Kazi safi sana. Kama mwalimu na muwenzi wa lugha tukufu ya kiswahili, kazi yakobsi tu ya burudani na mafunzo ya kimaadili, bali pia unafunza lugha maana kwenye mistari yako. Pongezi na mwenyezi Mungu akufanyie neema tele za siku nyiangi zijazo
Kaka Mimi huwa napita bila kusikiliza Nini umeimba leo nimesikiliza wimbo huu kiukweli nimeelewa Sana mashahiri yako' serikali yetu sijui kwanini haiwasport watu wenye uwezo Kama huu maana hizi ndizo nyimbo za kusikiliza Kama unafuture, mungu akuzidishie uvumilivu bro nacha, lazima ni subscribe
Bro unajua Sana pia unaweza , sema Sasa zingatia Mambo madogo madogo kwaajili ya branding , mf cover haijakaa poa , tafuta mtu wa graphics mzuri hii itakusaudia pia kwaajili ya mziki wako .
Kaka from nyasubiii unatishaaaa Sanaaaa blood god bless you 🙏❤️
Kazi safi sana. Kama mwalimu na muwenzi wa lugha tukufu ya kiswahili, kazi yakobsi tu ya burudani na mafunzo ya kimaadili, bali pia unafunza lugha maana kwenye mistari yako. Pongezi na mwenyezi Mungu akufanyie neema tele za siku nyiangi zijazo
Dah! Nacha Brother Salute sana
Mkaguzi napita kwa NACHA hata bila kuangalia na nasema love one brother
Daah! Nakukubali Sana Kaka. MUNGU akuzidishie umri mrefu.
Fundi Sana my brother 🇹🇿🌟🇹🇿🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟
nimerudia mara mbilimbili kusikiliza huu wimbo big upo home boy
Jeshi languuuuu👊🏻👊🏻👊🏻👊🏻
Muziki wako ni WA ulaya sioni atakayekufikia NACHA🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Br unaupig mwng xna but u'r tomorrow ix very beautifully day!!!
Dunia ina nyingi fitna thank you nacha may god bless you
Nice sign, NYASUBI NDANI YA MBANYU 🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Dah nyasubi umeweza kaka... Nairobi Kenya tunakuaminia bro...big up ....kaka braza....
Brother umetisha sana
Nacha Anamgusa kila mtu kwenye verse zake,huyu Rapper uwezo wake unaenda juu kila siku
More than ministry brother NACHA
Nakula nao Tungi Leo je kesho nikianguka watakuwa Nani
Br iyo ngoma binafsi inaniusu kabisa sema nini dua mungu ipo siku ata bless
Nkubar sana family nacha ngoma Kar San
Hizi ndo aina ya ngoma zako ambazo nazipendaga mno Nacha ila siyo madubwana mengine unayochanganyia hayanikai kabisa
Brother Nacha hujawahi tuangusha mashabiki zako
nakubali jesh sikuoni ukifeli hata siku moja
Kaka Mimi huwa napita bila kusikiliza Nini umeimba leo nimesikiliza wimbo huu kiukweli nimeelewa Sana mashahiri yako' serikali yetu sijui kwanini haiwasport watu wenye uwezo Kama huu maana hizi ndizo nyimbo za kusikiliza Kama unafuture, mungu akuzidishie uvumilivu bro nacha, lazima ni subscribe
Nacha kaka good bless 🙌
Bro unajua Sana pia unaweza , sema Sasa zingatia Mambo madogo madogo kwaajili ya branding , mf cover haijakaa poa , tafuta mtu wa graphics mzuri hii itakusaudia pia kwaajili ya mziki wako .
kesho yangu 🔥🔥🔥🙌🙌
Ngoma Kali sana hii Mzee duuu
What amazing masssege🇨🇲🇨🇲🇨🇲
Kaka tuishi kwenye hipa tuachene na singeli🔥🔥🔥🔥hi kali sana
From Bdi🇧🇮 👂👂👂
NachaFlever unajua Sana mpaka unaboa
Da tulizimis saaan NGOMA ZAK kaka.
Nacha bigp brother
Daaanh, Brother NACHA, ujengewe Sanamu tu.
nakukubali sana mwanangu Nacha🔥
Umeniangusha sana kaka ulitakiwa u stick kwenye mziki ambao watu wamekujua
Ile siku nakuja Tz lazima nitafutane na wewe Nacha, lazima
Keep on moving my brother NACHA
Keep teach us Mr nacha
Big up nacha
🙏🙏🙏
GOOD WORK NACHA
Daaaaahh we jamaa nifundi aisee
#KeshoYangu @nacha your always smart and genius 🔥👏🏾
Nyasubi ...!!❤🙌
Respect my bro
Makin sana
Hujawahi kutuangusha , Unajua sana Bro
Hatar bro 🥉🥉🥉
Nacha✔🙏
N. A. C. H. A í salute you ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
🔥🔥🔥🔥
Nouma sana
Men, this is dope. Your lyricall prowess is on another level. Looking forward to your collabo with Kenya's king kaka.
Ngoma kali san
Sana nacha
💪💪💪 Nachaaaaaa
Kaliiii
Da asee Kwel
Broo more respect
Umeupiga mwingi umemfunika hadi conde
Kaka nacha
Huyu ndo nacha ninayemfuata
N-A-C-H-A 🔥
Nilikusubiri Sana brother ,nakusikiliza Sana Nacha keep it moving forward brother
Keep it up BRO
👍👍🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✅✅✅🔥🔥
🔥🔥 keep going brooh
Nacha watema kweli🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rapa mkali bongo
Nachacetamol💥💥
Good music 🎶🎶🎶🎶🎶
Good
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💖
✅✅✅✅
Kuna watu wanakata shina ukishika tawi
Nipee contacts za Kirri records haswa Bear na Kitunzo