MIKONO ILIYOFUNGWA (SEHEMU YA I ) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HIZI : +255 657 173 322 AU +255 764 888 810
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
/ @pastorsunbellakyando
#RealityofChrist #PastorSunbellaKyando #PastorJohnSembatwa
Amina mtumishi
Asante kwa neno hili! Huu ni ujumbe wangu
Mchungaji nakuelewa mafundisho yako Sana ubarikiwe ; nimjifunza Mambo mengi Sana kupitia wewe amen
Ahsante Mungu,Ahsante mtumushi wa Mungu,Roho wa Mungu anatumia kinywa chako kutufundusha vzuri sana....
Hiyo ni kweli kabisa Mungu akubariki sana
Mungu unisaidie kuyatimiza mapenzi yako🩸🩸AMINA
Amen
Bwana Yesu unipite mwako kila itwayo leo wewe ni mkuu sana basi kupitia neno hili naomba Yesu useme nami ni kipi umekiweka ndani yangu niwenze kutoka nayo
Amen mtumushi barikiwa sana
Nakuelewa sana baba, you are very explanatory. You are a great blessing to this generation.
Nimekuwa naku miss annointing for you my favorite pastore
Mungu azidi kukubariki mtumishi sunbella kyando akupe nguvu yakulisema neno la mungu siku zote
🙏🙏
Yani Huwa ninamuelewa huyu babaa kweli Mungu anajuakutumia watu wake
Mungu Baba nashukuru kwa neno hili Roho Mtakatifu naomba unisaidie kuisiliza sauti ya Bwana Mungu kwa bidii na kufanya maagizo yake niepuke ubaya na baraka aliyoiamuru Ije juu yangu na uzao wangu na kubarikiwa katika nchi aliyonipa Bwana Mungu. Amina. Ubarikiwe Mtu wa Mungu kwa neno na huduma.
Amina ASANTE SANA BABA Kwa kunifungua eneo hili🙏🙏
Nyimbo ya kuuuita uwepo wa Mungu utulivu unatakiwa Sana kwa kiongozi wa wimbo 💞💪
Kwakwel mchungaji anafundisha vizuri .Hua ananivutia kusikiliza na ninapata ujumbe mpya uliojificha ndani ya maandiko hata kama nimewahi kusoma.Mungu azidi kumtumia azidi kuifunua kweli itakayozidi kutuweka huru.
Huyu ni mwalim zaidi ya walim nabarikiwa sana sana
Same here,,yaani ananibariki mnoooo, Mungu aendelee kumtunza.
Be blessed servant of the Lord
Mungu nirehem.
Mungu akubariki mtumish wa mungu
Thank you lord am happy now,mungu usinipite na mimi katikati ya watoto wako.
Woooow
I love the teaching...
It's replenishing
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ubarikiwe napenda kufatilia mafundisho Yako sana
Amen Amen
I Thank God for allowing me hear this message, I bless his Name.
Thank u man of God indeed without listening to God all we do will not prosper.
Nabarikiwa sana naposikiliza mafundisho yako Pastor. Mungu azidi kukuinu sababu wapo watu wengi waliofunguliwa na kujitambua kupitia mahubiri na mafundisho yako. 🙏🏼
Mungu akubariki baba
HAPA NDIPO NAPOCHOKA I DON'T KNOW WHY I HATE THIS JOB THAT I AM DOING NOW Mungu wangu mapenzi yako kwenye maisha yangu yatimie
Amen mtumishi wa Mungu.
Amen. Man of God thank you for your teaching. Actually I'm wondering all the time y the work of my hands is not bearing fruits at all even though I try my best. But please pray for me I'm too far from home. Am front Kenya but am in Saudi Arabia working to survive
Roc mnijibu jamani kuhusu king'amuzi plz
I love your messages and how detailed they are .
Pastor ubarikiwe Sana 🙏🙏❤️
Tv itakuwa kwenye king'amuzi gani tujue jamani
Startimes
NAJIUNGAMANISHA na IBADA HII NATAKA BWANA UNITENDEE KATIKA KUKUOMBA NA MAISHA YANGU.
Nimekuwa naku miss annointing for you my favorite pastore
Amen
🙏🙏
AMEN AMEN AMEN AMEN
Amen