At his own appointed time he will do it no matter hw long it will take he is never too early or late let me believe asubuhi yangu yaja......barikiwa ur a blessing @komando wa yesu
It's true God had a purpose for letting you see the rising Sun and never see its setting,so everything is possible in God's hands, never giveup in life.
We jamaa nakufuatilia tangu 2016, siku zote nasemaga wewe ni mwandishi mzuri sana kwenye mziki wa Morden gospel. Na kupitia wewe najifunza kua kufika na unachopambania ni lazima na ni ahadi ya Mungu. Hongera sana kaka
Oooh Mungu wangu nina mengi natamani unifanyie. Ndipo nasikia huu wimbo unaimba moyoni Baba yangu wa mbinguni naomba utende kwangu 2024.wimbo huu uwe halisi kwangu
Natamani sana ufanye hata remix ya kazi yako inaitwa "wimbo" uliifanya kitambo kidogo watu wabarikiwe kipindi hiki wamekupa attention.. uliandika sana ile kazi
KARIBUNI SANA KUTAZAMA WIMBO ATAFANYA. NAAMINI UTABARIKIWA 🙏🙏🙏🙏🙏
Twakuaminia kiroho kama funs, stay blessed 🙏
💃💯💯❤️❤️❤️♥️
@@conjeptaambehi5683 Amen
Ata fanya
Amen 🙏
Mungu Atafanya
Amen
Nahisi ni kama huu ni wimbo wangu.Huyu mungu ata fanya 🙏🙏
ime fanywa kama Siri adui asi one. 🙏
Atafanya🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Atafanya hakika
Amen
@@komandowayesu3642 nangojea nyingine hakika wewe ni komando nyimbo zako zinznibzriki sana sana.
Yes ata fanya
Amen
Hallelujah hallelujah asante mungu naamin katk ww baba yangu sitazam mazingira ya leo najua kesho utafany mungu wangu 5/1/2023 hallelujah ♥ 🙌
At his own appointed time he will do it no matter hw long it will take he is never too early or late let me believe asubuhi yangu yaja......barikiwa ur a blessing @komando wa yesu
Amen🙏
Amen
Ni kweli ninachojua Mungu atafanya ni lini sijui ILA ATAFANYA🙏🙏🙏🙏
Hivi ndivyo maisha yangu ipo kabisa, sijui mbona huu Wimbo haijaenda viral na Iko Kali hivi.... Nairobi Kenya.. nitapiga honi na mimi.. pipipii
Amen, ni siri yangu na mungu 🥰🥰🥰🥰thats my prayer 🙏🙏🙏atafanya
Amen
Heard it today.." From radio Maishaa... Ninacho jua mungu Atafanyaa.. Nina imani Naye"
Haleluuuuuyaa Atafanya
Haijalishi itachukua mda gani ,ATAFANYA
Amen
I Don't know if it will be day time or night time, all I know He will do it since He promised. It is His secret, for the enemy not to know!
Eish😘😘😘😘😘😘Atafanya.... Lazima Naaamini🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
It's true God had a purpose for letting you see the rising Sun and never see its setting,so everything is possible in God's hands, never giveup in life.
Amen
We jamaa nakufuatilia tangu 2016, siku zote nasemaga wewe ni mwandishi mzuri sana kwenye mziki wa Morden gospel. Na kupitia wewe najifunza kua kufika na unachopambania ni lazima na ni ahadi ya Mungu.
Hongera sana kaka
Amen Amen. Ahsante sana 🙏
Wangejua mipango ya Mungu kwangu, wasinge jisumbua kufunga baraka zangu. Sijuwi lini, ila najuwa atanibariki. Ubarikiwe sana Komando Wa Yesu 🙌🙌🙌
hakika. atafanya
Ninachojua atanibaliki
Mungu atafanya
Amen
Oooh Mungu wangu nina mengi natamani unifanyie. Ndipo nasikia huu wimbo unaimba moyoni
Baba yangu wa mbinguni naomba utende kwangu 2024.wimbo huu uwe halisi kwangu
Amen 🙌
Kaka uzidi kubarikiwa mno kakaaa
Ahsante
Atafanya
Barikiwa sana kaka kwa wimbo mzuri uliojaa ujumbe
Amen
Wangejua mbele yangu. Powerful you never disappoint komando.
Hakika imefanywa kama Siri Adui hasione Baraka zilizoko mbele yako... God has good plans for your My Brother and Sister.....🙏
🙏🙏🙏🙏
Amen. You are going far in Jesus Name. Be guided by The Holy Spirit of God. Ahimidiwe Yesu
Amen
Hakika Mungu atafanya Amen 🙏 Mungu azidi kukuinua kwa viwango hadi shetani ashangae
Napitia kipindi kigumu ila nmeskiliza hii nyimbo nmeamin mungu atafanya nime simama tena
Amen 🙌
Ninachojua Mungu atafanya🙏🙏
God bless you brother
Amen ubarikiwe sana kaka nawomba wimbo na wew kaka🙏🙏
God has good plans for us, despite mahali tupo sasa, keep on believing 🙏 keep on the Faith in Jesus
Amen
Fiona from mzb,but Kenyan,I don't know when I don't have the idea is when but one thing I know is Father God will ans my prayers
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Kazi Nzuri Saana Mkuu Hongera Saana, Hata sisi tunaamini Atafanya Tyuu
Amen mapacha wa yesu
Sijui n lini ama itakua saa gapi ama nitakua wapi ninachojua mungu atatenda....wooow..may u go far dear....this is so nice.....🙏🏼🙏🏼
Ahsante 🙏
@@komandowayesu3642 karibu
Big up bro MUNGU azid kukupandisha viwango vya juu 💯🔥💯🔥💯
Ahsante sana
What a wonderful song be blessed always ma of God 🙏🙏
Blessings ndugu atafanya please pitia pia Tumeitika Music🙏🙏thanks
Ahsante
@@komandowayesu3642 tafadhali pitia Tumeitika Music pia,nitashukuru sanaa
Amen and amen.atafanya njia tuu,hata nijapodharauliwa Na kushushwa Chini,,atafanya Na kurudisha vyote vilivyoibwa Na shetani
AMEN
Mbingu zizidi jujifunua kwako kazi njema
Wow! What a blessing! For sure God will do it🙏
🙏🙏🙏
Naomba cheo cha Kuwa Shabiki namba Moja wa Komando wa Yesu, ananibariki sana na kazi zake
😆😆🙏🙏🙏
Its my season naaa, God's doesn't send His word and go back to Him without acçomplishing it's purpose.Mungu atafanya
Nyimbo nzur sana mungu akuweke kiwango cha juu zaid
Biti Kali mdundo mkalii ujumbe mkalii amazing kwelii komando wa yesu kwelii one day mungu kwangu atafanya
🙏🙏🙏🥲
Naona MUNGU akikupeleka viwango vya juu sana unanibariki sana na uimbaji wako kaka God bless you 🙏🙏🙏
Ahsante 🙏🙏🙏
Amina Amina mtumishi
🙏🙏🙏🙏
God bless you and your voice ido far💪💪💪💪💪
😄😄🙏🙏🙏
WIMBO MKUBWA SANA HUU 🙌🙏
🙏🙏🙏🙏🙏
When the time is right I the Lord will make it happen isaiah 60.22
Hakika Bwana atafanya Kwa wakati wake. Hongera nyingi Komando.
Ahsante mtumishi
Yes,
Atafanya. Naamini atafanya.
He is a promise keeper.
Amen
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏.... Jesus will do it🙏🙏
Amen
Ni kweli nina imani atafanya i believe it thanks komando for your motivation 🙏🙏
Ni kweli hatujui ni lini atafanya wala saa ngapi lakini tuna Imani atafanya👌👌👌nice song
Amen
God bless you bro 🙏 keep going
🙏🙏🙏
Atafanya wimbo huu natazama kila siku,ni muimbaji wa injili kutoka kenya
Ahsante sana ndugu yangu 🙏
@@komandowayesu3642 karibu Sana Acha Mungu akuinue
Hakika Mungu Atafanya. Moto sana hii 🔥🔥🔥🔥🔥
Amen kaka
Ndio ATAFANYA
Amen
Hakika mungu atafanya kwawakat wake be blessed napenda sans nyimbo zako
Ahsante 🙏
Umetisha sana ndugu yangu
Nachoamini wewe na butati ni ndugu jamaani nyimbo mnazoimba zinaendana na wakati tuliopo
😂😂🙏🙏🙏
Mm nipende hyo part ya mwisho aiseeeee...umeau..much love from kenya
Ahsante
Huyu Mungu atafanya 🙏🙏🙏
Amen Amen Amen am blessed wacha ibaki Siri 🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Tears😭😭😭😭😭 are rolling down my cheeks of whatever am passing through but have gained my strength through your songs, Enyewe Mungu Atafanya🙏🙏🙏
Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU
Amen
The mystery of tomorrow. Be humble and kind because tomorrow belongs to God
Amen
Sawa sawa rafik
nyimb ni kali sana brother mung azidi kuku bariki tu
Amen
Yes alinifanyia na hata zidi kabisa
🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu MUNGU atafanya kwangu mwaka huuu na amini atafanya oooooo! Halleluyaaaa😂😂😂😂. #KOMANDO 💪💪💪💪💪💪👊👊👊👊👊😂😂
Barikiwa
Najua atafanya
Amen
Amen,I believe one day He will do it🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzr sana unavutia kuusikiliza, hongera sana komando
Ahsante sana
Asante sana umekuwa baraka kwangu Ndugu,roho mtakatifu anakutumia sana
Amen
Ubarikiwe kwa kazi nzri kaka Mungu azidi kukuinua zaidi
Ahsante ndugu
Amen,,imefanywa kama siri adui asione,,,,kazi kubwa hii,,asifiwe Mungu wetu maana ATAFANYA
Amen 🙏
Amen 🙏one day atafanya never give up
Ha ha haa another hit song 🔥🔥hongera sana Kaka...!
Wewe jamaa unajua sana .This is a hit song.
😄😄🙏🙏🙏🙏 Ahsante
Yani kaka Angu nikwambie wewe ni wapekee kwenye huduma ya uimbaji barikiwa mnoo kaka mnoo nabarikiwa mnoo na ww
🙏🙏🙏🙏
Lini ndoa?...sijui ....lini mtoto?...sielewi....wapi kazi?...sijui.!!!! Nachojua mungu atafanya 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😀😀😀😀😀😂🙏🙏
@@komandowayesu3642 😂 njoo tufanye colabo mtumishi wa mungu
Huyu Mungu atafanya, Nina imani naye. Umenitia moyo sana Komando, stay blessed
Ahsante
Ndio atafanya. Huyu Mungu atafanya , tunayemwomba kwa siri atafanya wazi maadui waone. Asante bratha kwa wimbo huu ubarikiwe
Ahsante🙏🙏🙏
Natamani sana ufanye hata remix ya kazi yako inaitwa "wimbo" uliifanya kitambo kidogo watu wabarikiwe kipindi hiki wamekupa attention.. uliandika sana ile kazi
😃😃🙏🙏🙏🙏
Kwa kweli atafanya namwamini huyu God nice
Pokea kufanikiwa kwa jina la Yesu
Tunaisubiri kwamakini
Amen
Naomba nami saport yako kutazam tu kaka Mr Micah ministry utaipata
🙏🙏🙏🙏
Wonderful song bro keep it up.
🙏🙏🙏🙏
🔥🔥🔥
Nakuona kaka
🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli atafanya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
another hit song be blessed
Amen
Am your biggest fan komando wa yesu..Your songs are so touching...God bless you Bro
Wewe ni mtu mwengine kabisa, una kitu cha tofauti sana brother thank you🔥🔥🔥👏🙌🙌🙌🙌
😄😄😄🙏🙏🙏🙏 Amen
Napenda xna nyimbo xako barikiwa kaka🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏
Kali sana
Mungu atafanya nyimbo nzuri
Ahsante sana
Kweli kabisa huyu mungu atafanya
Amen
Atafanya🔥🔥🔥🔥
Unaimba👍🔥
😄😄🙏🙏🙏🙏