Mwabukusi Kalamba Asali? Maelezo Yake Yamfanya Rais Samia, Spika Waangue Kicheko.
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Jiunge nasi moja kwa moja tunapomshuhudia Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria. Hafla hii muhimu inalenga kuangazia maendeleo katika sekta ya sheria, changamoto zinazokabili mfumo wa haki, na mikakati ya kuboresha utoaji wa haki kwa wananchi wote.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.
Mwabukusi Unaonyesha Uongozi makini Sana, Hongera
Dared to approach the Bull by The Horns.Congrations Mr.Presdent TLS.
Hongera wakili mwakibusi hotuba nzuri
Hongera Mwakubus rais wa TLS umeongea fact
Umeongea vizur sana rais wa wanasheria Mr Mwabikus hakika taifa lina watu muhimu wakiamua
KABISA MUHIMU WATANZANIA TUBADILIKE
Thank you for your eloquence and nice presentation. We need to work together with technocrats such as TLS to shape up systems.
😢c a kweli kashailamba ya kumtosha nafikiri
Mwandishi hiki kichwa cha habari hakiendani na alichokisema mwambukusi
Muandishi kichwa maji ameandika kichwa cha Habari cha uchonganishi wakati Mwabukusi ameongea vzr amenyoosha maelezo hajamung'unya maneno
Sio ndugu Mgeni rasmi. Mh Rais
Safi . TLS inaenda vizuri.
Mbona ameongea vizuri sana tu
Ameingia kwenye mfumo nae
Ee mungu wangu mwabukusi nae ameenda amelamba yoooo
Mwabukusi Mimi ni mwananchi,sija soma Sheria,ningesoma ningekupigia kura yangu,ila niliwaomba mawakili wangu ambao nieafiki zangu wakupe kuza zao,Swietbert Rwegasira, Matiasi na Zuberi kamugisha wakupe kura zao Nina Imani walifanya hivyo,inamaana nilikufanyia kampeni ulistahili ushindi, Mungu akuzidishie Hekima na busara
Tumebaki na Lissu na Lema tu, asali kila mahali
Safi hivi ndio maneno mazuri sio wengine kutukana na kuponda hamna jengine
Samia anajifanya anasikiliza kumbe yanapitia hapa yanatokea hapa
Whooh! Kumbe Wakili Mwabukusi kuna wakati saa yako inasomaga vizuri hivi
Kashalamba huyu, ongea yake imebadilika sana😂
Jamaa limemchana spika uso kwa uso😂😂😂 bila kupepesa alafu kiufundi
Aahaaaaaaaa kala asali gani, nyie jamaa anajitahidi sana ,jamaa ana akili huwezi tukana ovyo, ovyot tu.msimtafute visababu.
Mlitaka afanye nini zaidi ya haya aliyoeleza peupe? Ama mlitaka aendeshe na kuitisha migomo ili nchi isimame kufanya mambo mengine? Mimi napingana na hicho kichwa cha habari.
mwabukusi mkomalie huyo MAMA ABDUL atengeneze katiba mpya
Mwabukusi kaongea vizuri. Siyo kila hotuba unatoa malalamiko na vilio. Kuna wakati wa kupongeza na kusema mipango
Tundulisu awe Rais na Mwabukusi Wazir mkuu halafu Majaliwa Kasimu Majaliwa awe makamu WA Rais
Ni moja ya vichwa muhimu vya kuiongoza nchi. Sema tu basi
kumbe zile kilele zote za KUHUSU BANDALI ulikuwa unataka UONGOZI WA TLS , kweli siasa ni mchezo mchafu kwa sasa mwabukusi ni MLAINI KWELI kweli KAMA UJI WA MLENDA
Hatuja elewa tulio wengi,,,Kuwa ni siku ya nini?
Kwanini? Na nini tuongee
Ameongea vizuri sana MWABUKUSI.
NAaam..! Tuangalie anatenda nini sio anaongea nini ?.
NIMWANAHARAKATI WANAOTUOKOA
Kalamba kalamba kalamba aaammmm
alamba tena😂😂😂
Mwabukusi hoyeeeee😊😅😅
Hapa kwisha Habari Asali imehusika
Kila nikilinganisha Matendo ya Mwabukusi kabla ya KITI. Na Mwabukusi Baada ya KITI utagundua kuwa....AMESHAJAAA KWENYE MFUMO., Mwanzo alikuwa Na SECTION 4 lla ameingia mchezon anaruka Na 4Rs Chini ya SAMIA LEGAL AID. Hamna kitu hapooo....tumsubirie TU Peter KIBATARA aje Aongoze CHAMA
Anakiburi kwa sababu YA kujua sheria.Na hiyo notaaluma kama trauma nyinginetu.Hata facial expression yake inaonesha kiburi
Hapo kwenye mapato ndipo tutakapo pigwa....anaekupa hela hauta kuwa na nguvu ya kumpinga
Mbona vyama vya siasa vimepewa ruzuku na bado vinaisasambua serikali ni swala na mifumo tu kufanya kazi.
Kamatunajua tunakazi yakujenga uchumi wambie watuwaache unafiki kubali usikubali Wacha Shelia ifatwee
Ukitumia section four ujue kuna section five pitia hiyo
😂😂
Mda smrefu, lisu nae atalamba asali
😂😂😂
Watafutwe mawakili vijana wewe nawekija jiuzulu
Kelele zote za bandari zmeuzwa zimekauka. Siasa bhana. Hahahahahahah
Mwabukusi tuna kutegemea wewe na lisslu sasa nawewe ukianza kupokea hongo tumekweshanmake tuttabaki na lissi TU huwaga ukweli unaonakana
Hapo kwa lissu mhhh.
@@cbegram6161punguza uccm watu wanaongelea wambozi wewe unajigunisha!!😢😢
Kidume kimekubali kuvaa chupi ya kike hana jipya tena mavi yalikuwa yana gonga chupi wakati anahutubia mwabukusi
Uyu jamaa naye sikuhizi Mimi simuelewi anaulakini kidogo
Spika naye hjalip ada
Ndiyo mjue taasisi ya urais ni kubwa kuliko mtu
Sijui ni jicho langu Mwambukusi umeanza kuboreka afya yako kifupi umenenepa kibantu unaanza kikiuka miko langu jicho
Hili nalo tayari limelambishws jamani?. Hii nchi NI shida TU tumebaki na lisu tuu MUNGU akusimamie atuteteee.hili HAKUNA tayari
Kivipi???
Watz tunashida sana kosa lake hapo nilipi mpaka mseme amelambishwa asali
Akili zako zakushikiwa naona ameongea kipi ambacho kilichokupa shaka?mbona ameongea vzr tu ameelezea vzr mlolongo mzuri hata Lisu itafikia siku watakutana Samia sababu haikwepeki
@JeremiahJuliet-r7pkwa uvivu hata hotuba yenyewe hajaisikiliza ameenda na upepo wa kichwa cha habari
Headline niya uwongo