bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu mimi nimeota niko na mama yangu tunarudi sijui tunatokea wapi ni usiku mimi nikanunua kitumbua anauza mama bonge mtu mzima kuna kikombe kaweka sarafu za gold tupu sasa ktk kurudisha chenji akanipa shilingi mia mbovu wakati nzuri zipo na naziona tena kaweka ktk sufuria kubwa mnoo jipya kabisa nikaikataa ikawa ugomvi mm na mama angu akatokea mvulana akampigiza kichwa ukutani mara2 mama angu akaondoka kurudi kule tulipotoka mimi nikamfuata akaingia kwenye nyumba ya udongo mm wakati naingia nikafunguliwa mlango na marehemu bibi yangu ila hakunisemesha akaingia chumba kingine mimi nikamkuta mama angu chumba cha kati kajiziba uso analia nikaanza kumbembeleza lkn hiko chumba kuna jiko la mkaa na jikoni kuna nyama ya ngombe inapikwa mimi ndo nakoroga na mwiko huku nimemkumbatia mama angu nambeleza nje akawa anakuja mama angu mdogo kabeba ndoo ya maji kichwani lkn wale vijana walitufanyia vurugu kule kwa muuza vitumbua wakawa wanapita nje wakampiga kikumbo mama angu mdogo akawa anafoka huko nje mm moyoni sitaki kukaa pale nataka kuondoka na mama angu lkn usiku mwingi na njia zina wale vibaka naogopa sasa naomba unisaidie kunifafanulia mtumishi mm natokea Tanzanian ubarikiwe sana
Mtumishi bwana apewe sifa!!! Nimeota tupo kwenye hafla fulani na watu wengi walikuwepo, lakini kuna mama mmoja mnene akawa kama amekunywa pafu la maji mdomoni kisha akanivuta mkono wangu wa kulia na kunipulizia yale maji yamdomoni mwake. Je hii ina maana gani?
Pastor nimeota tunavuka maji watu wengi kwenye pantoni, na badaye nikaota watu wengi wamezingira dibwi la maji?? Alafu nikawa nashangaa maana yake ni nn??
Somo la maji apa nimeelewa vizuri mtumishi asante.mungu akubariki
Amen mtumishi mungu akubariki
Hapa Saudi Arabia uko live,,tunakucheki poa,, kwa somo la maji
Je ukiota unanawishwa kichwa halafu ukazamishwa kwenye maji halafu ukatoka na maji yanatembea ina maana gani
Amen,Amen barikiwa zaidi
Amen
Ukiota unachota maji mazuri kwenye shimo
Amen,Amen.Nilikunywa maji kwa ndoto
Barikiwa.
Barikiwa sana mtumishi asanteee sana ❤
bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu mimi nimeota niko na mama yangu tunarudi sijui tunatokea wapi ni usiku mimi nikanunua kitumbua anauza mama bonge mtu mzima kuna kikombe kaweka sarafu za gold tupu sasa ktk kurudisha chenji akanipa shilingi mia mbovu wakati nzuri zipo na naziona tena kaweka ktk sufuria kubwa mnoo jipya kabisa nikaikataa ikawa ugomvi mm na mama angu akatokea mvulana akampigiza kichwa ukutani mara2 mama angu akaondoka kurudi kule tulipotoka mimi nikamfuata akaingia kwenye nyumba ya udongo mm wakati naingia nikafunguliwa mlango na marehemu bibi yangu ila hakunisemesha akaingia chumba kingine mimi nikamkuta mama angu chumba cha kati kajiziba uso analia nikaanza kumbembeleza lkn hiko chumba kuna jiko la mkaa na jikoni kuna nyama ya ngombe inapikwa mimi ndo nakoroga na mwiko huku nimemkumbatia mama angu nambeleza nje akawa anakuja mama angu mdogo kabeba ndoo ya maji kichwani lkn wale vijana walitufanyia vurugu kule kwa muuza vitumbua wakawa wanapita nje wakampiga kikumbo mama angu mdogo akawa anafoka huko nje mm moyoni sitaki kukaa pale nataka kuondoka na mama angu lkn usiku mwingi na njia zina wale vibaka naogopa sasa naomba unisaidie kunifafanulia mtumishi mm natokea Tanzanian ubarikiwe sana
Amina mtumishi
Mtumishi mm nmeota ndoto tulikuwa watu watatu tukapta sehem tuakuta njia tatu mm nkapta njia 1 nkakuta iyo njia 1 inamaji tulivu mmh nkawaza sana....
Mimi ni Eldah ,pastor nauliza mm niliota mama yangu anehama nyumbani na amejenga hema juu ya maji meupe na yemetulia , na anaishi hapo juu ya maji
Mtumishi bwana apewe sifa!!! Nimeota tupo kwenye hafla fulani na watu wengi walikuwepo, lakini kuna mama mmoja mnene akawa kama amekunywa pafu la maji mdomoni kisha akanivuta mkono wangu wa kulia na kunipulizia yale maji yamdomoni mwake. Je hii ina maana gani?
Aki mbona ndoto ya kuona mfereji unatoa maji kwa pressure ya juu sana,na ni maji safi
Postor nimeota nimechota maji nikawa nimejitwika lakn yale maji alimwagika shimoni hii inamaanisha nn
Me nimeota nakinga maji bomban maji masafi nampelekea mama yangu
🙏
God bless u pastor
Amen
Ukiota maporomoko ya maji ina maama gani
Una ambiwa uachilie jambo fulani lina kusumbua ,ya usamehe na ku le go.na pia ni utakaso
@@revpeternjihia asante
Pastor nimeota tunavuka maji watu wengi kwenye pantoni, na badaye nikaota watu wengi wamezingira dibwi la maji?? Alafu nikawa nashangaa maana yake ni nn??
Jambo baba
nilihota nikipelekeyana bibi yangu 20L ya maji inamahanisha nini
ruclips.net/user/liveh6j4DtVcbTU?feature=share
Sauti ndogo saba
Sauti ndogo Sana
Na kama unaota hayo maji machafu lakini yako kwenye vidibwi vidibwi vingi na n machafu hio yamaanisha nn
ruclips.net/user/liveh6j4DtVcbTU?feature=share
Djambo mtumishi,niliota mie n'a garçon wangu natuko kwenye rivière yéyé akavuka mais mie nikaogopa vuka,wakati nilisema ninavuka kiato yangu moya ilikua ya jaune ikaanguka kisha garçon wangu anasema anakitafuta,nikatoka mu ndoto.
Amen