BABA CHRISTOPHER NO ONE CAN BE BABA NA MAMA YANI YOUR REALY CHANGE FAMILIA YANI NIKO MAJUU AU MOMBSA KHOME NIKO TU ,MAY GOD BLESSNU AND KERP IT UP WITH.KIDS TOO PKUS YOUR COMMU.ITY YA PAOA CHRIS,"
Nyimbo za upako....napenda nyimbo zinagusa neno....najipata maombini.......aaaa..ulipoingia katika harusi ya canaan mambo yalibadilika...wow...Asifiwe yesu wetu
Amen.....Naona historia yesu anabadisha usiku wa leo...kila kale yako inabadilishwa kwa Jina yesu....oooh inajulikana tena inafahamika mungu nani akutane na wewe asibadilike
Mana yacu tugendere uyu munsi.Twarasuzuguwe cyane.Aho wageze hose byarahindutse.Aho aho wageze hose .
Nabalikiwa San nyimbo zen mungu awafanyie wepes mzid kusonga mbele
Mungu awainue zaid nyimbo zenu zinanibarik sanaaaaa🥰😀🥰
Kaka na Mdogo mtu mungu awajalie zaid kwa kwelii
Amen Amen,,mtumishi wa mungu neema ya mungu ikutoshe
Mungu awabariki sana watumishi wa Bwana .najifunza kwenu
Yeah nziyo dzakanaka vanogona.....Guys you make me happy hear in zimbabwe
The dress code is what I expect from every christian singer.keep it up,am Ugandan but listening from Egypt now
BABA CHRISTOPHER NO ONE CAN BE BABA NA MAMA YANI YOUR REALY CHANGE FAMILIA YANI NIKO MAJUU AU MOMBSA KHOME NIKO TU ,MAY GOD BLESSNU AND KERP IT UP WITH.KIDS TOO PKUS YOUR COMMU.ITY YA PAOA CHRIS,"
Nimebalikiwa sanaaaaaaaaaaa, MUNGU AZIDI KUTUKUZWA
HONGERA SANA SANA MTUMISHI WA MUNGU ALIYEHAI
Baba nakukubali sana MUNGU azidi kukutumia
MUNGU BABA YANGU nitembeleye leo ,saizi nakuitanji BABA MWEMA.
Mungu nitembelee Leo nimesemwa ya kutosha
Nyimbo za upako....napenda nyimbo zinagusa neno....najipata maombini.......aaaa..ulipoingia katika harusi ya canaan mambo yalibadilika...wow...Asifiwe yesu wetu
Amina Jeso ni Mudzo ariho ngira mdzi wa Cana ya Galilaya mautu manji wagabadisha
Mungu nitembelee ubandilishe isitoria yangu what a touching song mbarikiweni sana
Mungu akubariki mtumishi Mungu. Wimbo mzuri. Mungu ametutembelea kupitia wimbo huu
May God continue to empower you and your team to bless us Amena
Kwa hii dunia mungu utembelea kila mtu apagui na anasasamea
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu unanibariki sana
Nitembelee mungu Wangu nataka nikuone siku hiy
Barkiwa amen
Baraka tele much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu anitembelee Asante mtumishi
Mambo hubadilika Mungu akikutembelea
Mungu akubalikiwe,nyimbo yako ni muzuli sana, Our Lord 🙏 our wisdom
Mtumishi wamungu ubarikiwe kwa ujumbe Mzur
Ndio baba yangu yesu unajulikana yahweh...popote ulipotembea Mambo yalibadilika
Ombi langu kwako Leo nitembelee baba
Mungu wetu ntembelee na Mimi ,badilidlsha historia yangu nami nshuhudie matendo yako makbwa maishani mwangu
Ulikotembea mambo ilibandilika...Mungu wangu nitembelee leo ndoa yangu iibandilike
Nice songs nawapenda bureee jamani😘😘😘
Napenda huu wimbo Godbless you all Laban from Kenya
Ubalikiwe sana
Jeri mwenehu......alibadilisha....hata alipofikia Lazaro...alibadilisha...
Mungu tutembelee umbarikiwe sana
MUNGU AKUBARI UNAJUA NA MAVAZ YANA MADILI
hongeren kwa huduma watumishi
Ameni kubwa na mimi naomba Yesu anitembeleee leo
Pia hongera sanaa ndugu wawili Nicodem Mwahangira na Christopher Mwahangira na Mungu awabariki
Amina
Amen.....Naona historia yesu anabadisha usiku wa leo...kila kale yako inabadilishwa kwa Jina yesu....oooh inajulikana tena inafahamika mungu nani akutane na wewe asibadilike
Ngurubhi Mwinza, wasafwa sasa tuzidi kuokoka kwa kasi, wale waliobakia kuabudu mizimu wachawi, waganga na wakaa kwenye maroho ya mapombe
MUNGU wetu tutembelee Mungu awatunze sikuzote mzidi kumtukuza kwa uduma ya kuubiri injili kwa uwimbaj
Pure talent Christopher Mwahangila. Kenya twakupenda sana na twafurahia talanta yako sana. Barikiwa sana.
Mtu na kaka yake!
Such a a blessing family!
Libarikiwe tumbo lililowazaa!
Sifa na utukufu kwa Bwana Yesu
àààààaq@
Mungu unitembelee leo na mimi
Nyimbo xa nguvu huwa xinanijenga Sana kunitia nguvu kunipa imani katika hii safari ya mbinguni, be blessed
mungu wangu nitembee sometym nafeel nikiwa down nakuitaji yesu usiniache baba
Tunakumbukasa ❤
Amina barikiwa xana mungu nitemberee reo na mm mtoto ako naitaj msaada wako
Yesu kristo wa Nazareth nitembelee maisha yangu yabadilike kwa utukufu wa Jina lako
Amen
Amen
Amen
Amen
May good Lord continues to bless you all. You really bless me
Likes for two brothers n their spouses...God bless your family..
God bless the womb you escaped
Nawakubal Sana kaka zangu 🔥 😂 one Family
Oh mungu nitembelee kwa maisha yangu papa,,, am ready kwa kila kitu
Nitembelee Yesu wanguu🙏🙏
Nimekusoma Yesu wangu kwa kweli mambo yamebadilika tutembeleee Yesu wetu , barikiwa sana nyie watu
Amen Amen❤❤❤❤
Such a beautiful massage karibu tena Mwanza mtumishi
Ubalikiwe sana nitakalibia tena
Nice song ;nyimbo yabwino 🇲🇼
wimbo mzuri ,am blesse.mnaluja lini tena kilifi
Mungu uishiye milele naomba unitembelee leo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameeeen barikiwa sana watumishi wa Mungu.
Baba nakupenda bule
Nimebarikiwa sana.Kila mara huyu kaka chris akiimba,nabarikiwa sana.Glory
Badilisha historia yangu mfalme wa wafalme,asanteni watumishi nimabarikiwa sana.
Mungu nitembelee namie
Barikiwa sana kwa wimbo
Amen mungu tutembelee baba
I don't understand kiswahili very well but before my Heavenly we are one ☝️🙏
God bless
❤❤❤
Ubarikiwe uzao uliowazaa
Nami baba unitembelee
Mungu yupo nasi
Asanteni kwa huu wimbo Kenya tunawapenda.
Amen mubalikiwe wakenya
@@nikodemmwahangila3334 Nawe pia
@@nikodemmwahangila3334 Asanteni
Mungu nami nitemberee
Amen
AMEN AMEN
Powerful song like it
Barikiwa sana pastor
HALLELUJAH HALLELUJAH HALLELUJAH
Asante by master key mwakalanje
Tutembelee leo
Tutembelee baba
Nimekusoma wewe yesu....
For sure ilov your songs,they bless me so much
Mambo yangu yatabadilika
I can't even get the song out of my mind.... your songs are so touching Christopher
Niko hapa nasubiri nitembeleeee
Baraka zangu ubalikiwe sana
Akuna akufanana na yesu
Yesu nitembelee ninakuomba
Nice Nice song
Waaau mungu awabariki mno mnatia moyo sana
Mungu wetu awabariki kabisa kwa iyo huduma Bwana yesu Asifiwe sana
wimbo mtamu sana naupenda.God bless you
Barkiwa
From 254 ,,,tutembelee Mungu 🙏🙏
Amen,,,, wonderful,,, be blessed for the song,,, God am waiting for you,,, nitembelee Baba
Libarikiwe tumbo lililo wazaa
Hongera
Mubarikiwe sana
Hallelujah safi
Amen, Asante sana kwa wimbo zenu nzuri sana.
L