mngeandika kichwa Cha move kua ,kijana handsome alie mpenda msichana mwenda wazimi Dio msichana chokoraa Kuna tofauti kubwa kati ya chokora na mwendawazimu
Haya majina ya kendy huwa na shida gani,Kila mahali ni visiraniila amina kumbe una ukarimu hivyo siokm kwa penzi la mtoto wa boss na kija kazi, loveness hongera mama pokea maua yako toka Saudi Arabia 🇸🇦 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹❤❤❤❤
@@MarionImali-j8b jamani mbona unanicheka nimesema ukweli wewe nimurembo sana kama Kelvin hajaoa basi muangalie juu ya hilo munaendana sana ila blauni siyo sana
wabongo hampendagi maendeleo sijui ni kwanini , mkimtaka mtu mmoja mnamg'ang'ania huyo huyo hiyo nishida kubwa sana badilika lafiki penda kuwapa na wengine nafasi
loveness unakuanga mzuri sana tatizo ni eti ulijiharibu na kujikondesha wakati ulikuwa na kamwili kiasi hata hio jina uliyokuwa unajiita miss warld ilikuwa inakustahiki ila skuizi toka ujikondeshe we niwakawaida tu mamaa
Msitufanyie ivo jamaan mda mwingine tunakata tamaa muv haitufikii kwa wakat inachelewa bas muwe mnatumalizia kwanza penz la mtoto wa boss na dada wa kaz ikiiisha then ndo muachie zingine
Jmn love anajua sana ,,,,,kama unampenda loveness gonga like tujuana
Love niya muzuri na ulipata akupendaye
🎉
Aiseee hii movie ninzuriii ,,broo Brown hongera,,,naomba likes zakooo broo💯
Yan love 💕 nes nakupnd san 🥰 dada yng uko pw san tunao mpenda love tujuane
Kumbe ndomna mnachelewesha penzi la dada wa Kaz na mtoto wa boss lovenes yupo na uku
😂😂😂umeona eee
Kwakwel tumewabamba😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Ila loveness ume nivunja mbavu dada, naku omba like yako moja tu tafazali.
Mwenzenuuu sijawai kua WA 1😢😢😢naombeni ata vi like 2😢
Mungu akufikishe mbali Loveness, nawafuatilia nikiwa UAE♥️♥️♥️
Ak pezi la mtoto wa boss na dada wa kazi inatoka lini
A very good lesson for wicked women who don’t take care for their husbands I❤it keep it up don’t Donta tv
Kaka mapenzi ni kipofu, pigania unachokipenda. Much love❤❤❤❤.
Kama una Anglia moviee hii GONGA LIKE HAPA NIJUE UWEPO WAKO😊❤❤
❤❤❤❤
Wenzangu gutoka Burundi 🇧🇮 nimekua wa1 naomba likes zangu.
Kumbe mwanzangu kafika Mapema aya wa 2 kitoka 🇧🇮 Bujumbura
Wenzangu mume wayi namimi nafika🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ongereni jameni
😅😅😅
Chukua
Nipo Wa kwanza kabisa kuiona hii naomba like zangu apa❤
Jamani tunaoamini loveness anakitu ndani yake na akipambana atafika mbali sana kwenye tasnia ya filamu tujuane kwa likes♥️♥️♥️♥️
mngeandika kichwa Cha move kua ,kijana handsome alie mpenda msichana mwenda wazimi Dio msichana chokoraa Kuna tofauti kubwa kati ya chokora na mwendawazimu
🎉🎉🎉
Bora ww umelioona nilikuwaaa naitafuta comment hiiii😂😂😂
Afadhali nimepata wenzangu maana chokoraa ni mwenye akili
Nipo huko nasubir penz la dada wa kaz tok juz😢😢
😂😂😂we endelea kusubili mm nimechoka😂😂
Hhhhhh tunangoj mpak kielewek
Nilisahau pia kma kuna dada wa kazi😂😂😂
Wanaker kam nn ila bado twaipenda❤❤
Walisema kev ana dharura that is why wamecheleweaha@@AishaAishayahaya-e3w
Movie kali aisee 👌,,, ila mwanitesea loveness wangu❤ sana jamani 😂😂mateso mengi mnoo kwenye character yake mwaniumiza rorho jamani 💔🫣😂😂😂😂🇰🇪❗
Kabisaa 😅😂😂🎉
Jamani mimi nampenda Love❤❤❤❤
Loveness unajua sana kwa kweli eeeeee nimecheka sana😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tuko wote brown kutoka 🇧🇮 🇧🇮 nakufatasana kaka❤❤❤❤
Loveness uzur wak unatosh usije kupak sijui make up unaharib uzur wak kazi nzur unastahili mauwaa🎉🎉❤❤ kwa kaz nzur unawez
Much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Haya majina ya kendy huwa na shida gani,Kila mahali ni visiraniila amina kumbe una ukarimu hivyo siokm kwa penzi la mtoto wa boss na kija kazi, loveness hongera mama pokea maua yako toka Saudi Arabia 🇸🇦 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹❤❤❤❤
Uko wapi
@@ErnestShayo-x2b nk Kenya 🇰🇪
Lavness hata ujifanye kichaa unabaki kuwa mzuri sana nakumisi sana❤
😂😂😂😊
@@MarionImali-j8b jamani mbona unanicheka nimesema ukweli wewe nimurembo sana kama Kelvin hajaoa basi muangalie juu ya hilo munaendana sana ila blauni siyo sana
Naungana na wewe hata awe vipi Bado mzuri sana binti
Nataka nimuulize blaun mbona macho yake yanazunguka sana
Candy Dada 😢😢 Jamn
Team strong tujuwane🇲🇬🇲🇬
Ndio mm hapa 🇸🇦🇸🇦
Nmecheka sana amina alivokimbia baada ya kumuona love😂😂😂😂😂
Yani😂😂😂
Loveness kumbe uko huko do manake penzi la mtoto wa boss imechelewa...enywei congrats ❤
Ali nyiye jamani muta tuwa na mapenzi, eti loveness murembo tena chokoraa! Nipeni yangu basi kutoka apa congo drc tena nawapenda sana.
Kazi nzr sana tem Donta plus❤🎉
Gonga like kwa loveness❤❤
❤❤dontaa bhana nyiee mungu awape nguvu kila iitwapo leo mnafanya vizurii... Hamboiiii hampoiiii🍓🍓
Wakenya tupoo? Gonga like tujuane basi mi na watch nikiwa gulf na wewe unawartch ukiwa wapi
Handsome mwenyewe kunambi angeigiza tu kelvin ndowanaenda na loveness
wabongo hampendagi maendeleo sijui ni kwanini , mkimtaka mtu mmoja mnamg'ang'ania huyo huyo hiyo nishida kubwa sana badilika lafiki penda kuwapa na wengine nafasi
@@Mpakauseme okay
Kwaiyo wangine wasicezi waceze tu kelvin na lavenesi inakuja iyo kweli inabidi tutambuwe kama iyi nikazi haicavuwi wacezaji
@@Mpakausemendo ushangae wacha hawana dogo mm naona yupo sawa
Loveness jukua maua yako mapema kazi nzuri 👌👌🔥 🔥
Eee jamani mim nimecheka eti loveness n chizi waaah kaz nzuri san
Jamani mm ni mara yakwanza kuiangalia hii move kumbe ni nxuri nikaribisheni jamani
😅Yan hawamalizi wanarukaruka tu
Loveness is best actress ❤❤❤
Funzo nzuri sana..keep it up guys
😂😂😂😂😂 Loveness Huwa ananipaujasiri sana nakupenda saaana unanipa shauku ya kuwa muuigozaji❤
Nawapenda sana vipenzi❤,loveness apewe maua yake🌷🌷
Wow wow loveness jamani ogera kaka Brown
Oyoo ime Tisha na love ness mungu akubark dada upo vzr
Kiufupi donta famili nawakubali sana🎉🎉🎉🎉
Yani hii angeigize kev angeuwa Ila sio mbaya mko vizuri mungu awapeke viwango vya juu sana
Love unajua kuigiza nawapenda
Mnazingua sana mnachelewesha kazi kinoma jifunzeni kwa kp na zebuu
Huyu ndy loveness ninayemjua mimi 😀😀😀 aisee ana kitu atafika mbali sanaa ❤❤😊
Chokoraa am mwendawazimu....isiwe issue jamaa mnaupga mwingi❤❤
Hongereni kazi nzuri no na inamafunzo
Yahani kusema kweli kabisa hacha mupewe mauwa yenu jamani eeeee Raha sana 🥀❤️🥀❤️🥀❤️🥀❤️
Lovenes jmn upo vizuri nimecheka leo😂😂❤❤❤❤
Mambo ni 🔥🔥🔥💯💯 mko vizuri mno hongereni Sana
Lovenes..unajuwa..sana..kipenzi..utafika .mbali..sanaa
😂😂😂😂😂wangapi wanamkubali loveness ❤❤❤ from 🇰🇪
Nasubilia mtoto wa bos kelvin na love
Jamani loveness amecheza vizuri natamani iendeleeee ❤
Loveness Leo umenipamba roho.umeingiza kweli
Haya tujivunie na donta
😂😂😂😂😂 Umekuwa kama Tina Mkali
Kendi akona kisirani mingi sana ,loveness unaingiza vizuri akh hongera pokea maua yko much love from kenya
Wengangu kutoka Rwanda tujuane❤❤❤❤
Good lesson to all ladies,,,
Kunambi tunampenda ila kwa kuingiza na lovenes bdo san, mwachie kelvn bna
Love umeweza dadaangu maua yako❤❤❤🎉🎉🎉
Beautiful movie.
Daah loveness umeweza kwel kwenye hio party ya uchizi apo ambapo ulijirusha kwenye machupa baada ya kumfukuza kunambi
move nzuri sana ila sijamuona vick amepoa sana
Dada kwa Nini iyi n'a fasi kelvin asinge usika nayo ww n'a kelvin muna endana sana,❤❤❤❤
Hongereni sana kwa mafundisho yenu mazuri
Mbna loveness ameigiza kama mwenda wazimu si chokoraa
Kwakwel Wamekosea kusema chokoraa
Enyewe
First one waoo
I like the tune wow love good job
Ak loveness wewe ,,,,nmecheka venye ulikuwa unataka 😂😂😂😂😂,,, anyway umeicheza poa
Loveness na hilo teke ulotaka kumpiga Amina aki nmecheka 😂😂😂❤❤ kzi nzr 🔥
Ongera sana loveness my dear
loveness unakuanga mzuri sana tatizo ni eti ulijiharibu na kujikondesha wakati ulikuwa na kamwili kiasi hata hio jina uliyokuwa unajiita miss warld ilikuwa inakustahiki ila skuizi toka ujikondeshe we niwakawaida tu mamaa
Mmmmh ila walimwengu khaaa
walimwengu wana nn mwenzetu
we usiwe unajaza susu kwayasiyokuhusu we mshamba
😂😂😂😂@@TeshmonyAntonio
𝙻𝚋𝚍𝚊 𝚖𝚊𝚙𝚎𝚗𝚣𝚒 𝚢𝚗𝚊 𝚖𝚜𝚞𝚖𝚋𝚞𝚊😂😂😂😂
Mnaacha kuendelea na series ya penzi la mtoto wa boss mnalukia vitu vinavyopoteza mood ,😂
Mbn mnazingua penz la mtoto wa boss mnauchelewesha kuuwachia
Team loveness gather here 😂
Love. Ness. Anaiweza. Sana. Mungu. Amjaliye.
Alifu nyie miyusho uyo ni handsome boy au badboy nimecheka mbavu cna😅😅
Sijapenda brown namkubali sana🎉🎉 hii term kwa ujumla Iko vizuri
@@JuliethMaketh sasa hansom boy apo yuko api
Mbona mnachelewesha story penzi la
Kazi nzuri jamn nimecheka san
Mko vizr Donta mauw yenu 💞💞💞💞💞
Msitufanyie ivo jamaan mda mwingine tunakata tamaa muv haitufikii kwa wakat inachelewa bas muwe mnatumalizia kwanza penz la mtoto wa boss na dada wa kaz ikiiisha then ndo muachie zingine
Tunsubr penzi la mtot wa boss mwendelezo
Jaman loveness mweeee
Loveness apa ulieza hongela
Wa Kwanza ❤❤❤
Loveness umenifanya nicheke sana😂😂😂 unajuwa sana yani kama kichaa kweli😂
mim ndo mjumbe wa nyumba kumi awa ndo niwapangaj wang😂😂
nimecheka kwa sauti😂😂😂
Loveness leo umenichekesha 😂😂
Tuluokuja kutizama hii baada ya interview ya lovenes plz like hapa❤
Shavu sana brwon unaweza broo,from Mozambique pamoja
Yn nilivyoona handsame boy mwenyew kunambi nimeacha kuangalia bola angekuwa kelv
😂😂😂
Hata kunambi anaweza sana.😂😂
Afadhal kwa hii movie amina ashaolewa😂😂😂😂
Waaah hiyo kali,know touch,know kiss,know disturbing sleep well .
Love❤❤🎉🎉
Kama unamkubali brown nipe like
Hiyi muvi niatari kwakweli naipenda sana❤❤❤❤❤😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🥀🥀🥀🥀
Aminaaaaaa, umeruka km mshale wa mwarabi