MSEMAJI WA VITAL’O: SAIDO ZAIDI YA MESSI NA RONALDO, YANGA WAMETUFUNGA KWA KURJUAN KESHO NAONDOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 47

  • @salehthesword
    @salehthesword 2 месяца назад

    ALLAH akuongoze katika Uislamu.

  • @sailoo5722
    @sailoo5722 2 месяца назад +6

    Jamaa anatumia akili nyingi sana,alijua wazi hawezi kuifunga yanga,lakini alifanya biashara nzuri sana ili wapate pesa za viingilio na hiyo ndio kazi moja wasemaji kushawishi mashabiki,

  • @RichardGeofrey
    @RichardGeofrey 2 месяца назад +7

    millard Ayo hongera sana hii sasa ndio interview siyo ile ya mzungu alikuwa anajisifia yeye hakuwa anampa jamaa uhuru wa kujieleza.

    • @LimseyMassawe
      @LimseyMassawe 2 месяца назад +1

      Ile huwezi ita interview ile ilikuwa story na manara....yani anaongea yeye tu

    • @RichardGeofrey
      @RichardGeofrey 2 месяца назад +1

      @@LimseyMassawe umefurahia ipi mzee

    • @LimseyMassawe
      @LimseyMassawe 2 месяца назад +1

      @@RichardGeofrey ya millard

    • @RichardGeofrey
      @RichardGeofrey 2 месяца назад +2

      @@LimseyMassawe upo sahihi ndugu yangu unajua yule msemaji alikuwa na mambo mengi sana yakuongea alafu very emotional kuhusu mpira wa nchini kwake pamoja na mambo mengi kutoka nchini Burundi sema tu vile jamaa hakumpa uhuru

  • @EmaxiellEfazz
    @EmaxiellEfazz 2 месяца назад +6

    Huyu Jamaa anataka umaarufu Tanzania kutrend ni kazi sana

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 2 месяца назад +1

      Kwn ulitaka nn kama ayo wamejipendekeza

    • @Mtana-d2x
      @Mtana-d2x 2 месяца назад +2

      A trend mara ngapi ndo kasha trend hivo

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 2 месяца назад

      Kati ya yeye na wewe nani anatrend😁😁

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 2 месяца назад +3

    Tunamuomba Mama yetu mpendwa mama Samiha Suluhu Hassan ageuze match ya kufata ya Vitalo FC na Yanga Africa yoyote atafunga magoli kwenye iyi match ya kufata apewe million 5 ikiwa Vitalo ao Yanga Africa pale kwa Mkapa Yanga hachomoki

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 2 месяца назад +3

    Huyu ana mezeshwa maneno na kolozidad

  • @asantematembo7930
    @asantematembo7930 2 месяца назад +4

    Saba zinakuhusuuuu 😅😂😂

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga 2 месяца назад +2

    Hata chooni Wanayanga uponao sio chumbani tu😂

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 2 месяца назад +4

    Semaji apimwe atakuwa ni mtumiaji wa madawa ya kulevyaaa

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 2 месяца назад +1

    Sasa ngoja umerudia maneno yako aya utakura 5 tena maana tulikuwa tunataka tukurumie ira uruma imeisha utakura tano

  • @justinemasweta2877
    @justinemasweta2877 2 месяца назад

    Alieskia daima mbele mwiko nyuma tujuane

  • @Aima257
    @Aima257 2 месяца назад

    🇧🇮

  • @hamadihamadi9797
    @hamadihamadi9797 2 месяца назад +1

    Mbona huna uweli

  • @paulmagese7900
    @paulmagese7900 2 месяца назад +2

    Haaaa haàaaa mlango wa magendo

  • @DoreenMedson
    @DoreenMedson 2 месяца назад +2

    We're utakufaa mazimaaa, kufufuka kamnaaa

  • @mrh2812
    @mrh2812 2 месяца назад

    Anakimbia uyu😅😅😅😅

  • @btvonlinegospelfirst
    @btvonlinegospelfirst 2 месяца назад

    Huyu jamaa nimemuelewa , uchawi umezidi

  • @diehansi
    @diehansi 2 месяца назад +4

    😀😀😀😀 huu sasa ndio mnara

  • @erastoemmanuel6571
    @erastoemmanuel6571 2 месяца назад +1

    Yanga pitieni mlango halali mmesikia hiyo😂😂😂😂😂😂😂

  • @Officialswala
    @Officialswala 2 месяца назад

    Katika vipindi vyote nimetizama hiki nichakanza kibaya sana mucuti nikuulize kitu wewe ni musemaji wa vital ao ni chawa wa Yang maana umetaja Yang mala nyingi kuliki vital timu yako ila kma timu za Burundi mutakua na wasemji kama hao hamutobowi Burundi ni inchi yangu ila buchuti umenikela sana brother

  • @blackbajuni8518
    @blackbajuni8518 2 месяца назад +1

    Bigi usiogope malizia mechi yapili lupasoo nauli tutakuchangia

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 2 месяца назад

    Huyu jamaa anajikanyaga sana aliulizwa anajipepeta

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 2 месяца назад +2

    Anatambua "kurujumani"

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 месяца назад

    Ila msemaji kama nakuelewa YANGA hawana makao wachezaji wao, hawaingii kwenye mlango halari na wana kuja uwanjani mafungu mafungu 😂😂😂😂😂

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 2 месяца назад +1

    Sio ngombe Ni ng'ombeeee.

  • @AshaMsese-y5f
    @AshaMsese-y5f 2 месяца назад

    Tumbo km boyaaa huyu hazami kabisaa akiogelea beach

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c 2 месяца назад +2

    AYO MMEMUHOJI JAMAA AKIWA AMEPIGA VITU TAYARI 😂

  • @hamadihamadi9797
    @hamadihamadi9797 2 месяца назад +1

    Ww hofu yako ndiyo hiyo tu

  • @AshaMsese-y5f
    @AshaMsese-y5f 2 месяца назад

    Hahahhah wewe akuskie mzee said km unampenda saidooo heeeee atakuchana hatar

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 2 месяца назад +1

    Usitutishe bonge tuache 😂😂

  • @roggerasili3089
    @roggerasili3089 2 месяца назад +3

    Mpaka useme

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 2 месяца назад +1

    Nani alimuambia Yanga wanaingia kwa makundi na mlango wa nyuma 😂😂

  • @ezekieledison-d4w
    @ezekieledison-d4w 2 месяца назад +2

    Wasiwasi yako ni milango au na kutokuja na gari moja na nyie magari yapo chukuen

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 2 месяца назад

    Yaan huyu alipolala ndipo yanga ilipoamkia miaka 700 iliyopita 😂😂

  • @mcgabby
    @mcgabby 2 месяца назад

    Wana Simba muache Yale maujinga ya kwenda Kunya Kwa viongozi wenu watu wanajua hii ni nchi ya amani kama hataki kujiuzuru basii sasa😅😅

  • @nameiztv7870
    @nameiztv7870 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂

  • @Officialswala
    @Officialswala 2 месяца назад

    Acha kutiya huruma wewe kubali kipigo ju mulijipeleka wenyewe kama hapo unaongeya nini sasa inchi nzima kama Burundi I nakosaje uwanja kweli munaudhi kwakweli

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 2 месяца назад

    huyu njaa kali maisha kwao ngumu anatafuta kazi team za tanzania zimpe kazi, hana maneno. ana utani sana. hana lolote, hataki kurudi kwao. Gamondi kamfata yeye au yeye ndiye aliyemfata gamondi? video zipo

  • @novatuslawrence4666
    @novatuslawrence4666 2 месяца назад

    Amekuja kutalii tu