KILICHOMKUTA MKANDARASI ALIECHELEWESHA BARABARA MBEYA "NI UPUMBAVU FANYA KAZI ZA WANANCHI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 апр 2020

Комментарии • 33

  • @ambrosdavid4484
    @ambrosdavid4484 4 года назад +1

    Mm nimemwelewa sana mtaalam eng. Safi sana fanyakazi kitaalam kama ethic za kazi yako zinavyosema, na sio vinginevyo

  • @j_gh812
    @j_gh812 4 года назад +1

    Engineers msiwe waoga..zungumzeni ukweli na haki..mvua za safari hii ni kubwa sana...water table zimepanda juu sana kuliko kawaida..kazi lazma zisue sue..mnavolazimisha mkandarasi afanye kazi ikipatikana kanafasi kidogo...matokeo ni mvua inamfumania ghafla na kazi inaharibika na hasara hii hamuitambui mnamkimbia mkandarasi na kumwacha na hasara zake.....angalau mungekua mnabeba na nyinyi hasara tungewaona ni waadilifu sana...mkiona mvua imekata kidogo tu mnasahau kama mvua za mwaka huu hazina mwelekeo mnataka hapo hapo kazi ifanyike...na ghafla mvua inashuka bila taarifa na hasara inakua kubwa kwa mkandarasi lakini mnamruka hamuitambui kazi alofanya mnamwambie arudie sehem aloifanya....lazma tukubali kua safari hii changamoto ya mvua ni kubwa sana..miezi sita mfululizo mvua zinanyesha....wakandarasi wamekula hasara kubwa mwaka huu....hilo hamtaki kulitambua..heri ya wale walioandika barua kusimamisha kazi mpaka hali ya hewa itakapobadilika...ila hawa wanaopambana na huku na mvua zinaendelea..inatakiwa muwape pongezi kubwa na muwasaidie sio kuwalaumu tu....

  • @starfordalex4139
    @starfordalex4139 4 года назад +4

    Kutokana na hali ya hewa nisawa kabisa. Viongozi muwe makini

  • @anordperestalent8113
    @anordperestalent8113 4 года назад +4

    hapa kazi like hapa

  • @thelalas9204
    @thelalas9204 4 года назад +3

    Sio barabara ikamilike tu.iwe na kiwango kinachostahili

  • @nelsonimtaturu8115
    @nelsonimtaturu8115 4 года назад +2

    millard ayo uko vizru kaka tunapata taarifa muda wote

  • @wasaficomedytvamour5977
    @wasaficomedytvamour5977 4 года назад +1

    Hatakama corona ipo tusilale Bora tufe kishuja💪

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 4 года назад +1

    PIGA MAKOFI HUYO ASIKUZINGUE

  • @mansullej2955
    @mansullej2955 4 года назад

    BECCO nishida sana hamuwalipi wafanya kazi wenu ndio shida yenu

  • @ubuzimabuzimatv
    @ubuzimabuzimatv 4 года назад +2

    Sukuma Ndani

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 года назад

    Basi jieleze ili watu wajue sababu za kudilei. FOR EVERYTHING YOUR DOING ? COMMUNICATION IS VERY IMPORTANT. FEEDBACK VERY IMPORTANT, EVEN OBSEVERTION is important.

  • @papricahbeauty2136
    @papricahbeauty2136 4 года назад

    Kaka millard nmeripoti taarifa kwa dm yako naomba uisome mje kutumulika na sisi huku tunateseka ..barabara ya kimara matosa ni shida ajali kila siku😢😢...tok 2009 ipo vilevile njoen jmn muone huku hali tete

  • @quenmwalongo2036
    @quenmwalongo2036 4 года назад

    Mitaaa ya home nimemic home maeneo yangu mama John home sawasawa mkuuu mda mlefu Sana hiyo balala ipo ivyo

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад

    Hivi ndivyo wanavyotaka kupelekwa pelekwa

  • @gwajetheentertainer363
    @gwajetheentertainer363 4 года назад +2

    Sasa mnambishia vipi mtaalamu muliyempa kazi jamani kila mtu asimamie kazi zake

    • @georgejovin761
      @georgejovin761 4 года назад

      Muongo wewe contiues mvua wapi kwani hatuish mbeya sisi

    • @hamzamwilaphy2902
      @hamzamwilaphy2902 4 года назад

      @@georgejovin761 sisi tupo mbeya hakuna Mvua yoyote

  • @greengenerationtv9012
    @greengenerationtv9012 4 года назад +1

    Anamuiga mkuu wa mkoa Tabora

  • @abdullahrashed4817
    @abdullahrashed4817 4 года назад

    😆😆😆😆😆😆😆😆TZ raha sn comed kila kona

  • @emjay1016
    @emjay1016 4 года назад

    ndo maana wakandarasi wazawa hawapewi tenda.Ni wazembe sana

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 4 года назад

    Hawa ndio wanashinda mitandaoni wakitukana eti wakandarasi wa ndani hawapewe kazi. Jiwaze barabara fupi hivi unazingua, je ikiwa barabara kubwa itakua je. Afu visingizio chungu nzima

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 4 года назад

    Hivi becco mnakwama wp kwa wafanyakaz wenu mishahara shida

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 4 года назад

    Pongez mh rc chalamila

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 4 года назад

    Ngoja walipue na hizi mvua msije raumuu

  • @WasafiSports
    @WasafiSports 4 года назад

    Kwa kiswahili, Titanic ruclips.net/video/cDagX7QjRLQ/видео.html

  • @hekimanobote7391
    @hekimanobote7391 4 года назад

    hicho kipande cha mda saana

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 4 года назад

    Injinia nimekuelewa vizuri sana !

  • @bongobongo1755
    @bongobongo1755 4 года назад

    kazi wakipewa wageni mnalalamika vilaza wakubwa nyinyi, mnawapa kazi za nini awa pig

  • @victorkomba9583
    @victorkomba9583 4 года назад

    AYOOtv naomba mnitafute kwanamba hii 0762497455 napatikana mbeya mjini Nina habali nataka niwape

  • @dawaphilipo7600
    @dawaphilipo7600 4 года назад

    sifa zitawauwa watumishi kwani ukifuka kwenye kikao chandani si mtu anakuelewa tu mkuu

  • @rabydigital3051
    @rabydigital3051 4 года назад

    Mkuu wa mkoa unafeli