SUPRISE: RAIS SAMIA AFIKA NYUMBANI KWA MAWAZIRI WAKUU WASTAAFU, JAJI WARIOBA na CLEOPA MSUYA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 39

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад

    Naomba mama samiya umtembelee mstaafu wetu kule znz doctor salmin Amor

  • @zakialustan722
    @zakialustan722 2 года назад

    Mmetumwa kumtukana mama eeeeh ,fanyeni kazi

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад

    Wabilah taufik

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 года назад +1

    HII NNCHI WEWE SIO KISIWA Au Umetumwa uivuruge nchi

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 года назад +1

    WEWE BIBI SAMIA UNAMPANGO WOWOTE KIBARAKA HUYU WATANZANIA ANA UCHUNGU NA NCHI WALA WANANCHI WENYEWE

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 2 года назад

    Ukiwa raisi na hujui cha kuifanyia nchi basi kutembelea wastaafu na busara sana

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Aliyesema hajui la kulifanyia nchi ni nani? Maana ya ilani ya uchaguzi ni nini? Si ndio hiyo anayotakiwa kutekeleza inamueleza afanye moja mbili tatu na kuna mpango wa maendeleo wa tatu wa taifa !

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 года назад +1

    VIJANA HAWA WANATUMWA NA WANAHIMIZWA NA KUNDI FLANI LENYE NIA YA KUWAGAWA WATANZANIA , PAMOJA NA VIONGOZ MBALIMBALI WAKIWEMO WA IMANI ZA KIDINI , WA KIKABILA NA KIKANDA. .
    NCHI HII ILISHAHARIBIWA NA BADO IMANI ZA UBAGUZI ZIMEZIDI KULIKO AWAMU ZOTE TANGU NCHI HII IPATE UHURU

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад

    Tunajuwa anaumwa ila tukimuona tutafarajika na kumuomeya zaidi

  • @gebrastemu5010
    @gebrastemu5010 2 года назад

    Mwacheni mama atawale.Kwa miezi tisa aliyotawala ameongoza vizuri sana ila kasoro yake ni kumweka Mbowe Gerezani.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад

    Mola akuwezeshe kulifanya hilo na inshaalla msg yangu naamini itakufika kupitiya wahusika inshaalla

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 года назад +2

    WEWE BIBI ACHIANGAZI NCHI NGUMU WEWE

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 года назад

      Bi Konokono , uwezo hana wa kuendesha nchi hana , uwezo wa kulea wajukuu anao

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 года назад

    Tunatamani kumuona hali yake mkimtembeleya kama wenzie mnavyowatembeleya

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 2 года назад +1

    Sasa mambo yamewiva katiba mpya ya wananchi hiyooo.

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 2 года назад +1

    Tueleze walipokutana wameongelea katiba mpya au alienda kupiga picha...msitutumie vitu visivyo na content...inasaidia nn sasa kwa mtu wa kawaida...c afadhali hata JPM aliwaita ikulu na kila mtu aliruhusiwa kufunguka live kwa maslahi ya nchi...

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 года назад +1

      Yule bibi hana mtaji wowote wa kiasa bara ndio maana anakuwa anajipendekeze pendekeza anapate sapoti

  • @florameza3491
    @florameza3491 2 года назад

    Hivi Dodoma umehama????

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 года назад

      Kama bado yuafanya ziara DSM why aende Dodoma??? Halafu kwa Ushauri you have to take your time.. you will be safe forever

    • @seifsungura6936
      @seifsungura6936 2 года назад

      Hahaha hakuna urojo huku

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 года назад

    WEWE KONOKONO ACHIA NNCHI SUNGURA TOPE

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles9014 2 года назад

    Mh mh mh mh

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 2 года назад

    Mama unatuangusha ada za shure zimerudi tena

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Zimerudi kivipi?

    • @StAr-yu3vz
      @StAr-yu3vz 2 года назад

      Nasikia kuna utatibu wa ada za shure

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      @@StAr-yu3vz kwa nini usifuatilie kujua kama ni kweli maana watu wanapenda kuzusha mambo, maana waziri kasema hakuna ada

    • @StAr-yu3vz
      @StAr-yu3vz 2 года назад

      Maana sipo Tanzania nipo oman wanangu wapo Tanzania kuna aliniambia kuwa utaratibu huo na mimi nimesutuka

    • @StAr-yu3vz
      @StAr-yu3vz 2 года назад

      Kuna ada nzinaaza tena

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 года назад +1

    Wachaujinga wewe nnchi imekushinda wewe toka watanzania Awakutaki pumbavu

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      TCRA inabidi wakushughulikie

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 2 года назад

      Pole sana King. Shukuru mungu Magu hayupo tena

    • @renatuskailole9568
      @renatuskailole9568 2 года назад

      Poleni watanzania