapito Hila Kwa furaha ya mungu Kwa ajili yako 😭😭😭😭aky mungu apewe sifa
Mungu amekuchaguwa ufanye kazi yake ubalikiwe sana
Kasolo,Mheshimiwa Mungu akubariki zaidi yakiwango amekubariki. Nakupenda bure u really inspire me alot.It has bn ma wsh Godatukutanishe 2 cku moja.God Bless u man of God mch
HAKIKA MUNGU WA KASOLO NDIE ME
NAMTAKA🙏🙏
Aky napenda nyimbo zako your so cute ungekuwa umeoa me nigepita na wewe
For sure Kasolo umenitia moyo sana nitasimama na bwana sitamwacha
Hey endelea kusimama psalm s,118 verse 17 God 🙏 bless you
Wimbo una mguzo Kwa kweli solo, nitasimama na bwana katika hali zote, nakupenda sana solo
Barikiwa sana kasolo .Nyimbo zako zinanigusa.kwa kweli ni Mungu wa yatima na wajane.kwangu nitasimama na Mungu daima milele.Hakuna kutingizika kamwe.Amina.
Keep up kasolo hata wakikutusi usife moyo nyimbo zako zinatutia nguvu
Nitasimama na bwana ,,,🙏🙏🙏🙏🙏
Pole Sana Mrs musau kwa kumpoteza mume wako 😭😭,🙏🙏🙏jitiye moyo👏👏
Zidi kuinuliwa tu solo,,, na uniombee aitaji kufika umbali kama huu .
❤❤aky ukijaribiwa na majaribu mengi lazima tusimame imara kila wakati wa shida ama LA akuna nice song 🎉
Nabarikiwa n nyimbo zko bro kasolo inanitia nguvu ubarikiwe sana
Eeeh uyo anatosha ,;mungu ,kila kitu ni yy ata ukitaka bingu muamini tu
Hongera sana bwana kasolo huku wimbo unanitia moyo sana Kwa kila hali nitasimama na bwana.barikiwa sana😢
I like the way you really drive motivational message to the community solo,, Napenda sana hii song.
Kasolo hii song inanikumbushaga my dad alkuwa anatushw Kila wakati tusimame na mungu na tusiwai kosa kwenda kanisa ata mambo hakitujia ya kutumalza tuombe bila kusita,,,,rest easy my beloved Dad 😢😢
Pia mm kama wewe STEPHO ,,nitasimama na BWANA katika Hali hiii
Nice song may God bless you and your family,be blessed soo much 🎉🎉🎉
😢Nitasimama na bwana ,hata kama kazi yangu iliisha na Nina watoto 3 na mke ,😢😢😢😢😢😢😢😢😢
More grace brother,a very nice and encouraging song,hakika nitasimama na bwana unaenda mbali ba shine
Sijaweza kuyazuia machozi while playing the song jipe moyo kwake yesu yote yanawesekana🙏🙏🙏🙏🙏
Nani mwingine amerudulia this song more than ten times. God bless you solo .
Pia mimi nitasimama na bwana Liwe Liwalo,Nifikisheni 100K Guys 💯💯💯💯💯💯💯💰
I'm a kisii but I love all your songs bro.God bless you keep on going 🙏
Nasikilizanga kila siku 😭
Great song, emotionally touching , spiritually healing ,nitasimama na bwana ......
🙏🏽🙏🏽
Kasolo your name is written In the book of life.sitacoment menfi
I wish you all the best In mulango ward I believe utasimama nayo kabisa kasolo
Bro kasolo, you are really talented,let the sky be the limit Go Go Go Amen
Mungu akupe maisha marefu
Tusimame na bwana Yesu kila wakati kwa kila hali
Kasolo nimetafuta hii wimbo kwa Boomplay na sijaiona.
Please do something 🙏🙏
The song is blessing me too much
I too nikiitaka naiskiza hapa online
Steve nyimbo zako zinanipeanga hope Sana may God bless you
Ata mm nitasimama na Bwana maana hapo ndipo kuma mapicho
Xoo touching bro I love your ministry Ngai nambikye vau ukuvikitye
Nice one my bro....Heri kusimama na bwana.
Nitasimama na bwana katika hali yangu
Barikiwa sana stephene Kasolo. U really inspire me alot.It has bn ma dream dat one dei God atukutanishe coz mm kila mara nikuonapo ktk mitandao unanipa motisha kuwa kuna Mungu Binguni
Weh utafanya niokoke bana...you are talented mweshimiwa
Some situtions in life are very hard to bear but "tukisimama Na Bwana " tutashinda. Mary Mwangi from Canada.
This is a call💗 Pongezi Mhesh
Baba Shine u neva disappoint...Pia mm nitasimama na Bwana
No matter what situation nitasimama na bwana Nice one solo
Wewewe huyu mtoto amebarikiwa na sauti
😭😭😭😭nitasimama Na bwana Katika Hali yagu
Isaia 45__ thus says the Lord to his anointed to Cyrus whose hand l have grasped to subdue nations before him and ungird the loins of kings to open door before him that gates may not be close amen and amen 🙏🙏🙏🙏 bro
The ministry itself 😭to my coming wedding namwamini bwana na nitasimama naye katika hali zote sitachoka kwa kazi yake,, mbaki nae milele na neema izidi kukubeba🙏🙏🙏🙏🙏🙏
This song give us hope to live in peace and those who lose hope 😂😂😂because their dears and friend's God will weep them there tears I❤❤it God bless u my brother through psalmist's song thank u for ur song....read more
Kwa maixha yngu itabidi uwe n bidii
Mungu akbar san kwa hiyo nyimbo
Kasolo I really love you listening here Uganda thanks for serving God
For real nimemuona bwana hii mwaka ingawa ni kubaya Lani yenye ametenda kwangu siwezi eleza na nitazidi kusimama naye
Asante Kasolo kwa kumutembelea Mrs Musau. Counseling a person is a good healing process.
What a encouraging message,,,Ngai ataiwe Steve and akuongezee knowledge and wisdom,,Nguma ni sya Ngai eweka
So touching...ni mengi tunapitia but tutasimama na Bwana.
God bless you My friend KASOLO...PENDA WW SANA MTU wa MUNGU