Hilo liliva shati jeusi ndio lilikuwa limemninkiniya mtoto wa watu mgongoni nakumfokea kabisa tanyuwa migu 😭😭😭 laanatullah Mungu awalaani nyie vijana mna roho mbaya na huyo KISTULI BIN ANDUNJE KABUSHUTU mnavutiya bange mtoto watu. Yani kila nikiwakumbuka nyie roho inawaka moto.
Wabakaji wana utetezi!!! Huu ni ujinga wa CCM, wangekuwa wabakaji ni chadema kesi ingekuwa imeishatolewa hukumu tayari, kwa kupigwa, kutekwa na wasiojulikana na chama kufutiwa usajili, lakini nawaona watuhumiwa wanatabasamu, maana wanajua walionyuma yao ndo wenye sheria, mahakama, katiba, na benki.
Wanacheka ira hapo hakuna Kes Bali kifungo Cha maisha kinawagoja vijana wazuli wajinga huu wakati unaenda kubaka wakati kira Kona wanawake wamejaa Sasa walicho kifanya kwa masaa kitawagalim Mika Yao yote kuwa gerezan make ushahd ni kutimiza wajibu2 kira kitu kimeonekana kama huyo wa nguo ya kijan alikuwa anasherekea kunyonywa Sasa atajua hajui
Wakati mwingine wanajua kabisa kosa limetendeka na huwezi shinda kwani ushahidi upo ila wanajitutumua kukutetea ili waweze kuchukua tu mpunga wao mapemaa.😂😂😂
Hao wakina nyundo wateteen watoke wakili nyundo akitoka anadili na mwanae 😅😅
Chuji unazingua mzee baba
Mnatetea nini ?
Hao mbwa wafungwe kabsa
Hilo liliva shati jeusi ndio lilikuwa limemninkiniya mtoto wa watu mgongoni nakumfokea kabisa tanyuwa migu 😭😭😭 laanatullah Mungu awalaani nyie vijana mna roho mbaya na huyo KISTULI BIN ANDUNJE KABUSHUTU mnavutiya bange mtoto watu.
Yani kila nikiwakumbuka nyie roho inawaka moto.
Ww wakili subili mwanao nayeye abakwe alafundoo ukatete waloo mbaka mwanao sawa. Achanjaa ww
Yaani wabakaji Wana Mawakili
Eti, fala waha
Wewe wakili acha hii kitu haya
Nishida
Kwanza ao mawakili wenyewe itakua Awana watoto , awajui maumivu yake
Wabakaji wana utetezi!!! Huu ni ujinga wa CCM, wangekuwa wabakaji ni chadema kesi ingekuwa imeishatolewa hukumu tayari, kwa kupigwa, kutekwa na wasiojulikana na chama kufutiwa usajili, lakini nawaona watuhumiwa wanatabasamu, maana wanajua walionyuma yao ndo wenye sheria, mahakama, katiba, na benki.
Kumbe wew unatetea ujinga ety
Ivi ww wakili ukosawakweli itokesi unatetea aunjaa inakusumbua unatetea ujinga
Video si ushahidi tosha au nn tena
Kwa nini isikilizwe in camera? Kuna nini kinafichwa
Wanyongwe tu
Wanyongwe na tuone wamekufa
Wakishinda hii kesi mm nitamuomba huyo wakili awe wakili wa kesi yoyote nitakayopata kwakweli
Wanacheka ira hapo hakuna Kes Bali kifungo Cha maisha kinawagoja vijana wazuli wajinga huu wakati unaenda kubaka wakati kira Kona wanawake wamejaa Sasa walicho kifanya kwa masaa kitawagalim Mika Yao yote kuwa gerezan make ushahd ni kutimiza wajibu2 kira kitu kimeonekana kama huyo wa nguo ya kijan alikuwa anasherekea kunyonywa Sasa atajua hajui
Mr yona unatetea nini exactly…????
Anatetea tumbo lake
Ushaidi wanini tena mbona jambo lipo wazi bongo ni nchi ya hovyo sana
Chaufupi kaongozwa mbele😂 na yule alikuwa ananyonywa kalala kitandan aende akanyonywe na manyampala😂 na yy ndo atawanyonya wenzie
Huyu mtetezi anatetea nini kwenye hii kesi jamn hii machi tuaendawapi jaman 😭😭
Hao wanawazaga hela tu wapuuzi hao, wapo tayari kupindisha haki mda wowote pesa nzuri ikiwafikia
Wakati mwingine wanajua kabisa kosa limetendeka na huwezi shinda kwani ushahidi upo ila wanajitutumua kukutetea ili waweze kuchukua tu mpunga wao mapemaa.😂😂😂
Uyu wakili hajielewi unataka pesa tu tapeli tu huna mypa
acha ujinga mbwa ww, Wakili yupo kazini
@@jizzotheking9238 umesoma koment hujaielewa unatukana kwanini? hatakama yuko kazini ndoutetee wahalifu kiasi hicho angekua dada yako ndokafanyiwa ungemsapot uyo wakili?
Wakili wa utetezi usijichanganye
mambo ya ajabu sana mnatetea wabakaji,walawiti kweli?
Ndio kazi ya mawakili..kazi yao ni kutetea wahalifu ambao hao wanawaita wateja