WAKILI ANAYESIMAMIA KESI YA WALIOBAKA NA KUMLAWITI BINTI WA YOMBO ANENA, KESI YASIKILIZWA MASAA SITA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 33

  • @RajabuSefu-u3f
    @RajabuSefu-u3f Месяц назад

    Hao wakina nyundo wateteen watoke wakili nyundo akitoka anadili na mwanae 😅😅

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 2 месяца назад

    Chuji unazingua mzee baba

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Месяц назад

    Mnatetea nini ?

  • @GerrardSiame-yl2vc
    @GerrardSiame-yl2vc 2 месяца назад +2

    Hao mbwa wafungwe kabsa

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 месяца назад

    Hilo liliva shati jeusi ndio lilikuwa limemninkiniya mtoto wa watu mgongoni nakumfokea kabisa tanyuwa migu 😭😭😭 laanatullah Mungu awalaani nyie vijana mna roho mbaya na huyo KISTULI BIN ANDUNJE KABUSHUTU mnavutiya bange mtoto watu.
    Yani kila nikiwakumbuka nyie roho inawaka moto.

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 2 месяца назад

    Ww wakili subili mwanao nayeye abakwe alafundoo ukatete waloo mbaka mwanao sawa. Achanjaa ww

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 2 месяца назад

    Yaani wabakaji Wana Mawakili

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 2 месяца назад

    Wewe wakili acha hii kitu haya

  • @MichaelAyubu-p2o
    @MichaelAyubu-p2o 2 месяца назад

    Nishida

  • @NursamiaKiligaliga
    @NursamiaKiligaliga 2 месяца назад

    Kwanza ao mawakili wenyewe itakua Awana watoto , awajui maumivu yake

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130 2 месяца назад

    Wabakaji wana utetezi!!! Huu ni ujinga wa CCM, wangekuwa wabakaji ni chadema kesi ingekuwa imeishatolewa hukumu tayari, kwa kupigwa, kutekwa na wasiojulikana na chama kufutiwa usajili, lakini nawaona watuhumiwa wanatabasamu, maana wanajua walionyuma yao ndo wenye sheria, mahakama, katiba, na benki.

  • @GerrardSiame-yl2vc
    @GerrardSiame-yl2vc 2 месяца назад +1

    Kumbe wew unatetea ujinga ety

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 2 месяца назад

    Ivi ww wakili ukosawakweli itokesi unatetea aunjaa inakusumbua unatetea ujinga

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 2 месяца назад

    Video si ushahidi tosha au nn tena

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 2 месяца назад

    Kwa nini isikilizwe in camera? Kuna nini kinafichwa

  • @kilulumtunyungu9369
    @kilulumtunyungu9369 2 месяца назад

    Wanyongwe tu

  • @swagztvonline1562
    @swagztvonline1562 2 месяца назад

    Wakishinda hii kesi mm nitamuomba huyo wakili awe wakili wa kesi yoyote nitakayopata kwakweli

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 2 месяца назад

    Wanacheka ira hapo hakuna Kes Bali kifungo Cha maisha kinawagoja vijana wazuli wajinga huu wakati unaenda kubaka wakati kira Kona wanawake wamejaa Sasa walicho kifanya kwa masaa kitawagalim Mika Yao yote kuwa gerezan make ushahd ni kutimiza wajibu2 kira kitu kimeonekana kama huyo wa nguo ya kijan alikuwa anasherekea kunyonywa Sasa atajua hajui

  • @AishaHaji-h4d
    @AishaHaji-h4d 2 месяца назад

    Mr yona unatetea nini exactly…????

  • @kilulumtunyungu9369
    @kilulumtunyungu9369 2 месяца назад

    Ushaidi wanini tena mbona jambo lipo wazi bongo ni nchi ya hovyo sana

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 2 месяца назад

    Chaufupi kaongozwa mbele😂 na yule alikuwa ananyonywa kalala kitandan aende akanyonywe na manyampala😂 na yy ndo atawanyonya wenzie

  • @JacksonikalemagaJackson
    @JacksonikalemagaJackson 2 месяца назад

    Huyu mtetezi anatetea nini kwenye hii kesi jamn hii machi tuaendawapi jaman 😭😭

    • @T_Darius
      @T_Darius 2 месяца назад

      Hao wanawazaga hela tu wapuuzi hao, wapo tayari kupindisha haki mda wowote pesa nzuri ikiwafikia

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 2 месяца назад

      Wakati mwingine wanajua kabisa kosa limetendeka na huwezi shinda kwani ushahidi upo ila wanajitutumua kukutetea ili waweze kuchukua tu mpunga wao mapemaa.😂😂😂

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 месяца назад

    Uyu wakili hajielewi unataka pesa tu tapeli tu huna mypa

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 2 месяца назад

      acha ujinga mbwa ww, Wakili yupo kazini

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 2 месяца назад

      @@jizzotheking9238 umesoma koment hujaielewa unatukana kwanini? hatakama yuko kazini ndoutetee wahalifu kiasi hicho angekua dada yako ndokafanyiwa ungemsapot uyo wakili?

  • @marymichael9964
    @marymichael9964 2 месяца назад

    Wakili wa utetezi usijichanganye

  • @dennisbarongo2411
    @dennisbarongo2411 2 месяца назад

    mambo ya ajabu sana mnatetea wabakaji,walawiti kweli?

    • @ramadhankakai7303
      @ramadhankakai7303 2 месяца назад

      Ndio kazi ya mawakili..kazi yao ni kutetea wahalifu ambao hao wanawaita wateja