NEEMA YA MUNGU HUJA NA TAARIFA (I) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kabla ya tatizo lolote kutokea Mungu huachilia taarifa ndani ya mtu.Watu wengi wamekuwa wakiingia kwenye matatizo kwa sababu ya kutosikiliza sauti ya Mungu.Mungu huachilia neema yake ili janga linalotakiwa kutokea lisikupate na wewe unatakiwa ufanyie kazi maelekezo yote anayokupa.Favour(Kibali) bila information ni rahisi sana ukaishia kwenye mauti.
    Leo hii ukiuliza watu wengi waliopata ajali watakwambia kuwa kabla hawajaanza safari walisikia uzito ndani yao, Mungu aliwazuia lakini kwa sababu za kibinadamu wakalazimisha kwenda na matokeo yake wakapata ajali.Hata kama premature death sio sehemu yako lakini pia una nafasi yako ya kufanya.Hata pia walioingia kwenye ndoa zisizo sahihi watakwambia kabisa kuwa Mungu aliwaonya mapema kabisa.
    Nuhu baada ya kupewa maelekezo na Mungu ya kutengeneza safina alitii, Mungu hakuishia hapo akampa maelekezo juu ya nani na nini vinatakiwa kuingia kwenye hiyo safina na akamwambia kuwa kila wanyama,ndege,wadudu na kila kiumbe kitakachoingia kwenye safina ahakikishe ni dume na jike,kwanini? kwa sababu wakiwepo dume na jike kwenye safina kuna uhakika wa uzao(ongezeko) .Yaani ndio najua Nuhu tayari kuna maono unayo lakini kuwa makini sana na watu unaowaingiza kwenye safina yako,ingiza watu watakaoweza kuzalisha kile kitu kilicho ndani yako,watu watakaoleta ongezeko kwenye maono uliyonayo.Na kutokana na kutii kwa Nuhu leo hii vitu vyote,ndege na wanyama wote walitokana na wale ambao Mungu alimwambia Nuhu awahifadhi kwenye Safina.Utii wako kwa Mungu ndio ongezeko lako lilipo.

Комментарии • 72

  • @dorcahogeto1544
    @dorcahogeto1544 Год назад +2

    With this i agree, kuna jambo nilikuwa nataka kufanya ambalo sikujua lingenipeleka kwenye shida, Mungu kwa ukuu wake alinipa wazo ambalo lilijirudia kwa mda, nilitii, mwenzenu baada ya miezi 2, nilielewa. Nashukuru sikuingia shidani. Ashukuriwe Mungu atupendaye

  • @neemanyagawa9479
    @neemanyagawa9479 2 года назад +5

    Ubarikiwe Sana Pastor, wewe ni Mwalimu uliyepakwa mafuta ya Roho Mtakatifu. Ninakuelewa kila ukifundisha

  • @Dmsiris5
    @Dmsiris5 2 года назад +4

    Those people will add value to my vision Glory be to God👏🏾

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh 8 месяцев назад

    Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. ❤❤❤

  • @Empressever254
    @Empressever254 2 года назад +1

    Be blessed my preacher🙌🙌🙏God's always great🥂🙌

  • @langolambinguni8653
    @langolambinguni8653 2 года назад

    Mafuta ya Mungu yako ndani yako pastor,najiungamanisha na huu upako

  • @janetmusyoka4704
    @janetmusyoka4704 2 года назад

    Niko Kenya naedelea kuinuliwa juu juu sana,Asante mtumishi wa mugu

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 года назад +1

    Nilipata maelekezo kubadilisha biashara kutoka huduma za kibank kuuza nguo so nilianza kubadilisha taratibu na biashara ilikua inanilipa vizuri,really ukimsikiliza Mungu anaachilia information yenye kuvuka,If God give us favour there's information.

  • @langolambinguni8653
    @langolambinguni8653 2 года назад

    I receive it pastor,this is a biggest massage

  • @agnesmapunda4412
    @agnesmapunda4412 2 года назад

    What a revelation, Mungu anisaidie kukamata directives za Neema anazoziachilia kwangu 🙏Mungu Roho Mtakatifu azidi kukutumia kwa ukubwa kwaajili yetu

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 года назад

    Blessed Bishop Sanbella 🙏🙏🙏 kunifundisha NENO 📖 la MUNGU limeokoa maisha yangu

  • @happypatrick2807
    @happypatrick2807 Год назад

    Ameni postor MUNGU azidi kukupa ufunuo azid kutukuzwa kupitia wewe 🙏

  • @getrudahonest8266
    @getrudahonest8266 2 года назад

    Thanks pastor you are blessed me I still in mwanza

  • @lovethildah7340
    @lovethildah7340 2 года назад

    Nimekuelewa baba,
    I'm no gonna board a bus,, it's me with the ark to the end.
    Asante.

  • @drvidah7030
    @drvidah7030 2 года назад

    Amen🙏🙏🙏nashukuru Mungu huwa napata ishara kabla ya kitu chochote kutokea

  • @joycekiheka6071
    @joycekiheka6071 2 года назад

    Amen Mtumishi , Information Huwa naziona lakini Leo Nimepata Neema zaidi ya kujuwa Maana yake.

  • @ashleighadam2442
    @ashleighadam2442 2 года назад

    Nimebarikiwa na mafundisho yako na yesu wangu akutunze

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 2 года назад +1

    Thank you for Revelation knowledge man of God 👏👏

  • @paulinahugolin4110
    @paulinahugolin4110 2 года назад

    Barikiwa mtumishi favors itutangulie kwa kila jambo

  • @chrispineonyango793
    @chrispineonyango793 21 день назад

    Kweli mtumishi ,amen

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 года назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @lucyshedrack189
    @lucyshedrack189 Год назад

    Wenye faida maishan mwangu wanifate kama wanyama walivomfata nuhu katika jina la Yesu

  • @loveandnature2821
    @loveandnature2821 2 года назад

    WENYE MANUFAA MAISHANI MWANGU WANIFUATE IN JESUS CHRIST NAME.AMEN

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 2 года назад

    Pastor Mungu akubariki
    Umekuw baraka, .

  • @marryemily8321
    @marryemily8321 2 года назад +1

    Mungu akubariki

  • @esthernambeye1953
    @esthernambeye1953 2 года назад

    God bless you pastor

  • @carolinengondo2698
    @carolinengondo2698 2 года назад

    Pastor am blessed. Pray for my marriage and family. I still reside in Kenya.I want to see God in my marriage.

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 2 года назад

    You're a blessing to me man of God

  • @zachariashurura7226
    @zachariashurura7226 2 года назад

    Ni kweli kabisa mtumishi, barikiwa sana maana chakula unachonipa huwa *nashiba vizuri kabisa* ila Kuna jambo kwenye ( )

  • @Dmsiris5
    @Dmsiris5 2 года назад

    God bless You Pastor

  • @sifasylvie3941
    @sifasylvie3941 2 года назад

    asante baba tunabarikiwa na neno amen

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    Point taken..
    Thank you.

  • @adeusaugustino4851
    @adeusaugustino4851 2 года назад

    Barikiwa sana mtumishi

  • @suzysoraelw2062
    @suzysoraelw2062 11 месяцев назад

    Pastor naomba kuonana nawe...naamini nikikutana nawe haya yanayonisibu miaka na miaka

  • @PerisiperisiKingi
    @PerisiperisiKingi 7 месяцев назад

    Amen

  • @PerisiperisiKingi
    @PerisiperisiKingi 7 месяцев назад

    Amen

  • @youthtvtanzania01
    @youthtvtanzania01 Год назад

    Amen

  • @mwamvuakayanda8730
    @mwamvuakayanda8730 2 года назад

    Barikiwaaa 🙏

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад

    Holy Spirit 🙏🔥

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Год назад

    Jamani hizo sauti uko zinakera. Hamuwezi toa maana mahibiri sio clear

  • @elishasoka6692
    @elishasoka6692 2 года назад +1

    emen emen..

  • @Miriam84Akizimana
    @Miriam84Akizimana 2 года назад

    Powerful ✍️🙏

  • @rizikiebonge9631
    @rizikiebonge9631 2 года назад

    Be blessed

  • @leonardsr8994
    @leonardsr8994 2 года назад

    Powerful revelation

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 2 года назад

    Amina 🙏🔥🔥🔥🔥🔥

  • @vedastogwido5311
    @vedastogwido5311 2 года назад

    Amina👏👏

  • @patriciakanote5465
    @patriciakanote5465 2 года назад

    Amen Amen 🙏

  • @evelynjeremiah5354
    @evelynjeremiah5354 2 года назад

    AMEN AMEN AMEN 👋👋👋 THANK YOU JESUS 🙏🙏🙏

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 года назад

    Amen Amen

  • @Gathioro
    @Gathioro 2 года назад

    Amen Amen

  • @endaelkamala8068
    @endaelkamala8068 2 года назад

    Ameen

  • @victordaniellymwanjala3407
    @victordaniellymwanjala3407 2 года назад

    Ameen

  • @nasrasewando7152
    @nasrasewando7152 2 года назад

    Hallelujah

  • @ivanfaustin9717
    @ivanfaustin9717 2 года назад

    Aminaa

  • @hellenndekeja631
    @hellenndekeja631 2 года назад

    Yes

  • @prettybraids3079
    @prettybraids3079 2 года назад

    Amen 🙏

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 2 года назад

    Amen 🙏

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 2 года назад

    Amen

  • @elizabethmwachiti7987
    @elizabethmwachiti7987 2 года назад

    Amen

  • @johnpaul916
    @johnpaul916 2 года назад

    Amen

  • @heriethkitururu4401
    @heriethkitururu4401 2 года назад

    Amen

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    AMEN

  • @annwairimu2162
    @annwairimu2162 2 года назад

    Waoo

  • @frankmshana1331
    @frankmshana1331 2 года назад

    ameeeeeeeeeeeen

  • @drvidah7030
    @drvidah7030 2 года назад

    Amen

    • @upendojohnson1106
      @upendojohnson1106 2 года назад

      Amen Mtumishi wa Mungu sisi tulio mikoani tunabarikiwa na masomo yako hivi kanisa Liko sehemu gani na siku za ibada ni Lini na lini

  • @marryzubery2497
    @marryzubery2497 6 месяцев назад

    Kanisa liko wapi na ibada ni lini na lini

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 года назад

    🙏

  • @judithshoo4323
    @judithshoo4323 2 года назад

    Kwelii