@XaiTheFreestyler Kwa hiyo vitu vya kitoto toto ndio mnaona ukali dah kweli akili za watu wa siku hizi hapana,hivi unajua freestyle wewe?Unafuatilia kweli huo mchezo au mtu akisema check navyoflow check navyoflow ndio mkali?Kwanza unajua maana ya freestyle au mtu akisema mbele yangu naona mic na kutaja madj na Watangazaji kwa majina ndio mkali,pendeni kujifunza sio kupenda ligi za kijinga!
@@nikkimbishiunju2402 brother freestyle au mitindo huru hasa ya papo kwa papo kama hii si kitu kdg ,, si rahisi Ku make sense unapo freestyle bro so huo uwezo unahitaji respect pia
Oaaa uyu toxic kwenye maswala ya freestyle kashindikan bhn hata haters wake wanajua ila hawana namna🔥🔥🔥
@@SophiaChidalamai ameimba nn apo
@@ShaharaniIddi-i2bhv unajua maana ya freestyle maana isije ikawa unaponda tu kumbe hujui maana ya freestyle😂😂😂😂
@@othmantv2654hajui maana yy anajua n nyimbo maana anasikia bit 😂😂😂
Ujui lap ww@@ShaharaniIddi-i2b
Ww ndo ujui uyo kwa tanzania hii uyo nyoko@@othmantv2654
Rip ngwea ni kwel umetutoka ila toxic yupo anakuwakilsha.....😎😎😎
best mc in tanzania much love from kenya
Sema free style sio simple sana, unaweza kosa vya kuchana yan 😂
Sio kwamba sio simpe sana.. yani sio simple hata kidogo.. hii kitu ni tizi na talent
Sahihi TIZI & Talent Zingatia TIZI
Toxic button here
Wap team toxic❤❤
Tupo apa team toxic
💀🔥🔥wanyooshe king of freestyle rip haters.....!!🎉
Kaka umetisha achana na mbuzi wamchongo 😊
Jamaa mkali sana kwa free style
KAKA SASA HZI SIFA 🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥 APA ATA CADO MWENYEW ANASUBIRI
Mshamba wew
Cado ni habar nyingine mtoe kabisa mzee
Wee nae cado yupo njema kivyake2 mzee
Walishindana Lkn cado akakaa@@JJj-s4w
@@thomasnachenga795😂😂😂😂😂Unasemaje???? Fuatilia Freestyle Ya Wasafi Big Sunday Live Huyo Kado Alichanwa Live Na Jamaa Mpaka Akabaki Anabwabwaja TU!
kado kitengo alikaa Kwa uyo mwamba wa kuitwa toxic fuvu ni noumaaaaa
Kuna song naskilizia mbak unasem TMA huwa wanajizma data mda wa kutoa Tuzo. More love @appy#TMA
Jamaa mkali kwa freestyle
Huyu jamaa ni nouma🔥🔥
nakubali.
love from Burundi #Bujumbura
Sanaa tuu
Kali mno...
Noma sana kumamake
Mrithi wa Albert Mangwea.🫡🫡🫡🫡
Family yako tupo hapa Toxic fuvu 🎉
Noma sana
Nice brother
>>>Fuvu 🔥🔥🔥
Toxic fuvu , huyu mwamba ni noma sana
GORAMA WAS HERE🔥🔥
🎉🎉🎉
Bishoo wamotoo sana huyuuu
real freestyle
Ow bro we unajua achana na waimba tarabu hayo
Toxic 🔥🔥🙌
true stor ila 😊 young killer mkali
Tuliza pumbu Fala wewe
Hip hop to the next level qbal sana broda
Wazokubwa 🔥🔥🔥🔥
noma sana
Tisha Sana jamaa👐
Dogo balaa mistari inatoka kichwa the real talent
Huyu dogo🙌🙌
Toxic🔥🔥🔥
RIP RIP RIP MWANZO MWISHO
kuna mwana anaitwa Haydari Scodar aaaah huyo mwamba mm namkumbali sana
>>>Andika RUclips Hapo CRB TOXIC NA HAIDARY SCODA, mwenyewe alikubali Kuwa Toxic Noma
Lkn alikalishwa na toxic ingia RUclips ujionee
😂😂😂alikalishwaga na huyu
Wakawaida sana ila anapata hipe
Toxic fuvu uyu jamaa hapana😊😊😊
👑🔥
Ila kijana😂
Temeke mabegani🎉🎉🎉🎉🎉
Poison King of battle freestyle
Upo fwesh ila izo l na r unavozitamka zinanikata mood ya kukuskiza kbs alaipii ndo nini
Nakuhitaj tupge battle
Sounds ya bufa
🔥🔥🔥
Asee uyu jamaa unajua ku freestyle apa tz bado cjaona
The freestyle raper
Kafanya powa sana 🤍🤍
Toxic atabaki
Kuwa toxic
🎉🎉🎉🎉🎉
Jifunz kunata na biti kwanza
TOXIC 💥💥💥
Huyuu hamn bitii inamtishaa
🚀🚀
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pow unyama kabisaaa
#ww msenge nitishio
Khaligraph ndiye baba yenu
Anawashwa afu tushajua switch Iko wapi.,.😂
Mkali xana nakubar toxic
Mia br
Unajua mwana
Huyu jamaaa mumpe mauwa yakeeee
Toxic Mbabe Wake Cado Kitengo Kwenye Freestyle. Nakumbuka Kwenye Rap Bato Alichanwa Mpaka Alipigwa Busu 😂
We hatar kaka
Zamani nilikuwa naona kama vile Cado ndiyo mkali sana lakini kwa hapa naona bado atangoja sana
habari
🙌🏽🏁
Rip ngwea
Toxic ni chemical weapon lunya ni dada2
Toxic
Huyu toxic ni sumu ya freestyle
Mdudu kabisa
Bora angelufa toxc
Toxic 👑
sumu
Toxic Mzee wa hizi kazi
Studio haina hata shangwe duuh
Mwamba❤
Sidhan km kuna mtu anamzid huyu jamaa kwa freestyle
Uyu mwamba atengwe jaman
Dah mchiz una vibe huna cha kuimb mpk umtaje mumeo
Unawezaje kwani
hii Africa sijaona wakukushika
Ww nikiboko kumamae asiokukubari choko
😂
Noumaa mzeeeeee
Mwamba anayefanya freestyle ionekane kitu rahisi sana
oy toxic ni kiboko
Oiiiiiiiii mbuzi wa mchongo kaa mbali na number hii balaa sana
Tox fuvu unyamaa San mbuzi makuzi tu huyo ana jisifiya San alafu hana ujuzi
💣💣💣💣💣💥💥💥💥💥💣💣💣💯
Freestyle ajui uyu mwanzo mwisho gwair ndo nin sasa
huyu kumlinganisha na lunya masihara
Ndio freestyle za siku hizi 😂😂
Can you do better ?!
@XaiTheFreestyler Kwa hiyo vitu vya kitoto toto ndio mnaona ukali dah kweli akili za watu wa siku hizi hapana,hivi unajua freestyle wewe?Unafuatilia kweli huo mchezo au mtu akisema check navyoflow check navyoflow ndio mkali?Kwanza unajua maana ya freestyle au mtu akisema mbele yangu naona mic na kutaja madj na Watangazaji kwa majina ndio mkali,pendeni kujifunza sio kupenda ligi za kijinga!
@@nikkimbishiunju2402 brother freestyle au mitindo huru hasa ya papo kwa papo kama hii si kitu kdg ,, si rahisi Ku make sense unapo freestyle bro so huo uwezo unahitaji respect pia
Unacho mzidi lunya miwani tyuuu
Ww kweri shabiki mapumbu