Unadhani ni yeye basi roho chafu aliopandikizwa na uyo aliemfundisha uchawi na hao sio kama wanachukuliwa wanajielewa wakiwa usingizini taratibu badae anabadilika sasa yaan hao wakuuwa wote wanaowafosi kuwaingiza watoto kwenye kazi ya hovyo
Bwana yesu asifiwe kwajina naitwa upendo Fred nimebarikiwa watoto wawili wakwanza anaitwa Lucas's na wapili anaitwa mikaeli naomba utuombee mwanangu wapili Ana umwa umwa tuombee mtumishi wa mungu tuombee tunaomba
Ashura Mrisho naomba ufichue family yangu na ndoa yangu mji wangu piya
Ushauri wangu hicho kingereza kingekuwa kinaandikwa chini hapo wakati mtu anashuhudia
Karibu sana Ngomeni kimara Temboni kwa Kuhan na mwl Musa Richard Mwacha
Waah nilikuwa sijawai watch hii Mungu saidie watoto wetu nasi pia barikiwa mtumishi wa Mungu
Baba lao nikupendeje au nikushukulu vp maana mungu kakuleta wakati sahihi mungu akupe miaka milioni na saidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mkalimani jmn bora akae kimya tunatoka uweponi 😭😭
Amina .Yesu ni Muweza
Unayetafisiri English mwachie mda wa kiswahili afu tafisiri sawa,baba mungu akuongezee
Yesu wa kuhani Musa namimi ndani ya wanangu nisaidiye icho chama watoke ndani nisaidiyi
Mungu azitetee familia zetu Kwa jina la yesu
Amina balikiwa
Baba
Yesu wa ngomeni aisi milele
Amenenepa vizuri! Uchawi hauna maana kwelii
Kwa Jina ka Yesu Ameshindwa shetani.
Dah mtoto una roho ngumu sana dah baba ako alokulea miaka yote na kukusomesha umuue kisa cheo tuzudi kuomba kwa imani sana😢😢😢😢😢
Unadhani ni yeye basi roho chafu aliopandikizwa na uyo aliemfundisha uchawi na hao sio kama wanachukuliwa wanajielewa wakiwa usingizini taratibu badae anabadilika sasa yaan hao wakuuwa wote wanaowafosi kuwaingiza watoto kwenye kazi ya hovyo
Jamani wamama msiwashawishi watoto kuingia kwenye uchawi muogopeni mungu.
Amen
Amen 🙏🙏🙏
YESU ni BWANA
Mtumishi napataje connection npo mwanza
Kuhani Musa mtumishi waMUNGU naomba maombi ndowayangu ikombolelewe mumewangu amjue mung baba yangu
Bwana yesu asifiwe,naitaji namba zenu za watsap jameni Ili nipate kusaidiwa na Mazababu ya ngombe ya yesu plz.
Namba hizo apo ktk shuhuda
Jamani
Heeee uyo Binti
Mmmmmh🙌
Shalom shalom nimefulahi kumufata mutumishiwamungu nambanambayake kweli
Mkalimani unaingilia kati hatusikii shuhuda
Huyo anae tafsir ,,, dah
English sound is so loud 🔊🔊🔊🔊 than testimony why
huyo mkalimani ni useless kabisa kaharibu upako kabisaa, msimrudishe tena
Saut ya kingeleza Kiko juu sana
Unaetafsri acha mala moja unatualibia
Nimeituma sadaka yangu Kwa ajili ya kujifungamsnisha na wewe ili unitoe kwenye mateso na wanangu
Kingereza kiondolewe hatuelewi sauti IPO juu sana
The sound of the lady translating to English, she's confusing can she stop, we are fine with Swahili
Hiyo sauti ya translation to English sometimes no need
Kabisaaa not need
Kabisa
That’s true 😀😀😀
Hii ni kwa watu wa nje ambao hawajui swahili inawasaidia
Nisaidie mwanangu taus atoke kwenye mateso hayo us ukichaa
Mungu wetu anatenda jaman.Mungu akutunze kuhani wa Yesu
Naomba baba uniombee naota ndoto za ajabu ajabu
Huyo mzungu jamani mnyamazisheniiiiii....anatupigia fujo aiseeh.
huyo anayetafsiri kiingereza please, you are making it hard for us to get the point
The translator is not necessary
Just interfering
Mtumishi naomba msaada wa maombi ysko
Huyo wa kiingereza Bora anyamaze anaondoa watu katika uwepo
Mtafsili anahalibu SAUTI yake ipo juu iwe chini
Amina
Huyu mtumishi yupo tz au Kenya?
🙆🙆Mungu wangu tukinge na yote ya dunia
Amina
Àminaaaah
Wakufe kabisa ata wa kwangu
Amen baba ubarikiwe
hakika baba una weza
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😭😭😭😭😭
Najiungamanisha
Nasisi wakazi wa Burundi usitusahawu
Amina mtumishi wa Mungu nakupada nikiwa Lebanon lakini nyumbani ni Kenya, ninahitaji maombi yako sana na msiti kuparikiwa 🙏🙏
Powerful testmony helping
Aidi milele
🤗🤗🤗🤗❤️
Yesu kristo wa mbinguni tusaidie hivi vizazi vyetu
Amen
Amen
Amen
Amen
Akishaongea ndio utafsiri we hatukusikii na huyo binti hatumsikii😱
Mungu atusaidie tuweze kuwatambua🇰🇪🇰🇪.
Amina🙏
Amina mtumishi wa Mungu.Mungu wa uruma akuzidishiye upako.mimi ni kevin.naishi Malawi🇲🇼
Aisee duniani kuna mambo
Mmmm Mtoto unaogopesha
Tuombee mwanangu amekuwa anasumbuliwa na marazi naomba maombi yako mtumishi wa yesu naomba ningekuwa wakulia kila Mara mwanangu anasumbuliwa naomaoma
Mwenye kutafisili anazuia kusikia vizuri
Bwana yesu asifiwe kwajina naitwa upendo Fred nimebarikiwa watoto wawili wakwanza anaitwa Lucas's na wapili anaitwa mikaeli naomba utuombee mwanangu wapili Ana umwa umwa tuombee mtumishi wa mungu tuombee tunaomba
Matangazo ya kanisa la ngomeni yameshaanza kurushwa Azam tv?
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤❤❤ ameeeeeen barikiwa sana
WE UNAYE TAFSIRI TAFAZALI UWE UNA SUBIRI AMALIZE KISHA USEME.
Naomba usome meseji jaman nakutuombeya mchungaji
Yesu wa ngomeni Aishi milele🙏🙏🙏
That's translation to be secere inabore coz sometimes no need...
Jaman nimewapendaaa
Jamani sis wanene utuombee Mtumishi w MUNGU duh ila WEWEKUHANI unasaidia sana
Tunabarikiwa sana but huyo anayeongea ki ingereza anatuchanganya🙏
aminaaa baba 🔥🔥
Mkalimani mkalimani.....
Mungu azidikuku Linda mtoto
Najiunganisha.namazabahu.naomba.uponyaji.wayesu.kirsto
Yesu wa ngomeni ni waajabu
Mungu wa ngomeni na mimi nitasa unikumbuke na mimi nipate kuzaha
Huyo mkali man apunguze sauti.Mungu awabarik sana
Hawa wanaojiita wachungaji,mbona maovu yote yapo kwenu.
AISHI MILEEEEEEEEEEEEEEEEEEE BWANA YESU WA NOMENI. ASANTE YESUU
Huyu mtoto alisema hanaga dada yeye ni wa mwisho na ni wa kike peke yake😀too much maigizo mmeamua kumseti hamjui mmesahau
Kwani dada lazima mzaliwe tumbo moja? Mtoto wa baba au mama mdogo au mkubwa siyo dada yako?
Wewe unatafsiri sauti ya juu mno,unatuchanganya
Napataje namba zahuyu kuhani naombeni msaada
UNATUPIGIA KELELE TAFAZALI. UBIRI
Baba Mungu akutunze tunapokea uponyaji ktk jina la Yesu
YESU wa NGOMENI AISHI MILELE ANATISHA
Unauetafrir unatuchanganya
kiingereza kinavuruga kati
Jamani Mimi Niko mbali nilikua ninaitaji maombi yenu sana
Amina🙏🇰🇪👏
Mungu Baba tusaidie tuombe bila kukoma kwa msaada wetu uko kwako daima
Mungu. Mungu. Yajamani bariki
Nabii
Musl
Lichard
Mwacha.