Jamaa anatumia akili nyingi sana,alijua wazi hawezi kuifunga yanga,lakini alifanya biashara nzuri sana ili wapate pesa za viingilio na hiyo ndio kazi moja wasemaji kushawishi mashabiki,
@@LimseyMassawe upo sahihi ndugu yangu unajua yule msemaji alikuwa na mambo mengi sana yakuongea alafu very emotional kuhusu mpira wa nchini kwake pamoja na mambo mengi kutoka nchini Burundi sema tu vile jamaa hakumpa uhuru
Tunamuomba Mama yetu mpendwa mama Samiha Suluhu Hassan ageuze match ya kufata ya Vitalo FC na Yanga Africa yoyote atafunga magoli kwenye iyi match ya kufata apewe million 5 ikiwa Vitalo ao Yanga Africa pale kwa Mkapa Yanga hachomoki
Katika vipindi vyote nimetizama hiki nichakanza kibaya sana mucuti nikuulize kitu wewe ni musemaji wa vital ao ni chawa wa Yang maana umetaja Yang mala nyingi kuliki vital timu yako ila kma timu za Burundi mutakua na wasemji kama hao hamutobowi Burundi ni inchi yangu ila buchuti umenikela sana brother
Acha kutiya huruma wewe kubali kipigo ju mulijipeleka wenyewe kama hapo unaongeya nini sasa inchi nzima kama Burundi I nakosaje uwanja kweli munaudhi kwakweli
huyu njaa kali maisha kwao ngumu anatafuta kazi team za tanzania zimpe kazi, hana maneno. ana utani sana. hana lolote, hataki kurudi kwao. Gamondi kamfata yeye au yeye ndiye aliyemfata gamondi? video zipo
ALLAH akuongoze katika Uislamu.
Jamaa anatumia akili nyingi sana,alijua wazi hawezi kuifunga yanga,lakini alifanya biashara nzuri sana ili wapate pesa za viingilio na hiyo ndio kazi moja wasemaji kushawishi mashabiki,
millard Ayo hongera sana hii sasa ndio interview siyo ile ya mzungu alikuwa anajisifia yeye hakuwa anampa jamaa uhuru wa kujieleza.
Ile huwezi ita interview ile ilikuwa story na manara....yani anaongea yeye tu
@@LimseyMassawe umefurahia ipi mzee
@@RichardGeofrey ya millard
@@LimseyMassawe upo sahihi ndugu yangu unajua yule msemaji alikuwa na mambo mengi sana yakuongea alafu very emotional kuhusu mpira wa nchini kwake pamoja na mambo mengi kutoka nchini Burundi sema tu vile jamaa hakumpa uhuru
Huyu Jamaa anataka umaarufu Tanzania kutrend ni kazi sana
Kwn ulitaka nn kama ayo wamejipendekeza
A trend mara ngapi ndo kasha trend hivo
Kati ya yeye na wewe nani anatrend😁😁
Tunamuomba Mama yetu mpendwa mama Samiha Suluhu Hassan ageuze match ya kufata ya Vitalo FC na Yanga Africa yoyote atafunga magoli kwenye iyi match ya kufata apewe million 5 ikiwa Vitalo ao Yanga Africa pale kwa Mkapa Yanga hachomoki
Huyu ana mezeshwa maneno na kolozidad
Saba zinakuhusuuuu 😅😂😂
Hata chooni Wanayanga uponao sio chumbani tu😂
Semaji apimwe atakuwa ni mtumiaji wa madawa ya kulevyaaa
Sasa ngoja umerudia maneno yako aya utakura 5 tena maana tulikuwa tunataka tukurumie ira uruma imeisha utakura tano
Alieskia daima mbele mwiko nyuma tujuane
🇧🇮
Mbona huna uweli
Haaaa haàaaa mlango wa magendo
We're utakufaa mazimaaa, kufufuka kamnaaa
Anakimbia uyu😅😅😅😅
Huyu jamaa nimemuelewa , uchawi umezidi
😀😀😀😀 huu sasa ndio mnara
Yanga pitieni mlango halali mmesikia hiyo😂😂😂😂😂😂😂
Katika vipindi vyote nimetizama hiki nichakanza kibaya sana mucuti nikuulize kitu wewe ni musemaji wa vital ao ni chawa wa Yang maana umetaja Yang mala nyingi kuliki vital timu yako ila kma timu za Burundi mutakua na wasemji kama hao hamutobowi Burundi ni inchi yangu ila buchuti umenikela sana brother
Bigi usiogope malizia mechi yapili lupasoo nauli tutakuchangia
Huyu jamaa anajikanyaga sana aliulizwa anajipepeta
Anatambua "kurujumani"
Ila msemaji kama nakuelewa YANGA hawana makao wachezaji wao, hawaingii kwenye mlango halari na wana kuja uwanjani mafungu mafungu 😂😂😂😂😂
Sio ngombe Ni ng'ombeeee.
Tumbo km boyaaa huyu hazami kabisaa akiogelea beach
AYO MMEMUHOJI JAMAA AKIWA AMEPIGA VITU TAYARI 😂
Ww hofu yako ndiyo hiyo tu
Hahahhah wewe akuskie mzee said km unampenda saidooo heeeee atakuchana hatar
Usitutishe bonge tuache 😂😂
Mpaka useme
Nani alimuambia Yanga wanaingia kwa makundi na mlango wa nyuma 😂😂
Makolo hao
Wasiwasi yako ni milango au na kutokuja na gari moja na nyie magari yapo chukuen
Yaan huyu alipolala ndipo yanga ilipoamkia miaka 700 iliyopita 😂😂
Wana Simba muache Yale maujinga ya kwenda Kunya Kwa viongozi wenu watu wanajua hii ni nchi ya amani kama hataki kujiuzuru basii sasa😅😅
😂😂😂😂
Acha kutiya huruma wewe kubali kipigo ju mulijipeleka wenyewe kama hapo unaongeya nini sasa inchi nzima kama Burundi I nakosaje uwanja kweli munaudhi kwakweli
huyu njaa kali maisha kwao ngumu anatafuta kazi team za tanzania zimpe kazi, hana maneno. ana utani sana. hana lolote, hataki kurudi kwao. Gamondi kamfata yeye au yeye ndiye aliyemfata gamondi? video zipo
Amekuja kutalii tu