Nini Maana Ya Ndoto Ya Maji?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 33

  • @mercymuthonindumbi4306
    @mercymuthonindumbi4306 2 дня назад

    Somo la maji apa nimeelewa vizuri mtumishi asante.mungu akubariki

  • @FredyGasiani
    @FredyGasiani Год назад

    Amen mtumishi mungu akubariki

  • @faithkiarago8696
    @faithkiarago8696 Год назад +5

    Hapa Saudi Arabia uko live,,tunakucheki poa,, kwa somo la maji

  • @ummymvungi5555
    @ummymvungi5555 28 дней назад

    Je ukiota unanawishwa kichwa halafu ukazamishwa kwenye maji halafu ukatoka na maji yanatembea ina maana gani

  • @REBAWANYAMA-mk7ng
    @REBAWANYAMA-mk7ng 7 месяцев назад

    Amen,Amen barikiwa zaidi

  • @janetmutua3879
    @janetmutua3879 Год назад +1

    Amen

  • @SALUMAHUSSEIN
    @SALUMAHUSSEIN 11 месяцев назад +1

    Ukiota unachota maji mazuri kwenye shimo

  • @REBAWANYAMA-mk7ng
    @REBAWANYAMA-mk7ng 9 месяцев назад

    Amen,Amen.Nilikunywa maji kwa ndoto

  • @hildageorge1781
    @hildageorge1781 10 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi asanteee sana ❤

  • @issakatoto9653
    @issakatoto9653 Год назад

    bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu mimi nimeota niko na mama yangu tunarudi sijui tunatokea wapi ni usiku mimi nikanunua kitumbua anauza mama bonge mtu mzima kuna kikombe kaweka sarafu za gold tupu sasa ktk kurudisha chenji akanipa shilingi mia mbovu wakati nzuri zipo na naziona tena kaweka ktk sufuria kubwa mnoo jipya kabisa nikaikataa ikawa ugomvi mm na mama angu akatokea mvulana akampigiza kichwa ukutani mara2 mama angu akaondoka kurudi kule tulipotoka mimi nikamfuata akaingia kwenye nyumba ya udongo mm wakati naingia nikafunguliwa mlango na marehemu bibi yangu ila hakunisemesha akaingia chumba kingine mimi nikamkuta mama angu chumba cha kati kajiziba uso analia nikaanza kumbembeleza lkn hiko chumba kuna jiko la mkaa na jikoni kuna nyama ya ngombe inapikwa mimi ndo nakoroga na mwiko huku nimemkumbatia mama angu nambeleza nje akawa anakuja mama angu mdogo kabeba ndoo ya maji kichwani lkn wale vijana walitufanyia vurugu kule kwa muuza vitumbua wakawa wanapita nje wakampiga kikumbo mama angu mdogo akawa anafoka huko nje mm moyoni sitaki kukaa pale nataka kuondoka na mama angu lkn usiku mwingi na njia zina wale vibaka naogopa sasa naomba unisaidie kunifafanulia mtumishi mm natokea Tanzanian ubarikiwe sana

  • @AsimweSilas
    @AsimweSilas 7 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 4 месяца назад

    Mtumishi mm nmeota ndoto tulikuwa watu watatu tukapta sehem tuakuta njia tatu mm nkapta njia 1 nkakuta iyo njia 1 inamaji tulivu mmh nkawaza sana....

  • @مريمالحزمي
    @مريمالحزمي Год назад

    Mimi ni Eldah ,pastor nauliza mm niliota mama yangu anehama nyumbani na amejenga hema juu ya maji meupe na yemetulia , na anaishi hapo juu ya maji

  • @makubikateire4978
    @makubikateire4978 Год назад

    Mtumishi bwana apewe sifa!!! Nimeota tupo kwenye hafla fulani na watu wengi walikuwepo, lakini kuna mama mmoja mnene akawa kama amekunywa pafu la maji mdomoni kisha akanivuta mkono wangu wa kulia na kunipulizia yale maji yamdomoni mwake. Je hii ina maana gani?

  • @REBAWANYAMA-mk7ng
    @REBAWANYAMA-mk7ng 7 месяцев назад

    Aki mbona ndoto ya kuona mfereji unatoa maji kwa pressure ya juu sana,na ni maji safi

  • @DianaJaphet-l9f
    @DianaJaphet-l9f Год назад

    Postor nimeota nimechota maji nikawa nimejitwika lakn yale maji alimwagika shimoni hii inamaanisha nn

  • @BonnySwai
    @BonnySwai Год назад

    Me nimeota nakinga maji bomban maji masafi nampelekea mama yangu

  • @MoureenPresiours
    @MoureenPresiours 10 месяцев назад

    🙏

  • @simonkamau-ob8bp
    @simonkamau-ob8bp Год назад +1

    God bless u pastor

  • @jamesmapundi3664
    @jamesmapundi3664 Год назад +1

    Ukiota maporomoko ya maji ina maama gani

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Год назад +1

      Una ambiwa uachilie jambo fulani lina kusumbua ,ya usamehe na ku le go.na pia ni utakaso

    • @jamesmapundi3664
      @jamesmapundi3664 Год назад

      @@revpeternjihia asante

  • @NiceMboya
    @NiceMboya Год назад

    Pastor nimeota tunavuka maji watu wengi kwenye pantoni, na badaye nikaota watu wengi wamezingira dibwi la maji?? Alafu nikawa nashangaa maana yake ni nn??

  • @sifasifa600
    @sifasifa600 Год назад +1

    Jambo baba
    nilihota nikipelekeyana bibi yangu 20L ya maji inamahanisha nini

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Год назад

      ruclips.net/user/liveh6j4DtVcbTU?feature=share

  • @BoscoNchembo-js7nh
    @BoscoNchembo-js7nh 11 месяцев назад

    Sauti ndogo saba

  • @khadijahhellen1670
    @khadijahhellen1670 Год назад +1

    Na kama unaota hayo maji machafu lakini yako kwenye vidibwi vidibwi vingi na n machafu hio yamaanisha nn

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Год назад

      ruclips.net/user/liveh6j4DtVcbTU?feature=share

    • @CLARICEKAVIRA-xd5df
      @CLARICEKAVIRA-xd5df Год назад

      Djambo mtumishi,niliota mie n'a garçon wangu natuko kwenye rivière yéyé akavuka mais mie nikaogopa vuka,wakati nilisema ninavuka kiato yangu moya ilikua ya jaune ikaanguka kisha garçon wangu anasema anakitafuta,nikatoka mu ndoto.

  • @magrtamasomagratamaso
    @magrtamasomagratamaso 4 месяца назад

    Amen