REV. NIKODEM MWAHANGILA. maskini hasikilizwi na mtu yeyote.(official music video)
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2023
- kalibu kutazama nyimbo hii kweli nasema kunakitu utajifunza lazima maskini hasikilizwi na mtu yeyote katika jamii +255756273049
- Видеоклипы
Kenya twakupenda nipewe likes
Amina ubalikiwe sana
Nimebarikiwa sana mpaka machozi yananitoka
Tasafwa pamwanya
Ubalikiwe sana
Mtumishi huu wimbo wako uliniguza sana ubarikiwe na uishi miaka mingi sana
Kweli masikini hasikilizwi kabisa😅
Baba ubarkiwe baba bonge la kaziiii
Mungu humwepusha na kila jambo baya mja wake
Amani aki Mungu open the way
It's true buana maskini hasikilizwi, na kwenye kesi mnyonge hana haki
MASIKINI HASIKILIZWI UJUMBE MKUBWA SANA HUU 😥😥😥😥😥
Ubalikiwe
Jmn kweli maskin hasikiizwi e Mungu utuhurumie saidia mungu nihurumie
Amina
Mch MUNGU atuinue ubarikiwe mtu wa MUNGU
Amina
Enyewe masikini hajawai sikilizwa my good God open the way for poor.thanks
Mbona katika taifa letu la kenya hamna waimbaji kama Hawa hongera mtumishi baba akutende wema kwa vyote
Amina ubalikiwe sana
Hakika mungu akubaliki sana mtu wa mungu nimebalikiwa sana
Amina
Oooo this is great news tune na na Mungu
Amina
Baba ubarikiwe sana kwa kuwakumbuka wanyonge na na kuwatia moyo
Amina
Barikiwa mtumishi
Amina
Eti kaa chini kapuku barikiwa sana pastar
Nabarikiwa kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Man of God, wimbo mtamu sana, nimejifunza kitu kutoka kwa huu wimbo.....Ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubalikiwe
@@nikodemmwahangila3334 Amen 🙏🙏🙏🙏
so powerful
Ubarikiwe sana mchungaji
Tumekumic.pastor nabalikiwa .sana na nyimbo zako mungu akuongezee baraka zaidi
Ubalikiwe sana
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Waoo! Unaimba Kama Christopher Mwahangila
Nice song dennis mochama
Wimbo usiokuwa na umri maalum kl ausikilizaye lazima umguse km mm🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍🙏🙏🙏
Amen Amen
Hallelujah 🙏 huu wimbo umeniguza sana moyo zidi kuinuliwa na kubarikiwa mtumishi wa mungu 🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amina
Huu wimbo unkusha mengi mungu akubariki
Amina
Mungu Akubariki saana.
Ninaomba kama itwezekana ushirikiane na Rose muhando.
Ubalikiwe sana
Ubarikiwe na bwana mtumishi wa bwana, ndomana ulipendwa Sana na mkwe wako.
Asante
Yesu yupo . Msaada kwa kila mtu anayemkimbilia
Usijali mungu anakuskia na mm pia nakuskia God is there for you he is coming back soon
Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe na maanisha sote tutahukumiwa na Mungu wa mbinguni, hivyo tuishi kwa hofu ya Mungu wa hukumu barikiweni watumishi wa Mungu aliye juu mbinguni hallelujah
Ubalikiwe
Kwa kweli dunia hi tunayo ishi maskini Hana lake kupitia wimbo huu eeeee mchungaji mwenye enzi azidi kukuezesha kwa lolote amen, amen, amen
Amina
Good song ak mungu tuhurumie bwana wetu
Amen
Ubalikiwe Sana mwanangu kamanda wa YESU bonge la UJUMBE WA MOTO
Amina ubalikiwe sana
Wimbo unaujumbe wa neno tukufu saana ongela saana
Barikiwa sana pasta Kagera tutakuitaji
Amina ubalikiwe
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika nyimbo zako yako nafundisho ubarikiwe sana mungu akuzidishe saidi.
Amina
Umasikini haufai kabisa, Mungu azidi kukuinua viwango vya juu katika huduma yako pastor
Amina
Aminaaa nimebarikiwa sana na hii nyimbo
Hahahaaa, waaah ! Mtumishi wa Mungu.ujumbe wa nguvu.barikiwa
Supère supère Mzourissana sana ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
daaaaaaah,umasikini mbaya sana.
Kabisa
Duuu pole maskini Mungu atuinue kupitia nyimbo hiii
Barikiwa sana pastor nikodem
Amina
Jmn nimejikuta machoz yananitoka😭😭😭😭😭da huuuu wimbo ni mzuriiiiiiiiiiiii mnoooo ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
😭😭😭😭😭MUNGU WETU WEWE NDIEWA Kurinda watu wako umaskini unaumiza saaaana
Ata Mimi nimejipata nikilia
Ubarikiwe saaana mtumishi wa Mungu. Huu wimbo acha Mungu aitwe Mungu. Niliko toka anajua Mungu
Ubalikiwe sana
I love you because your song is so touched 😢😭🙏🙏🙏
Amen
mchungaji mungu aweka kitu kikubwa sana kwako kuliko tunachokiona barikiwa sana
Nimegushwa na song aky.😢😢
Ubalikiwe sana
Good song mtumishi wa Mungu,atusaidie kweli kwa familia zetu.
Amina
😭😭😭😭
Kwa kweli huu wimbo unagusa moyo....
Ubalikiwe sana
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Amina
Baba wa imani be blessed Mungu anakutumia kuwafariji watu wake Asante
Amina
@@nikodemmwahangila3334 Endelea kutangaza ukuu wa Mungu Baba siku moja ikimpendeza Mungu tutamlaki mawinguni
Ubarikiwe mchungajiiii;!!!🙏🙏🙏
Amina
You have made know where I was 45yrs ago.your ebenezer
Amen
Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
Amina
Barikiwa sana baba kwel umasikin unatesa sanaaaa
Ubalikiwe
😭😭KaZi imenigusa sana
Duuhh😢😢😢😢😭😭😭Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,
Huu wimbo umeguza moyo wangu ,hasa Kwa wkt nilikuwa naishi na marafiki wangu.
Ubalikiwe
Be blessed man of God 🙏 pia mm nilipitia hayo yote hapa nimefika nikwa neema ya Mungu🇰🇪🇰🇪
Ubalikiwe sana huko Kenya
Naomba za huyu mtumishi wa Mungu
Amin,barikiwa mtumishi wa mungu
Amina
Mtumishi wa MUNGU ubarkiwe sana 🙏🙏🙏🙏 tena sana sana 🙏🙏🙏 da hu wimbo umenigusa yani mpaka nime 😭😭😭😭😭😭
Ubalikiwe
Baba ubarikiwe sana kwa wimbo huu umenigusa sana haya maisha nimeyapiti mimi kijana wa mch Mdadila kyela
Maskini kweli asikilizwi😭
Ubalikiwe
Neema yako initoshe baba ,congrats
Hongera Baba ,pastor Nicodemu kazi hii ni kubwa mnoo Baba wa Mbingu aitangaze mbali Zaidi duniani kwa Watoto wake wote.
Amina naiwe hivyo
Wimbo unagusa nafsi.Ubarikiwe mtumishi ❤❤🎉🎉🎉🎉
Tudineleza unena
W
Amina
ubarikiwe sana mtumishi kazi njema
barikiwa
Hiii wimbo inakusia maisha yangu😢😢😢
Nimelia Sana pasta
Ubalikiwe
Barikiwa Sana , mtenda kazi katika shamba kubwa la Bwana
Barikiwa mtumishi wangu wa iyela
Mungu hamsaahau mcha wake tukaze mwendo.
Amen amen huu wimbo umenitia moyo
Ubalikiwe sana
Mungu akubariki nakutiye ngugu kwaii nyimbo
Wimbo'huumenikumbusha'maishayazamani'ilakwasasamunguuameni'saidiya'muimbajiwetu'munguakutiyenguvu
Amina ubalikiwe sana
Kaka yangu mungu akubarikii mnoo huu ujumbee unamgusa kila mtuuu
Mungu uniirumiae utukunzwe mile n mile AMEEN all the from 🇰🇪 nyimbo zako wewe bro wako christopher mwahangila unibariki sana
Wewe Kristopher ni mdogo wangu sio bloo wangu
Ukweli kabisa 😢😢😢😢🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Baba wimbo mzuri sana God bless you
Ubalikiwe
Kaka uko vizuri Sana munguakutangulie
Safi
Amina
Barikiwa sana pastor 🙏
Amina
Remember me God 🙏🙏 be blessed 🥰🥰 likes za Kenya 🇰🇪
Ubalikiwe sana kutoka Kenya
Mwimbo mzuri unabariki sana
Ujumbe mzuri sana barikiwa sana pastor
Amina ubalikiwe sana
Uhalisia wa Safari ya Imani.Hongera pastor
Ubalikiwe sana
Nitavuka tyuu Yesu wangu niurumiye Mungu minimwaano😭😭😭😭Maisha ninayo Ivi eeheh Mungu
Baba Mchungaji Mungu akubariki sana sana na Azidi kukuinua viwango vikubwa vya juu hata ambavyo hujawahi kufikiri kwamba utakuwa hivyo viwango.AMINA.
Napokea
@@nikodemmwahangila3334 Amen amen
Ubalikiwe
Ubalikiwe sana mtumishi wa mungu
Kweli mtumishi maskini hasikilizwi
Ubalikiwe
Barikiwa sanaaaaa mchungaji ❤❤❤❤ from chunya
Ubalikiwe
Wimbo mzuri sana Mungu aendelee kukuinua
Ubalikiwe sana
Good Song.. God abundantly bless you man of God🙏
I have get message thanks for the good song be blessed bro
Mungu akubariki
Barikiwa sana mwahangila ,mungu atupe kumtumikia na tujaaliwe vipato ili tuckilizwe
Amina
Mimi ni bizimana bonheur kutoka kigali nafurahiyaka sana nyimbo munaimba pamoja nandugu yako cristofer lakini hii inatisha kbs na inaneno la kweli mungu awaongezeye watumishi wa bwana😊😊😊😊😊❤❤
Ubalikiwe sana
Amen wimbo mzuri
Amina
nikweli masikini hutharaulika