GWISWILE - KWAYA KUU YA MUUNGANO MTAA WA TUKUYU MORAVIAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Wimbo wa dini wa kabila la wanyakyusa, kwaya kuu ya mtaa wote wa Tukuyu kanisa la Moravian.
    Zaidi ya yote, MUNGU hupendezwa na hao wamwabuduo ( Sifa, Shukrani, Utukufu,Maombi) kwa roho na kweli.

Комментарии • 18

  • @erastomwambeje9920
    @erastomwambeje9920 29 дней назад

    Hongera sana

  • @edsonmwamakamba-ul6ig
    @edsonmwamakamba-ul6ig 7 месяцев назад +1

    Ninabarikiwa uimbaji huu, kbs hatuna jema lolote mbele yake lkn ni huruma yake tu.mbalikiwe sana ktk hili.

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution Месяц назад

    Ndaga fijo

  • @boramsola
    @boramsola 2 года назад +2

    Hongera Sana mmeimba vizuri

  • @upendogidion5167
    @upendogidion5167 2 года назад +1

    Ndagha bha jhubha nabha mama kyala abhongelee amasikuu ngwifunilaa fijhooo umweee

  • @BeatriceJackson-ev2ke
    @BeatriceJackson-ev2ke 19 дней назад

    Ndaga bha juba mweee

  • @meshackmwakyusa5363
    @meshackmwakyusa5363 3 года назад +2

    Naloli ndagha bha tata na bha jubha

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 3 года назад +2

    Alululululu. Twindekesye tukanasyo inunu kumaso gwako Kyala

  • @margarethmwampondele7858
    @margarethmwampondele7858 10 месяцев назад

    Barikiwa sana ❤❤❤

  • @anyigulileruben3623
    @anyigulileruben3623 2 года назад

    nabarikiwa sana nyimbo za kwetu❤

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 2 года назад +1

    Mwimbile kanunu musajigwe

  • @asifiwemwailima8115
    @asifiwemwailima8115 Год назад

    Aluswe Kyala gwamaka

  • @alexanderlwinga6029
    @alexanderlwinga6029 2 года назад

    MmaMkubomba imbombo jaKyalaUntwa ajege aNanumwe mwesa

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 Год назад

    Wimbo huo ni maalumu Kwa wanyakyusa ??? Kwa ukabila na ubaguzi. Mmebarikiwa...

    • @starvista823
      @starvista823 Год назад

      Tuache na ubaguzi wetu , hua nainjoi sana Kuimba kikwetu

    • @timothymoshi5800
      @timothymoshi5800 Год назад +1

      @@starvista823 Kwa Kweli Mkuu, kuimba Kwa lugha zetu za asili, Siyo vibaya. Ila ubaya unakuja pale ambapo tafri ya wimbo haikuandikwa Kwa Kiswahili.

    • @priscaaron4813
      @priscaaron4813 Год назад

      Amina musajigwege ba kukaja

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 месяца назад

      Usijali wanasema tunapaswa kutengeneza njia zetu ili tuwe salama na wanamwomba Mungu awatue mizigo ya dhambi ili wawe huru. Kubali uelewe hata kiroho mbona duniani tunasikiliza nyimbo nyingine na lugha zao hatuzijui pia nadhani siyo ubaguzi bali message imetufikia asiyeelewa atuulize.