Kiukweli sisi mabint wengi kwa sasa hatuna hofu ya Mungu kabisa ivi kweli mwanamke mama wa mtoto unavaa ivi kweli dunia tunapita na hatujui nimuda gani tunaondoka umauti unakukuta ukiwa umevaa uchi kiasi ichi tutakwenda kujib nn siku ya mwisho tumuogopen Allah wanawake 😢inasikitisha sana jaman Mungu tuondoshee matamanio ya hii dunia
Kama aliweza kumkunja hizo ni kelele za chura tu!! Na mshikaji kamueshimu sabab dukan kwa watu !! Engekuwa mtaan huyo demu anachezea makofi vixuri tu!! Ana ubavu gani !! Labda mshikaji analelewa ndo maana kawa mpole anajua anachokipata kwake !!😀😁
Msimjaji MTU Kwa uvaaji wake anaweza akawahivyo lakini asiwenatabia chafuchafu lakini hao wanao jifunika sasa msisahau kuwa huo alikuwa amejifunika lakini anadate na shemeg yake mnajifunika ila Amna adabuu
We dada ni mnafiki huyo ni mwanaume kwann alivokufata hujakataa na ulijua ni shemeji yako tamaa zako ndo zimekuponza uliona rafiki yako anafaidi wala ata kaka wa watu hana makosa
😮😮 mmmmmh kweli mwanaume anahaki ya kucheat nguo zenyewe uchii nje na anaonekana hana aibu kweli mwanaume hata sy mbaya ubaya huyo mwanamke wanawake tujiheshimu
Huyo Husna akili zake 0 vile vile yaani utembee na mwanaume wa rafiki yako halafu useme umetongozwa kwahy ht chizi akikutongoza utakubali fala ww ni maraya tena wakuogope shoga zako wote
Huyo aliyevaa nguo za zamani yaani t-shirt kubwa kama fubu hafai kuwa mama bora,kwanza kavaa kiajabu unamwitaje mwanaume wako aliyekuzalisha mtoto na kukufanya uitwe mama,wewe unamwita kenge...!
Kusema ukweli hata Mimi siwezi kuvumilia rafiki yake demu wang aje gheto na pigo za kujibebisha bebisha!! Na anajua fika mda huu demu wangu hayupo kwanini aje!? Sisi wanaume hatuna uvumilivu kwenye mitego afu upo kwenye mazingira hatari yaan magheton hata mim siwez kuwa na moyo tofauti na wa kasimu nabutua tu itajulikana baadae!! Nitatubu baadae 😀😁😂
Kiukweli sisi mabint wengi kwa sasa hatuna hofu ya Mungu kabisa ivi kweli mwanamke mama wa mtoto unavaa ivi kweli dunia tunapita na hatujui nimuda gani tunaondoka umauti unakukuta ukiwa umevaa uchi kiasi ichi tutakwenda kujib nn siku ya mwisho tumuogopen Allah wanawake 😢inasikitisha sana jaman Mungu tuondoshee matamanio ya hii dunia
Yn viguu km. Mtii
Aliyee vaa baibui na magauni kumi yanaburuza kama Hadi chini jeep hamjaona alicho mfanyia lafiki yakee😂😂😂 acheni ujinga kuku nyieeeeeee🤣🤣🤣
Tunaosoma comment kwanz kabla ya kuangalia content😂😂 ngonga like apo😂
Kumbe tukowengieeeee
@@hanifamasudi9732 sana😂😂👌
Kina Isha balaaa cheki anampelekea Jamaa kifua Jamaa anakwepa😂😂😂😂 kaka katafute saiz yako uyo atakuuwaa 😂😂😂
Kama aliweza kumkunja hizo ni kelele za chura tu!! Na mshikaji kamueshimu sabab dukan kwa watu !! Engekuwa mtaan huyo demu anachezea makofi vixuri tu!! Ana ubavu gani !! Labda mshikaji analelewa ndo maana kawa mpole anajua anachokipata kwake !!😀😁
usitukandie kweli mwanaume usikae nae kinyonge😂😂😂
Zompah badilisha nguo😂😂 part 1 na 2 nguo zile zile😂😂
😂😂😂
bora umevaa ivyo maana watu walishaanza kusema wanajistili wanafki😅
Jamani miguu ndo alivyoumbwa mavaz ni kawaida mbona huyo majuba na kabeba bwana wa rafiki tusijaji vitu kwa macho😢😢
Msimjaji MTU Kwa uvaaji wake anaweza akawahivyo lakini asiwenatabia chafuchafu lakini hao wanao jifunika sasa msisahau kuwa huo alikuwa amejifunika lakini anadate na shemeg yake mnajifunika ila Amna adabuu
Sema mwana namkubal uyo jamaa 😂😂😂
Dada acha mdomo umalaya wako umekuponza fala ww , huwo mdomo wako Ungeleta mbele ya Isha uwone kazi yako kahaba ww,
😅😅😅😅
WAdada wembamba nawachukia sana ona sasa eti unamuangalia nani,mara nataka hela yangu mimi ningemkimbia
Uyo dada anavaaa ivyo mwanaume kaamua kumfata ostadhat
Alafu anaonekana mkorofi
Wadada wembamba huwa siwapendi maana kikikufamania havinaga breki si mdomo,si makofi ya uso nje nje huwa makimbia
Sema husna pisi la kwenda
sasa uyu nae vimguu virefu na ameviacha nnje na ndio yuko juu kwa mwanamme n mwanamme gan atakaa na ww kwel hv😂😆
😂😂😂 duh
@@Dafetty 🤣🤣🤣
Ongea yak kama mlevi flan mdada anae shinda clab
😂😂😂😂😂😂 wadd wembamba bana anajiona mwamba, [huyo rafiki nae malaya tuh eti umesababisha ww kwani ulikuwa ujui huyo shemeji yako??]
Jaman siyo kwa ubabe huko
Duuh kwa mavazi hayo kwelii usichitiwe dada😅😅
Badala ushukuru ameondoka hajawapiga humo dukan kwa watu😂😂😂😂😂
Huyu dada uwiii emungu naomba wangu wakue wakiwa na taabia nzuri
Huyu dada anavuta sio bure😂😂😂😂
Huyo demu kaliwa mzigo na ajifanya haoni😂😂😂😂
nikajua aisha mimi tu mkorofi kumbe wote😮😮😮😮😮
Ili dada jinga ulilazimishwa kutoka na bwana wa rafiki ako nyoo tamaa mbaya umalayatu kuoga aaaah
Aishaa mpumbavuu uyoooo hatafu mbona km kilevi ichoo kidemu chenyewe
Huyu kk mbn Kama ndie anataka wapigane kila mda ye ndie anaogopa acha kuwafanya wapigane
Uyo Isha viguuu mbuuuu hapendez kijuso
Uyo dada ni malaya aise Kwan alivyotongozwa na shemej yake alishindwa kukataa umalaya tu rafik wa kisenge uyo nyoko👌
Tamaa ndo shida
Yule ostadhat ndio uyo mwenyekofia yatobo😂😂😂😂
😅😅😅hata mm nimeshtuka
Vinguu. Vya ishakm nzr jmni jisitirini mwaya
Mavazi yenyewe kama yagihuni kiukl😢😢😢
Mnapotoka hakuna vioo mjitazame kabla ya kutoka?
Kwan na wew unajikutq nan na sura yako mbovu km nguruw
Kenge wa kiume na kenge wa kikee
Khaa nae huyu ajui ata kujisitili hivyoo khaa!!
Yaani Dunia imesha yaani mtu anavaaa nguo yajuu Tualafu anajiona kavaa
Uwe utukumbushie part 1 ilipoishie Ili tukumbe maana unachelewesha part 2 tunasahau ata walianzia wap
Ok🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ok🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ashakuharibia am ulijiharibia mwenyew
Wanatangaza biashara tu hawo
Icho kihusna hakijielew koo kila ukitongozwa unakubal hajihexhim kama mdada ovyoooo kaokotwaa uyo shemej ako unatembea nae wala hutkisk
Anatembea nannguo lam hizo na miguu mirefu kam ya ndege fulan am kam ya warangi usipokoywe bwan
Ww Isha Acha kujitukan viguuu chanjeeee
Ukitongizwa ujui kukataa mpuuzi ww. Ss km mnasaidiana na raifikiako kwann usiwe mkweli kwa rafikiako na ukakataa. Lkn ukakubali kwa tamaa zako
Tamaa imemponza sana
Husna ww ni malaya mchafu una ata aibu rohooo na shem wako 😏
Mnaovunja urafiki ni nyie mnaoharibu ma husiano ya watu ni nyie mnaoharibu kila kitu ni nyie
We dada ni mnafiki huyo ni mwanaume kwann alivokufata hujakataa na ulijua ni shemeji yako tamaa zako ndo zimekuponza uliona rafiki yako anafaidi wala ata kaka wa watu hana makosa
Bobu yupo makini sana futa boy kwani beigani
Duuh kazi ipo
Mbn kenge tena 😂😂😂😂😂
Mwanaume mwenyew malaya
Et na yule dada mara hii kaw dada ten siyo rafiki
Aisha huo mkomwe na nguo unazovaa miguu ya ya nyani
Alivyokubalii sasa😅
😂😂😂😂😂
😂😂
Wakina isha tukomoto😂😂😂😂
Ustadhati Leo kavaa CEP uyu malaya
Kama kaondoka bora mbaki wawili ndo inapendeza
Dada Isha Yuko unchi
Uongee na aisha uongee nae nn
Isha mwenyew hajali Wala nini
Kazi ipo
😅😅😅😅
Ila demu nimemoenda sn anajiamini mno ila jmn ho mkosaji ni uyo aloiba mwnaume washoga ake
jaman mnatuma sms kwenye mtandao chungen kukosea
Wanawake wembamba kama Aisha ni kiboko
Utqki ugombi wkati ww ndo mkorofi sio shoga wa kweli umechukuwa bwna wamwenzio
Mungu anisamehe jaman hata kama. Mimi ni mrangi ila miguu yangu ina afya kidogo 🤦🤦🤦🤦
Aki wewe miguu kama mbuni😂😂
@@narutonaruto4303 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 haki tena kweli na Akili yako ya kirang
@@narutonaruto4303 miwa bhana 🤣🤣🤣🤣
@@lutfiyahsaidi6666 🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️
Umevaaje hvo ww ww unaonekana Malaya ndo maana unaibiwa
Huyu dada bangiii
Marafik jmn marafik kiboko
Ko ukiwa mwanaume ukiona msichana unataka duu
dingi toa no nikuongezee kazi
0679900694
Maigizo mabaya
Ww husna hujielewi unaongea shombo wakati chanZo ni ww umemsalit rfk Yako hlf et unampa lawama mwanaume
Wewe nimnafiki lafiki yakokabisa
Husna ni Malaya kabisa,kwani ulikua hujui kama shemeji yako?
Maigizoo
𝐻𝑢𝑠𝑛𝑎 𝑛𝑑𝑜 𝑚𝑏𝑎𝑦𝑎 𝑙𝑘𝑛 𝑘𝑢𝑏𝑎𝑙𝑖😊
It looks like script.
MAIGIZO
😮😮 mmmmmh kweli mwanaume anahaki ya kucheat nguo zenyewe uchii nje na anaonekana hana aibu kweli mwanaume hata sy mbaya ubaya huyo mwanamke wanawake tujiheshimu
😂😂😂mdada Hana haya huyu ety anamtupia mwanaume lawama kwani ulikua hujui kama yule ni rafiki yako na sio vizuri kumsaliti
Akili zake hazina akili 😂😂
@@UsuiliMilangitoni-gm.c Kwa kweli
We husna nawe bwege kweli eti kasababisha kwani umebakwa si umetongozwa na ukakubali
Sjh kama kavaa chupi
Huyo Husna akili zake 0 vile vile yaani utembee na mwanaume wa rafiki yako halafu useme umetongozwa kwahy ht chizi akikutongoza utakubali fala ww ni maraya tena wakuogope shoga zako wote
😂😂😂😂
😂😂😂
Wajina umenidharirisha umalay tu chefuuuuuuu,,,,
Uyu dem angempata mrefu ingekuwa nouma uyu uyu jamaa mfupi ndomana anamuonea 😅
ThE boy for mEh°😂😂😂😂🙌🏻
Mnafiki ww kwani ukujua kama yule ni rafiki yako umalaya wako ndo ulisababisha ulafiki ukuuthanin tamaa yako ilikuponza acha waume wa wenzio
kwan we ungeweza kuwa mstarab ndo ujue hela hana anaamisha kwa mwezio umalaya tu nyooo wanaume wengine hamna
Ww husna wawapi mbona husna mm sina umalaya wakuchukua mabwana zawatu😂😂😂😂😂😂
Stakii shogaa kwa baby wanguu
Hya majina ya kassimu mmmh acha tu Malaya sana😂
Mmmhhh hatar sana
Huyo aliyevaa nguo za zamani yaani t-shirt kubwa kama fubu hafai kuwa mama bora,kwanza kavaa kiajabu unamwitaje mwanaume wako aliyekuzalisha mtoto na kukufanya uitwe mama,wewe unamwita kenge...!
😂😂😂😂❤
😅😅😅😅
Kusema ukweli hata Mimi siwezi kuvumilia rafiki yake demu wang aje gheto na pigo za kujibebisha bebisha!! Na anajua fika mda huu demu wangu hayupo kwanini aje!? Sisi wanaume hatuna uvumilivu kwenye mitego afu upo kwenye mazingira hatari yaan magheton hata mim siwez kuwa na moyo tofauti na wa kasimu nabutua tu itajulikana baadae!! Nitatubu baadae 😀😁😂
Kazi ipo
Isha mwenyew hajali wala nini
Kassim mwenyew sasa duh
Minguu kama fimbo
😂😂😂 guy
😂😂