Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Nyayo za Mwai Kibaki
HTML-код
- Опубликовано: 10 июл 2024
- Na katika kile kinachoonekana kama histori kujirudia, tunalinganisha hatua ya kufutilia mbali baraza la mawaziri aliyochukua Rais William Ruto hii leo na mkondo aliochukua hayati Rais Mwai Kibaki ambaye pia aliwafuta mawaziri na mawaziri wasaidizi mwaka wa 2005. Sawia na mtangulizi wake ambaye kushindwa kwake kwenye kura ya maamuzi kuhusu katiba mwaka 2005 kulionekana kama kura ya kutokuwa na imani na serikali yake, Rais Ruto amekuwa akipata shinikizo kubwa kuhusu utendakazi wa serikali yake huku wananchi wakionyesha kutoridhishwa kwao na serikali
To be honest if he continues with the same consistency he may atleast reach 2027 as president.
We may not forget what you have done to us 😭but ruto you are still our president,, so do your best to deliver the best but first release those protestors you are holding in the cells and without charges.
I wish ni mpigs wamenda hope aky anyway our president you have to do more mbn mudavadi amebaki
rais amefanya vizuli sana kuafutilia mbali hao watu
Nyayo gani za kibaki, labda kisigino tu😂
We want new cabinet condensed to 14 and comprising of professional expertise not sycophant politicians who don't comprehend their mandate. Sasa Nakhumincha surely,
Amejaribu sana...sasa police,boss dci boss resign aje mandungu zetu wanapotezwa kila kukicha????halafu bado vunja bunge sasa
😂😂😂😂Alhamdulillah🎉
Alhamdullilah
Kweli kabisa raisi amejaribu sana
😮 lakini hakuafuta wasaidizi kama kibaki
Kidiki hiyo sauti yako sasa pelekea bibi yako💪💪
Ruto mast go go go
Mwai Kibaki did it from his heart, Ruto was forced.
You see kibaki didn't read his speech at first unlike these other ones
mudavadi pia must go
Ruto must go
Nonsense unapenda kuongea matope ata ujui kitu unacommet
Now I support you my president for listening to your people. The remaining part give directions to constitutional bodies to investigate and prosecute people who have stolen public money
Inaoekana zakayo ameanza kuwa musa😂😂😂😂
Na bado
Wamekuwa wakigawa Kenya kwa makabila,makabila wamejua adui yake Sasa nahawatatugawa tena
Wakenya waongee swahili in public functions slowly tribalism go end
@@winstonokoth965 wamejua kikulacho kinguoni mwao 😂 😂
@@jjclara668 ndio kieleweke ama pia yy aanguke nayo 😂
Nilikua deep state ya obako niwasaidie aje in shaa Allah??
Remember what he said when he was at Nyeri funeral"My government is like for the late Rais Mwai Kibaki" now that it's confirmed
Obako was legend,he didn't from papers 😂😂😂
See more about Joseph,
Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,
Joseph see more about,😮😮😮😮😮😮😮
He is on denial that nothing is working
Joseph itaaba more inforce profile picture update,😢😮😢😢😢😢😢
Ata pia hii Machungwa afutwe kazi
Neema
🙏🙏🙏🙏
No, no NOOO ruto must go ...
Wewe endelea kuota
Taimii emengung
Hajielewi huyu
@@jepkoechmercy8456ni wivu kako nayo
Send location
Usikubali kuanguka peke yako 😮😮angukuka na watu kama Ruto
I hope he put no politicians there
Too late iyo sio suluisyo
Ruto usifikirie unabaki hapi pia wewe unaenda ,verysoon ,
Ndo uongoze ama??
Hahaha nyao gani hizi 😂
😂😂😂😂
ruto is annoying and unprofessional
Ruto must go
Ruto must go
Send location
@@timothegreat6701Sugoi direct
😅😅😅😅😅😅😅@@timothegreat6701
Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,
Neema