UMUHIMU NA JINSI YA KUJENGA NGUVU ZAKO ZA NDANI - PST GEORGE MUKABWA | 23/06/2022
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Jesus Restoration Centre, Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa #5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz
Hakika wewe ni mtu sahihi ulieandaliwa na Roho wa Mungu na Mungu akutumie kuufikisha neno Lake masikioni mwetu ubarikiwe sana
Be blessed Ur msg is powerful
Mungu atusaidie katika safari ya mbinguni.
Ubarikiwe baba kwa somo hili ulilofundisha, namuomba hanisaidie niweze kusimamia nguvu za Mungu kwake.
Pastor ubarikiwe maneno unahubiri Yana nguvu mno ,,amen
Haya mafundisho imekuza kiwango cha imani.asante pastor
Mungu naomba fufua utu wngu wa ndani kwa jina la yesu
Amen 🙏🙏🙏🙏 siwezi kataa tamaa nitadumu katika imanii
Wewe ni zaidi ya pastor wewe ni mwalimu hakika. Mungu akibariki sana.From Geita
Nabarikiwa Kutoka DRC UVIRA,
Mtumishi huyu ameinuliwa kwa saa na wakati huu....kwa uhitaji wa mafundisho ya maarifa kwenye kanisa la MUNGU..barikiwa bava❤
Amen Mungu akubariki mchungaji nabarikiwa nikiwa lraq.
Amen 🙏 🙏 nimefuatilia mafundisho Yako mtandaoni nimebarikiwa sana Asante,nko 🇰🇪
Nakufuatilia toka Saudi Arabia
Mutumichi mungu akubariki akuogezee miaka baba ❤
Amen mtumishi umenigusa kweli ubarikiwe
Nakuelewaga sana pastor Mungu akubariki sana azidi kukutumia nakukufunulia Siri za Mbinguni
Amina mtumishi wa MUNGU,jana nilisoma wafilipi na nilipata mafunuo ya kufunga kwa kutumia neno hilo nililolipata hapo na nikaanza kufunga kavu kabla ya kupita hapa leo na kusikia somo hili nikiwa kwenye mfungo wangu,huu kwangu ni uthibitisho wa ROHO mtakatifu..barikiwa sana mchungaji
Hakika ninabarikiwa sana tena zaidi nimepata sehemu yangu 🙏🙏🙏 ubarikiwe mtumushi wa Mungu
Amen 🙏 Asante pastor nimepata nguvu mpya 🙌🙌🙌
Asante mchungaji nmekua nkiskiliza mahubiri yako ucku ucku wa manane nmefunguka kiroho
Asante kwa somo linalonipa nguvu zaidi, MUNGU akubariki
Nimesaitika sana pastor asande
Amen Amen nabarikiwa sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Pastor ninakuelewa mpaka najiona nimeshakuwa tajiri na mtu mwenye Nguvu sana katika mambo yote kwa jina la Yesu kristo.
Thankyou Jesus for this word, I was weak in my spiritual man but now the word has come to strengthen him.
Mchungaji umenibariki sana .Una kibali kutoka mbinguni.Mungu akutunze kila sekunde❤
Wewe ni zaidi ya pastor
Bwana nitie nguvu mtu wangu Wandani~🙏🙏
Nikona siku tu kadhaa tangu niliaza kukuzikilisa ila nimebarikiwa sana ni ujumbe zako Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
We baba umejua kweri kunifungua kwa neno🙏🙏🙏
asantie pastor mungu akubariki Sana Hali ZTE umeongea n Nina pitia BT ntavuka kupitia kwake yesu
Soo powerful service 🙏🔥be blessed mtumishi
Wattu wa mwanza hakika mmepata mtu sahihi wa kuwapeleka mbinguni msilegee.❤
😊😊😊😊
A
Mungu akutunze baba
❤❤❤ yaani nakeshaga na haya mahubiri
Ee MUNGU nisaidie utu wangu wa ndani kuwa na nguvu zako🧘🧘🧘
Mtumishi nabarikiwa sana na mafundisho yako
Nampenda hakika kanitoa kwenye laana za familia huyu baba Mungu kamuumba ... Amuweke miaka mngi
Nimebarikiwa sana
Asante pastor 🙏🙏
Mungu wa mbinguni akutunze sana Pastor, unanivusha mahali
Nakuelewa sana Pastor
Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏
Hakika Bwana akubariki Sana mutumishi wa Mungu naomba tu kama unaweza kuongeza sauti kwani nimepoteza mengi Sana ambayo sikusikia vizuri
I'm blessed with your teachings and I wish to grow spiritually
Huyu ni real mwalimu.nampenda sana
Amen and amen hallelujah be blessed pastor ✋🙏
Mtumishi asante kwa mafunzo mazuri
🎇Very impactful ministration ✅
Me nakupenda tu mwalimu wangu
Amen so blessed by the word
Wau nimebarikiwa na mafundisho yko mtumishi wa MUNGU Be blessed
Mtumishi unafundisha hakiki,, mwenyezi MUNGU azidi kukuinua katika kweli yake.
Ameen
Mombasa Kenya nakusikiza...ujumbe unaotia Nguvu kweli
Hallelujah
Shikamoo pastar rispact
Amen Amen
AMINA
Amen 🙏🙏 pasta nabarikiwa kutoka Kenya but Kwa sasa Niko Saudi Arabia kikazi
Amina🙏🙏🙏
Amen Amen Amen 🙏🙏
Ameeeeeen
NAKUPENDA MWALIMU WANGU
UNANIJENGA SANA
Yoshua 14:10-12
MTUMISHI KWELI UMEITWA NA MUNGU. UNA MAFUNDISHO YALIYOJAA NGUVU ZA MUNGU. OH UTAKUJA LINI DAR ER SALAAM.
Amina
Mimi na balikiwa Sana juu ya mafundisho mungu akuinue Sana nakupenda sana mtumishi
Hakika wewe ni Mwalimu bora,haya ni zaidi ya maarifa.
MTUMISHI ANZISHA KANISA DAR.
ASANTE Sana
Roho mtakatifu azidi kukutumia
Naomba number ya simu
Zaburi 96:6
Hakika una madini hadimu mtumishi.
Isaya 40:31
Huyu mchungaji jamani sijapata oona Mungu anavyombo dar mbali natamani niwe nasali hapo ila asante Yesu napata Neno utube
Hili Somo kila nikisikiliza najazwa nguvu upya
Amen
AMINA
Amen.
AMEN 🙏
Yuda 1:20
Nehemia 8:10