ALELUYA KUU - G. HANDEL - BLUESTAR RECORDS.
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- KARIBUNI TUUNGANE NA KWAYA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU, KUTOKA CHUO KIKUU CHA DODOMA, KATIKA WIMBO HUU MAALUM KWA AJILI YA UFUFUKO WA BWANA WETU YESU KRISTU.
WIMBO ; ALELUYA KUU
MTUNZI ; G. HANDEL
KINANDA; A. DOCHO & F. KAZI
AUDIO & VIDEO; BLUESTAR RECORDS - DODOMA - 0743260553
31/03/2024 Pasaka. Ni kweli amefufuka.
Hongereni vijana wasomi wa UDOM.. nafurahi sana vijana wanavyoshiriki katika mambo ya imani..nimebarikiwa kwa uimbaji na utanashati wenu. Muwe baraka kwa wazazi na kwa Taifa
Asante.... Karibu
Wimbo umetendewa haki🙌🙌🙌🙌🙌 mbarikiwe
Asante.... Karibu
Amefufuka kweli ni kweli.??? Hapo mnetaja Kristo NI kweli . Nadhani mtafsiri aliingiwa na roho yankushindwa kutaja Kristo
Waoh! Waoh! Waoh! Mmeimba vizuri sana. Sauti za tamu na zenye ulinganifu. Mungu awabariki sana! Ladies and gentlemen, you have made my day! Asanteni sana!
Huu wimbo mzurii kwakel hongereni sanaaaaaaaaa
Mmenibariki sanaaa. nimesikia wengi wakiimba huuu wimbo. lakini kwenu naona mna jambo la tofauti na lakupongezwa
Asantee sana.. Karibu
Classic. Hongereni sana
Moyo mtakatifu UDOM nmemiss misa za social
Karibu....
Mungu abariki waimbaji wake
Nawapenda saaaana Mungu awabariki sana👋👋👋👋👋👋
Hongera kweli kazi nzuri sana aisee
Asantee... Karibu
❤❤❤❤❤❤ congratulations 💕
So nice big up
Hongera kwenu,sifa na utukufu virudi kwake aliyewapa kipaji
Lots of congratulations for singing this hallelujah so nicely, it's really touching. May God bless all of you, to continue praising Him with your lovely euphonious voices. Greetings from Spain
Proud to be a Catholic
Hongereni mnaimba hadi raha Mungu awaongoze sana .karibuni dar salamu
Asante... Karibu
Top performance💪💪
Nema ya bwana mungu
Mungu awabariki wote
Mbarikiwe.....
Waoh mwaimba vizuri sana naweza pata aje huu wimbo
Vizuri
Najivunia kuwa mkatoliki 🙏 halleluyah halleluyah halleluyah... Amina 🙏
Amina.... Mungu ni mwema.
@@bluestarrecords2669 kwa Yesu Akuna mkatoliki wala myunani matendo yako ndo mwemdo wa kufika mbinguni ilo dhehebu tu.
Those soprano quality crescendos send chills down my spine 😍
TYK. Good and nice songs. This is wounderfull music & piannistic of the year. God may bless you. Great massive LORD. amen.
Nc work
Hongereni wapendwa Mwenyezi Mungu awe nanyi wakati wote mbarikiwe sana
Thanks..... Welcome
Mbarikiwe sana ni kweli Amefufuka
Mungu mkuu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Love Catholic faith.Bravo wonderful youth Choir.
Thanks... Welcome.
hongereni sana vijana mnajua kunikosha
\
Asantee... Karibu.
Mwenyez mungu awabariki sana
Ameen
Aisee..hongera sana...kazi nzuri sana...
Asante... Karibu
Just wow! Thinking how it will be in eternity. Well done on earth with this choir, it will be perfect in heaven!
Asanten watumishi mungu apiganie katoka huduma zenu
Hongereni vijana mmeimba vizuri sana.
Mungu awabariki wapendwa mmeutendea haki
Asantee karibu
Hongereni mmenibariki Santa
Unyama ,,,,safi sana moyo mt udom
Asante... Karibu
Woo oow
Kwa kweli ufalme wake ufike!!!
Hongera Sana Kwa utulivu wa sauti na kwenda na Mabadiliko🙏🙏🙏
Asante... Karibu
Muko vizuri sana,
But tupunguze uuzaji wa sura kwenye performance
Kazi nzuri sana
Safi sana...big up bros
Asante... Karibu mkuu
Mmeimba vizuri. Ila hiyo siyo ALELUYA KUU, ni CHORUS YA HANDEL. Aleluya Kuu ni kitu kingine.
Nilitaka Kusema Hivyo Hapo Kuna Sehemu Wameimba Maneno Mengine Sio Aleluya Kuu Inavyosema Na Wameimba Wamerelax Sana Kwa Ile Nyimbo Inavyohitaji pumzi Sio Kuimba Hivyo
Saf sana mung awabarki nawapenda wanakwaya wenzang
well done but hamjawa attentive kwenye karatasi mlizonazo miknoni inaoyesha hazina matumizi so you to demo some cocentration on them to make maeaning of holding them.
God through the risen Lord bless these young men and women for this great alleluia, proclaiming the risen Lord.
Fr Fredrick Namasaka from Diocese of Garissa Kenya
Thanks... God is good.
Hongereni
Asantee... Karibu.
Asant
Mwalimu Nyoni nakukumbuka sana, Mambo mazuri sana ambayo pia ulishafanya Parokia ya Malindi Lushoto Tanga
Mko vizuri sana kila upande wa kwaya yenu! Mungu akubarikini sana katika utume wenu huo wa uimbaji ili kwa njia ya uimbaji wenu murua wanakwaya wote tufike Mbinguni kupitia karama yetu ya uimbaji..!
Amina
Mbarikiwe sana vijana katika yote,
Asante... Ubarikiwe pia.
bavandimwe mwamfashije kubona copy yiyi ndirimbo konyikeneye cyane
Mungu ashukuriwe sana. Nawapongeza mno wanakwaya. Mmeimba vzr ile tamu
Asante.... Mungu ni mwema, karibu sana.....
Hongereni wana kwaya.
Asante kwa niaba.... Karibu
Mbarikiwe sana
Amina... Nawe ubarikiwe pia
Hongereni sana mmenikumbusha kanisa hilo enzi fulani hivi
Asante... Karibu
mwamba
Kaka umepotea
@@mkohoexperience7322 kupotea kivipi
Amina
Hongereni sana mdumu katika Kristo mfufuka
Amina.
Sichoki kuingalia Hadi Raha kuimba
Asante... Karibu
Ewaa🔥🔥
Pongezi kwa kazi nzuri
Asantee... Karibu
Nimebarikiwa sana hongereni
Asantee... Karibu
Congratulations family
Thanks... Welcome
Conductor, safi sana. Kwaya mumeimba vizuri; natural African tonality. Bravo wapendwa. But hii inaitwa Aleluya utunzi wa G.F.Handel, sio Aleluya Kuu! [Si kila anayepiga ishara ya msalaba wakati wa consecrasio anazingatia taratibu za liturujia Katoliki, wengine huyafanya mambo kama hayo yakawa utamaduni lakini hawako sahihi...! Mumeimba vizuri, ala zimechezwa vizuri, mengi ni mazuri. Nakupatieni alama 90/100. Alama 5, za Mungu, na alama 5 za kuutaja wimbo huo 'aleluya kuu' wakati sivyo!
Asanteee.... Karibu
Tumsif yesu Kristy mungu awabari mliimba vizur
Kwahy hii sio aleluya kuu 😮
Kwahy hii sio aleluya kuu 😮
Nice
Ni zaidi ya kuimba hii hongereni sana
Asante... Karibu
🙏🙏
It's very fantastic congrats to you guys
Thanks alot, remember to subscribe our channel to see more projects...
Thanks.... Welcome.
Dar moyo Hadi raha
😃😃
Asante... Karibu
Very nice work they did.may God bless you.
Ooh, thanks, you are welcome.
kazi nzuri hongereni sana
Asante... Karibu
Nice one 👍
Thanks.... Welcome
Good job aseeh
Asante... Karibu
Asante... Karibu
👏moyo fam♥️
Wonderful voices, I love it
Simplesmente espetacular, Deus conosco hoje,amanhã e sempre.
Parabens a todos os Coristas.
Kazi nzuri sana, lakini kwa bahati mbaya hii sio ALELUYA KUU.😭😭😭
haaahaaa,waeleze sababu sasa
Yako iko wapi?
Yes hii ni Aleluya Chorus Aleluya Kuu ni ile anayoimba Padre kabla ya aleluya ua kawaida kwenye kesha la Pasaka
Ni Kweli Hii Sio Aleluya Kuu Ndo Mana Wameimba Kwa Kurelax Ivyo Ingekuwa Yenyewe Kwanza Lazima Sauti Ikaze Sauti Ya Kwanza Sauti Yao Nyepesi Mno
Very nice song,, may God bless you all
Thanks...... Welcome
👏👏👏🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Hongereni kwa utume
Asante... Karibu
Hongeren sana waimbaji wazuri was Muziki mtamu
Langu ni moja; karatasi mlizoshika kuekti kuwa mnasoma hamjaonekana ata kuziangalia tu yaan imeonesha dhahiri kuwa hazikuwa na kazi kwahyo kazi ya kuigiza kwa hizo karatasi ni Kama haijafanikiwa fully
Asantee
🔥🔥🔥
My favorite hymn, kongole for the swahili version 🙏🙏
Thanks.... Welcome.
Natamani niungane na malaika mbinguni maana hiko ni kusifu na kuimba kuliko duniani makwazo topu
Kazi nzuri sana God be blessed
Asante sana..
Be blessed too
Mnapanua midomo mno
Kwenye uimbaji hasa wa kwaya ya kikatoliki ndivo inavotakiwa
Familia yangu💕🙌
Asante Sana kwa KAZI nzuri
Asante... Karibu
Amen Mungu awabariki sana
Asantee..
Amen Alelua❤
Congrats good people...
Asante... Karibu
Hongereni sana family👏... Nawapenda❤. Bwana awe nanyi daima🙏🙏
Yupo poja na Yesu
Amina.
Great......how can I get the music guide
Thanks...
Hongereni sana kwa kazi nzuri Mungu awabariki sana
Asantee sana... Karibu
Nc song
Thanks.. Welcome.