MIQUE : SIMULIZI TAMU YA SAUTI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии •

  • @sofiaaoscarkenga
    @sofiaaoscarkenga 3 месяца назад

    safi sana nimeipenda sana

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 8 месяцев назад +6

    🎉🎉🎉 asante kiogoz 🌹🌹🌹

  • @CentrineNasimiyu-v5j
    @CentrineNasimiyu-v5j 8 месяцев назад +3

    Wow nice one

  • @zulesh4477
    @zulesh4477 8 месяцев назад +4

    😂😂😂😂😂Hadi nmecheka apo mwisho eti subutuuu mm sitaki kuowa mchawi 😂😂😂😂😂

  • @GloriaMduma
    @GloriaMduma 8 месяцев назад +4

    Wakwanza mimi Leo jmn ❤😂

  • @GraceTesha-r6s
    @GraceTesha-r6s 5 месяцев назад +1

    Jamani story nzuri na msimulizi anasauti nzuri

  • @MumyA6379
    @MumyA6379 8 месяцев назад +5

    We dada nakupenda mpaka nakupenda tena unajua mpaka unaboa yani😂😂❤❤❤ Ahsante sana Simulizi mix, Salute kwa mtunzi na msimuliaji🥰🥰

    • @careensteve308
      @careensteve308 8 месяцев назад +1

      Asante mpnz! Nakupenda pia❤

    • @MumyA6379
      @MumyA6379 8 месяцев назад +1

      @@careensteve308 thanks love 😘

  • @MYME-u5d
    @MYME-u5d 8 месяцев назад +4

    Waooo my dear careen nilimiss hii saut jamn 🥰🥰🥰

    • @dadasalma2596
      @dadasalma2596 8 месяцев назад +3

      😅 jana tu kasimulia

    • @MYME-u5d
      @MYME-u5d 8 месяцев назад +4

      Huwenda sijasikiliz si unajua u busy my😝

    • @dadasalma2596
      @dadasalma2596 8 месяцев назад +2

      😀😀
      Pole

    • @MYME-u5d
      @MYME-u5d 8 месяцев назад +3

      Asnt my dear

  • @Sss-b9w6f
    @Sss-b9w6f 8 месяцев назад +3

    Mashaal asant sana kwasimurinzi ❤❤🎉🎉🎉🎉😢

  • @rauhiyasuleiman4626
    @rauhiyasuleiman4626 8 месяцев назад +1

    Msimuliaji is best one, kwakweli nakupenda san we dada ningekuwa na kaka ningekup. Napenda sana simuliz km izo

  • @JasmineLaurent
    @JasmineLaurent 5 месяцев назад

    Dada unasauti nzuri mno mm hata ukirudia simulizi sawa tu❤❤❤

  • @ReginaJumanne
    @ReginaJumanne 8 месяцев назад +2

    Sijachelew jamn he'll

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 8 месяцев назад

    Tusa jiloo❤❤❤❤🎉

  • @SharifahJuma-o7p
    @SharifahJuma-o7p 8 месяцев назад +3

    ❤❤❤

  • @TamaAbdulazizi
    @TamaAbdulazizi 8 месяцев назад +1

    Msimuliaji unatumaliza kwa sauti murua kipenz 🎉

  • @yussufadidja433
    @yussufadidja433 4 месяца назад +1

    😂😂

  • @lizzygabriel9601
    @lizzygabriel9601 8 месяцев назад +4

    First 😅

  • @Conso-m5o
    @Conso-m5o 8 месяцев назад +1

  • @nahimanahawa
    @nahimanahawa 8 месяцев назад +2

    Mnabadili jina la simulizi

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 8 месяцев назад

      Ukwel

    • @ReginaJumanne
      @ReginaJumanne 8 месяцев назад +1

      Nahis wametuchok kabix maan xo kwa uludiaj huo

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 8 месяцев назад

      Ukwel wasimliaj hua awasikilzag cmliz zawenzao

    • @ReginaJumanne
      @ReginaJumanne 8 месяцев назад

      Shids zao Hawa hawana ukalib wa kujua hii imeshasimuliw au bad kil mtu kivyak ndo sis tunakuj mwishow tunabolek

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 8 месяцев назад

      @@ReginaJumanne nikwel nf zinrudiwa nawasimliaj tofaut

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 3 месяца назад

    Kuna simulizi unatamani sana kusikiliza, lakini jamani, mimi natamani sana Felix Mwenda asimulie, hakika huyu mwamba wa sauti Felix Mwenda amesababisha nishindwe kabisaaaaa kusikiliza simulizi baada ya kuifunga na kukutana na sauti hasa za wanawake, kumwondoa Veronica Frank namkubali sana sauti yake haichoshi, msimuliaji no one Felix Mwenda, no two Anko Jei na Dr oen. Veronica Frank anakipaji

  • @CATHERINEALANUS
    @CATHERINEALANUS 8 месяцев назад +1

    Jamani hii simulizi mbona km mtunzi amekopi kuna simulizi ilisimuliwa km hii

  • @rhophussmkandawire3195
    @rhophussmkandawire3195 2 месяца назад

    Mashaal🤎💓

  • @latifahali8228
    @latifahali8228 8 месяцев назад

    Wanaridia simuliz

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion 8 месяцев назад

      Hii haijawaisimuliwa hapa .labda km uliisikiliza ni kwingne My dear ..

  • @FarahaShwaibu
    @FarahaShwaibu 3 месяца назад

    ❤❤❤