asante sana. kikwete kwa kutuonyesha mambo vyako lakini sis wanyonge ayatusaidii usitueleze mengi uyafanyayo mengi yanatuudhi nakutumiza watanganyika tumekujua yakwamba unapendelea sana waisilamu. kuliko wakirsto tunakuona sana wenu ni Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa haraka kabla ya maji kuzidi unga watanganyika kumekucha amkeni kwasasa msilale Tena
Mungu ailazerohoyake mahali pema peponi hongera jakayamrisho kikwete kwaku timiza wosia wa babayake manji nawalio mtendeya mabaya tunamwomba mungu awatumbukize jehannam yamoto wamilele eimen
Mm najua mtoto wa nje yani kazaa na mwanamke nje ya ndoa na wa kulea alipokua na mwanamke wanaishi pamoja yule mwanamke anawatoto sasa ww baba wa kambo umewalea wale watoto lakini sio wako
Nampongeza Rais wa awamu ya nne.kwa jukumu la kumlea Marehemu Manji.ilimpelekea Manii kugusa jamii kubwa kiajira.na wengine wenye nafasi nzuri wafanye kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bils
SAMAHANI waleta habari hizi kutupiga na KICHWA CHA HABARI Kisicho uhisia wake ### WANA HABARI JARIBUNI KUWEKA VICHWA VYA HABARI MBASHARA...KINACHOENDANA ( mfano kichwa hiki...mmepotosha kama msomaji atasoms bila wewe kumposha )....***ona maelezo ya ndani yalivyo nyoka ***
Yani kuna majinga humu ndani eti yameamini Manji ni mtoto wa kikwete hivi nye mnaakili kweli hamkumsikiliza kikwete alivyo kwa akielezea kuhusu baba yake Manji? Mautopolo wengi sana Tanzania hii
Mungu.aendelee kukupa..Imani hiyo
asante sana. kikwete kwa kutuonyesha mambo vyako lakini sis wanyonge ayatusaidii usitueleze mengi uyafanyayo mengi yanatuudhi nakutumiza watanganyika tumekujua yakwamba unapendelea sana waisilamu. kuliko wakirsto tunakuona sana wenu ni Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa haraka kabla ya maji kuzidi unga watanganyika kumekucha amkeni kwasasa msilale Tena
Mashallah allah amtie nguvu
Mungu ailazerohoyake mahali pema peponi hongera jakayamrisho kikwete kwaku timiza wosia wa babayake manji nawalio mtendeya mabaya tunamwomba mungu awatumbukize jehannam yamoto wamilele eimen
Hongera kwa Jakaya pia pole kwa kupotelewa na mwanae wa kufikia
R.I.P YUSUPH MANJI
Amen
Tafauti baina ya mtoto wa nje na mtoto wa kulea...rudini darasani mkasome
Mm najua mtoto wa nje yani kazaa na mwanamke nje ya ndoa na wa kulea alipokua na mwanamke wanaishi pamoja yule mwanamke anawatoto sasa ww baba wa kambo umewalea wale watoto lakini sio wako
Great humanity and human relation seldom to get in this present world
Dooh... R.I.P MANJI
Uongo wako siku yakiama limi lako litafangia barabala muongope mungu wewe
pole sana mkuuu
Acheni kuzusha nyie watu muogopeni mwenyezi mungu yani kazi yenu kuongea uongo tu sura kama watu wa motoni
Nampongeza Rais wa awamu ya nne.kwa jukumu la kumlea Marehemu Manji.ilimpelekea Manii kugusa jamii kubwa kiajira.na wengine wenye nafasi nzuri wafanye kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bils
SAMAHANI waleta habari hizi kutupiga na KICHWA CHA HABARI Kisicho uhisia wake ### WANA HABARI JARIBUNI KUWEKA VICHWA VYA HABARI MBASHARA...KINACHOENDANA
( mfano kichwa hiki...mmepotosha kama msomaji atasoms bila wewe kumposha )....***ona maelezo ya ndani yalivyo nyoka ***
Uongo mwingine hata shetani hapendi...
Siyo mtoto wa nje ni mtoto wa kulea! Tofauti ni kubwa sana.
Yani kuna majinga humu ndani eti yameamini Manji ni mtoto wa kikwete hivi nye mnaakili kweli hamkumsikiliza kikwete alivyo kwa akielezea kuhusu baba yake Manji? Mautopolo wengi sana Tanzania hii
Chuki Ni Uchafu Wa Moyo
Kwa kweli daah
Ndo maana uliuza dawa za kulevya
Kumbe ndio hivyo, basi sio mtoto wa nje,, mhe. Kikwete ni baba mlezi, neno mtoto wa nje Lina maana nyingine kabisa.
Wanatafuta kkkk
Ukiwa tajiri unaficha makosa yako yote yaan uyu manji si ndo aliyokimbia kwa magu kwa pesa zetu jamani leo ni mzuri da pesa ni mwanahalamu
OVYO
Ndoo maana alikuwa anauza sure za Jessica huyu kumbeee
Hivi kwa nini wamemzika haraka huko ughaibuni. Huyu jamaa kafa kweli?
Sio ughaibuni ni marekani
Kwani hujui kwa dini ya kiislam kumkirim maiti ni mumzika kwa haraka
Na nchi yoyote anaweza kuzikwa bora kuwe na waislam tu
Wajinga, kuachiwa mtoto umlee ndio MTOTO WA NJE? ACHENI UDHALILISHAJI
Mafala nyinyi kum
Acheni Ujinga basi
Ujinga tyu ushaambiwa wa hiyar
Amen