Waooo!! Mungu akubariki sanaaa Baba Askofu, nimebarikiwa na huu Wimbo, ninaamini Maelfu ya watu watafunguliwa na kuinuliwa kupitia ujumbe huu. Mungu azidi kukuinua juu zaidi...This is 🔥🔥🔥🔥🔥
Huu wimbo unanitowa machozi ya furaha sana MUNGU ameniokoa na ajali Ya treni ya umeme apa USA MUNGU Kaniokoa na ajali ya gari nikiwa na mimba ya miezi 6 dactar katabil nitakuf na mtoto lakin MUNGU amefanya mtoto nimemzaa akika ni ushukuda kwangu amen 🙏 😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️
SISTER from Canada halleluyaaaaa mbarikiwe zaidi wanjilisti wazuri , Ni kweli kabisa nakubali Wimbo huu mzuri mno ni MUNGU amefanya niwe hivi leo ...... . naamini yuko kazini anaendelea kutenda ❤❤😂 AMEN Sifa, Utkufu apewe BWN.
Ubarikiwe Sana kwa kukubali kuwa mtumishi unayeimba kweli ya Mungu na nguvu zake tunaziona katika kila wimbo wako.UZIDI KUWA JUU ILI KUIHUDUMIA DUNIA INAYOPOTOSHWA KWA KUIGIZA HUDUMA YA MUNGU ALIYEHAI
Wow very powerful, mungu akuinue zaidi na zaidi kwa kipaji chako cha uimbaji... Wimbo huu umeniguza Sana moyo wangu.. Hakika mungu ndie anatenda barikiwa Sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ni Mungu amefanya sio mimi year 2023 nimepitia mambo mingi mali yangu kufirishika kuimbiwa bibi kuniacha juu mali imeisha biashara kufunga gari zangu kuisha madeni mingi but this 2024 nimeona mkono wa bwana santi mungu kwa chenye kilibaki thank you lord be blessed
Amen brother, some couldn't agree more! That song really spoke to hearts and is such a powerful testament of deliverance. so appreciate for the message it conveyed and the hope it brought to many.
Hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah is God not me l love you so so much 🙏❤️ and l love your song so much and god bless you so much 🙏❤️
Nimelia sana kusikia wimbo huu ,nimeshuhudia Mungu akinitoa katika Mauti nilikuwa nimekwisha habari yangu.Jamani Mungu yupo na anafanya kazi
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah nishapata wimbo wa kuingia nao kwa harusi yangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mungu akubariki saana kaka....Sijui nichezeje vile....Umebariki moyo wangu saana kaka
Kabisa acha MUNGU afanye tutaimba ciku hiy..
Hhhhh Mlphj. Xx can com oytiu we have been up for😮jppipppoop hhjllk😮 2:30
@@rehemahassan6073 Amen Amen
Wengi tutaingia nao huu kwa kweli
Yaani we acha tu........naringa kua na mdogo wangu wa baraka namna hii..... kiliiiiii
Siku ya harusi yangu lazima niweke hiii song sababu kwel Kun mambo mungu anafanya sio akili zetu Asante Yesu Kwa good song hiii
Wewe ni mwimbaji wa kweli! Kila nikisikiliza nyimbo zako Kila mara najipata nikifarijiwa na Roho Mtakatifu.
Mimi ni mfuasi wako kutoka DRC Congo 🇨🇩
Ubalikiwe sana tupo pamoja nawe uku Moçambique 🇲🇿🙏🙏🙏 karibu Moçambique 🇲🇿🎉🎉🎉
Naomba namba ya Mwangila uyu mwimbaji afike uku Moçambique 🇲🇿
Wakenya mko wapi jamani hallelujah 🙌 uuuuwiiiiii mungu ni mungu 😊😊😢
Amen Amen Amen Amen mungu ni mungu uuuuwiiiiii I love you so much honey GOD you're nambar one my Jesus 😊😊😊🎉❤
This is my song today after my husband and I suffering for 7yrs without a job.we have survived and now we can sing mungu amefanya 🙌🙌🙌🙏
Kutoka Kenya nipewe likes maana ni mungu amefanya
Naitwa Michael sekei kutoka Tz mipewe like mungu muache aitwe mungu
Waooo!! Mungu akubariki sanaaa Baba Askofu, nimebarikiwa na huu Wimbo, ninaamini Maelfu ya watu watafunguliwa na kuinuliwa kupitia ujumbe huu. Mungu azidi kukuinua juu zaidi...This is 🔥🔥🔥🔥🔥
Amen 🙏🙏
Amen ubarikiwe baba askofu
huna makuu umesema kwel
Wa kwanza ku view na ku like from Australia 🇦🇺 Barikiwa 🙌🏻
❤❤
Huu wimbo unanitowa machozi ya furaha sana MUNGU ameniokoa na ajali Ya treni ya umeme apa USA MUNGU Kaniokoa na ajali ya gari nikiwa na mimba ya miezi 6 dactar katabil nitakuf na mtoto lakin MUNGU amefanya mtoto nimemzaa akika ni ushukuda kwangu amen 🙏 😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️
Duuu ..pole sana Dada ... Mungu anatenda tofauti na mipango
Mungu ni mwema Sanaa. Matendo yake yapita fahamu zetu😊
Akika MUNGU ni mwema
Mungu ni mwaminifu si mwandamu mipango yake haifeili
Mungu ametenda maishani mwetu
Hakika Mungu amefanya sio Mimi Asante Kwa faraja Yako Kwa tunayopitia hii Dunia Kama Mungu sio kutenda uzima tusingeupata
Waoo wangapi tumeona Mwahangila anavyomentain upako wakeee, kwakwel naendelea kuhudumiwa na Roho mtakatifu kila navyozidi kuusikila huuu wimbo, ubarikiwe saana Mtumishi wa Bwana
Anajua ku MAINTAIN upako wako, hata mimi nimeona.
@@fortunetsukuma5527 amekubali kutumika na Bwana
Hakikaa
Vzr xna
Mungu akubariki kwa kipaji .Lakini kumbuka usichanganye MUNGU na miungu.
They did not know I have God 💪🏾🙏🏾
Sure God has DONE THE VERY big part of our lives.
Mungu azidi kukuinua baba yangu nyimbo zako huwa zinanibariki sanaa
Amen ni Mungu amefanya ,mpigie makofi📖📖📖🙏🇯🇲❤️
This is 2024 and He is still doing it. May God open your ways.
SISTER from Canada halleluyaaaaa mbarikiwe zaidi wanjilisti wazuri , Ni kweli kabisa nakubali Wimbo huu mzuri mno ni MUNGU amefanya niwe hivi leo ...... . naamini yuko kazini anaendelea kutenda ❤❤😂 AMEN Sifa, Utkufu apewe BWN.
Amen ni Mungu amefanya sio mimi Asante sana Mungu hadi apa ni wewe umetenda
Ni Mungu amefanya na kanipa ushuda wa ushuda yakwamba mimi ni mbegu waliponifukia chini bado naota tu . Himidiwa Mungu
Mungu Akimridhia Mwimbaji Upako Ushuka Kupitia Roho Mtakatifu.
True!God has done Wonderful things for me.Praise and Honour to Christ now and for ever more.Amen.❤K E
Mungu amefanya ata kwangu bila mungu peke yangu nisingeweza
Ni Mungu amenitendea,,shukrani,zote zimrudie,,sifa na utukufu ni kwake🙏🙏🙏
ni mungu amefanya sio mimi hallelujah yesu wangu niokowe amazing songs amen 💪💪💪 hallelujah Jesus Christ 🙏🙏🙏
Very true, Jesus has done it not me. May God bless you Mr mwahangila
Wachezaji wa kiume ndiyo wameharibu, wanacheza kwa haraka wakati Wimborne huo ni mzuri na inatakiwa kucheza polepole kwa kujidai
Moto sana🔥🔥🔥🔥🔥, Mtumishi 👏👏👏 ni Mungu amefanya, na akatenda🙌🙌🙌, Be blessed from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ubarikiwe Sana kwa kukubali kuwa mtumishi unayeimba kweli ya Mungu na nguvu zake tunaziona katika kila wimbo wako.UZIDI KUWA JUU ILI KUIHUDUMIA DUNIA INAYOPOTOSHWA KWA KUIGIZA HUDUMA YA MUNGU ALIYEHAI
Am a Ugandan but I like this guy, when I listen to his songs, they completely console my heart
I'm his number one fun
Unajua kuogea Kiswahili 😅
@@benardmakau3977 kidogo🤠
Ni mungu kweli amefanya .amenitoa mahali .huu wimbo umenikumbusha kitu .ubarikiwe sana ndugu
Glory glory glory hallelujah 🙏
Hakika ni mungu amefanya sio mimi ,barikiwa sana mtumishi Amen
Wow! Glory to our Mighty God for the great things He has done in our lives.👏🏾👏🏾👏🏾💪🏾 Bravo servant of God. @Christopher Mwahangila.👍
Waoooooo ni yeye alie tenda sio Mimi nam nimekuta kimetendekaaa wanashaaaangaaaaa tuuuuuu nenda my brthaaaaaa
Ameen,aki ni Mungu amefanya,I was passing through hard time but now am okay,then I have come across this blessing song oh,,,a lot of tears of joy.
Ni kweli kabisa mambo yote tunayofanya mungu ndo anatenda
Glory to GOD!! I love your music especially love it's in English captions for me to know the words.
Thank you!! ❤❤❤❤❤❤❤
Yani wimbo huu una mwaka mzima na sijauona!
Wimbo mzuri sana huu ni mungu amefanya!!!
Wow very powerful, mungu akuinue zaidi na zaidi kwa kipaji chako cha uimbaji... Wimbo huu umeniguza Sana moyo wangu.. Hakika mungu ndie anatenda barikiwa Sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
God has done for me amen thank you God for healing me your are wonderful God 🙏🙏🙏 amen 💕💕💖
You are truly a blessing to many, your ministry is indeed glory of God, neema ya huduma yaMungu wetu isipungue kwako uzidi kubwa baraka kwa wengi👏👏
Ni Mungu amefanya sio mimi year 2023 nimepitia mambo mingi mali yangu kufirishika kuimbiwa bibi kuniacha juu mali imeisha biashara kufunga gari zangu kuisha madeni mingi but this 2024 nimeona mkono wa bwana santi mungu kwa chenye kilibaki thank you lord be blessed
Hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏🙏 can't get enough of this song 🙏🙏 hakika n Mungu amefanya 🙏
Be bless brother,when I listen pain gone,thank you Jesus
I truly love this man of God and his worship songs... They move my soul to the feet of Jesus.. 🎉🎉🎉Barikiwa Sana mtumishi wa mungu
Ni Mungu tu hakikaa Nakupenda Mungu wangu ni Mungu amefanya wala siyo mimi
True God has done mighty things for me,That's why I have to praise him and hang out with Him,🎉🙏
Hakika ni mungu amefanya sio mimi.
Praise The Lord, just woken up with this son in my spirit. I had to search and listen to it. Amen to all God has done and that is UpTo.
I love you
Blessings upon Blessings God did it 🙏 Monday 9th 2024
Another song added to my wedding list ❤❤❤❤
Amen God bless you Man of God
Ni wimbo Mauri unanibariki saana tu amina
Amen brother, some couldn't agree more! That song really spoke to hearts and is such a powerful testament of deliverance. so appreciate for the message it conveyed and the hope it brought to many.
Ubarikiwe Brother. Hallelujah
Ni wimbo Mzuri ❤saana tu unanibariki amen ❤
Toka nianze kuwa FOLLOW mmenitenga kwa Like zenu 😭😭 __song
Aminaa mungu akubarik sana
Ni mungu Amefanya sio mimi kweli very powerful song amen ❤️♥️♥️ ameeeeen 🙏🙏🙏 hallelujah
𝑵𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒕𝒖𝒖 ❤
Mungu azidi kukubariki tu Baba hubadilishwi na wakati unabaki yule yule na kitu kile kile ulicho pakwa nacho mafata na mungu wetu alie juu
GOOD MUSIC.BLESSES MY SOUL.
Sanasana yupo vyema saana kila kitu ni mungu tuu
My special dedication for my enemies 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🔥🔥🔥🔥🧎♀️🧎♀️🧎♀️
Amen ni mingu tu amefanya haya
Let me comment so that whenever someone like my comment or reply it reminds that it God that has done it for and not me
Hakika ni Mungu amefanya, walinifukia wanashangaa nimechipuaje
Ubarikiwe sana mtumishi
Jina litukuzwe aliye juu
He's God of Fulfilment His Name endeavour forever
What a nice song 🙏🙏may God continue using you to spread the gospel
Isee wimbo unachoma mpaka ndani, barikiwa sana t
Mtumishi wa Mungu 👈👈
hallelujah hallelujah amen ni mungu amefanya thank Jess ❤❤
Ni mungu ametenda sio mimi hallelujah.
Good song
Ni kweli Mungu ame faya🙏🙏
100% for what I passed through and now it's only God done for my life 😭😭😭
Ni mungu amefanya,sio mimi.
Shangwe na vigelegele kwa Kristo haapa...Mungu amefanya
👇
From january till this last day of 2023 ... It has been God
🎉hakika mtumishi mungu ana tenda kwetu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 barikiwa Dana halleluyaa
Kwa hakika ametenda. Asifiwe milele. Asante Jehovah.
Hakika hakujawahi tokea Mungu kama huyu wa mbinguni ni mzuri mnoo
Uuuuwiiiiiiii wimbo una nguvu sana huu. Ubarikiwe sana mtumishi
Aamen ubarikwe sana dadaangu
@@ChristopherMwahangila-dg4yb AMEN MDOGO WANGU
Halleluyia!!!ni mungu amefanya ...🔥🔥🔥
Hapo ni Uganda. Ndio Mungu amefanya - sio mimi. Akibariki.
Hakika ametenda sio sisi tunaweza ni Mungu
Ameeeni Mungu si mwanadamu....Mungu ametenda kweli!!!!
Mauwa ya ende Kwa mama kasitep kamwisho hatali kwel Mungu ame fanya Asant ubarikiwe
Hakika ni Mungu amefanya 🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amefanya kweli ni mungu akn km wewe jehova shalom..glory belongs to almighty
Hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah Hallelujah is God not me l love you so so much 🙏❤️ and l love your song so much and god bless you so much 🙏❤️
Mungu mwenyewe ata si mimi fireeeeeee
Mungu ametenda sio mimi 🙏♥️♥️
amina kabisa ni Mungu amefanya kuwa hv nilivyoo🙏🙏🙏🙏🙏
amen 🙏🙏🙏 amen hallelujah 🙏🙏🙏 God has done not me 💪💪💪 amen
"Ni mungu , for sure its God's doing.
It's a Testimony.
Kwa kweli Mungu tu amefanya sisi kuwa namna hiii::: Mungu akubariki sana
Ni mungu ameondoa mitego iliyowekwa kwenye ñjia zangu,walikusudia ubaya kwangu lakini mungu ametenda kinyume na matarajio yao
Mungu amekutumia sana christopha. Utukufu kwa Yesu.
Waimvaji wa Nyimbo hii ninawapenda sana kuliko nyimbo yawo yenye kuwa na utamu sana wabarikiwe sana kutokana na Nyimbo nzuri ilionipendeza .
Ni kweli mtumishi ni mkono wa Mungu Bwana umetenda
Ameen gisi nilivyo ni mungu amefanya ubarikiwe sana mutumishi wa mungu