AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MAWAKILI (Official Live Video)
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- #MAWAKILI ni wimbo wa kumi na Tatu katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kukusaidia kuisikia sauti ya MUNGU. MUNGU AKUBARIKI.
LYRICS
Mtu na atuhesabu
Hivi kuwa
Tu watumishi wa Kristo
Na mawakili wa siri za Mungu
Mawakili wa siri za Mungu
Tusiwe kwazo la namna yoyote
Katika jambo lolote
Ili utumishi wetu usilaumiwe
Bali katika kila neno
Tujipatie sifa njema
Kama watumishi wa Mungu
Kama watumishi wa Mungu
Msiwe kwazo la namna yoyote
Katika jambo lolote
Ili utumishi wenu usilaumiwe
Bali katika kila neno
Mjipatie sifa njema
Kama watumishi wa Mungu
Kama watumishi wa Mungu
Sisi ni mawakili wa siri za Mungu
(Wa siri za Mungu)
Mtu na atuhesabu sisi ni watumishi
(Wa Kristo)
Tuweni waaminifu
Ili utumishi wetu usilaumiwe
Tuweni waaminifu
Tutumike katika Roho na kweli
Nyinyi ni mawakili wa siri za Mungu
(Wa siri za Mungu)
Mtu na awahesabu nyinyi ni watumishi
(Wa Kristo)
Iweni waaminifu
Ili utumishi wenu usilaumiwe
Iweni waaminifu
Mtumike katika Roho na kweli
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Song writer - Elisha Gurlaty
AICT Chang'ombe Church
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
MUSIC DEPARTMENT
Music Team - Emmanuel Yusuph (MAIN KEYS)
Elisha Gurlaty (AUX 1)
Elia Mahuna (AUX 3)
Onesmo Peter (AUX 2)
Benjamin Makolobela (BASS)
Daniel (LEAD GUITAR)
Mayala Bubele (TRUMPET)
Charles Stenson (TROMBONE)
Meshack Wilson (TROMBONE)
Eliya Makaya (ALTO SAX)
Raphael Luhende (ALTO SAX)
Samson Mathew (DRUMS)
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro - Видеоклипы
Mawakili tupeane likes hapa..!!
🙏🏻
Bass inaongea 😂😂😂🔥🔥🔥🔥 brother Ben mbinguni una mpini wako aisee🎉🎉🎉
tuliotoka kule tiktok na tumekutana hapa Like pls🙏🙏🙏
Wimbo umetoka vizuri,mtunzi abarikiwe sana,na wapiga vyombo pokeen Maua yenu
Mungu awabariki sana watu wa Mungu, kwa huo utumishi na uinjilisti kupitia nyimbo Zenu, nawapenda sana, Pia nabarikiwa sana natamani na mimi nmtumikie Mungu kwa uimbaji kama ninyi, Mungu awabariki sana sana, ila muwe na hofu ya Mungu ,msiimbe kwa mazoea, ili Mungu atukuzwa na kuinuliwa kupitia ninyi❤.
Leo guitar bass nimeisikia yenyewe ya mtu mzima na mwenye mziki wake safiii sana aiseeee
Imelia sana asee
Mimi hapa muongoni mwa mawakili congrats 🎉 l from kenya
Oh my goodness! What I love about AIC Chang'ombe Choir is their consistent focus on the message and excellent ministration! You are amazing. You bless us with every single song you release.
I pray the Lord continues to refresh, nourish and Grace you more and more.
May other music ministers emulate you.
Uyu solo wakiume mm nili thought ni lwaga
Be blessed. Am an ambassador of Christ.the mysteries of God what a priviledge 2025
Hongereni sana kwa kazi ya Mungu
Nawapenda sana mpaka nawapenda tenaaa❤❤❤ mmebarikiwa sana
Mungu awabariki
Hongereni kwa kazi njema. Mbarikiwe sana
Hongera sana mtumishi wa Mungu Grace Gasper kwa mtumishi wako huu mwenyezi Mungu akaongeze kazi yako.
Sisi ni mawakili wa siri za mungu hallelujah mubarikiwe sana from syokimau aic. Keep the fire burning in the altar.sololist ako sawa kijana indelea kumutumikia mungu.
Mmeiga wap hii merod waachien neema gospel mmepotea
Acha Hila za ibilisi wewe huna hata aibu ...kama hupendi hatua za utukufu kwa wengine hapa si mahali pako madhabahuni sio mahali pa mashindano back to sender
Chakula chetu sisi mawakili
YUle kijana kwa piano pale juu kabisa huwa Ana hisi uwepo wa malaika ambao sisi hatuwaoni😅.. Kwa kila wimbo Huwa anacheza na kufurahia kila wimbo huku anacheza kifaa chake inavyofaa👏👏👏
Mawakili❤
Mungu nisaidie niendelee Kuwa Waikili Mzuri Wa Siri Zangu. Mbarikiwe Sana.
Haleruyaa
Mie muwakilishi pia wa Kiristo
Mimi niwakili wa Mungu wangu nampenda sana
The song is on another level!Keep it up guys
Eish I'm blessed with this song Ooooh God give Africans Praise
Sisi ni Mawakili wa siri za Mungu
What a song 😊😊😊
Mungu azidi kuwalinda wezetu wa chang'ombe choir ❤❤❤❤
Bass imeimba sana kongole kwako brother Benja hakika unaubariki sana moyo wangu
Im blessed in kenya machakos
Kazi zurii Sana watumishi wa mungu
I love you all ,from 🇰🇪
Amen!!🎉Good song me piah Ni Wakili wa siri za Mungu❤❤
Amina@mawakili wa safari ya mji wa raha 🎉🎉
Mungu awabariki sana..watumishi🙏🙏🥰
Hongereni sana familia yangu
Mimi ni wakili wa MUNGU nimekaa kusubiri 😊
Mungu awainue zaidi,wimbo ni mzuri kweli❤❤❤❤❤❤
Na mim hapa kama wakili❤
Faithful
Haleluyah Mimi ni miongoni mwa mawakili la Mungu! Eee Mungu kupitia wimbo huu linda uwakili wangu kwako🙏🏾✝️
❤❤❤❤ tu mawakili wa Siri za Mungu hallelujah 🔥🔥🔥
May God bless you more and more for your good ministry. (1 Corinthians 4:1-2)
🎉🎉🎉 fantastic
Wimbo mzuri 🎉❤mbarikiwe
ambaye sija like coment yake aje a like coment yangu...🎉🎉
God is good.
Utukufu kwa Yesu
Kwa huu wimbo , CVC siwadai ,😊😊 mbarikiwe na Mungu,, maridadi saana
And finally the waiting is done ✅ 🎉❤🎉🔥🫶🏾💪🏾🙏🏾
Haleluyaaaa,
Huu wimbo nilitamani muda sana kaka Elisha Mungu Akubariki kwa utunzi mzuriii Nawapemda Taasisi
Sisi ni Mawakili wa Yesu
🎉🎉🎉watumishi wa mung tujuan
Mawakili
Amina
💫💫🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏😍😍😍
MUNGU awabariki❤
🔥🔥
Mungu awabariki Sana nimebarikiwa Sana watumishi wenzangu🙏🙏🌹
Wakili 🙌🙌🙌
🙏🏾🙏🏾👏👏
Bass ya maana kabisa kuwahi kutokea🔥🔥
Powerful song 🔥
❤❤❤
Amen
MUNGU awabariki sanaaa CVC ❤️❤️
Hongereni sana barikiwa❤❤
This is wonderful n lovely Eish what a song
🙌🙌
nakubali kabisa CVC
Hallelujah 📢
GOD bless you ❤
Be blessed🔥
Hiyo bass mmmmh🙆♂️🙆♂️😂😂😂
Wow❤
💥
😊❤
💥💥💥
🎉
20.9.2024
❤
uimbaji safi.. ila drums haijatulia vzr
Hallo bassist 😂👏
Nilijua anaimbisha Joel luaga aisee..
Ila bass imelia nyie
🔥🔥🔥
❤
Amen