Yaani huu wimbo naupenda sana na pia nimewapenda hawa watoto wameupendezesha zaidi wimbo huu. Vipaji vyao viko wazi kabisa, hongera Paul kazi zako ziko vizuri. Nafuatilia sana nyimbo zako.
woooow, this is very beautiful... watoto wazuri, wamejawa nuru, wamezungukwa na upendo!!! wamefanya vizuri sanaaaaaaaaaa, Mungu awainue in the name of Jesus, I am blessed!
Mungu uwafunike kwa damu yako takatifu vijana hawa ili wakue na kukutegemea wew kila saa kila wakati kila dakika na hata kila sekunde,Shetan yupo mawindoni wasije kengeuka, wamefanya vizuri sana imekuwa nzuri kwa jinsi walivyobena uhalisia wa ujumbe zaid hata ya ile orgnl Be blessed young singer's
Unajua nikikuangalia bwana Paulo Clement we ni mtu wa tofaut sana, watoto wanafanya cover ya nyimbo yako rakini unaonekana ni mtu wa fraha sana, MUNGU akuinue kaka YANGU, Hira mnapokua mnatupia video zenu toen maeleza mnavyo patikana vipaji vipo vingi sana mtahani
Powerful song; hata malaika mbinguni wamecheza; huu wimbo na energy yenu mlioitumia unabomoa ngome zote; kwa viongozi wasasa na wajao katika maeneo yote wakiutazama hawaishii tu kumsifu Mungu; pia wanajifunza leadership skills. Mbarikiwe sana.
Hakika kuna hak ya kujivunia kuwa na kristo ndani yetu awezae kufanya haya yote yye ni namba moja naitabak kuwa hivyo Mungu awabarik sana et huu wimbo kwangu kila siku nimpya::
very nice madogo mpo juu.... Mr. PAUL kuza vipaji hivyo MUNGU akukumbe kazi yako ni njema saana .... FISHER RECORDs mmetulia music, sauti safii.... very nice nmependa kazi yenu
Hey guys Aki God awabless 2 Sana yani hyo sng iko pouwa Sana mungu awape nguvu ya kuendelea na hicho kipaji yani mko poa hata cjui nsemeje acha God awabless 2
2024 nimerudi kuitazama tena🙌❤️
September 2024 coming to watch this banger again YESU NAMBA MOJAAA 🔥🔥🔥
ALIYETAZAMA HII NYIMBO 2019,gonga like hapa
Alphonce Haule haichoshi jmn
Na hawez kuchosha kuskiliza
Alphonce Haule 2020
2020🙏🙏💯💯 kama unasikiliza gonga like dogo anajua
Tusikilize ujumbe Mungu anapata utukufu hapa
Likes hapa 2020 bado nabarikiwa na huu wimbo
Yaani huu wimbo naupenda sana na pia nimewapenda hawa watoto wameupendezesha zaidi wimbo huu. Vipaji vyao viko wazi kabisa, hongera Paul kazi zako ziko vizuri. Nafuatilia sana nyimbo zako.
Aliyewatch hii nyimbo,,clouds baada ya maombi ya nchi yetu 17-19/04/2020,,gonga like milion,,corana dawa yake YESU tu,,
hakika
Still watching 2020 gonga like
cjawahi kuchoka kusikiliza hii wimbo,wamemfunika mwenye wimbo saaaana...aiseeeeee
woooow, this is very beautiful... watoto wazuri, wamejawa nuru, wamezungukwa na upendo!!! wamefanya vizuri sanaaaaaaaaaa, Mungu awainue in the name of Jesus, I am blessed!
Grace Seth hjhihujjjuj
Grace Seth kabisa
Grace Seth watoto nzuri sana
Amina
kaswd
Here 2023 ❤❤❤❤❤❤❤ YESU NO MOja
Naupenda huu wimbo mnoo. ❤❤❤
Big up dogo
Yaan nikiitazama hii nyimbo machozi yananitoka kwa furaha
Penda sana Joshua na Gideon sichoki kutizama .stay blessed boys
Sasa hivi sijui wapo wapi Hawa watoto jaman, God bless them...happy for them❤
My son Mungu azid kukuinua G i love yuuu❤
Dàaàaaaaaaaaaaaaaaaah safi sana watoto wa Yesu Mungu awasaidie mnakitu mtafika mbali kama mtashikwa mkono amina
Huu wimbo hats niusikiloze kila siku hauchuji Yesu namba moja!
Dah!! I love it, is very amazing Mungu saidia Amen
Yesu naambaaa moja namba mojaaa namba moojaaaaa
nzuri mno 💓💖ohhh!!!kids you gonna kill me for this song jaman.hapo mwishoni sasa uwiiiiiiii!!!!!
U kill it😘
No matter how many times I listen it just doesn't grow old love the voices
Same to me
more good than original😍😍Please ubaki hukuhuku weye mutoto usiende bongofleva please. Mungu akulinde Ameni
❤❤
Mungu uwafunike kwa damu yako takatifu vijana hawa ili wakue na kukutegemea wew kila saa kila wakati kila dakika na hata kila sekunde,Shetan yupo mawindoni wasije kengeuka, wamefanya vizuri sana imekuwa nzuri kwa jinsi walivyobena uhalisia wa ujumbe zaid hata ya ile orgnl
Be blessed young singer's
❤Amen
Ee MUNGU mjalie mtoto wangu Vincent awe na kipaji km uyu.....nakupenda sana mtoto mzuri....mungu awaongoze
When God decides to use different ages to spread His word....Baraka tele Gideon ❤ and thank you Paul Clement for this beautiful song.....
i Will born a son like Gideon in Jesus name
Yesu namba moja
Unajua nikikuangalia bwana Paulo Clement we ni mtu wa tofaut sana, watoto wanafanya cover ya nyimbo yako rakini unaonekana ni mtu wa fraha sana, MUNGU akuinue kaka YANGU, Hira mnapokua mnatupia video zenu toen maeleza mnavyo patikana vipaji vipo vingi sana mtahani
Jamhuri Zacharia amen
Paul clement frh km zote
Mungu ni mwema
Yani hii ni zaidi ya zaidi! Nashindwa hata cha kuandika, haka kadogo kanajua kuremba nyimbo!
duuuuuh!! Mungu awainue viwango vngne asee
I’m waiting for this song to reach a million views. It deserves it!! Truly Jesus is #1 ❤️
yan nakosa cha kusema jins walvyoubark moyo wangu hawa vjana Gideon na mwenzako,,,,I like this
Duuu yan siku haipiti cjatazama wimbo huu na sichoki kuangalia nyimbo hii mana inanibariki Sana ,Mungu wa mbinguni awabariki Sana aisee
Very nice!!sichoki kuangalia hii video.
Kazi nzuri sana.
Am blessed with this kids.
Mungu azidi kuwatumia.
I never tired of watching this one.Ni nzuri mnooo.Asante sana Paul Clement kwa project nzuri.Be blessed.Nani yupo hapa May 2019?
Mwimbaji na nusu huyo dogo...big up Sana😘😘😘
Naenjoy sanaaa much lop nyie😘😘😘😍
Wow this kids may God grow ur music 😭😭😭😭
Powerful song; hata malaika mbinguni wamecheza; huu wimbo na energy yenu mlioitumia unabomoa ngome zote; kwa viongozi wasasa na wajao katika maeneo yote wakiutazama hawaishii tu kumsifu Mungu; pia wanajifunza leadership skills. Mbarikiwe sana.
Gidion aka JOTTA wa Tanzania. Sari sana na mtegemee Mungu utafikambali sana kama karama kweli umepewa
I’m so happy that you can use your angelic voices to glorify God! Love from Kenya 🤍 🇰🇪
woooo tisha saana boy s moyo wangu umefunguka baada tu ya kuskia na kujiskia fureheshi
Namuona pul anavyo enjoy na wanafunzi wake big up my young brother 🙏🙏💪
mbarikiwe jameni mtoto anasifu vizuri tu
Hakika kuna hak ya kujivunia kuwa na kristo ndani yetu awezae kufanya haya yote yye ni namba moja naitabak kuwa hivyo Mungu awabarik sana et huu wimbo kwangu kila siku nimpya::
Wow blessed kids. Napenda hii. Paul clement nature this kids wana huduma kubwa 🙏
This one sinks deeper than the original..
Wooow wooow wooow
Woow
Mungu azidi kuwainua Gideon & Joshua, kazi nzuri
Wow kumbe watoto Wana sauti keep it up 😏😏😎😎
nawapataje hawa vijana naomba majibu yenu jamani hata nikiwa meneja wao tufanye kazi kwa kweli naomba majibu
Mungu awabariki watoto wazuri Mzidi kumtumikia yeye siku zote za maisha yenu
safi sana vijana wetu, kazaneni mtafika mbali sana
Very very nice Paul Clement your songs blessed me may God be bless you bro keep going on
Watoto waliifanyia kazi cover
Dah yani ww mtoto😘🙋🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nachagua hii kuwa ndo funga mwaka yangu.. This is beyond perfectness..
Duuuh Adirahaa Jaman Mungu awabariki nyie watoto
Wonderful 😊...la best 🔥
4sure it's #1 jesus,,, & alpha na omega barikiwa xn jmn mbaka mleta raha yn mungu azidy kuwainua
Barikiwa sana napenda ujumbe na zaidi aliye Fanya bass guitar kaitendea haki sana
Nkiomba mkate huwez nioa jiwe...
Gideon be blessed kjana
Cjapata nyingine zaidi ya hii naipenda jamani mungu bariki izi toto aiseee.
Godfrey Mpokasye c,enfants ce shante beaucoup
Ooooooh can't stop listening to this sweet song its givin me goose bumps Gideon mwaaah may the Lord richly bless u
Alex Gitau goose bumps all over me
what a talent!
Umewaacha wapi hebu ufanye nao moja hao vijana wako hatariiiiii 👍
Yesu Namba moja,zaidi yake hakuna maana we Yesu ni Alfa and Omega
Mungu awabariki kwa kazi nzuri Gidion na Joshua. Fatweni nyao za kaka yenu Paul Clement
Nampenda sana huyu mtoto ananibarki sana anapatika wapi jaman
Zaidi yako hakuna.... Mungu wewe ni ALFA na OMEGA💯💯.... Blessed Brothers😇😇😘😘😍😍 Yeeeees YESU ni namba MOJA..... JESUS Over EVERYTHING💯💯
amen blessings
jatimaye 2mempata Justin bieber wa bongo gud job youngboy😙👏👏👏❤
That's breathtaking ❤❤❤❤
Yah it's true dogo anagusa mioyo
Waaaaooohhh safi Sana , mkainuliwe zaidi
very nice madogo mpo juu.... Mr. PAUL kuza vipaji hivyo MUNGU akukumbe kazi yako ni njema saana .... FISHER RECORDs mmetulia music, sauti safii.... very nice nmependa kazi yenu
Utukufu na arudishiwe mmiliki,Mungu wetu ni mkuu🙏hyo ndio njia sahihi ya wokovu wenu watoto.
JULIUS MKWIJI kwakwel mwili unasisimka kaka daaaah......big up kid
kazi nzuri wtt wa mungu ,mungu awainue mfanye kazi yake
Hey guys Aki God awabless 2 Sana yani hyo sng iko pouwa Sana mungu awape nguvu ya kuendelea na hicho kipaji yani mko poa hata cjui nsemeje acha God awabless 2
Barikiwa sana mungu àwainue kwaviwango zaidi amen
Am not getting enough of this song..wow! God bless these amazing souls. Gidion and Joshua
Naisi kupaa apa jaman mmejua kunibariki hakika Yesu namba Mojaaaaaaaaa
wao but these is more hot than the original one but,yesu number moja
GREAT ONE from tz this kids are going far for realll
Madogo wamerelax ...unakitu cha kuchota toka kwao Relaxation very fundamental
Tulioko hapa 2024 Tujuane
Ak feel so smiling for this song it's so fantastic I lov u singers (happy happy ooh ooh ooooooh, Yesu no. Mojaaaaaaa
Yeah,yeah,,,,the song is good,,,,Mungu awabariki woteee
Sichoki kusikiliza hatari kweli Yesu namaba moja💞
wimbo huu unanibariki sana.yaani haunichoshi kila mda nauangalia.well done gidion and joshua
Daaah! Sina cha kusema juu ya hawa watoto n balaa
Daah hii cover sijawahi kuichoka sio tu kubarikiwa pekee bali na vibe nalo ni lakutoshaa 😇😇😇
waoooooooooooooooooo%%%%%%%%%%%%%%%%%%nice mbarikiwe jamani
0:50 Dogo kafanya maajabu makubwa sana hahaha
Wow can't stop listening to this two boys...they are full of awesomeness
Mungu awainue
Paul Clement you are such a good mentor. Kudos to you