Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Nyayo za Mwai Kibaki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024
  • Na katika kile kinachoonekana kama histori kujirudia, tunalinganisha hatua ya kufutilia mbali baraza la mawaziri aliyochukua Rais William Ruto hii leo na mkondo aliochukua hayati Rais Mwai Kibaki ambaye pia aliwafuta mawaziri na mawaziri wasaidizi mwaka wa 2005. Sawia na mtangulizi wake ambaye kushindwa kwake kwenye kura ya maamuzi kuhusu katiba mwaka 2005 kulionekana kama kura ya kutokuwa na imani na serikali yake, Rais Ruto amekuwa akipata shinikizo kubwa kuhusu utendakazi wa serikali yake huku wananchi wakionyesha kutoridhishwa kwao na serikali

Комментарии • 67

  • @djkool5991
    @djkool5991 Месяц назад +21

    To be honest if he continues with the same consistency he may atleast reach 2027 as president.

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Месяц назад +8

    We may not forget what you have done to us 😭but ruto you are still our president,, so do your best to deliver the best but first release those protestors you are holding in the cells and without charges.

  • @DamarisWangui-xq5wd
    @DamarisWangui-xq5wd Месяц назад +5

    I wish ni mpigs wamenda hope aky anyway our president you have to do more mbn mudavadi amebaki

  • @YunisVanisa
    @YunisVanisa Месяц назад +11

    rais amefanya vizuli sana kuafutilia mbali hao watu

  • @charlessiguna859
    @charlessiguna859 Месяц назад +8

    Nyayo gani za kibaki, labda kisigino tu😂
    We want new cabinet condensed to 14 and comprising of professional expertise not sycophant politicians who don't comprehend their mandate. Sasa Nakhumincha surely,

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 Месяц назад +7

    Amejaribu sana...sasa police,boss dci boss resign aje mandungu zetu wanapotezwa kila kukicha????halafu bado vunja bunge sasa

  • @The_sultans
    @The_sultans Месяц назад +10

    😂😂😂😂Alhamdulillah🎉

  • @mohamedmustafa2656
    @mohamedmustafa2656 Месяц назад +2

    Kweli kabisa raisi amejaribu sana

  • @davidkamau8317
    @davidkamau8317 Месяц назад +3

    😮 lakini hakuafuta wasaidizi kama kibaki

  • @mutiojunior
    @mutiojunior Месяц назад +1

    Kidiki hiyo sauti yako sasa pelekea bibi yako💪💪

  • @daviessimiyu7259
    @daviessimiyu7259 25 дней назад

    Ruto mast go go go

  • @josphatmogaka8668
    @josphatmogaka8668 Месяц назад +1

    Mwai Kibaki did it from his heart, Ruto was forced.

  • @peardselrvssian6292
    @peardselrvssian6292 Месяц назад +2

    You see kibaki didn't read his speech at first unlike these other ones

  • @paulwambugu-pk2eu
    @paulwambugu-pk2eu Месяц назад +1

    mudavadi pia must go

  • @pattiz4876
    @pattiz4876 Месяц назад

    Ruto must go

    • @eunicesang1704
      @eunicesang1704 Месяц назад

      Nonsense unapenda kuongea matope ata ujui kitu unacommet

  • @elishatotolela3843
    @elishatotolela3843 Месяц назад +2

    Now I support you my president for listening to your people. The remaining part give directions to constitutional bodies to investigate and prosecute people who have stolen public money

  • @NancyNjoki-w4o
    @NancyNjoki-w4o Месяц назад +6

    Inaoekana zakayo ameanza kuwa musa😂😂😂😂

    • @winstonokoth965
      @winstonokoth965 Месяц назад +1

      Na bado

    • @winstonokoth965
      @winstonokoth965 Месяц назад +1

      Wamekuwa wakigawa Kenya kwa makabila,makabila wamejua adui yake Sasa nahawatatugawa tena

    • @jjclara668
      @jjclara668 Месяц назад +1

      Wakenya waongee swahili in public functions slowly tribalism go end

    • @NancyNjoki-w4o
      @NancyNjoki-w4o Месяц назад

      @@winstonokoth965 wamejua kikulacho kinguoni mwao 😂 😂

    • @NancyNjoki-w4o
      @NancyNjoki-w4o Месяц назад

      @@jjclara668 ndio kieleweke ama pia yy aanguke nayo 😂

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu9672 Месяц назад +1

    Nilikua deep state ya obako niwasaidie aje in shaa Allah??

  • @dominickrono4937
    @dominickrono4937 Месяц назад

    Remember what he said when he was at Nyeri funeral"My government is like for the late Rais Mwai Kibaki" now that it's confirmed

  • @abdullahiomar1687
    @abdullahiomar1687 Месяц назад

    Obako was legend,he didn't from papers 😂😂😂

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Месяц назад

    See more about Joseph,

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Месяц назад

    Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Месяц назад

    Joseph see more about,😮😮😮😮😮😮😮

  • @SEMSE-FELIX
    @SEMSE-FELIX Месяц назад +1

    He is on denial that nothing is working

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Месяц назад

    Joseph itaaba more inforce profile picture update,😢😮😢😢😢😢😢

  • @alphyzqrw7222
    @alphyzqrw7222 Месяц назад

    Ata pia hii Machungwa afutwe kazi

  • @ceciliacodawa
    @ceciliacodawa Месяц назад +1

    Neema

  • @MoraaRichard
    @MoraaRichard Месяц назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @EdwinKiprotich805
    @EdwinKiprotich805 Месяц назад +10

    No, no NOOO ruto must go ...

  • @JacksonMwirigifanta-ow5gu
    @JacksonMwirigifanta-ow5gu Месяц назад

    Usikubali kuanguka peke yako 😮😮angukuka na watu kama Ruto

  • @DentalCity-bf7ke
    @DentalCity-bf7ke Месяц назад

    I hope he put no politicians there

  • @user-mb8jj1qq9c
    @user-mb8jj1qq9c Месяц назад +1

    Too late iyo sio suluisyo

  • @jairuscr7310
    @jairuscr7310 Месяц назад +3

    Ruto usifikirie unabaki hapi pia wewe unaenda ,verysoon ,

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Месяц назад

    Hahaha nyao gani hizi 😂

  • @susanjepkoch3359
    @susanjepkoch3359 Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @Cuel_01
    @Cuel_01 Месяц назад

    ruto is annoying and unprofessional

  • @joshuawambua378
    @joshuawambua378 Месяц назад +6

    Ruto must go

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Месяц назад

    Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,

  • @ceciliacodawa
    @ceciliacodawa Месяц назад +1

    Neema