I give a 10,000 "thumbs up" to you. Fatma, you have been extra special this time around in your diagnostics. Unachosema kuh "system failure" kina ukweli usiopingika. Lkn ilitakiwa pia useme kuwa kati ya 2016-2020 hili tatizo lilipungua sana. Govt service delivery soared to unprecedented levels. Wananchi walisikilizwa na shida zao zilitatuliwa mara moja, mm nikiwa mmojawapo. Mwananchi alikuwa mfalme. Siyo baada ya hapo! Na ni kweli kuwa mpango wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali hautaleta manufaa yoyote mithili ya Masanduku ya Maoni.
It is my first time getting an opportunity to listen to Bi Fatma Karume you are a blessing to our nation and please never stop speaking because tomorrow your words will be the mantra we the youth of Tanzania will sing day and night to demand more because we deserve better the system is complicated and huge but doing nothing isn't making any progress at all we have to start somewhere
Safi sana shangazi tatizo kila kitu tz kinaendeshwa kisiasa esp .ccm. Mfano mdogo ni elimu ya tz imeshuka sana ila utasikia kila mwaka ufauku unapanda.Huwezi kusikia kuwa mwaka huu ufaulu umeshuka. huo ni uwongo kwa sababu wanaofauku ni watoto wetu ukiangalia uwezo wao si wakuendelea kidato cha kwanza.So ili tujinasue tuacheni ushabiki wa kijinga tuwe serious na tuachane na sifa za kijinga jinga.tunajichimbia kaburi wenyewe. Asante shangazi.❤❤❤❤❤
Nimegundua Mh.Makonda ana maono,kwamba wananchi wanashida na anatatua.Tumuombee kwa anachokifanya.Nashangaa hadi sasa viongozi wengine wamelala kwamba hadi aje atatue!Mungu akutangulie ndugu yangu mwenezi.
Sikia wewe kiumbe mifumo imefeli hata asingekuwa Makonda kwa kuwa watu wana shida watajitokeza tu. Hiki ni sawa na kikombe cha babu watu walikuwa wanaumwa .
Ameongea kweli lakini ndio wale wale ukiwa na kesi hata ukienda kwake yy Binafsi atakuomba pesa kusimamia kesi Yako tunaenda Kwa Makondo kwakuwa kilio kitafika hata kama si Mwanasheria
Matatizo yote yalitotolewa na wananchi kwa Makonda na yamekuwa yakiongolewa na vyama vya upinzani sasa imeonyesha wapinzani wa kweli walikuwa sahihi nacthis is their time to shine. Ninaona tukubali tuwaachie turn washike nchi watuwekee muundo mzuri ili tukichukuwa back back utawala tutajua nini cha kuendeleza. Utawala wetu kweli umefeli ninasikitika sana. Mungu ibariki nchi yangu.
Na ata hao wapinzani nao bado mifumo yao ni mibovu sana pia vile vile Chama kinapokea maruzuku kibao ila mpka Sasa hakina ata office Ukweli upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM ndani umo umo itapatkana CCM part 2 ndoutakuwa upinzani ila Hawa wengne hamna kwakwel
Nakubaliana na wewe kwa upande mmoja, ila upande wa pili mfumo wa kutoa haki umebezi kwenye utashi wa walioko madarakani, angalia watu waliofika kulalamika kwa Makonda wengi wao wameshafika katika vituo vya kutolea Haki i.e Police na Mahakama ..Ila SHIDA YAO NI KUIPATA HIYO HAKI sasa
Kabisa ayumbuee maana makonda kaweza nawatakuja kushaa makonda anawazidi akili atapendwa na wanchi mimi tu teyari nishamsamehe makonda ya nyuma yote now nampa namba moja
Makonda sio Mahakama ila malalamiko ya watu yanaonesha kuna baadhi ya Maafisa wa Serikali hawawajibiki ipasavyo kwenye nafasi zao na hii inasaidia kuongeza uwajibikaji kwa watendaji hasa serikalini... Mimi na jamaa zangu tunaunga mkono jitihada za Chama Cha Mapinduzi katika kuondoa unyonyaji kama Mh. Makonda anavyofanya.
Huyo akiwa GENIUS panzi au kuku nao wanaweza kuwa GENEUS , GENEUS anaiga waliopita kuigiza ? Itokee mtu kama huyu kwa RAIS nchi itarudi nyuma sawa na miaka 45 iliyopita ?
Kwa mantiki hiyo ni bora iwekwe iyo sehemu ya kupeleka shida kisha wahusika wafukuzwe kazi.Nimesikitika Mwanasheria Mkuu kusema iundwe ofisi maalum akisahau Fedha za Mtanzania mlipaji kodi ndio zinazotumika kulipa waliopo madarakani na hawafanyi kazi kwa hiyo zitolewe nyingine tena kulipa hivi yupo sirious kweli na kodi zetu ?
The problem of this country is politics everywhere even where there is primary issues concerning the country, we never reach where we desire, this is because politics has become the final say no matter what the court or parliament says nothing changes.
Hongera dada. CCM has expired its legacy as a political party. A new part is on the horizon. And it is Chadema. The system has to be removed from power by weapons. This will cost human lives. Ian Smith of S Rhodesia told Queen Elizabeth " Zimbabwe needed 100 years for Mugabe to talk about Independence. Look what is left of Zimbabwe. Look at what is going in Tz. 30 years the country cannot rewrite the constitution.
@@mussalimbe6673 Pesa anayo gawa makonda kapata wapi? Bajeti hiyo iliandaliwa na nani. Si Hela za Waarabu mnagawiwa ili chotara aendelee kuwauza uarabuni
Watu wanamuogopa makonda😅😅😅 sasa kwani yeye anawaita au ni wao wenyewe hata mwanao anaweza asikuambie changamoto zake akamwambia housegirl na wazazi wake wapo hapo na wewe ukaambiwa na housegirl
huyu Mhe. Ana akili Sana na ni msema kweli Ila tu watu watamkubali tu ila tatizo la Tz ukiongea sana unaonekana kichaaa kama anavyosema makonda anasaidia watu nikweli Makonda fanya kazi tusaidie. Na hiyo leseni mpeni jamani afanye kazi asaidie watu u wenye shida
Na ninacho kiona ni this woman kaja kuongea because Makondo so hata kama kaongea point Bi Fatma ungekuja kuongea kabla hata ya makonda kusimama ila una kifanya ni kumchafua makonda ✌️But for me Makonda did well kaweza kufanya kitu ambacho watu wengine hawawezi kufanya
Bill makonda kuteuliwa tungeyajuwa wapi apewe mauwa yake makonda ,sio awo walikuwa wapi kabda ya makonda kutuonyesha yaliyomo, wanatulletea siasa za kipuuzi za makundi ndani ya ccm at wamtume kuundoa kill achofanya makonda kisiwe na nguvu daa amechelewa
Uhh mechangia vizuri lkn kazi anayofanya Makonda ni njema sana ,kama wlipwasa kufanya wameshindwa plz mwacheni Makonda afanye alafu msisahau kwamba Makonda ktk uongozi wanauwezo mkubwa
I give a 10,000 "thumbs up" to you. Fatma, you have been extra special this time around in your diagnostics.
Unachosema kuh "system failure" kina ukweli usiopingika. Lkn ilitakiwa pia useme kuwa kati ya 2016-2020 hili tatizo lilipungua sana. Govt service delivery soared to unprecedented levels. Wananchi walisikilizwa na shida zao zilitatuliwa mara moja, mm nikiwa mmojawapo. Mwananchi alikuwa mfalme. Siyo baada ya hapo!
Na ni kweli kuwa mpango wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali hautaleta manufaa yoyote mithili ya Masanduku ya Maoni.
F2m ni anabolic entity...anadandia vihoja vya kijinga anachoona majority wanakipigia vikelele ndio anaibuka...ana inferiority complex ya kufa mtu...hapo nyuma kidogoo hatukuwai kumsikia akiongea lolote...why now...cowardice woman....
It is my first time getting an opportunity to listen to Bi Fatma Karume you are a blessing to our nation and please never stop speaking because tomorrow your words will be the mantra we the youth of Tanzania will sing day and night to demand more because we deserve better the system is complicated and huge but doing nothing isn't making any progress at all we have to start somewhere
Uko sawa mama
Safi sana shangazi kwa ujumbe muzuri na wakuelimisha jamii, nilikuwa nimekumisi sana, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Mweshimiwa mungu akubaliki kwakweli tunaumia sana mama
Safi sana shangazi tatizo kila kitu tz kinaendeshwa kisiasa esp .ccm. Mfano mdogo ni elimu ya tz imeshuka sana ila utasikia kila mwaka ufauku unapanda.Huwezi kusikia kuwa mwaka huu ufaulu umeshuka. huo ni uwongo kwa sababu wanaofauku ni watoto wetu ukiangalia uwezo wao si wakuendelea kidato cha kwanza.So ili tujinasue tuacheni ushabiki wa kijinga tuwe serious na tuachane na sifa za kijinga jinga.tunajichimbia kaburi wenyewe. Asante shangazi.❤❤❤❤❤
Comed
Asante Sana Winnie... UMENENA UKWELI USIOPINGIKA. Matatizo ya systems failure and bullshit governance ni baada ya JPM.😢
Umeongea vizuri Sana sana. Wewe kweli ni msema kweli.
100%
Eloquent and point delivered.
Mh. Wakili Karume uko vizuri, na umeongea ukweli " Big up"
Nimekuelewa sana fatuma karume kweli hapa ni system feli
Nimegundua Mh.Makonda ana maono,kwamba wananchi wanashida na anatatua.Tumuombee kwa anachokifanya.Nashangaa hadi sasa viongozi wengine wamelala kwamba hadi aje atatue!Mungu akutangulie ndugu yangu mwenezi.
Sikia wewe kiumbe mifumo imefeli hata asingekuwa Makonda kwa kuwa watu wana shida watajitokeza tu. Hiki ni sawa na kikombe cha babu watu walikuwa wanaumwa .
Kama taifa sioni sababu ya kumuombea coz hamna anachofanya kwa ajiri ya taifa isipokuwa kwa ajir yake mwenyewe na CCM
😂😂 kwahiyo unataka kusema Makonda awe ndio mahakama sasa? Kipi amekiamua kwenye malalamiko waliyopeleka kwake yeye sio mahakama. Shangazi Yuko sawa 100%
Kwahiyo makonda atakua anapita kila siku haujaelewa fatma anacho sema
Leo umeongea point Sana.hongera
Ameongea kweli lakini ndio wale wale ukiwa na kesi hata ukienda kwake yy Binafsi atakuomba pesa kusimamia kesi Yako tunaenda Kwa Makondo kwakuwa kilio kitafika hata kama si Mwanasheria
I’m absolutely with you Shangazi.
Hapa point ☝️ ipo ukisikiliza
Namuonaga kichaa ila you're very right on this
umeongea vizuri sana , Tatizo lako una support ushoga tu.
😂😂😂
😂😂😂
Acha hizo. Huyo mwanasheria, haki ya kuishi niya kila mmoja haijalishi ni maovu mangapi anatenda
Brilliant thought.
Fatma Karume you deserve to be our AG because of your good ideas, we love you so much.
Nimemuelewa sana Mhshmw Fatma...anaongea kutoka ndani kabisa ya moyo wake❤❤❤❤huyu ni kiongozi
Madam Fatma, Indeed your a BIG BRAIN in this country. I salute you!!
Fatma Karume she is smart and honest , peoples like her should be employed by the government
Matatizo yote yalitotolewa na wananchi kwa Makonda na yamekuwa yakiongolewa na vyama vya upinzani sasa imeonyesha wapinzani wa kweli walikuwa sahihi nacthis is their time to shine. Ninaona tukubali tuwaachie turn washike nchi watuwekee muundo mzuri ili tukichukuwa back back utawala tutajua nini cha kuendeleza. Utawala wetu kweli umefeli ninasikitika sana. Mungu ibariki nchi yangu.
Na ata hao wapinzani nao bado mifumo yao ni mibovu sana pia vile vile Chama kinapokea maruzuku kibao ila mpka Sasa hakina ata office
Ukweli upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM ndani umo umo itapatkana CCM part 2 ndoutakuwa upinzani ila Hawa wengne hamna kwakwel
VERY VERY TRUE.ANASEMAGA UKWELI NA NDIO MAANA HAWAMPENDI....
😂
Huyu mwanamke ana akili sana yn ❤
Msomi huyo, she know her stuffs , ila watu Watajifanya she westernized. They need to give her a chance ,
Good point
Absolutely true
Leo umeongea vitu venye akiri sana, Munguakupe maisha marefu afya njema furaha tere Inshallah
To day you speak true
She's always stand with truth
Anaongea ukweli mara zote,
It can not be said better than this ❤❤❤
MIE NAFIKIRIA UNGELISEMA SHERIA ZOTE. ZA NCHI HII ZIFUNDISHE SHULENI ZA MSINGI HILI WATU WA WAPUNGUZE KUDHULIMIWA
Nakubaliana na wewe kwa upande mmoja, ila upande wa pili mfumo wa kutoa haki umebezi kwenye utashi wa walioko madarakani, angalia watu waliofika kulalamika kwa Makonda wengi wao wameshafika katika vituo vya kutolea Haki i.e Police na Mahakama ..Ila SHIDA YAO NI KUIPATA HIYO HAKI sasa
Point
Dada fatma na wewe unaongea tu na hakuna kitu unafanya bora ungekua kama makonda nenda ukafanye kitu sehem husika hapo unataka airtime
Shida hana mamlaka
@@adkajisi4536 haiitaji awe na mamlaka kwa hapo anafanya nini. Hapo Anapiga siasa. Inaitwa political science
Hongera Sana Mama Karume!
Nawe Mama Tumbua Jipu!
Kabisa ayumbuee maana makonda kaweza nawatakuja kushaa makonda anawazidi akili atapendwa na wanchi mimi tu teyari nishamsamehe makonda ya nyuma yote now nampa namba moja
Upo vizuri sana Dada
Hongera y
Oh wew ni shujaa na mzalendo sana mama wa watanzania wenye kuwa na hofu tusemee mama
Ahsante sana shangazi.makonda hawezi kuwarudisha wananchi haki yao.serikali ndiyo inao wajibu wa kuwapa wananchi haki yao.
Makonda sio Mahakama ila malalamiko ya watu yanaonesha kuna baadhi ya Maafisa wa Serikali hawawajibiki ipasavyo kwenye nafasi zao na hii inasaidia kuongeza uwajibikaji kwa watendaji hasa serikalini... Mimi na jamaa zangu tunaunga mkono jitihada za Chama Cha Mapinduzi katika kuondoa unyonyaji kama Mh. Makonda anavyofanya.
kwakweli kwapointi zaleo shangazi pongezi sana tena sana
Well said Madam Karume
Sawa kabisa Fatma,tatizo la Nchi hii ni Total System Failure na hii ndo approach ya Ccm ili iendelee kukaa madarakani.
That great my heroine!
Mungu akutunze sana
Such a wonderful speech
Ukweli wenye akili fupi sana hawezi kumwelewa fatuma lkn ka nchi tunahitaji kujiformat
The Chanzo TV
mnapaswa kuwa serious sana na sauti.
mtu anaweza samehe picha mbaya lakini hawezi samehe ukosefu wa sauti kwenye maudhui.
Makonda chapa kazi kama kawaida. Mimi sina Chama lkn BigUp mh. Makonda..
Vichwa kama hivi adimu lakini ni Kwa kua siasa imetawala Kila idara anaonekana hafai hata chembe
This is very very very very true,
Wow!
Ongela mama
Leo ndugu yangu. Umezungumza safi sana.jitahidi kukamata njia hiyo hiyo .wanyonge wanaumia
DAAAA DADA YANGU UMEONGEA POINTS SANA SANA ENDELEA KUONGEA UKWELI DADA
Your extraordinary bi fatma
Umeongea fact sana ❤ anamuigiza magufuli aonekane mtendaji mkubwa yaani makonda anavyojiona saivi mama Samia Hana lolote kuliko yeye daaah anazingua❤
MAKONDA Genius huyo
Hahahaha ati genius nafikiri hujiu unalosema ukisahau Makonda ni bashite means zero brain
Huyo akiwa GENIUS panzi au kuku nao wanaweza kuwa GENEUS , GENEUS anaiga waliopita kuigiza ? Itokee mtu kama huyu kwa RAIS nchi itarudi nyuma sawa na miaka 45 iliyopita ?
Hongera sana Shangaz
Asante mama kutusemea.
Big up Shangazi ✊🏿
Very True Sister
Very true Fatma!
KWa hiyo wananchi waendelee hivyo hivyo kuonewa mngelisikia wapi na huyo mwanasheria hayo mengine anayajua kweli
Hawahuelew
Huyu mama anaongea point sana
Fatma karume unaakili sana Dada, uwajibika waviongozi serikali hawawajibiiki kabisa
Kwa mantiki hiyo ni bora iwekwe iyo sehemu ya kupeleka shida kisha wahusika wafukuzwe kazi.Nimesikitika Mwanasheria Mkuu kusema iundwe ofisi maalum akisahau Fedha za Mtanzania mlipaji kodi ndio zinazotumika kulipa waliopo madarakani na hawafanyi kazi kwa hiyo zitolewe nyingine tena kulipa hivi yupo sirious kweli na kodi zetu ?
Hahaha Shangazi anaongea kama Baba yake na Baba yake Mdogo Ali Karume😅😅😅😅
Smart 📌
Wonderful speech shangazi I give you 100 %
Nimekuelewa sn
Yes gd work tz tunawatu
Sawa kabisa shangazi Fatma karume
The problem of this country is politics everywhere even where there is primary issues concerning the country, we never reach where we desire, this is because politics has become the final say no matter what the court or parliament says nothing changes.
Huna sera Fatma
Ww hukusoma kasome Kwanza ndio uje ukoment
apply nafasi kwenye taasisi za kimataifa utasaidia sana wengi
Hongera dada. CCM has expired its legacy as a political party. A new part is on the horizon. And it is Chadema. The system has to be removed from power by weapons. This will cost human lives. Ian Smith of S Rhodesia told Queen Elizabeth " Zimbabwe needed 100 years for Mugabe to talk about Independence. Look what is left of Zimbabwe. Look at what is going in Tz. 30 years the country cannot rewrite the constitution.
Chadema mavi MAKONDA is extra genius hebu ajaribu mwingine kama watu mtawaona
@@mussalimbe6673
Pesa anayo gawa makonda kapata wapi? Bajeti hiyo iliandaliwa na nani. Si
Hela za Waarabu mnagawiwa ili chotara aendelee kuwauza uarabuni
Uko wapi mama
Hata Makonda anaposikiliza kero za Wananchi sii kweli sababu Ugonjwa Upo kwenye chama ccm.siyo Upinzani kwa hiyo Anajikuna alafu Anacheka Mwenyewe😂😂
Watu wanamuogopa makonda😅😅😅 sasa kwani yeye anawaita au ni wao wenyewe hata mwanao anaweza asikuambie changamoto zake akamwambia housegirl na wazazi wake wapo hapo na wewe ukaambiwa na housegirl
Fatma anaongea ukweli wanao lalamika kwa makonda walisha lalamika sehemu usika awakusikilizwa yàni watendaji wabovu
huyu Mhe. Ana akili Sana na ni msema kweli Ila tu watu watamkubali tu ila tatizo la Tz ukiongea sana unaonekana kichaaa kama anavyosema makonda anasaidia watu nikweli Makonda fanya kazi tusaidie. Na hiyo leseni mpeni jamani afanye kazi asaidie watu u wenye shida
Mama nakupongeza sana selikali wajibuwao wengi wao shida pakusikilizwa hakuna selekal inakuw jina tuu mama ongela uposaw
Unajua makonda amezma upepo wawatu,mtanyoka tuu mpaka mseme , mandamano haya mvuto tena ,mwache afanye kazi hizo
Kuongoza Nchi Ambayo wananchi wake hawana ELIMU NI Raha Sana
Wanaona unafuu ndani ya Makonda kuliko selikali
Tanzania ni gumu sana
Exactly
Uko vizuri shangazi
Nikweli kabisa Fatuma tatizo ni system failure na imesababishwa na viongozi kuingiza siasa chafu kila sehemu
Kweli kabisa
Mungu niwahaki
Sheria kama haiwasaidii,wafanye Nini?Acheni uhuni,huko kwenye Sheria wananchi hawasikilizwi wafanye Nini ss
Uncle Magu katuachia shangazi na Makonda
Tatizo sio viongoz bali watanzania inatakiwa tujitambue. Solute Madam Fatuma
Upo sahihi Madam
Fatuma , shangazi na mama . Nakupongeza, waambie
uko sawa mama hivyo ndivyo hakuna uwajibikaji mfano kwa sasa umeme unakatika katika nani anawajibishwa?
Akili Kubwa sana, BIG BRAIN
Kwa leo Fatuma nimekuelewa kabisaa
Hii nchi ni sawa na chapati anayo pika mtoto,ikiungua halaumiwi.
Dada yangu vizuri sana kiongozi
Sheria kasomea wapi mbona hatumiki nchini
Na ninacho kiona ni this woman kaja kuongea because Makondo so hata kama kaongea point Bi Fatma ungekuja kuongea kabla hata ya makonda kusimama ila una kifanya ni kumchafua makonda ✌️But for me Makonda did well kaweza kufanya kitu ambacho watu wengine hawawezi kufanya
Sasa mnataka wananchi wakidhulumiwa waende wapi
Wananchi hawapaswi kudhurumiwa, kwakua system imefeli ndo maana yanatoea haya unayoyaona sasa
Bill makonda kuteuliwa tungeyajuwa wapi apewe mauwa yake makonda ,sio awo walikuwa wapi kabda ya makonda kutuonyesha yaliyomo, wanatulletea siasa za kipuuzi za makundi ndani ya ccm at wamtume kuundoa kill achofanya makonda kisiwe na nguvu daa amechelewa
System ya nchi ndio kikwazo kwa wanachi badilisheni mofumo iyo
Uhh mechangia vizuri lkn kazi anayofanya Makonda ni njema sana ,kama wlipwasa kufanya wameshindwa plz mwacheni Makonda afanye alafu msisahau kwamba Makonda ktk uongozi wanauwezo mkubwa