YESU ANAFUFUA VILIVYO KUFA NA KUOZA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 85

  • @IgiranezaLinda
    @IgiranezaLinda 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mutumishi

  • @safaelisaya2107
    @safaelisaya2107 17 дней назад

    Mungu fanya jambo juu ya mafundisho haya ndaninya maisha yangu

  • @Ami-Zawa
    @Ami-Zawa 3 месяца назад

    Barikiwa baba yetu

  • @neemadaud5337
    @neemadaud5337 7 месяцев назад

    Ameni napokea kufufuliwa na yesu

  • @NivessKomba
    @NivessKomba 3 месяца назад

    Asante sana Bwana YESU kwa ajili ya mtumishi huyu. Nabarikiwa sanaa🙏

  • @angumbwikemwanyumba5139
    @angumbwikemwanyumba5139 7 месяцев назад

    Barikiwa san mtumishi kazi yako ni njema 🙏

  • @NivessKomba
    @NivessKomba 3 месяца назад

    Mahubiri yangu hayo mtumishi. Mungu ni in use tena.

  • @elibarickjulius4954
    @elibarickjulius4954 2 года назад +3

    Mtumishi karibu, njoo pia Kigoma ufungue watu waliofungwa, nahitaji sana maombi yako.

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Amina maden hayatanimaliza mungu anaenda kunivusha

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Aminaa mm nimkopeshaji mungu nisaidie

  • @erickmboge7714
    @erickmboge7714 2 года назад

    Hakika nimebarikiwa asante mtumishi mungu akurinde

  • @williamnyongesa2049
    @williamnyongesa2049 Год назад

    Amina mchungaji napenda mahubiri yako naomba mungu afufue Maisha yangu afufue Maisha ya watoto wangu

  • @mkamantale6491
    @mkamantale6491 2 года назад +1

    HAKIKA nabalikiwa na mafundisho yako safiii kabsa

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Najua utajibu mungu wangu najua bado unaniwazia naomba univushee

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 года назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Amina bado mungu yupo pamoja na Mimi baba nimekufa Ila sijaoza ninaomba usiniabishe

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Niombee mtumishii nimechokaa mimi

  • @aquilineanthony1115
    @aquilineanthony1115 2 года назад +4

    Amen Mtumishi wa Bwana. kumbe Tunahitaji tumaini tuu kwani Yesu anajichelewesha siku nyingine mbili mbele, Yes Bwana Tumekufa Yesu anasubiri tuoze . ametusikia maombi yetu ila anasubiri tuoze ili ajitwalie utukufu.
    AsanteYesu kwani unajua yanayotokea leo unajua yaliyotokea jana pia unajua yatakayotokea kesho Ehe Yesu tupe uvumilivu. Pamoja naye Bwana tusaidie

  • @bonheurmungalambuyu4813
    @bonheurmungalambuyu4813 Год назад

    Asante past mimi ni bonheur Niko🇨🇩 ninakua nafatilia mafundisho Kila muda , past nalikua natamani nipate numéro Yako il nipate maombezi, kutoka kwako kwasababu ninapenda nifunguliwe kwa vita ya familia

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Ee mungu naomba ukanivushe kwa ushindi haya madeni yanataka kunitoa roho baba naomba univushe

  • @alphoncekahindi5383
    @alphoncekahindi5383 2 года назад +2

    Amina ubarikiwe Sana mtumishi sunBella ...Kwa ujumbe huu ..
    Kila kilichokufa kila.kilichooza Kwa Maisha ya watumishi Na kanisa la Mungu , Na hata kwa familia zao , VIKAFUFULIWE KWA JINA LA YESU ...

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    Kweli kabisaaaa ndio ubarikiwe unahaibika kweli kweli..

  • @leytcastle9402
    @leytcastle9402 2 года назад +1

    Mungu hawezi kukusahau! Hawezi kuacha ujifie mwenyewe.. Barikiwa mtumishi

  • @jacklinegideon8074
    @jacklinegideon8074 2 года назад

    Barikiwa

  • @josephntandu
    @josephntandu Год назад

    Power of Holly Ghost at work.Thank you Jesus

  • @johnpaul916
    @johnpaul916 Год назад

    Asante kwa neno la Mungu, Yesu naomba ufufue vyote vilivyokufa ndani yangu, ninaomba nikiamini kwa jina lako Amen

  • @irenebidaz9071
    @irenebidaz9071 2 года назад

    Ili uheshimiwe sana ni lazima udharaulike sana 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @janetmusyoka4704
    @janetmusyoka4704 2 года назад +1

    Mungu amekutuma kwa ajili yagu,touching message

  • @joycenuhu1566
    @joycenuhu1566 2 года назад +1

    Amen Mtumishi

  • @Grace-zw5jj
    @Grace-zw5jj 2 года назад +5

    4days late, but HE is still on time. Very encouraging. Thank you🙏

  • @ivethaignas603
    @ivethaignas603 2 года назад +1

    Nakushukuru mungu kwa sababu umenisikia🙏🙏🙏

  • @SamwelLusambo-jn4so
    @SamwelLusambo-jn4so 7 месяцев назад

    AMINA 🎉

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 года назад +1

    Asante kwa ujumbe huu. Yesu fufua vilivyo kufa ndani Maisha yangu.

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 года назад

    Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 2 года назад

    Shule hii nikubwa sana.

  • @amanimahanga5860
    @amanimahanga5860 2 года назад +1

    Amina sana

  • @jacomusford9139
    @jacomusford9139 2 года назад +1

    Blessed pastor sunbella kyando 🙏

  • @anthonykarisa6279
    @anthonykarisa6279 2 года назад +2

    This is a very touching theme be blessed

  • @micaholson1813
    @micaholson1813 2 года назад

    Amina

  • @emmanueltitus6438
    @emmanueltitus6438 2 года назад +1

    And Groly be to God

  • @geraldlusachi8307
    @geraldlusachi8307 2 года назад

    Hallelujah

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 года назад

    Eh Mungu fanya jambo moja tu kwangu kufufuwa kilicho kufa ili ujitwaliye utukufu watu wamataifa wa hikoke kipitiya muujiza

  • @salamamapendo6461
    @salamamapendo6461 2 года назад +1

    Amen Amen

  • @irenenabulo264
    @irenenabulo264 Год назад

    Amen 🙏

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 года назад +1

    Halelujah
    Halelujah

  • @Miriam84Akizimana
    @Miriam84Akizimana 2 года назад +2

    Hallelujah hallelujah thank you lord Jesus amen 🙏🏼

  • @naomiedward6293
    @naomiedward6293 Год назад

    MUNGU fufua kilichokufa ndani yangu

  • @joyceallan2758
    @joyceallan2758 2 года назад +1

    Yes do to me Lord

  • @vivijohn2578
    @vivijohn2578 2 года назад +1

    Hallelujah glooory be to God powerful great message of encouragement

  • @priscahjebet5379
    @priscahjebet5379 Год назад

    Amen🙏🙏

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    AMEN

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 года назад +1

    Amina Amina

  • @phostineisenjia4567
    @phostineisenjia4567 2 года назад

    This is my msg thanks be to God

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 2 года назад +3

    MUNGU atahakikisha anakupa nafasi ya kuishi hata Kama mazingira hayaruhusu

  • @editadaffi8706
    @editadaffi8706 2 года назад +1

    Amina 👏

  • @pastorsallytv2024
    @pastorsallytv2024 2 года назад +1

    My word

  • @vicentkilonzo924
    @vicentkilonzo924 Год назад

  • @fredrickjosephat5105
    @fredrickjosephat5105 2 года назад

    Amen ✊✊

  • @joyjanetmueni_official8434
    @joyjanetmueni_official8434 2 года назад

    Im blessed

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    Kwetu kenya..
    Hakika ufunuo kupitia hii ujumbe ni kamilifu..
    Asanti.

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    Martha akaobdoe jiwe la madeni kwangu..
    AMEN
    AMEN
    AMEN

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Kila eneo nimejaa maden

  • @benjaminnzeyimana6536
    @benjaminnzeyimana6536 2 года назад +9

    Kuna kitu nimenoti roho mtakatifu yupo kwenye kanisa hili kabisa

    • @joycenuhu1566
      @joycenuhu1566 2 года назад

      Andika Roho Mtakatifu kwa herufi kubwa kumweshimu

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    Nimechoshwa na madeni jamani..

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    Hallelujah

  • @simplycaren375
    @simplycaren375 2 года назад

    Amen

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 года назад

    Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    AMEN

  • @deborahfredrick1819
    @deborahfredrick1819 2 года назад

    Ameen🤲🤲🙏🙏

  • @MJSTV-up7xd
    @MJSTV-up7xd 2 года назад

    Amen and amen🙏

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 года назад

    Amen

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 2 года назад

    Amen

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    Amen amen

  • @abrahamirambona9232
    @abrahamirambona9232 2 года назад +1

    Amen

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 2 года назад +1

    Amen

  • @joyceallan2758
    @joyceallan2758 2 года назад +1

    Amen

  • @rahelimgeni7123
    @rahelimgeni7123 2 года назад

    Ameeen

  • @rehemakilibwa714
    @rehemakilibwa714 2 года назад +1

    AMEN

  • @me__reen2440
    @me__reen2440 2 года назад +1

    AMEN

  • @aminakarisa4215
    @aminakarisa4215 2 года назад +1

    Amen 🙏

  • @mariakingu1221
    @mariakingu1221 2 года назад

    Amen🙏🙏🙏

  • @lovenessmasabo8573
    @lovenessmasabo8573 2 года назад

    Amen🙏🙏🙏