Loveness na ndimu nyinyi mungu anawaona kumbe ni washenzi sanaa yani mama anaongea nyinyi mko na mambo yenu tuu nimechekaa😂😂😂😂🤸🤸🤸kama umecheka kama mm gonga like tujuane 😂
😂😂😂😂😂😂 ndimu bhan na love akili zenu nyiny ndog San daaaah nimecheka bi mkubwa anajimaliza pekee yke watu wpo bzy na mambo Yao nimecheka san❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅
Lonvress mamayangu uza contri kwenye pharmacie utiye kwenye mafuta yako yakupakala itaondowa ile ma tâche kwenye uso wako usikose ni dawa nzuri sana piya ni ya ukweli
Mko chapu kutoa move❤❤nimependa sanaa wanaowakubaliana na Wana donta plus gonga like❤❤🎉🎉
Bariki na kumuongezea miaka anaetizama hiii films na avuke mwaka akiwa mwenye afya njema..
Amina na wewe pia
In shaa Allah
Ameen yarabi ameen
Amin
Amiin Yarabi 🙏🙏
Loveness na ndimu nyinyi mungu anawaona kumbe ni washenzi sanaa yani mama anaongea nyinyi mko na mambo yenu tuu nimechekaa😂😂😂😂🤸🤸🤸kama umecheka kama mm gonga like tujuane 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Habar zenum wa mwisho Leo lkn naombeni like zenu mm nalaiki Kila cku lkn mm mnanipita tuuu😢
Loveness na ndimu nyinyi 😂😂😂😂 ribs zangu jamani from 🇰🇪
Kila mmoja wetu aendelee kupata somo kutoka kwa hawa jamaa ,wana vipaji vikali mnoo , Let's keep supporting them guys
Hakika
Wakwanza Leo , Asante Kwa mafunzo🎉🎉🎉🎉🎉
Mob love guys
Acheni tabu aendeleee kupata jina lake😂😂😂😂😂
Kazi nzuri sana nimejifunza kitu
😂😂😂😂😂😂 ndimu bhan na love akili zenu nyiny ndog San daaaah nimecheka bi mkubwa anajimaliza pekee yke watu wpo bzy na mambo Yao nimecheka san❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Alivo sema wee ndimu huyo mama yaoo😂😂😂
😂😂😂😂 mm mwenyewe nakufa na kicheko yani iki kibande wamekitendeea aki🎉🎉🎉
Napenda hicho kinyimbo ni kizuri sana naburudika tu sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ila tuseme ukweli mama tabu a.k.a mama kelvin anajua saana kuigiza tesa mwingine tena 😢unaigiza vizr saana mama🎉🎉
Yani anaigiza ualisia kabisaaa nampenda mama kelvin chukuwa mauwa yako namakopa kopa❤❤❤❤
@@RahmaSaid-d9q umeeeona nyendo zake ni kama za marehemu tesa😢
Loveness jamani na Ndimu yaani nimecheka kweli nawapenda sana from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦😂😂😂😂😂
Ata mimi nimecheka saaana 😆
@olicej7837 🤣🤣🤣🤣
Eti c umesema manesi wakule wachafu basi twendeni kwengine😂😂😂😂😂
@@MariaSalim-u5z yaani Yuko inje ya mada kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ata mimi nime😂😂😂😂
Hongeren Sanaa mm wa kwanzaa
Mama Kevin Mungu akubariki 🎉🎉Mauwa yako
Jaman napenda ndimu ni handsome huyo❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂love na ndimu muko dunia yenu mama abu uku anaongea pekeake😅😅
More ❤️ Love characters 🎉❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Kipala Ndimu ana uchu huyo hajali hata kama kuna matatizo😂😂😂
Kz nzr sana inafundisha Cha mtu maviiii
Zuuu uko vizuli kuzuga
asante kipenzi❤
❤napenda alicho fanya zuuu😂
Ndimu unajua 🎉🎉🎉
Uyu dada ana robo mbaya sana jamani mungu amlaani
Ndimu na loveness tayariiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Me nataka tuonyeshwe uyo tabu jamani
Big up Donta tv kwa kweli mko vizurii hongera sana wahusika wote alafu mama tabu aka mama kelvin uko vizuri mama kwa kuigiza mauwa yako mamaa🎉🎉🎉❤❤❤
Mama Yuko katika mazungumzo Ndimu amtongoza Lavnes😅😅😅
Kazi nzuri sana wapenzi mungu awapiganie katika kila hatua
Kazi nzuri sana ❤
Mmmh hawa wachepuko wanataka hivyo afe kabisa
Ndimu na lovenesss 😂😂😂😂😂😂😂
Ndimu, unamacho mazuri sana hongera.
❤❤ movie nzuri Sana
Mashajjah❤❤
Haki amina❤nimekumiss dadaa
Kweli damu nzito kuliko maji leo kaka mtu anathamini dadake amesahau alicho kuwa dadayake hakumtendea vizuri mke wa adam hadi mtusi.
Safi sana dawa ya mot moto2
wa kwanza hpaaaa
Mbona loveness kaharibika usoni au anajipaka mkorogo mkali jmn😢😢😢
Ct+ itakuwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mnatongozana mbele ya mama 😂😂
Courage ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mapenzi wewe ❤ loveness na ndimu 😂😂😂😂
One chance bro ndimu
Loveness kiboko 😅😅😅😅mama anaongea pekeake wao wana yao😅😅😅
Hakuna kama donta ❤❤❤
Nawapenda bureeèee wana donta❤❤❤🎉🎉
Jamani ndimu apewe mauwa yake kwa usela wake😂😂😂
Kazi nzuri sana
Mashallah kz nzur lkn tuendelee na step father plz..
Si iliisha kitambo
@RuthNyatuka-qe3kd ok sw sukujuwa
Alikua amesafiri huyo
uko dunia gani mbn iliisha kitambo sana labda mtoto wa bosi
Ila Tina😮
Hahaha kubayaaa 😂😅pole
Lonvress mamayangu uza contri kwenye pharmacie utiye kwenye mafuta yako yakupakala itaondowa ile ma tâche kwenye uso wako usikose ni dawa nzuri sana piya ni ya ukweli
Mashallah ❤❤❤❤❤
Mko chap kutoa move💜nimepend
Hospital manesi wachafu🤣🤣🤣
Aminaaaa❤
mm namkubl xna ndim
Mutuongee utamu jamani tunaenjoy sana
Hqhahaa huoandi karanga ukavuna njugu😂😂😂
Wa20 leo like zangu
Ndimu na lavu kulikoni😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Amina kwa ushaur wake sasa😅
Jaman kwani huyo tabu kafa au maana haoneshwi bila kusahau movie inafundisha sana pia ni fupi
Napenda movie zenu
Walimwengu wamekufunza taabu 😂😂😂😂😂
kaka kelvin muendelezo wa mtt wa boss unatoka lini mbona muda unakuwa mkubwa w kusubir
I love it
Adam mzee wa kuvhepuka
Lovenes jaman 😂😂😂😂😂😂
Na mm naomba laiki
Mko vizur sana
hii mnatoa chap hadi raha toeni mwendelezo basi wa malaya mgeni
🤣🤣🤣🤣love na ndimu 😂😂😂
😮🎉🎉
Tabu umalaya wako ume kuponza ebu aceni n'a mabwana za watu
Loveness 😅😅😅
Kazi njema
Hahahaaaa hupandi karanga ukavuna njugu
Like kama zote wakwanza mie
Tabu pole kwa kweli matokeo hayo
TABU KAYABANANGA UMALAYA TU KUOGA HAAAA😂😂😂😂😂
Unachotakiwa jipendekeze kimapenzi Kwa mkewe. Mdekeze mpetipeti atakubali. Sio kumuombea msamaha Tabu. Nasio kwenda Kwa mganga.
Mambo nimazito 😢
🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Laveness uzur kasha uharbu kwa mikorogo mtu ukimsifu sana nilimwambia asijichubue haskii mazara yake unaambukia vpere unacho taking laveness Acha mkorogo tafuta sabuni ya kukausha vpere
🥰🥰
Sote inshaallah.
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Tabu ulimwengu umemfunza xx
Aaaaaaaaaa, tabuuuu umeuponza mwali wangu
La suite svp
Nzuli
Taabu atajina lako munafanana 😅😅
🔥
🎉🎉🎉🎉
Haya sas chuma hicho
Nice
❤❤❤
mambo yatabu nikiboko
❤