Hamuwezi kunyamaza mpaka mseme kila siku,wasiwasi wote wa nini wacha niseme ukweli mwili wangu mzuri kila vazi linakubali uzuri wangu wa tausi maringo kwangu ni kawaida,nikigeuka mtakubali,nikicheka mtazimia wasiwasi.
Nakumbuka Bonanza kati ya Ndala Kasheba na OSS wana Dukuduku wakichuana na General Nguza Vicking na Maquis du Zaire wana ogelea piga mbizi pale viwanja vya Mnazi Mmoja Februari, 1983. Ilikuwa zaidi ya vita ya Urusi na Ukraine!
R.I.P Soloist Fred Supreme.you have done a good work in collabo with King Kikii Kikumbi Muanza Mpango.
Hiyo picha ilo wekwa mbele kabla ya kufunguwa wimbo ni sura ya mwanamke mrembo sana amenikumbusha mbali sana ukiambatanisha na huu wimbo
Wimbo unanikumbusha mbali sana
Nakumbuka mbali Sana Rashid Issa KZM upooooo
Supreme Ndala kasheba nyuzi dozen
Namkimbuka rafiki yangu Marika Mohamed, tukiwa chuo cha ufundi NVTC Tanga. Mwaka 1984 Bwana huyu alikuwa anaendelea sana kuuimba hasa tukiwa Plactical
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana
kasheba
HAPO SAFALI SAUNDI KIMALA HUPO LIZIMU EPO NA OTILISHI MUEMBAJI HUYO ANAESEMA MWILI MZULI SUPAR MOLAE JAAA YANGU
imfikie tajwa hapo kwa verse
Hamuwezi kunyamaza mpaka mseme kila siku,wasiwasi wote wa nini wacha niseme ukweli mwili wangu mzuri kila vazi linakubali uzuri wangu wa tausi maringo kwangu ni kawaida,nikigeuka mtakubali,nikicheka mtazimia wasiwasi.
Nakumbuka Bonanza kati ya Ndala Kasheba na OSS wana Dukuduku wakichuana na General Nguza Vicking na Maquis du Zaire wana ogelea piga mbizi pale viwanja vya Mnazi Mmoja Februari, 1983. Ilikuwa zaidi ya vita ya Urusi na Ukraine!
Uzuri wa tausi
🦚🦚🦚🦚🦚🦚🦚😂😂😂Tausi plz❤❤❤