MUME MALAYA PART 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 180

  • @ZainabuMkomwa
    @ZainabuMkomwa Месяц назад +14

    Kiukweli sisi mabint wengi kwa sasa hatuna hofu ya Mungu kabisa ivi kweli mwanamke mama wa mtoto unavaa ivi kweli dunia tunapita na hatujui nimuda gani tunaondoka umauti unakukuta ukiwa umevaa uchi kiasi ichi tutakwenda kujib nn siku ya mwisho tumuogopen Allah wanawake 😢inasikitisha sana jaman Mungu tuondoshee matamanio ya hii dunia

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Месяц назад

      Yn viguu km. Mtii

    • @marryeliasmarryelias9289
      @marryeliasmarryelias9289 Месяц назад +4

      Aliyee vaa baibui na magauni kumi yanaburuza kama Hadi chini jeep hamjaona alicho mfanyia lafiki yakee😂😂😂 acheni ujinga kuku nyieeeeeee🤣🤣🤣

  • @Steven-George-es3hg
    @Steven-George-es3hg Месяц назад +24

    Tunaosoma comment kwanz kabla ya kuangalia content😂😂 ngonga like apo😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Месяц назад +6

    Kina Isha balaaa cheki anampelekea Jamaa kifua Jamaa anakwepa😂😂😂😂 kaka katafute saiz yako uyo atakuuwaa 😂😂😂

    • @JosephatMassae
      @JosephatMassae 20 дней назад

      Kama aliweza kumkunja hizo ni kelele za chura tu!! Na mshikaji kamueshimu sabab dukan kwa watu !! Engekuwa mtaan huyo demu anachezea makofi vixuri tu!! Ana ubavu gani !! Labda mshikaji analelewa ndo maana kawa mpole anajua anachokipata kwake !!😀😁

    • @AishaAishaothmani
      @AishaAishaothmani 14 дней назад

      usitukandie kweli mwanaume usikae nae kinyonge😂😂😂

  • @BurterDreezy
    @BurterDreezy Месяц назад +6

    Zompah badilisha nguo😂😂 part 1 na 2 nguo zile zile😂😂

  • @charming389
    @charming389 Месяц назад +5

    bora umevaa ivyo maana watu walishaanza kusema wanajistili wanafki😅

  • @FadhilaKhatibuabdala
    @FadhilaKhatibuabdala Месяц назад +3

    Jamani miguu ndo alivyoumbwa mavaz ni kawaida mbona huyo majuba na kabeba bwana wa rafiki tusijaji vitu kwa macho😢😢

  • @GraceShirima-cl4yx
    @GraceShirima-cl4yx Месяц назад +13

    Msimjaji MTU Kwa uvaaji wake anaweza akawahivyo lakini asiwenatabia chafuchafu lakini hao wanao jifunika sasa msisahau kuwa huo alikuwa amejifunika lakini anadate na shemeg yake mnajifunika ila Amna adabuu

  • @ByamunguGentil-su8ox
    @ByamunguGentil-su8ox 6 дней назад

    Sema mwana namkubal uyo jamaa 😂😂😂

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga Месяц назад +2

    Dada acha mdomo umalaya wako umekuponza fala ww , huwo mdomo wako Ungeleta mbele ya Isha uwone kazi yako kahaba ww,

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Месяц назад +1

    WAdada wembamba nawachukia sana ona sasa eti unamuangalia nani,mara nataka hela yangu mimi ningemkimbia

  • @AngelaMsukwa
    @AngelaMsukwa Месяц назад +2

    Uyo dada anavaaa ivyo mwanaume kaamua kumfata ostadhat

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Месяц назад +1

    Wadada wembamba huwa siwapendi maana kikikufamania havinaga breki si mdomo,si makofi ya uso nje nje huwa makimbia

  • @yassinMungere
    @yassinMungere 11 дней назад

    Sema husna pisi la kwenda

  • @chilovebeb4579
    @chilovebeb4579 Месяц назад +2

    sasa uyu nae vimguu virefu na ameviacha nnje na ndio yuko juu kwa mwanamme n mwanamme gan atakaa na ww kwel hv😂😆

  • @VeronicaFrance-vr6xk
    @VeronicaFrance-vr6xk Месяц назад +1

    Ongea yak kama mlevi flan mdada anae shinda clab

  • @sophykivuyo
    @sophykivuyo Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂 wadd wembamba bana anajiona mwamba, [huyo rafiki nae malaya tuh eti umesababisha ww kwani ulikuwa ujui huyo shemeji yako??]

  • @OmanMobile-py5bq
    @OmanMobile-py5bq Месяц назад +1

    Jaman siyo kwa ubabe huko

  • @DevothaJoseph-h5e
    @DevothaJoseph-h5e Месяц назад

    Duuh kwa mavazi hayo kwelii usichitiwe dada😅😅

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w Месяц назад

    Badala ushukuru ameondoka hajawapiga humo dukan kwa watu😂😂😂😂😂

  • @sulleRuth
    @sulleRuth Месяц назад

    Huyu dada uwiii emungu naomba wangu wakue wakiwa na taabia nzuri

  • @IbrahimMrisho-n5j
    @IbrahimMrisho-n5j Месяц назад

    Huyu dada anavuta sio bure😂😂😂😂

  • @LeukajaMavika
    @LeukajaMavika Месяц назад

    Huyo demu kaliwa mzigo na ajifanya haoni😂😂😂😂

  • @AishaAishaothmani
    @AishaAishaothmani 14 дней назад

    nikajua aisha mimi tu mkorofi kumbe wote😮😮😮😮😮

  • @MarthaMoris-zg2bj
    @MarthaMoris-zg2bj Месяц назад

    Ili dada jinga ulilazimishwa kutoka na bwana wa rafiki ako nyoo tamaa mbaya umalayatu kuoga aaaah

  • @lucyzakaria4258
    @lucyzakaria4258 Месяц назад

    Aishaa mpumbavuu uyoooo hatafu mbona km kilevi ichoo kidemu chenyewe

  • @SiliviaByabato
    @SiliviaByabato 19 дней назад

    Huyu kk mbn Kama ndie anataka wapigane kila mda ye ndie anaogopa acha kuwafanya wapigane

  • @ASHAHAKIM-qm9gu
    @ASHAHAKIM-qm9gu Месяц назад

    Uyo Isha viguuu mbuuuu hapendez kijuso

  • @MamaSamir-x7u
    @MamaSamir-x7u Месяц назад

    Uyo dada ni malaya aise Kwan alivyotongozwa na shemej yake alishindwa kukataa umalaya tu rafik wa kisenge uyo nyoko👌

  • @Aisha-qg5mj
    @Aisha-qg5mj Месяц назад

    Yule ostadhat ndio uyo mwenyekofia yatobo😂😂😂😂

  • @MwanaNandy
    @MwanaNandy Месяц назад

    Vinguu. Vya ishakm nzr jmni jisitirini mwaya

  • @ZainaSur
    @ZainaSur 24 дня назад

    Mavazi yenyewe kama yagihuni kiukl😢😢😢

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Месяц назад +2

    Mnapotoka hakuna vioo mjitazame kabla ya kutoka?

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy Месяц назад

      Kwan na wew unajikutq nan na sura yako mbovu km nguruw

  • @cleophasmkungu623
    @cleophasmkungu623 15 дней назад

    Kenge wa kiume na kenge wa kikee

  • @AshaDickson
    @AshaDickson Месяц назад

    Khaa nae huyu ajui ata kujisitili hivyoo khaa!!

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Месяц назад

    Yaani Dunia imesha yaani mtu anavaaa nguo yajuu Tualafu anajiona kavaa

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 Месяц назад +2

    Uwe utukumbushie part 1 ilipoishie Ili tukumbe maana unachelewesha part 2 tunasahau ata walianzia wap

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Ashakuharibia am ulijiharibia mwenyew

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 24 дня назад

    Wanatangaza biashara tu hawo

  • @ELIZABETHEMMANUEL-kz7vn
    @ELIZABETHEMMANUEL-kz7vn 27 дней назад

    Icho kihusna hakijielew koo kila ukitongozwa unakubal hajihexhim kama mdada ovyoooo kaokotwaa uyo shemej ako unatembea nae wala hutkisk

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Anatembea nannguo lam hizo na miguu mirefu kam ya ndege fulan am kam ya warangi usipokoywe bwan

  • @ASHAHAKIM-qm9gu
    @ASHAHAKIM-qm9gu Месяц назад

    Ww Isha Acha kujitukan viguuu chanjeeee

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад +1

    Ukitongizwa ujui kukataa mpuuzi ww. Ss km mnasaidiana na raifikiako kwann usiwe mkweli kwa rafikiako na ukakataa. Lkn ukakubali kwa tamaa zako

  • @NandyDiva
    @NandyDiva 16 дней назад

    Husna ww ni malaya mchafu una ata aibu rohooo na shem wako 😏

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Месяц назад +1

    Mnaovunja urafiki ni nyie mnaoharibu ma husiano ya watu ni nyie mnaoharibu kila kitu ni nyie

  • @BeatriceFabian-d4d
    @BeatriceFabian-d4d Месяц назад

    We dada ni mnafiki huyo ni mwanaume kwann alivokufata hujakataa na ulijua ni shemeji yako tamaa zako ndo zimekuponza uliona rafiki yako anafaidi wala ata kaka wa watu hana makosa

  • @SafayaPlatnum-zz1dz
    @SafayaPlatnum-zz1dz Месяц назад

    Bobu yupo makini sana futa boy kwani beigani

  • @ElizabethMasanja-v3d
    @ElizabethMasanja-v3d Месяц назад

    Duuh kazi ipo

  • @ReginaJumanne
    @ReginaJumanne Месяц назад

    Mbn kenge tena 😂😂😂😂😂

  • @VickySimeo-xq3bx
    @VickySimeo-xq3bx Месяц назад

    Mwanaume mwenyew malaya

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Et na yule dada mara hii kaw dada ten siyo rafiki

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Месяц назад

    Aisha huo mkomwe na nguo unazovaa miguu ya ya nyani

  • @achennimuxx3358
    @achennimuxx3358 Месяц назад

    Alivyokubalii sasa😅

  • @anithamwakamyanda
    @anithamwakamyanda 25 дней назад

    😂😂😂😂😂

  • @HappinessWerema-b3j
    @HappinessWerema-b3j Месяц назад

    😂😂

  • @AishaKhamis-gs6qc
    @AishaKhamis-gs6qc Месяц назад

    Wakina isha tukomoto😂😂😂😂

  • @cyberGhost-g3d
    @cyberGhost-g3d Месяц назад

    Ustadhati Leo kavaa CEP uyu malaya

  • @AminaMohamed-j9o
    @AminaMohamed-j9o Месяц назад

    Kama kaondoka bora mbaki wawili ndo inapendeza

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee Месяц назад +1

    Dada Isha Yuko unchi

  • @irineTesha-u2e
    @irineTesha-u2e Месяц назад

    Uongee na aisha uongee nae nn

  • @ElizabethMasanja-v3d
    @ElizabethMasanja-v3d Месяц назад

    Isha mwenyew hajali Wala nini

  • @ElizabethMasanja-v3d
    @ElizabethMasanja-v3d Месяц назад

    Kazi ipo

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Месяц назад

    😅😅😅😅

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад

    Ila demu nimemoenda sn anajiamini mno ila jmn ho mkosaji ni uyo aloiba mwnaume washoga ake

    • @VeronicaEliasi
      @VeronicaEliasi Месяц назад

      jaman mnatuma sms kwenye mtandao chungen kukosea

  • @erastonyoka5021
    @erastonyoka5021 Месяц назад

    Wanawake wembamba kama Aisha ni kiboko

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Месяц назад

    Utqki ugombi wkati ww ndo mkorofi sio shoga wa kweli umechukuwa bwna wamwenzio

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 Месяц назад

    Mungu anisamehe jaman hata kama. Mimi ni mrangi ila miguu yangu ina afya kidogo 🤦🤦🤦🤦

    • @narutonaruto4303
      @narutonaruto4303 Месяц назад

      Aki wewe miguu kama mbuni😂😂

    • @franciscakija1702
      @franciscakija1702 Месяц назад

      @@narutonaruto4303 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lutfiyahsaidi6666
      @lutfiyahsaidi6666 Месяц назад

      😂😂😂 haki tena kweli na Akili yako ya kirang

    • @franciscakija1702
      @franciscakija1702 Месяц назад

      @@narutonaruto4303 miwa bhana 🤣🤣🤣🤣

    • @franciscakija1702
      @franciscakija1702 Месяц назад

      @@lutfiyahsaidi6666 🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️

  • @AtukuzweKivambilo
    @AtukuzweKivambilo Месяц назад

    Umevaaje hvo ww ww unaonekana Malaya ndo maana unaibiwa

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Месяц назад

    Huyu dada bangiii

  • @MamaSamir-x7u
    @MamaSamir-x7u Месяц назад

    Marafik jmn marafik kiboko

  • @VickySimeo-xq3bx
    @VickySimeo-xq3bx Месяц назад

    Ko ukiwa mwanaume ukiona msichana unataka duu

  • @johnzacharia6892
    @johnzacharia6892 Месяц назад

    dingi toa no nikuongezee kazi

  • @LidyaUlotu
    @LidyaUlotu Месяц назад

    Maigizo mabaya

  • @SamiraseifAlfan-ph4ke
    @SamiraseifAlfan-ph4ke Месяц назад

    Ww husna hujielewi unaongea shombo wakati chanZo ni ww umemsalit rfk Yako hlf et unampa lawama mwanaume

  • @HasnaSawaid
    @HasnaSawaid Месяц назад

    Wewe nimnafiki lafiki yakokabisa

  • @UstinaMayemba
    @UstinaMayemba Месяц назад

    Husna ni Malaya kabisa,kwani ulikua hujui kama shemeji yako?

  • @Helenasonelo
    @Helenasonelo Месяц назад

    Maigizoo

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 20 дней назад

    𝐻𝑢𝑠𝑛𝑎 𝑛𝑑𝑜 𝑚𝑏𝑎𝑦𝑎 𝑙𝑘𝑛 𝑘𝑢𝑏𝑎𝑙𝑖😊

  • @jacksonpeter8629
    @jacksonpeter8629 Месяц назад

    It looks like script.
    MAIGIZO

  • @AnnaLuhanjala
    @AnnaLuhanjala Месяц назад

    😮😮 mmmmmh kweli mwanaume anahaki ya kucheat nguo zenyewe uchii nje na anaonekana hana aibu kweli mwanaume hata sy mbaya ubaya huyo mwanamke wanawake tujiheshimu

  • @gamarahmed3258
    @gamarahmed3258 Месяц назад

    😂😂😂mdada Hana haya huyu ety anamtupia mwanaume lawama kwani ulikua hujui kama yule ni rafiki yako na sio vizuri kumsaliti

  • @UpendoMtunguja
    @UpendoMtunguja Месяц назад

    We husna nawe bwege kweli eti kasababisha kwani umebakwa si umetongozwa na ukakubali

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 Месяц назад

    Sjh kama kavaa chupi

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Месяц назад +4

    Huyo Husna akili zake 0 vile vile yaani utembee na mwanaume wa rafiki yako halafu useme umetongozwa kwahy ht chizi akikutongoza utakubali fala ww ni maraya tena wakuogope shoga zako wote

  • @agnesjohnson2393
    @agnesjohnson2393 Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @NasraAli-c9s
    @NasraAli-c9s Месяц назад

    😂😂😂

  • @HusnaJabiri-i4w
    @HusnaJabiri-i4w 8 дней назад +1

    Wajina umenidharirisha umalay tu chefuuuuuuu,,,,

  • @mickyclemence3798
    @mickyclemence3798 День назад

    Uyu dem angempata mrefu ingekuwa nouma uyu uyu jamaa mfupi ndomana anamuonea 😅

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 16 дней назад +1

    ThE boy for mEh°😂😂😂😂🙌🏻

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 7 дней назад

    Mnafiki ww kwani ukujua kama yule ni rafiki yako umalaya wako ndo ulisababisha ulafiki ukuuthanin tamaa yako ilikuponza acha waume wa wenzio

  • @MatridaMwakalili-do2pg
    @MatridaMwakalili-do2pg 6 дней назад

    kwan we ungeweza kuwa mstarab ndo ujue hela hana anaamisha kwa mwezio umalaya tu nyooo wanaume wengine hamna

  • @HasnaHasna-q5x
    @HasnaHasna-q5x 23 дня назад +1

    Ww husna wawapi mbona husna mm sina umalaya wakuchukua mabwana zawatu😂😂😂😂😂😂

  • @Bupe-kv6zn
    @Bupe-kv6zn 14 дней назад

    Stakii shogaa kwa baby wanguu

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s Месяц назад +1

    Hya majina ya kassimu mmmh acha tu Malaya sana😂

  • @AlexsandrEgbart
    @AlexsandrEgbart Месяц назад +1

    Mmmhhh hatar sana

  • @EfardBenson
    @EfardBenson Месяц назад +1

    Huyo aliyevaa nguo za zamani yaani t-shirt kubwa kama fubu hafai kuwa mama bora,kwanza kavaa kiajabu unamwitaje mwanaume wako aliyekuzalisha mtoto na kukufanya uitwe mama,wewe unamwita kenge...!

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Месяц назад

    😅😅😅😅

  • @JosephatMassae
    @JosephatMassae 20 дней назад

    Kusema ukweli hata Mimi siwezi kuvumilia rafiki yake demu wang aje gheto na pigo za kujibebisha bebisha!! Na anajua fika mda huu demu wangu hayupo kwanini aje!? Sisi wanaume hatuna uvumilivu kwenye mitego afu upo kwenye mazingira hatari yaan magheton hata mim siwez kuwa na moyo tofauti na wa kasimu nabutua tu itajulikana baadae!! Nitatubu baadae 😀😁😂

  • @ElizabethMasanja-v3d
    @ElizabethMasanja-v3d Месяц назад

    Kazi ipo

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Месяц назад +1

    Kassim mwenyew sasa duh

  • @WonderfulSoccerGoal-gf2iy
    @WonderfulSoccerGoal-gf2iy Месяц назад +2

    Minguu kama fimbo