UMUHIMU NA JINSI YA KUJENGA NGUVU ZAKO ZA NDANI - PST GEORGE MUKABWA | 23/06/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Jesus Restoration Centre, Mwanza Tanzania.
    For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa #5252176
    #jrcchurch #Tanzania #jrctz

Комментарии • 87

  • @MamaMagoko
    @MamaMagoko Год назад +4

    Hakika wewe ni mtu sahihi ulieandaliwa na Roho wa Mungu na Mungu akutumie kuufikisha neno Lake masikioni mwetu ubarikiwe sana

  • @ElizabethMwaro-s6f
    @ElizabethMwaro-s6f Год назад

    Mungu atusaidie katika safari ya mbinguni.

  • @esterijukaine7806
    @esterijukaine7806 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe baba kwa somo hili ulilofundisha, namuomba hanisaidie niweze kusimamia nguvu za Mungu kwake.

  • @FLORIDADOTTO
    @FLORIDADOTTO Год назад

    Pastor ubarikiwe maneno unahubiri Yana nguvu mno ,,amen

  • @BabuKakusu
    @BabuKakusu Год назад

    Haya mafundisho imekuza kiwango cha imani.asante pastor

  • @PriscarDaniel-eq2jp
    @PriscarDaniel-eq2jp Год назад

    Mungu naomba fufua utu wngu wa ndani kwa jina la yesu

  • @paulinekisalikisali4631
    @paulinekisalikisali4631 6 месяцев назад

    Amen 🙏🙏🙏🙏 siwezi kataa tamaa nitadumu katika imanii

  • @magrethsomi4318
    @magrethsomi4318 2 года назад +5

    Wewe ni zaidi ya pastor wewe ni mwalimu hakika. Mungu akibariki sana.From Geita

  • @akilimatoto8171
    @akilimatoto8171 Год назад +1

    Nabarikiwa Kutoka DRC UVIRA,

  • @berthamsaki2501
    @berthamsaki2501 Год назад

    Mtumishi huyu ameinuliwa kwa saa na wakati huu....kwa uhitaji wa mafundisho ya maarifa kwenye kanisa la MUNGU..barikiwa bava❤

  • @marymasha4803
    @marymasha4803 4 месяца назад

    Amen Mungu akubariki mchungaji nabarikiwa nikiwa lraq.

  • @NannyNanny-fo9yh
    @NannyNanny-fo9yh 8 месяцев назад

    Amen 🙏 🙏 nimefuatilia mafundisho Yako mtandaoni nimebarikiwa sana Asante,nko 🇰🇪

  • @TugManifa
    @TugManifa Год назад

    Nakufuatilia toka Saudi Arabia

  • @CharlieKavugho
    @CharlieKavugho Месяц назад

    Mutumichi mungu akubariki akuogezee miaka baba ❤

  • @ShukuraniWilondja
    @ShukuraniWilondja 5 месяцев назад

    Amen mtumishi umenigusa kweli ubarikiwe

  • @angelinatryphone6152
    @angelinatryphone6152 Год назад

    Nakuelewaga sana pastor Mungu akubariki sana azidi kukutumia nakukufunulia Siri za Mbinguni

  • @apostlezizi
    @apostlezizi 2 года назад +3

    Amina mtumishi wa MUNGU,jana nilisoma wafilipi na nilipata mafunuo ya kufunga kwa kutumia neno hilo nililolipata hapo na nikaanza kufunga kavu kabla ya kupita hapa leo na kusikia somo hili nikiwa kwenye mfungo wangu,huu kwangu ni uthibitisho wa ROHO mtakatifu..barikiwa sana mchungaji

  • @rosemaryowory5710
    @rosemaryowory5710 Год назад +1

    Hakika ninabarikiwa sana tena zaidi nimepata sehemu yangu 🙏🙏🙏 ubarikiwe mtumushi wa Mungu

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c Год назад +1

    Amen 🙏 Asante pastor nimepata nguvu mpya 🙌🙌🙌

  • @neemityhadijaanzazi
    @neemityhadijaanzazi 7 месяцев назад

    Asante mchungaji nmekua nkiskiliza mahubiri yako ucku ucku wa manane nmefunguka kiroho

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад +1

    Asante kwa somo linalonipa nguvu zaidi, MUNGU akubariki

  • @HyrineEmily
    @HyrineEmily 2 месяца назад

    Nimesaitika sana pastor asande

  • @gladyskerubo6075
    @gladyskerubo6075 Год назад

    Amen Amen nabarikiwa sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @mthiaspaul
    @mthiaspaul 8 месяцев назад

    Pastor ninakuelewa mpaka najiona nimeshakuwa tajiri na mtu mwenye Nguvu sana katika mambo yote kwa jina la Yesu kristo.

  • @JacintaWanjiru-j2d
    @JacintaWanjiru-j2d 6 месяцев назад

    Thankyou Jesus for this word, I was weak in my spiritual man but now the word has come to strengthen him.

  • @marymassawe8655
    @marymassawe8655 Год назад +1

    Mchungaji umenibariki sana .Una kibali kutoka mbinguni.Mungu akutunze kila sekunde❤

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Год назад +1

    Wewe ni zaidi ya pastor

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c Год назад +2

    Bwana nitie nguvu mtu wangu Wandani~🙏🙏

  • @marykibali7568
    @marykibali7568 Год назад +1

    Nikona siku tu kadhaa tangu niliaza kukuzikilisa ila nimebarikiwa sana ni ujumbe zako Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @alindaqueen-de3fz
    @alindaqueen-de3fz 9 месяцев назад

    We baba umejua kweri kunifungua kwa neno🙏🙏🙏

  • @WinnieWangare-j5r
    @WinnieWangare-j5r 11 месяцев назад

    asantie pastor mungu akubariki Sana Hali ZTE umeongea n Nina pitia BT ntavuka kupitia kwake yesu

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад +1

    Soo powerful service 🙏🔥be blessed mtumishi

  • @marymassawe8655
    @marymassawe8655 Год назад +3

    Wattu wa mwanza hakika mmepata mtu sahihi wa kuwapeleka mbinguni msilegee.❤

  • @magrethpaul2207
    @magrethpaul2207 Год назад

    ❤❤❤ yaani nakeshaga na haya mahubiri

  • @nuruulomi5769
    @nuruulomi5769 Год назад

    Ee MUNGU nisaidie utu wangu wa ndani kuwa na nguvu zako🧘🧘🧘

  • @TugManifa
    @TugManifa Год назад

    Mtumishi nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @JacklineFredrick
    @JacklineFredrick Год назад

    Nampenda hakika kanitoa kwenye laana za familia huyu baba Mungu kamuumba ... Amuweke miaka mngi

  • @christinechambuni9060
    @christinechambuni9060 Год назад

    Nimebarikiwa sana

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c Год назад

    Asante pastor 🙏🙏

  • @ME-qe8ui
    @ME-qe8ui Год назад

    Mungu wa mbinguni akutunze sana Pastor, unanivusha mahali

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Год назад +1

    Nakuelewa sana Pastor

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c Год назад

    Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏

  • @musokamirindi521
    @musokamirindi521 2 года назад +1

    Hakika Bwana akubariki Sana mutumishi wa Mungu naomba tu kama unaweza kuongeza sauti kwani nimepoteza mengi Sana ambayo sikusikia vizuri

  • @ViolethMmary
    @ViolethMmary Год назад

    I'm blessed with your teachings and I wish to grow spiritually

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 2 года назад +1

    Huyu ni real mwalimu.nampenda sana

  • @hadijanafuna-qe7hm
    @hadijanafuna-qe7hm Год назад

    Amen and amen hallelujah be blessed pastor ✋🙏

  • @lillianngao6652
    @lillianngao6652 2 года назад +1

    Mtumishi asante kwa mafunzo mazuri

  • @LifeWaytv4287
    @LifeWaytv4287 Год назад +1

    🎇Very impactful ministration ✅

  • @robertpropheticchild2941
    @robertpropheticchild2941 2 года назад +1

    Me nakupenda tu mwalimu wangu

  • @kainzachristine1166
    @kainzachristine1166 2 года назад +1

    Amen so blessed by the word

  • @happykazungumenzamenza1277
    @happykazungumenzamenza1277 2 года назад

    Wau nimebarikiwa na mafundisho yko mtumishi wa MUNGU Be blessed

    • @AnnethBuzia
      @AnnethBuzia Год назад

      Mtumishi unafundisha hakiki,, mwenyezi MUNGU azidi kukuinua katika kweli yake.

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад +1

    Ameen

  • @Jameskariuki2014
    @Jameskariuki2014 Год назад

    Mombasa Kenya nakusikiza...ujumbe unaotia Nguvu kweli

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c 4 месяца назад

    Hallelujah

  • @paulomtweve2012
    @paulomtweve2012 2 года назад +1

    Shikamoo pastar rispact

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3em 9 месяцев назад

    Amen Amen

  • @NYAMIZIMVULLA
    @NYAMIZIMVULLA 11 месяцев назад

    AMINA

  • @JudithSaumu
    @JudithSaumu 8 месяцев назад

    Amen 🙏🙏 pasta nabarikiwa kutoka Kenya but Kwa sasa Niko Saudi Arabia kikazi

  • @enjomahenge9127
    @enjomahenge9127 2 года назад +1

    Amina🙏🙏🙏

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c Год назад

    Amen Amen Amen 🙏🙏

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 11 месяцев назад

    Ameeeeeen

  • @makoyekelvin
    @makoyekelvin 2 года назад +1

    NAKUPENDA MWALIMU WANGU
    UNANIJENGA SANA

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Год назад +1

    Yoshua 14:10-12

  • @evalynerwegasira7485
    @evalynerwegasira7485 Год назад

    MTUMISHI KWELI UMEITWA NA MUNGU. UNA MAFUNDISHO YALIYOJAA NGUVU ZA MUNGU. OH UTAKUJA LINI DAR ER SALAAM.

  • @hassanbukambu931
    @hassanbukambu931 2 года назад

    Amina

    • @osamaalfani3210
      @osamaalfani3210 Год назад

      Mimi na balikiwa Sana juu ya mafundisho mungu akuinue Sana nakupenda sana mtumishi

  • @rebbyjohnson9617
    @rebbyjohnson9617 2 года назад +1

    Hakika wewe ni Mwalimu bora,haya ni zaidi ya maarifa.

  • @evalynerwegasira7485
    @evalynerwegasira7485 Год назад

    MTUMISHI ANZISHA KANISA DAR.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад

    ASANTE Sana

  • @MeshackAngel-kc2gc
    @MeshackAngel-kc2gc Год назад

    Roho mtakatifu azidi kukutumia

  • @marykibali7568
    @marykibali7568 Год назад

    Naomba number ya simu

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Год назад

    Zaburi 96:6

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 Год назад

    Hakika una madini hadimu mtumishi.

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Год назад

    Isaya 40:31

  • @sarahamri1620
    @sarahamri1620 Год назад

    Huyu mchungaji jamani sijapata oona Mungu anavyombo dar mbali natamani niwe nasali hapo ila asante Yesu napata Neno utube

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 2 года назад

    Hili Somo kila nikisikiliza najazwa nguvu upya

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy Год назад +1

    Amen

  • @OliverLebabu-f1h
    @OliverLebabu-f1h 6 месяцев назад

    AMINA

  • @beatricemwamini2044
    @beatricemwamini2044 Год назад +1

    Amen.

  • @JudithRobert-xu9il
    @JudithRobert-xu9il Год назад

    AMEN 🙏

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Год назад

    Yuda 1:20

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Год назад

    Nehemia 8:10