NAOMBA NIKUALIKE Naitwa Hero naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html naomba sapot yako mtanzania kwa SUBSCRIBE
Round 1 toxic....kachana vina vya na & ma kwa muda mrefu mnooo kitu ambacho ni kigumu Round 2 chin flow....kamchana na kumsifia demu vizuri kuliko toxic Round 3 toxic ....punch kali zuchu ,bilnenga
Toxic inafaa upate management nzuri naimani kama wasafi wakiona kipaji chako kuwa chini ya lebo yao kama msaani wa hip hop utatufkisha international 🇹🇿🇹🇿
WANAFUNZI WOTE O-LEVEL,HIGH LEVEL MPAKA CHUO KIKUU... UNAJUA SIRI ZILIZOFICHWA KWENYE MBINU ZA KUJIBU MITIHANI? Utashangaa Pita kwenye channel yangu kuna mengi mazuri usipuuuzeeeeee
TOXIC FUVU MY BROTHER YOU ARE VERY TALENTED, THANKS WASAFI FOR THIS SHOW, IM LOVING IT AND IM WATCHING FROM DALLAS, TEXAS..IM A FAN 👌🏿👌🏿🙏🏾🙏🏾😜😜😜
Uyoo jamaa white kauwa kam kun m2 yuko p1 na mm gonga like na comment
Toxic hajawah fel mzee
Tox hatar
White hatareee🎉
daaaaaaaaaah mwana kazingua sana katutukana sna watu wa temeke TOXIC MMALIZE UYOOO
Nawakubali kinyama 👊🏿👊🏿👊🏿Mc nishirikishe pia nami niwachane, More Love from Kenya 🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Freestyle ni TAMU SANAAA AISEE "I LOVE U HIP HOP"
TOXIC jamaa makini Sanaa huyu mwamba ila Chim nae katisha ✋
Toxic Kama sikosei namuona kwa Mara nyingine Tena, afu anaua Tena
Toxic Fuvu baddest boy🔥
Mad Love toka Kenya both guys can freestyle
Huyu chim flo akijifanya kujua matusi mleteeni Kado Nondo...... Lkn Toxic Fuvu aliweza
Wapenda hip hop twende sawa kwa like Awooooote wakali💣💣💣💣💣💣💣
Hatar na nusu .......fuvu limefufuka ...toxic umetisha
@@rahimsaid2349 o
Chim Flow Unique Freestyler Mkali Sana
Ni kama movie yan Sterling kapigwa weee alafu anakuja kupiga moja nzito maneno yanapanda juu
NAOMBA NIKUALIKE
Naitwa Hero naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html naomba sapot yako mtanzania kwa SUBSCRIBE
Mzee baba Chim flow katisha snaa big up kwake anajua
Some People Are Just Blessed I Mean Take A Look At The One Reading This Post You Are Just Awesome👏✊👍 🤗😍💕💝😋
I love you
U killed it
Chim da flow insane freestyler 👏😂😂
Duh huyu toxic ni 🔥🔥🔥🔥254 representing
Huyu toxic Ni fuvu kweliii
Dah! Jamaa wote wakal ile mbayaa. ,gonga like km unakubl wajiunge tamaduN ili kuleta ladha
TOXIC KAUWA KINYAAAMAAA YANI 😂😂 Eti yeye Diamond akasumbuliwe Na ZUCHU 😂😂
"Mimi Diamond alf eti nikasumbuliwe na Zuchu".... Line Made an END of the Battle🤣
🙌🙌
Wote wako fiti. Love for Hip Hop.
The diamond pickup line was a murder to make the guy win
Nakubali fuvu tox umetisha
Embu badilisha hapo weka ITV niangalie mawaidha ya dini!...aliskika dingi flani uko nyumbani!..
🤣🤣🤣
aaah ukamfanyajee
😂😂😂😂🙌
Noma sana,talent is real💪🏾
Guys you are on 🔥🔥🔥 pongezi kwenu pamoja na Chama cha Wasafi 254 representing
Dah et anasema Mimi na wowo ingeacha amalize 😂😂😂 toxic noma
Og iyo
😁😁😁😁 alikua anajaribuuu kukimbiza motooo aaaaàh nakubreee Sana Mr TOXIC NEMBO KUBWAAAAAA
Honger wasaf tivi kwa kukuz vipaj vya chin
Mbona huyu MC ni mfupi sana, anajikuta Dj Khalid
🤣😂🤣😂eti Dj Khalid
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 basiii anajikuuuuuutaa
Ka mc ka njombe nini?
Round 1 toxic....kachana vina vya na & ma kwa muda mrefu mnooo kitu ambacho ni kigumu
Round 2 chin flow....kamchana na kumsifia demu vizuri kuliko toxic
Round 3 toxic ....punch kali zuchu ,bilnenga
Hii michano mingine too personal 😂😂😂 unaweza rusha ngumi.
😂😂😂
😅😅😅
Oya mcharo vip
Me ningelia kwa kweliiiiiiii
@@shimmymayeye3282 poa niajee
Shout out to you Mc you are the best like DJ Khalid
Ntakuwa muwazi tu, the girl is beautiful enough to kill somebody
Jamaa wametisha sana, big up WASAFI!!
That is fantastic for all. but hip hp like war my friends..when u sing for other and other think how can punish you..all as a same.. salute..for all
Hii Show kwanini msiwe mna enda mikoa mbalimbali nako kuna watu
Uyo kaka kakujua kuchagua Yani uyo Dada nimrembo kweli
Mademu wana huruma. Dem kamkataa toxic kataka ku-balance kamkubali mwana hahhaaah
😂😂😂sahihi
Wasafi 🔥🔥🔥🔥
Noma sana
Oyaaaaaaaaaaaaa jama kachanaaaa sanaaaaa duuuuuuu kaka siku moja niwepo kwenye show
Fuvu nimecheka had baaaasi😂😅😅😅😂😂😂😂😂
Toxic inafaa upate management nzuri naimani kama wasafi wakiona kipaji chako kuwa chini ya lebo yao kama msaani wa hip hop utatufkisha international 🇹🇿🇹🇿
Popopoo🗣🗣🗣🗣 Chim flow KATISHA KINOMAA 🗣🗣🗣
Toxic Yu are best in battle
That's Toxic fuvu 🔥 🔥
Big Sunday live on fire 🔥🔥🔥 Yani maisha juu ya mustari na enjoy Sana Ila eti Kuna MTU KAWEKA DISLIKE kwenye show hii kweli jaman!!! Au anatoka Kulee?
Toxic mkali
Duuuuh hii battle imetengwa Yan ni balaaa by mitumba he andrew
Dah ebwana chim ni moto mwengine toxic ajipange upya mzee
Uppo gud tox
Toxic🔥🔥🔥
Kweli jamaàa Ni fuvuu😁😁😁
Still D.R.E. beat is 🔥🔥🔥🔥💯
That First Round was Street Electric!
Huyo jamaa mwenye nguo nyeusi ni nani vile,Anaimba Hip Hop au anaaongea.MC Mbovu kama wewe unaua vibe
CHIM DA FLOW Ametisha Sana Qmmke Demu Kashindwa Kujizuia
Sema jamaa mwenye nguo nyeusi anatukana Sanaa😁😂😂🤔🤔
Cha ajabu demu kamuelewa hivyo hivyo
@@Fgldesigns
😂😂
Ndio maana ya battle freestyle
Daaah,😂😂😂
💀💀💀
Fuvu katisha,,,,🔥🔥🔥
I love hip hop rap wko fresh
Hey guys, love this 🙏🙏🙏
Chin da flow is insane inthe flow
Toxic fuvu mwisho kaua😂😅😂😂😂😂😂😅😅
Very talented brother tox
Alievaa whte ni noma apo black kakaa
Huyo mdada anaitwa nani nimfollow ss hv🤣🤣🤣🤣
Anaitwa mm
Mmmh mm!?
Ndo ww
Yes
Wanona wot lakin toxcc noma
Toxic ndo ameitoa we ulisikia wapi
Ngoma ni tie hii!
Og mmetisha
Toks vuvu noma sana
Fuvu mbayaaa 💥🙌🙌🙌
Nakubali hip hap
Toxic aliuwa bana😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Imeweza man much love from Kenya
Imeweza balaaaaa maboys kubali talent
Nawakubali wote💯
Daaaaah mwamba anajua bhna toxic ☠️☠️
WANAFUNZI WOTE O-LEVEL,HIGH LEVEL MPAKA CHUO KIKUU...
UNAJUA SIRI ZILIZOFICHWA KWENYE MBINU ZA KUJIBU MITIHANI?
Utashangaa
Pita kwenye channel yangu kuna mengi mazuri
usipuuuzeeeeee
Siri kusoma 2 🤣
@@denicegabriel6616 lakini kuna jinsi ya kusoma
Toxic
Mzee Toxic umeuaaa🥵💣
Ma-Dj wengi wabongo wanajua beat izi tuu sababu sio wapenzi wa hiphop
Kweli, wamekariri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu wa black ana mitusi mpka yuanichekesha ovyo
Wote wakali kilichomponza chim mistar haijaendana na wanachuo ila uswaz tumeielewa
Upoo sahihii kabisaa wanachuo wanapenda vituu soft saanaa
Hatari Sana mmetisha kumbe toxic ni danger
Nakubali
Anaemuweza toxic labda bando tu 😂
Jamaaaa noma sana hao
Toxic damn😃😀🤣😀🤣😀🤣😂😂unajuaa mwananguuu fuq🤣🤣🤣😂😂
Toxc noma
Kweli blo
#TOXIC #FUVU.....#SAUTIIII #NZITOOOO......🙌
sawaaaaaaa
Toxic não vinha brincar, o gajo vinha para matar mesmo 😂😂😂😂
🇲🇿❤️🇹🇿
👇
💪💯🇹🇿
vamos manda o mc cadabra pra os gjs
💀💀💀
Hahahhhh
Aaaah xafi xana
😂 😂 😂 😂 Toxic ni sumuuu, anaua mbayaaaa
Umetixha 🔫🔫🔥🔥🔥
Whit ametixha
Noma sanaaa
Safi Sana nimeipenda hii
Chimwela Da Flow umetishaaaa jamaaa kajambaaaa