DAH! KUMBE MANJI ALIKUWA MTOTO WA NJE WA KIKWETE !? SIRI YAFICHUKA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • DAH! KUMBE MANJI ALIKUWA MTOTO WA NJE WA KIKWETE !? SIRI YAFICHUKA.

Комментарии • 37

  • @JanatYusuph
    @JanatYusuph 2 месяца назад +3

    Mungu.aendelee kukupa..Imani hiyo

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 2 месяца назад +2

    asante sana. kikwete kwa kutuonyesha mambo vyako lakini sis wanyonge ayatusaidii usitueleze mengi uyafanyayo mengi yanatuudhi nakutumiza watanganyika tumekujua yakwamba unapendelea sana waisilamu. kuliko wakirsto tunakuona sana wenu ni Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa haraka kabla ya maji kuzidi unga watanganyika kumekucha amkeni kwasasa msilale Tena

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 месяца назад

    Mashallah allah amtie nguvu

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema 2 месяца назад +1

    Mungu ailazerohoyake mahali pema peponi hongera jakayamrisho kikwete kwaku timiza wosia wa babayake manji nawalio mtendeya mabaya tunamwomba mungu awatumbukize jehannam yamoto wamilele eimen

  • @winnierayson9124
    @winnierayson9124 3 месяца назад +5

    Hongera kwa Jakaya pia pole kwa kupotelewa na mwanae wa kufikia
    R.I.P YUSUPH MANJI

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 2 месяца назад +1

    Amen

  • @rumesibarka5312
    @rumesibarka5312 2 месяца назад +5

    Tafauti baina ya mtoto wa nje na mtoto wa kulea...rudini darasani mkasome

    • @KhadijaMzuri
      @KhadijaMzuri 2 месяца назад +1

      Mm najua mtoto wa nje yani kazaa na mwanamke nje ya ndoa na wa kulea alipokua na mwanamke wanaishi pamoja yule mwanamke anawatoto sasa ww baba wa kambo umewalea wale watoto lakini sio wako

  • @hashimpalekar1565
    @hashimpalekar1565 3 месяца назад +1

    Great humanity and human relation seldom to get in this present world

  • @naldclever
    @naldclever 3 месяца назад +3

    Dooh... R.I.P MANJI

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 месяца назад +4

    Uongo wako siku yakiama limi lako litafangia barabala muongope mungu wewe

  • @jeniffermombo
    @jeniffermombo 2 месяца назад

    pole sana mkuuu

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 2 месяца назад +1

    Acheni kuzusha nyie watu muogopeni mwenyezi mungu yani kazi yenu kuongea uongo tu sura kama watu wa motoni

  • @rosechitimbo4306
    @rosechitimbo4306 2 месяца назад

    Nampongeza Rais wa awamu ya nne.kwa jukumu la kumlea Marehemu Manji.ilimpelekea Manii kugusa jamii kubwa kiajira.na wengine wenye nafasi nzuri wafanye kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bils

  • @abdulmauya4874
    @abdulmauya4874 2 месяца назад

    SAMAHANI waleta habari hizi kutupiga na KICHWA CHA HABARI Kisicho uhisia wake ### WANA HABARI JARIBUNI KUWEKA VICHWA VYA HABARI MBASHARA...KINACHOENDANA
    ( mfano kichwa hiki...mmepotosha kama msomaji atasoms bila wewe kumposha )....***ona maelezo ya ndani yalivyo nyoka ***

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 2 месяца назад +2

    Uongo mwingine hata shetani hapendi...

  • @anatolerukonge1585
    @anatolerukonge1585 2 месяца назад

    Siyo mtoto wa nje ni mtoto wa kulea! Tofauti ni kubwa sana.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 2 месяца назад +1

    Yani kuna majinga humu ndani eti yameamini Manji ni mtoto wa kikwete hivi nye mnaakili kweli hamkumsikiliza kikwete alivyo kwa akielezea kuhusu baba yake Manji? Mautopolo wengi sana Tanzania hii

  • @idrissamohamed1100
    @idrissamohamed1100 2 месяца назад +2

    Chuki Ni Uchafu Wa Moyo

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 3 месяца назад +3

    Ndo maana uliuza dawa za kulevya

  • @SaadSengenge
    @SaadSengenge 2 месяца назад

    Kumbe ndio hivyo, basi sio mtoto wa nje,, mhe. Kikwete ni baba mlezi, neno mtoto wa nje Lina maana nyingine kabisa.

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 2 месяца назад +1

    Wanatafuta kkkk

    • @kazinaimwishehe-ec3xu
      @kazinaimwishehe-ec3xu 2 месяца назад

      Ukiwa tajiri unaficha makosa yako yote yaan uyu manji si ndo aliyokimbia kwa magu kwa pesa zetu jamani leo ni mzuri da pesa ni mwanahalamu

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 3 месяца назад +1

    OVYO

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 3 месяца назад +2

    Ndoo maana alikuwa anauza sure za Jessica huyu kumbeee

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 2 месяца назад +1

    Hivi kwa nini wamemzika haraka huko ughaibuni. Huyu jamaa kafa kweli?

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 2 месяца назад

      Sio ughaibuni ni marekani

    • @shamzone388
      @shamzone388 2 месяца назад

      Kwani hujui kwa dini ya kiislam kumkirim maiti ni mumzika kwa haraka
      Na nchi yoyote anaweza kuzikwa bora kuwe na waislam tu

  • @pinangoda740
    @pinangoda740 2 месяца назад +1

    Wajinga, kuachiwa mtoto umlee ndio MTOTO WA NJE? ACHENI UDHALILISHAJI

  • @HemedmusoTz
    @HemedmusoTz 2 месяца назад

    Mafala nyinyi kum

  • @petertemu7136
    @petertemu7136 3 месяца назад +4

    Acheni Ujinga basi

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 2 месяца назад

    Ujinga tyu ushaambiwa wa hiyar

  • @betrandeyakuze808
    @betrandeyakuze808 2 месяца назад

    Amen