#MV
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- #isleblogTV Serikali imeamua kutokuiyuza Mv Mpainduzi II baada ya kutowafiki bei ya wanunuzi, jambo lilopelekea Serikali kutoa maamuzi ya kuifanyia matengenezo makubwa ya kuifufua Mv Mapinduzi tu, Waziri Dk. Khalid anafafanua hatua zilizobaki na maamuzi ya Serikali baada ya kukamilika mambo yote. Kama bado hujasubscribe chanal yetu fanya hivyo sasa ili uwe wa kwanza kupata habari zetu na kuwajuza wengine. Asante Like|Comment|Share|SUBSCRIBE NOW
Serekali ni wezi sana
Hii Melissa it's to old 😢
Wanataka kuuwa watu
Ilipokuja hiyo meli tuliambiwa ni MAPYA cha ajabu imelala baada ya muda mfupi wenywe walikua wakaliiiii CCM😅
😂😂😂😂 😈
Wanataka kutowa watu muhanga
Shein na Seif Iddi walikula haki za wahanga MV spice na kuiba mabilion, Toka mali haijaja Zanzibar tuliambiwa kuwa ni changa la macho. Tusubirini Akhera sio mbali na siku zimekaribia.