NEEMA YA MUNGU HUJA NA TAARIFA (I) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Kabla ya tatizo lolote kutokea Mungu huachilia taarifa ndani ya mtu.Watu wengi wamekuwa wakiingia kwenye matatizo kwa sababu ya kutosikiliza sauti ya Mungu.Mungu huachilia neema yake ili janga linalotakiwa kutokea lisikupate na wewe unatakiwa ufanyie kazi maelekezo yote anayokupa.Favour(Kibali) bila information ni rahisi sana ukaishia kwenye mauti.
Leo hii ukiuliza watu wengi waliopata ajali watakwambia kuwa kabla hawajaanza safari walisikia uzito ndani yao, Mungu aliwazuia lakini kwa sababu za kibinadamu wakalazimisha kwenda na matokeo yake wakapata ajali.Hata kama premature death sio sehemu yako lakini pia una nafasi yako ya kufanya.Hata pia walioingia kwenye ndoa zisizo sahihi watakwambia kabisa kuwa Mungu aliwaonya mapema kabisa.
Nuhu baada ya kupewa maelekezo na Mungu ya kutengeneza safina alitii, Mungu hakuishia hapo akampa maelekezo juu ya nani na nini vinatakiwa kuingia kwenye hiyo safina na akamwambia kuwa kila wanyama,ndege,wadudu na kila kiumbe kitakachoingia kwenye safina ahakikishe ni dume na jike,kwanini? kwa sababu wakiwepo dume na jike kwenye safina kuna uhakika wa uzao(ongezeko) .Yaani ndio najua Nuhu tayari kuna maono unayo lakini kuwa makini sana na watu unaowaingiza kwenye safina yako,ingiza watu watakaoweza kuzalisha kile kitu kilicho ndani yako,watu watakaoleta ongezeko kwenye maono uliyonayo.Na kutokana na kutii kwa Nuhu leo hii vitu vyote,ndege na wanyama wote walitokana na wale ambao Mungu alimwambia Nuhu awahifadhi kwenye Safina.Utii wako kwa Mungu ndio ongezeko lako lilipo.
With this i agree, kuna jambo nilikuwa nataka kufanya ambalo sikujua lingenipeleka kwenye shida, Mungu kwa ukuu wake alinipa wazo ambalo lilijirudia kwa mda, nilitii, mwenzenu baada ya miezi 2, nilielewa. Nashukuru sikuingia shidani. Ashukuriwe Mungu atupendaye
Ubarikiwe Sana Pastor, wewe ni Mwalimu uliyepakwa mafuta ya Roho Mtakatifu. Ninakuelewa kila ukifundisha
Those people will add value to my vision Glory be to God👏🏾
Amen
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. ❤❤❤
Be blessed my preacher🙌🙌🙏God's always great🥂🙌
Mafuta ya Mungu yako ndani yako pastor,najiungamanisha na huu upako
Niko Kenya naedelea kuinuliwa juu juu sana,Asante mtumishi wa mugu
Nilipata maelekezo kubadilisha biashara kutoka huduma za kibank kuuza nguo so nilianza kubadilisha taratibu na biashara ilikua inanilipa vizuri,really ukimsikiliza Mungu anaachilia information yenye kuvuka,If God give us favour there's information.
I receive it pastor,this is a biggest massage
What a revelation, Mungu anisaidie kukamata directives za Neema anazoziachilia kwangu 🙏Mungu Roho Mtakatifu azidi kukutumia kwa ukubwa kwaajili yetu
Blessed Bishop Sanbella 🙏🙏🙏 kunifundisha NENO 📖 la MUNGU limeokoa maisha yangu
Ameni postor MUNGU azidi kukupa ufunuo azid kutukuzwa kupitia wewe 🙏
Thanks pastor you are blessed me I still in mwanza
Nimekuelewa baba,
I'm no gonna board a bus,, it's me with the ark to the end.
Asante.
Amen🙏🙏🙏nashukuru Mungu huwa napata ishara kabla ya kitu chochote kutokea
Amen Mtumishi , Information Huwa naziona lakini Leo Nimepata Neema zaidi ya kujuwa Maana yake.
Nimebarikiwa na mafundisho yako na yesu wangu akutunze
Thank you for Revelation knowledge man of God 👏👏
Barikiwa mtumishi favors itutangulie kwa kila jambo
Kweli mtumishi ,amen
Amen mtumishi barikiwa sana
Wenye faida maishan mwangu wanifate kama wanyama walivomfata nuhu katika jina la Yesu
WENYE MANUFAA MAISHANI MWANGU WANIFUATE IN JESUS CHRIST NAME.AMEN
Pastor Mungu akubariki
Umekuw baraka, .
Mungu akubariki
God bless you pastor
Pastor am blessed. Pray for my marriage and family. I still reside in Kenya.I want to see God in my marriage.
You're a blessing to me man of God
Ni kweli kabisa mtumishi, barikiwa sana maana chakula unachonipa huwa *nashiba vizuri kabisa* ila Kuna jambo kwenye ( )
Lipi ilo
@@faustinetilya685 ishu ya kuchukua hatua baada ya kupata taarifa ya jambo furani
God bless You Pastor
asante baba tunabarikiwa na neno amen
Point taken..
Thank you.
Barikiwa sana mtumishi
Pastor naomba kuonana nawe...naamini nikikutana nawe haya yanayonisibu miaka na miaka
Amen
Amen
Amen
Barikiwaaa 🙏
Holy Spirit 🙏🔥
Jamani hizo sauti uko zinakera. Hamuwezi toa maana mahibiri sio clear
emen emen..
Powerful ✍️🙏
Be blessed
Powerful revelation
Amina 🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Amina👏👏
Amen Amen 🙏
AMEN AMEN AMEN 👋👋👋 THANK YOU JESUS 🙏🙏🙏
Amen Amen
Amen Amen
Ameen
Ameen
Hallelujah
Aminaa
Yes
Amen 🙏
Amen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
AMEN
Waoo
ameeeeeeeeeeeen
Amen
Amen Mtumishi wa Mungu sisi tulio mikoani tunabarikiwa na masomo yako hivi kanisa Liko sehemu gani na siku za ibada ni Lini na lini
Kanisa liko wapi na ibada ni lini na lini
🙏
Kwelii