Engineers msiwe waoga..zungumzeni ukweli na haki..mvua za safari hii ni kubwa sana...water table zimepanda juu sana kuliko kawaida..kazi lazma zisue sue..mnavolazimisha mkandarasi afanye kazi ikipatikana kanafasi kidogo...matokeo ni mvua inamfumania ghafla na kazi inaharibika na hasara hii hamuitambui mnamkimbia mkandarasi na kumwacha na hasara zake.....angalau mungekua mnabeba na nyinyi hasara tungewaona ni waadilifu sana...mkiona mvua imekata kidogo tu mnasahau kama mvua za mwaka huu hazina mwelekeo mnataka hapo hapo kazi ifanyike...na ghafla mvua inashuka bila taarifa na hasara inakua kubwa kwa mkandarasi lakini mnamruka hamuitambui kazi alofanya mnamwambie arudie sehem aloifanya....lazma tukubali kua safari hii changamoto ya mvua ni kubwa sana..miezi sita mfululizo mvua zinanyesha....wakandarasi wamekula hasara kubwa mwaka huu....hilo hamtaki kulitambua..heri ya wale walioandika barua kusimamisha kazi mpaka hali ya hewa itakapobadilika...ila hawa wanaopambana na huku na mvua zinaendelea..inatakiwa muwape pongezi kubwa na muwasaidie sio kuwalaumu tu....
Basi jieleze ili watu wajue sababu za kudilei. FOR EVERYTHING YOUR DOING ? COMMUNICATION IS VERY IMPORTANT. FEEDBACK VERY IMPORTANT, EVEN OBSEVERTION is important.
Kaka millard nmeripoti taarifa kwa dm yako naomba uisome mje kutumulika na sisi huku tunateseka ..barabara ya kimara matosa ni shida ajali kila siku😢😢...tok 2009 ipo vilevile njoen jmn muone huku hali tete
Hawa ndio wanashinda mitandaoni wakitukana eti wakandarasi wa ndani hawapewe kazi. Jiwaze barabara fupi hivi unazingua, je ikiwa barabara kubwa itakua je. Afu visingizio chungu nzima
Mm nimemwelewa sana mtaalam eng. Safi sana fanyakazi kitaalam kama ethic za kazi yako zinavyosema, na sio vinginevyo
Engineers msiwe waoga..zungumzeni ukweli na haki..mvua za safari hii ni kubwa sana...water table zimepanda juu sana kuliko kawaida..kazi lazma zisue sue..mnavolazimisha mkandarasi afanye kazi ikipatikana kanafasi kidogo...matokeo ni mvua inamfumania ghafla na kazi inaharibika na hasara hii hamuitambui mnamkimbia mkandarasi na kumwacha na hasara zake.....angalau mungekua mnabeba na nyinyi hasara tungewaona ni waadilifu sana...mkiona mvua imekata kidogo tu mnasahau kama mvua za mwaka huu hazina mwelekeo mnataka hapo hapo kazi ifanyike...na ghafla mvua inashuka bila taarifa na hasara inakua kubwa kwa mkandarasi lakini mnamruka hamuitambui kazi alofanya mnamwambie arudie sehem aloifanya....lazma tukubali kua safari hii changamoto ya mvua ni kubwa sana..miezi sita mfululizo mvua zinanyesha....wakandarasi wamekula hasara kubwa mwaka huu....hilo hamtaki kulitambua..heri ya wale walioandika barua kusimamisha kazi mpaka hali ya hewa itakapobadilika...ila hawa wanaopambana na huku na mvua zinaendelea..inatakiwa muwape pongezi kubwa na muwasaidie sio kuwalaumu tu....
Kutokana na hali ya hewa nisawa kabisa. Viongozi muwe makini
hapa kazi like hapa
Sio barabara ikamilike tu.iwe na kiwango kinachostahili
millard ayo uko vizru kaka tunapata taarifa muda wote
Hatakama corona ipo tusilale Bora tufe kishuja💪
PIGA MAKOFI HUYO ASIKUZINGUE
BECCO nishida sana hamuwalipi wafanya kazi wenu ndio shida yenu
Sukuma Ndani
Basi jieleze ili watu wajue sababu za kudilei. FOR EVERYTHING YOUR DOING ? COMMUNICATION IS VERY IMPORTANT. FEEDBACK VERY IMPORTANT, EVEN OBSEVERTION is important.
Kaka millard nmeripoti taarifa kwa dm yako naomba uisome mje kutumulika na sisi huku tunateseka ..barabara ya kimara matosa ni shida ajali kila siku😢😢...tok 2009 ipo vilevile njoen jmn muone huku hali tete
Mitaaa ya home nimemic home maeneo yangu mama John home sawasawa mkuuu mda mlefu Sana hiyo balala ipo ivyo
Hivi ndivyo wanavyotaka kupelekwa pelekwa
Sasa mnambishia vipi mtaalamu muliyempa kazi jamani kila mtu asimamie kazi zake
Muongo wewe contiues mvua wapi kwani hatuish mbeya sisi
@@georgejovin761 sisi tupo mbeya hakuna Mvua yoyote
Anamuiga mkuu wa mkoa Tabora
😆😆😆😆😆😆😆😆TZ raha sn comed kila kona
ndo maana wakandarasi wazawa hawapewi tenda.Ni wazembe sana
Hawa ndio wanashinda mitandaoni wakitukana eti wakandarasi wa ndani hawapewe kazi. Jiwaze barabara fupi hivi unazingua, je ikiwa barabara kubwa itakua je. Afu visingizio chungu nzima
Hivi becco mnakwama wp kwa wafanyakaz wenu mishahara shida
Pongez mh rc chalamila
Ngoja walipue na hizi mvua msije raumuu
Kwa kiswahili, Titanic ruclips.net/video/cDagX7QjRLQ/видео.html
hicho kipande cha mda saana
Injinia nimekuelewa vizuri sana !
kazi wakipewa wageni mnalalamika vilaza wakubwa nyinyi, mnawapa kazi za nini awa pig
AYOOtv naomba mnitafute kwanamba hii 0762497455 napatikana mbeya mjini Nina habali nataka niwape
sifa zitawauwa watumishi kwani ukifuka kwenye kikao chandani si mtu anakuelewa tu mkuu
Dawa Philipo kibao cha ndani ndipoilipo barabara
halafu mseme wanaficha
Mkuu wa mkoa unafeli