Amen Mtumishi wa Bwana. kumbe Tunahitaji tumaini tuu kwani Yesu anajichelewesha siku nyingine mbili mbele, Yes Bwana Tumekufa Yesu anasubiri tuoze . ametusikia maombi yetu ila anasubiri tuoze ili ajitwalie utukufu. AsanteYesu kwani unajua yanayotokea leo unajua yaliyotokea jana pia unajua yatakayotokea kesho Ehe Yesu tupe uvumilivu. Pamoja naye Bwana tusaidie
Asante past mimi ni bonheur Niko🇨🇩 ninakua nafatilia mafundisho Kila muda , past nalikua natamani nipate numéro Yako il nipate maombezi, kutoka kwako kwasababu ninapenda nifunguliwe kwa vita ya familia
Amina ubarikiwe Sana mtumishi sunBella ...Kwa ujumbe huu .. Kila kilichokufa kila.kilichooza Kwa Maisha ya watumishi Na kanisa la Mungu , Na hata kwa familia zao , VIKAFUFULIWE KWA JINA LA YESU ...
Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.
Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.
Ubarikiwe sana mutumishi
Mungu fanya jambo juu ya mafundisho haya ndaninya maisha yangu
Barikiwa baba yetu
Ameni napokea kufufuliwa na yesu
Asante sana Bwana YESU kwa ajili ya mtumishi huyu. Nabarikiwa sanaa🙏
Barikiwa san mtumishi kazi yako ni njema 🙏
Mahubiri yangu hayo mtumishi. Mungu ni in use tena.
Mtumishi karibu, njoo pia Kigoma ufungue watu waliofungwa, nahitaji sana maombi yako.
Amina maden hayatanimaliza mungu anaenda kunivusha
Aminaa mm nimkopeshaji mungu nisaidie
Hakika nimebarikiwa asante mtumishi mungu akurinde
Amina mchungaji napenda mahubiri yako naomba mungu afufue Maisha yangu afufue Maisha ya watoto wangu
HAKIKA nabalikiwa na mafundisho yako safiii kabsa
Najua utajibu mungu wangu najua bado unaniwazia naomba univushee
Amen mtumishi barikiwa sana
Amina bado mungu yupo pamoja na Mimi baba nimekufa Ila sijaoza ninaomba usiniabishe
Niombee mtumishii nimechokaa mimi
Amen Mtumishi wa Bwana. kumbe Tunahitaji tumaini tuu kwani Yesu anajichelewesha siku nyingine mbili mbele, Yes Bwana Tumekufa Yesu anasubiri tuoze . ametusikia maombi yetu ila anasubiri tuoze ili ajitwalie utukufu.
AsanteYesu kwani unajua yanayotokea leo unajua yaliyotokea jana pia unajua yatakayotokea kesho Ehe Yesu tupe uvumilivu. Pamoja naye Bwana tusaidie
Asante past mimi ni bonheur Niko🇨🇩 ninakua nafatilia mafundisho Kila muda , past nalikua natamani nipate numéro Yako il nipate maombezi, kutoka kwako kwasababu ninapenda nifunguliwe kwa vita ya familia
Ee mungu naomba ukanivushe kwa ushindi haya madeni yanataka kunitoa roho baba naomba univushe
Amina ubarikiwe Sana mtumishi sunBella ...Kwa ujumbe huu ..
Kila kilichokufa kila.kilichooza Kwa Maisha ya watumishi Na kanisa la Mungu , Na hata kwa familia zao , VIKAFUFULIWE KWA JINA LA YESU ...
Kweli kabisaaaa ndio ubarikiwe unahaibika kweli kweli..
Mungu hawezi kukusahau! Hawezi kuacha ujifie mwenyewe.. Barikiwa mtumishi
Barikiwa
Power of Holly Ghost at work.Thank you Jesus
Asante kwa neno la Mungu, Yesu naomba ufufue vyote vilivyokufa ndani yangu, ninaomba nikiamini kwa jina lako Amen
Ili uheshimiwe sana ni lazima udharaulike sana 🤲🤲🤲🤲🤲
Mungu amekutuma kwa ajili yagu,touching message
Amen Mtumishi
4days late, but HE is still on time. Very encouraging. Thank you🙏
Nakushukuru mungu kwa sababu umenisikia🙏🙏🙏
AMINA 🎉
Asante kwa ujumbe huu. Yesu fufua vilivyo kufa ndani Maisha yangu.
Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.
Shule hii nikubwa sana.
Amina sana
Blessed pastor sunbella kyando 🙏
This is a very touching theme be blessed
Amina
And Groly be to God
Hallelujah
Eh Mungu fanya jambo moja tu kwangu kufufuwa kilicho kufa ili ujitwaliye utukufu watu wamataifa wa hikoke kipitiya muujiza
Amen Amen
Amen 🙏
Halelujah
Halelujah
Hallelujah hallelujah thank you lord Jesus amen 🙏🏼
MUNGU fufua kilichokufa ndani yangu
Yes do to me Lord
Hallelujah glooory be to God powerful great message of encouragement
Amen🙏🙏
AMEN
Amina Amina
This is my msg thanks be to God
MUNGU atahakikisha anakupa nafasi ya kuishi hata Kama mazingira hayaruhusu
Amina 👏
My word
❤
Amen ✊✊
Im blessed
Kwetu kenya..
Hakika ufunuo kupitia hii ujumbe ni kamilifu..
Asanti.
Martha akaobdoe jiwe la madeni kwangu..
AMEN
AMEN
AMEN
Kila eneo nimejaa maden
Kuna kitu nimenoti roho mtakatifu yupo kwenye kanisa hili kabisa
Andika Roho Mtakatifu kwa herufi kubwa kumweshimu
Nimechoshwa na madeni jamani..
Hallelujah
Amen
Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.
AMEN
Ameen🤲🤲🙏🙏
Amen and amen🙏
Amen
Amen
Amen amen
Amen
Amen
Amen
Ameeen
AMEN
AMEN
Amen 🙏
Amen🙏🙏🙏
Amen🙏🙏🙏