BINTI ALIYEJISALIMISHA KWA KUHANI MUSA KUTOKA KWENYE CHAMA CHA KICHAWI - SHUHUDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 157

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja 2 месяца назад

    Ashura Mrisho naomba ufichue family yangu na ndoa yangu mji wangu piya

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 2 года назад +6

    Ushauri wangu hicho kingereza kingekuwa kinaandikwa chini hapo wakati mtu anashuhudia

  • @nebartmwakibinga7064
    @nebartmwakibinga7064 2 года назад +2

    Karibu sana Ngomeni kimara Temboni kwa Kuhan na mwl Musa Richard Mwacha

  • @elizabethnafunamakhanu8942
    @elizabethnafunamakhanu8942 2 года назад +1

    Waah nilikuwa sijawai watch hii Mungu saidie watoto wetu nasi pia barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @SalomeJulius-ss7ie
    @SalomeJulius-ss7ie Год назад

    Baba lao nikupendeje au nikushukulu vp maana mungu kakuleta wakati sahihi mungu akupe miaka milioni na saidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @officiallee1413
    @officiallee1413 2 года назад +4

    Mkalimani jmn bora akae kimya tunatoka uweponi 😭😭

  • @coletasilayo8771
    @coletasilayo8771 2 года назад +1

    Amina .Yesu ni Muweza

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Год назад

    Unayetafisiri English mwachie mda wa kiswahili afu tafisiri sawa,baba mungu akuongezee

  • @benganabenjamin3304
    @benganabenjamin3304 Год назад

    Yesu wa kuhani Musa namimi ndani ya wanangu nisaidiye icho chama watoke ndani nisaidiyi

  • @MarthaThomas-wp4yi
    @MarthaThomas-wp4yi Год назад

    Mungu azitetee familia zetu Kwa jina la yesu

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Год назад

    Amina balikiwa
    Baba

  • @josephobegi
    @josephobegi Год назад

    Yesu wa ngomeni aisi milele

  • @MathaWilliam-c3c
    @MathaWilliam-c3c 11 месяцев назад

    Amenenepa vizuri! Uchawi hauna maana kwelii

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад

    Kwa Jina ka Yesu Ameshindwa shetani.

  • @MoraniLesoile-rz1qy
    @MoraniLesoile-rz1qy Год назад

    Dah mtoto una roho ngumu sana dah baba ako alokulea miaka yote na kukusomesha umuue kisa cheo tuzudi kuomba kwa imani sana😢😢😢😢😢

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 месяцев назад +1

      Unadhani ni yeye basi roho chafu aliopandikizwa na uyo aliemfundisha uchawi na hao sio kama wanachukuliwa wanajielewa wakiwa usingizini taratibu badae anabadilika sasa yaan hao wakuuwa wote wanaowafosi kuwaingiza watoto kwenye kazi ya hovyo

  • @jumannemasanja1815
    @jumannemasanja1815 2 года назад

    Jamani wamama msiwashawishi watoto kuingia kwenye uchawi muogopeni mungu.

  • @alinemunezero5372
    @alinemunezero5372 2 года назад

    Amen

  • @sarandayisenga6686
    @sarandayisenga6686 2 года назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @joycemabariki9303
    @joycemabariki9303 2 года назад

    YESU ni BWANA

  • @frankrichard3491
    @frankrichard3491 2 года назад

    Mtumishi napataje connection npo mwanza

  • @isabelaevaristo8386
    @isabelaevaristo8386 2 года назад

    Kuhani Musa mtumishi waMUNGU naomba maombi ndowayangu ikombolelewe mumewangu amjue mung baba yangu

  • @francoisecirezi672
    @francoisecirezi672 2 года назад

    Bwana yesu asifiwe,naitaji namba zenu za watsap jameni Ili nipate kusaidiwa na Mazababu ya ngombe ya yesu plz.

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 2 года назад

    Jamani

  • @blandinatogolai1620
    @blandinatogolai1620 Год назад

    Heeee uyo Binti

  • @rosemzava5149
    @rosemzava5149 2 года назад

    Mmmmmh🙌

    • @beninairera3387
      @beninairera3387 2 года назад

      Shalom shalom nimefulahi kumufata mutumishiwamungu nambanambayake kweli

  • @vickyshoo1812
    @vickyshoo1812 2 года назад

    Mkalimani unaingilia kati hatusikii shuhuda

  • @vivicagreco7767
    @vivicagreco7767 2 года назад

    Huyo anae tafsir ,,, dah

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 2 года назад +6

    English sound is so loud 🔊🔊🔊🔊 than testimony why

  • @eazyentertainment5570
    @eazyentertainment5570 2 года назад +1

    huyo mkalimani ni useless kabisa kaharibu upako kabisaa, msimrudishe tena

  • @josefomoises9521
    @josefomoises9521 Год назад +1

    Saut ya kingeleza Kiko juu sana

  • @ainekishagodwin1877
    @ainekishagodwin1877 Год назад +1

    Unaetafsri acha mala moja unatualibia

  • @AzinaKitery
    @AzinaKitery 2 месяца назад

    Nimeituma sadaka yangu Kwa ajili ya kujifungamsnisha na wewe ili unitoe kwenye mateso na wanangu

  • @dorissmrosso7420
    @dorissmrosso7420 2 месяца назад

    Kingereza kiondolewe hatuelewi sauti IPO juu sana

  • @florencembiti9318
    @florencembiti9318 Год назад

    The sound of the lady translating to English, she's confusing can she stop, we are fine with Swahili

  • @ashamakokha9588
    @ashamakokha9588 2 года назад +15

    Hiyo sauti ya translation to English sometimes no need

  • @AzinaKitery
    @AzinaKitery 2 месяца назад

    Nisaidie mwanangu taus atoke kwenye mateso hayo us ukichaa

  • @barikiisaya4254
    @barikiisaya4254 Месяц назад

    Mungu wetu anatenda jaman.Mungu akutunze kuhani wa Yesu

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 2 года назад +2

    Naomba baba uniombee naota ndoto za ajabu ajabu

  • @lizlovedbyGod
    @lizlovedbyGod 2 года назад +1

    Huyo mzungu jamani mnyamazisheniiiiii....anatupigia fujo aiseeh.

  • @carolus9831
    @carolus9831 Год назад

    huyo anayetafsiri kiingereza please, you are making it hard for us to get the point

  • @jennifernyongesa2713
    @jennifernyongesa2713 4 месяца назад

    The translator is not necessary
    Just interfering

  • @thepastorgeremi9613
    @thepastorgeremi9613 Месяц назад

    Mtumishi naomba msaada wa maombi ysko

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 2 года назад +2

    Huyo wa kiingereza Bora anyamaze anaondoa watu katika uwepo

  • @swahili24live56
    @swahili24live56 2 года назад

    Mtafsili anahalibu SAUTI yake ipo juu iwe chini

  • @DerickStanyslous-sz4il
    @DerickStanyslous-sz4il 3 месяца назад

    Amina

  • @elesiathoha8586
    @elesiathoha8586 Год назад

    Huyu mtumishi yupo tz au Kenya?

  • @gracenyamisa8703
    @gracenyamisa8703 2 года назад +3

    🙆🙆Mungu wangu tukinge na yote ya dunia

  • @dottomushaija8981
    @dottomushaija8981 Год назад

    Amina

  • @JacksonJames-bu5yk
    @JacksonJames-bu5yk Год назад

    Àminaaaah

  • @josephobegi
    @josephobegi Год назад

    Wakufe kabisa ata wa kwangu

  • @ZipporahNyanchama-n4v
    @ZipporahNyanchama-n4v 3 месяца назад

    Amen baba ubarikiwe

  • @IbrahimHassan-yc2nk
    @IbrahimHassan-yc2nk 3 месяца назад

    hakika baba una weza

  • @daynadiny3791
    @daynadiny3791 Год назад

    🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😭😭😭😭😭

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 11 месяцев назад

    Najiungamanisha

  • @lilyaline5671
    @lilyaline5671 2 года назад +1

    Nasisi wakazi wa Burundi usitusahawu

  • @marthamartha2677
    @marthamartha2677 2 года назад +6

    Amina mtumishi wa Mungu nakupada nikiwa Lebanon lakini nyumbani ni Kenya, ninahitaji maombi yako sana na msiti kuparikiwa 🙏🙏

  • @josephobegi
    @josephobegi Год назад

    Aidi milele

  • @RashdaShabani
    @RashdaShabani 6 месяцев назад

    🤗🤗🤗🤗❤️

  • @msukumamama6211
    @msukumamama6211 2 года назад +1

    Yesu kristo wa mbinguni tusaidie hivi vizazi vyetu

  • @KhadijaMhenangu
    @KhadijaMhenangu 8 месяцев назад

    Amen

  • @josephobegi
    @josephobegi Год назад

    Amen

  • @josephobegi
    @josephobegi Год назад

    Amen

  • @josephobegi
    @josephobegi Год назад

    Amen

  • @angelalaizer3895
    @angelalaizer3895 2 года назад +1

    Akishaongea ndio utafsiri we hatukusikii na huyo binti hatumsikii😱

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 2 года назад +3

    Mungu atusaidie tuweze kuwatambua🇰🇪🇰🇪.

  • @kevinntibonera
    @kevinntibonera 4 месяца назад

    Amina mtumishi wa Mungu.Mungu wa uruma akuzidishiye upako.mimi ni kevin.naishi Malawi🇲🇼

  • @msukumamama6211
    @msukumamama6211 2 года назад +1

    Aisee duniani kuna mambo

  • @zenaalex5824
    @zenaalex5824 2 года назад +1

    Mmmm Mtoto unaogopesha

  • @asmakimari8392
    @asmakimari8392 Год назад

    Tuombee mwanangu amekuwa anasumbuliwa na marazi naomba maombi yako mtumishi wa yesu naomba ningekuwa wakulia kila Mara mwanangu anasumbuliwa naomaoma

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 2 года назад +1

    Mwenye kutafisili anazuia kusikia vizuri

  • @asmakimari8392
    @asmakimari8392 Год назад

    Bwana yesu asifiwe kwajina naitwa upendo Fred nimebarikiwa watoto wawili wakwanza anaitwa Lucas's na wapili anaitwa mikaeli naomba utuombee mwanangu wapili Ana umwa umwa tuombee mtumishi wa mungu tuombee tunaomba

  • @georgegasper220
    @georgegasper220 Год назад

    Matangazo ya kanisa la ngomeni yameshaanza kurushwa Azam tv?

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 7 месяцев назад

    Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤❤❤ ameeeeeen barikiwa sana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 года назад

    WE UNAYE TAFSIRI TAFAZALI UWE UNA SUBIRI AMALIZE KISHA USEME.

  • @asmakimari8392
    @asmakimari8392 Год назад

    Naomba usome meseji jaman nakutuombeya mchungaji

  • @magdalineajabu3057
    @magdalineajabu3057 2 года назад +1

    Yesu wa ngomeni Aishi milele🙏🙏🙏

  • @cutenicely4766
    @cutenicely4766 Год назад

    That's translation to be secere inabore coz sometimes no need...

  • @bertilambiro2956
    @bertilambiro2956 2 года назад +1

    Jaman nimewapendaaa

  • @rozebone2368
    @rozebone2368 2 года назад

    Jamani sis wanene utuombee Mtumishi w MUNGU duh ila WEWEKUHANI unasaidia sana

  • @hidayangoda4724
    @hidayangoda4724 2 года назад

    Tunabarikiwa sana but huyo anayeongea ki ingereza anatuchanganya🙏

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 2 года назад +1

    aminaaa baba 🔥🔥

  • @isayleonard6267
    @isayleonard6267 2 года назад +1

    Mkalimani mkalimani.....

  • @zenaalex5824
    @zenaalex5824 2 года назад +1

    Mungu azidikuku Linda mtoto

  • @hildaadriano6188
    @hildaadriano6188 2 года назад

    Najiunganisha.namazabahu.naomba.uponyaji.wayesu.kirsto

  • @dolphinemotondi6520
    @dolphinemotondi6520 2 года назад +1

    Yesu wa ngomeni ni waajabu

  • @djumazuena52
    @djumazuena52 2 года назад

    Mungu wa ngomeni na mimi nitasa unikumbuke na mimi nipate kuzaha

  • @joycekunyanja1027
    @joycekunyanja1027 Год назад

    Huyo mkali man apunguze sauti.Mungu awabarik sana

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 года назад

    Hawa wanaojiita wachungaji,mbona maovu yote yapo kwenu.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 года назад

    AISHI MILEEEEEEEEEEEEEEEEEEE BWANA YESU WA NOMENI. ASANTE YESUU

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 2 года назад +2

    Huyu mtoto alisema hanaga dada yeye ni wa mwisho na ni wa kike peke yake😀too much maigizo mmeamua kumseti hamjui mmesahau

    • @rosenyato8729
      @rosenyato8729 2 года назад

      Kwani dada lazima mzaliwe tumbo moja? Mtoto wa baba au mama mdogo au mkubwa siyo dada yako?

    • @getrudekakorozya951
      @getrudekakorozya951 2 года назад

      Wewe unatafsiri sauti ya juu mno,unatuchanganya

  • @estarwilliam6782
    @estarwilliam6782 2 года назад

    Napataje namba zahuyu kuhani naombeni msaada

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 года назад

    UNATUPIGIA KELELE TAFAZALI. UBIRI

  • @gracekomba6291
    @gracekomba6291 Год назад

    Baba Mungu akutunze tunapokea uponyaji ktk jina la Yesu

  • @estherfaidamalkia4021
    @estherfaidamalkia4021 2 года назад

    YESU wa NGOMENI AISHI MILELE ANATISHA

  • @sia4867
    @sia4867 2 года назад

    Unauetafrir unatuchanganya

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Год назад

    kiingereza kinavuruga kati

  • @agnessmpemba7121
    @agnessmpemba7121 2 года назад

    Jamani Mimi Niko mbali nilikua ninaitaji maombi yenu sana

  • @mariselabuya8562
    @mariselabuya8562 Год назад

    Amina🙏🇰🇪👏

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 2 года назад

    Mungu Baba tusaidie tuombe bila kukoma kwa msaada wetu uko kwako daima

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy 8 месяцев назад

    Mungu. Mungu. Yajamani bariki
    Nabii
    Musl
    Lichard
    Mwacha.