Aliyesema hajui la kulifanyia nchi ni nani? Maana ya ilani ya uchaguzi ni nini? Si ndio hiyo anayotakiwa kutekeleza inamueleza afanye moja mbili tatu na kuna mpango wa maendeleo wa tatu wa taifa !
VIJANA HAWA WANATUMWA NA WANAHIMIZWA NA KUNDI FLANI LENYE NIA YA KUWAGAWA WATANZANIA , PAMOJA NA VIONGOZ MBALIMBALI WAKIWEMO WA IMANI ZA KIDINI , WA KIKABILA NA KIKANDA. . NCHI HII ILISHAHARIBIWA NA BADO IMANI ZA UBAGUZI ZIMEZIDI KULIKO AWAMU ZOTE TANGU NCHI HII IPATE UHURU
Tueleze walipokutana wameongelea katiba mpya au alienda kupiga picha...msitutumie vitu visivyo na content...inasaidia nn sasa kwa mtu wa kawaida...c afadhali hata JPM aliwaita ikulu na kila mtu aliruhusiwa kufunguka live kwa maslahi ya nchi...
Naomba mama samiya umtembelee mstaafu wetu kule znz doctor salmin Amor
Mmetumwa kumtukana mama eeeeh ,fanyeni kazi
Wabilah taufik
HII NNCHI WEWE SIO KISIWA Au Umetumwa uivuruge nchi
WEWE BIBI SAMIA UNAMPANGO WOWOTE KIBARAKA HUYU WATANZANIA ANA UCHUNGU NA NCHI WALA WANANCHI WENYEWE
Nakubaliana nawe kwa hili
Ukiwa raisi na hujui cha kuifanyia nchi basi kutembelea wastaafu na busara sana
Aliyesema hajui la kulifanyia nchi ni nani? Maana ya ilani ya uchaguzi ni nini? Si ndio hiyo anayotakiwa kutekeleza inamueleza afanye moja mbili tatu na kuna mpango wa maendeleo wa tatu wa taifa !
VIJANA HAWA WANATUMWA NA WANAHIMIZWA NA KUNDI FLANI LENYE NIA YA KUWAGAWA WATANZANIA , PAMOJA NA VIONGOZ MBALIMBALI WAKIWEMO WA IMANI ZA KIDINI , WA KIKABILA NA KIKANDA. .
NCHI HII ILISHAHARIBIWA NA BADO IMANI ZA UBAGUZI ZIMEZIDI KULIKO AWAMU ZOTE TANGU NCHI HII IPATE UHURU
Tunajuwa anaumwa ila tukimuona tutafarajika na kumuomeya zaidi
Mwacheni mama atawale.Kwa miezi tisa aliyotawala ameongoza vizuri sana ila kasoro yake ni kumweka Mbowe Gerezani.
Unafurahia tozo
Umeupenda mgao wa umeme na maji , na mifukoni ya bei
Mola akuwezeshe kulifanya hilo na inshaalla msg yangu naamini itakufika kupitiya wahusika inshaalla
WEWE BIBI ACHIANGAZI NCHI NGUMU WEWE
Bi Konokono , uwezo hana wa kuendesha nchi hana , uwezo wa kulea wajukuu anao
Tunatamani kumuona hali yake mkimtembeleya kama wenzie mnavyowatembeleya
Sasa mambo yamewiva katiba mpya ya wananchi hiyooo.
Tueleze walipokutana wameongelea katiba mpya au alienda kupiga picha...msitutumie vitu visivyo na content...inasaidia nn sasa kwa mtu wa kawaida...c afadhali hata JPM aliwaita ikulu na kila mtu aliruhusiwa kufunguka live kwa maslahi ya nchi...
Yule bibi hana mtaji wowote wa kiasa bara ndio maana anakuwa anajipendekeze pendekeza anapate sapoti
Hivi Dodoma umehama????
Kama bado yuafanya ziara DSM why aende Dodoma??? Halafu kwa Ushauri you have to take your time.. you will be safe forever
Hahaha hakuna urojo huku
WEWE KONOKONO ACHIA NNCHI SUNGURA TOPE
Bi Konokono atawapigia 🤣🤣🤣🤣
Mh mh mh mh
Mama unatuangusha ada za shure zimerudi tena
Zimerudi kivipi?
Nasikia kuna utatibu wa ada za shure
@@StAr-yu3vz kwa nini usifuatilie kujua kama ni kweli maana watu wanapenda kuzusha mambo, maana waziri kasema hakuna ada
Maana sipo Tanzania nipo oman wanangu wapo Tanzania kuna aliniambia kuwa utaratibu huo na mimi nimesutuka
Kuna ada nzinaaza tena
Wachaujinga wewe nnchi imekushinda wewe toka watanzania Awakutaki pumbavu
TCRA inabidi wakushughulikie
Pole sana King. Shukuru mungu Magu hayupo tena
Poleni watanzania